Posta Tanzania Profile Banner
Posta Tanzania Profile
Posta Tanzania

@posta_tz

Followers
2,508
Following
36
Media
1,762
Statuses
2,180

Ukurasa rasmi wa Shirika la Posta Tanzania. Posta Tupo Kivingine | Twen’zetu Kidijitali

Dar es Salaam, Tanzania
Joined March 2016
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@posta_tz
Posta Tanzania
19 days
Safirisha Mazao, Nafaka, Matunda na Bidhaa za Chakula kupitia Shirika la Posta, nasi tutakufikishia kwa Usalama, Haraka, Uhakika na Bei nafuu zaidi. #postatanzania #shirikalaposta #chukuafungashafikisha #usafirishaji #ems #kaziinaendelea
Tweet media one
1
3
7
@posta_tz
Posta Tanzania
1 day
Tuambie kwenye comments. Ofisi zetu ziko wazi leo siku ya Jumamosi kuanzia saa mbili kamili (2:00) Asubuhi hadi saa sita kamili (6:00) Mchana. Karibuni Sana. #postatanzania #barua #postakidigitali #chukuafungashafikisha #kaziinaendelea
Tweet media one
0
1
2
@posta_tz
Posta Tanzania
2 days
Mchongo ni Posta Pekee. Tuma barua na nyaraka zako kwenda mahali popote nchini, kwa haraka na bei nafuu. Kwa maelezo zaidi tafadhali usisite kuwasiliana nasi kwa simu namba 0735 008008 #postatanzania #barua #chukuafungashafikisha #mchongonipostapekee #kaziinaendelea
Tweet media one
1
1
3
@posta_tz
Posta Tanzania
4 days
Utaratibu wa kupata Sanduku la Posta kwa Mtu Binafsi Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana nasi kwa simu namba 0735 008008 Mchongo Ni Posta Pekee #postatanzania #shirikalaposta #barua #postakidijitali #mchongonipostapekee #kaziinaendelea
Tweet media one
1
0
2
@posta_tz
Posta Tanzania
5 days
Tweet media one
1
0
6
@posta_tz
Posta Tanzania
6 days
Tunasoma comment.! Tunawatakia wiki njema yenye baraka tele. #postatanzania #postakidijitali #postakiganjani #kaziinaendelea
Tweet media one
0
0
6
@posta_tz
Posta Tanzania
11 days
Pakua App yetu ya Posta Kiganjani kupitia Play-store na AppStore, ujipatie huduma zote za Posta kupitia simu yako ya mkononi. Posta Kiganjani Mwako, jihudumie sasa Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana nasi kupitia simu namba 0735 008008 #postakiganjani #postakidijitali
Tweet media one
0
0
1
@posta_tz
Posta Tanzania
13 days
Tunawatakia wiki njema. Endelea kusafirisha bidhaa zako, barua, vifurushi, vipeto na mizigo yako kupitia Posta nasi tutakufikishia popote ulipo. #mchongonipostapekee #postatanzania #courierservice #transportservice #ems #postacargo #kaziinaendelea
Tweet media one
0
0
1
@posta_tz
Posta Tanzania
15 days
Ofisi zetu ziko wazi leo siku ya Jumamosi kuanzia saa tatu kamili 3:00 Asubuhi hadi saa sita kamili 6:00 Mchana . Karibuni sana. . #postatanzania #postakivingine #chukuafungashafikisha #postakivingine #mchongonipostapekee #kaziinaendelea
Tweet media one
0
0
2
@posta_tz
Posta Tanzania
17 days
Chap Chap! Tunakufikia hadi mahali ulipo kukupa huduma bora wewe mteja wetu. Kwa maelezo zaidi tafadhali usisite kuwasiliana nasi kwa simu namba 0735 008008. #postatanzania #shirikalaposta #deliveryservice #ems #transportservice #chukuafungashafikisha #kaziinaendelea
Tweet media one
0
0
5
@posta_tz
Posta Tanzania
25 days
Mchongo ni Posta Pekee! Endelea kufurahia huduma zetu na kwa maulizo, maoni na ushauri tafadhali usisite kutupigia kwa namba zetu za huduma kwa wateja 0718 900700 Posta tunaaminika💪🏼 #chukuafungashafikisha #postatanzania #ems #onlineshopping #bureaudechange #wedeliverbetter
Tweet media one
0
0
3
@posta_tz
Posta Tanzania
27 days
Tunawatakia wiki njema na yenye fanaka Kwa maulizo au ushauri tafadhali endelea kutufuatilia kupitia kurasa zetu za mitandao yetu ya kijamii au wasiliana nasi kupitia simu namba 0735 008 008 #postatanzania #shirikalaposta #kaziinaendelea
Tweet media one
0
0
1
@posta_tz
Posta Tanzania
1 month
📍Nanenane, Dodoma📍 🗓️ 08 Agosti, 2024 Tunapita Mtaa kwa Mtaa, Banda kwa Banda ndani ya Viwanja Vya Maonesho Nanenane ili kukufikia wewe mteja wetu. Posta Mshirika Mwaminifu Mwenye Uwezo Wa Kufika Mbali. #nanenane #postatanzania #ems #barua #shirikalaposta #kaziinaendelea
0
0
1
@posta_tz
Posta Tanzania
1 month
📌 Kauli Mbiu: Chagua Viongozi Bora wa Serikali za Mitaa kwa Maendeleo Endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi #postatanzania #nanenane #dodoma #kaziinaendelea
Tweet media one
0
0
1
@posta_tz
Posta Tanzania
1 month
Nanenane, Dodoma📍 🗓️ 07 Agosti, 2024 Asante Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule kwa kutembelea Banda la Shirika la Posta katika maonesho ya Nanenane yanayofanyika kitaifa mkoani Dodoma. Karibu tena Posta. #postatanzania #nanenane @RostakiDc @RostakiDc
Tweet media one
Tweet media two
0
0
1
@posta_tz
Posta Tanzania
1 month
📍Nanenane, Dodoma📍 🗓️ 07 Agosti, 2024 Posta kumenoga Nanenane! Wateja mbalimbali wakiendelea kufurahia huduma zetu ndani ya viwanja vya maonesho Nanenane. Karibu tukuhudumie. #nanenane #postatanzania #ems #barua #shirikalaposta #kaziinaendelea
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
0
0
@posta_tz
Posta Tanzania
1 month
📌Mshirika mwaminifu, mwenye uwezo wa kufika mbali #postatanzania #nanenane #dodoma #kaziinaendelea
Tweet media one
0
0
1
@posta_tz
Posta Tanzania
1 month
📍Nanenane, Dodoma📍 🗓️ 07 Agosti, 2024 Timu ya wataalamu wetu iko tayari kukuhudumia ndani ya Viwanja vya Maonesho Nanenane, karibu ufurahie huduma zetu zilizoboreshwa kidijitali. #postatanzania #nanenane #dodoma #kaziinaendelea
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
0
1
@posta_tz
Posta Tanzania
1 month
📍Nanenane, Dodoma📍 🗓️ 05 Agosti, 2024 Posta kumenoga Nanenane! Wateja wakiendelea kufurahia huduma zetu ndani ya viwanja vya maonesho Nanenane. Karibu tukuhudumie. #nanenane #postatanzania #ems #barua #shirikalaposta #kaziinaendelea
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
0
1
@posta_tz
Posta Tanzania
1 month
📍Nanenane, Dodoma📍 🗓️ 06 Agosti, 2024 Bado tunaendelea kutoa huduma ndani ya Viwanja vya Maonesho Nanenane jijini Dodoma, karibu ufurahie huduma zetu.
0
0
1