Pakua App yetu ya Posta Kiganjani kupitia Play-store na AppStore, ujipatie huduma zote za Posta kupitia simu yako ya mkononi.
Posta Kiganjani Mwako, jihudumie sasa
Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana nasi kupitia simu namba 0735 008008
#postakiganjani
#postakidijitali
Tunawatakia wiki njema na yenye fanaka
Kwa maulizo au ushauri tafadhali endelea kutufuatilia kupitia kurasa zetu za mitandao yetu ya kijamii au wasiliana nasi kupitia simu namba 0735 008 008
#postatanzania
#shirikalaposta
#kaziinaendelea
Nanenane, Dodoma📍
🗓️ 07 Agosti, 2024
Asante Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule kwa kutembelea Banda la Shirika la Posta katika maonesho ya Nanenane yanayofanyika kitaifa mkoani Dodoma.
Karibu tena Posta.
#postatanzania
#nanenane
@RostakiDc
@RostakiDc
📍Nanenane, Dodoma📍
🗓️ 07 Agosti, 2024
Timu ya wataalamu wetu iko tayari kukuhudumia ndani ya Viwanja vya Maonesho Nanenane, karibu ufurahie huduma zetu zilizoboreshwa kidijitali.
#postatanzania
#nanenane
#dodoma
#kaziinaendelea