nhekima Profile Banner
HekiMa Profile
HekiMa

@nhekima

Followers
1K
Following
6K
Statuses
22K

The IT_Arsenal_Yanga_Loving God

Joined January 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
@nhekima
HekiMa
10 hours
@AbroadTanzania MALEMA ATASABABISHA WAZUNGU WACHUKUE TENA NCHI, SIJAJUA KWA NN AMEKUWA NAMNA HIYO HATA WENZIE WAMEANZA KUMKATAA
0
0
0
@nhekima
HekiMa
16 hours
@adamlutta Vijana wa miaka 45 kama unawaona popote tuwasiliane
0
0
0
@nhekima
HekiMa
2 days
@IamLyenda Bado yupo??
0
0
0
@nhekima
HekiMa
3 days
@Eric__Bernard Labda wapo kwenye kamati ya Mapokezi
0
0
0
@nhekima
HekiMa
3 days
0
0
1
@nhekima
HekiMa
3 days
@godbless_lema Ni kweli Mh Lakini shida ndizi zinazotufanya kugundua njia mbadala wa kutatua kero kama hizo, mfano kwenye suala la taa siku hizi kuna taa za auto detect kama mtu anaingia ndani au anapita katika korido zinawaka Akisha pita inazima wamiliki wasio shida kutumia wataalamu waliopo
0
0
0
@nhekima
HekiMa
3 days
@MariaSarungiFan SA wameshitaki Israel ICC hakika jamaa atatunyoosha, nimeangalist ya mashirika na taasisi zinazosaidiwa na USAID kila mahali panagusa baada ya mwaka tutatafutana
0
0
0
@nhekima
HekiMa
3 days
@ChiefLumanyika Marais wa Rwanda na Burundi walipinduliwa wakitokea Wapi?? walienda kufanya nini?? Mtu lazima ajifunze kutokana na Makosa ya wengine.
0
0
2
@nhekima
HekiMa
3 days
@NassirMosley1 @Phbhimself Mapambano yaendelee
0
0
1
@nhekima
HekiMa
3 days
@lifeofmshaba Mdada anashughulikiwa sijui kama analala salama
0
0
0
@nhekima
HekiMa
3 days
@adamlutta Mr Kaongo
0
0
0
@nhekima
HekiMa
3 days
@zittokabwe Mzee gtoka Rwanda yuko wapi??
1
0
1
@nhekima
HekiMa
3 days
@zittokabwe Wangeenda kufanyia kukule Congo sasa msiba uko Congo maombolezo wanafanyia Dar hii haikubaliki
0
0
0
@nhekima
HekiMa
3 days
@Phbhimself Umesema kunamlango wa kuingilia lakini hakuna wa kutokea je hao 30,000 walitokaje kwa kutumia mlango gani
16
2
30
@nhekima
HekiMa
3 days
@Ireneigora @comanchechiefIV Umesha pata Namba yake??
1
0
0
@nhekima
HekiMa
3 days
@TheRealEkiswaga CDE hii ni rahisi sana umeitunga mwenyewe ungetumia Software 😀😀
0
0
0
@nhekima
HekiMa
3 days
@Philosophe45141 Huyo jamaa hana uelewa,
1
0
0
@nhekima
HekiMa
3 days
1
0
1