@polo_kimani
Lactating mothers zii. Tushaipanga mechi na mmoja akakuja na kamtoto akasema amekosa wa kuachia. Nikaelewa then shortly nikaanza kumpiga maromance ndio sekete ianze, midway mtoto akaanza kulia na lazima anyonyeshwe ndio atulie. Manze nilimfukuza na nikanyonga akili ikarudi timam.