muhasso1 Profile Banner
MUHASSO Profile
MUHASSO

@muhasso1

Followers
3K
Following
4K
Statuses
2K

Official Account For @muhimbiliuniver Muhimbili University of Health and Allied Sciences Student's Organization (MUHASSO). Our People , Our Stand 💪🏻

Dar es Salaam, Tanzania
Joined February 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
@muhasso1
MUHASSO
2 hours
RT @muhimbiliuniver: MUHAS has signed MOU with Sapienza University of Rome, Italy, during the IV Tanzania-Italy Business and Investment For…
0
5
0
@muhasso1
MUHASSO
18 hours
RT @Chief_Hemed: MUHASSO CUP 2025 Moments, #PlaySamartChaseVictory
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
0
3
0
@muhasso1
MUHASSO
18 hours
RT @MUHAS_Alumni: 📢 ⚠️ SCHOLARSHIPS ALERT ⚠️ 📢 📌APPLY BY MARCH 2025 Apply for Masters and PhD Scholarships from different countries and u…
0
26
0
@muhasso1
MUHASSO
23 hours
MWAKA WA NNE WATUPWA NJE YA MASHINDANO YA MUHASSO CUP 2025 MASHABIKI WALIA NA CLINICAL ROTATIONS ⛑️
Tweet media one
0
0
7
@muhasso1
MUHASSO
3 days
MABORESHO YA UWANJA WA VOLLEYBALL NA NETBALL CHOLE YAMEANZA Katika kutekeleza sera za michezo kupitia Serikali ya Wanafunzi (MUHASSO), maboresho ya uwanja wa michezo kwa Volleyball na Netball yameanza rasmi Chole. Hatua hii inalenga kuboresha mazingira ya michezo . @Tanfootball
Tweet media one
2
2
11
@muhasso1
MUHASSO
3 days
Tweet media one
0
1
7
@muhasso1
MUHASSO
3 days
Tweet media one
0
0
3
@muhasso1
MUHASSO
3 days
AMAZULU — Unstoppable and dominant! Topping the group stage is just the beginning. Keep the fire burning @muhimbiliuniver @MUHAS_Alumni #muhassoCup2025 #Playsmart_chaseVictory
Tweet media one
0
0
4
@muhasso1
MUHASSO
3 days
Hatima ya nusu fainali iko mikononi mwa Mwaka wa Tatu na Mwaka wa Nne Je, nani ataendelea mbele? Jumatatu Ebola Stadium, dakika 90 zitaamua Leo, wasemaji wa timu hizi Suku La Masuku na Matungu Kaimu Habari wapo BASIL TV kwa tambo kali na majigambo Usikose kuyasikiliza LIVE
Tweet media one
0
1
11
@muhasso1
MUHASSO
5 days
RT @myhealthjogging: wale wa Campus tunakutana mwembeni karibu na villa, wale wa chole basi ni pale getini. Halafu unajua nini?😁 Wote tutak…
0
2
0
@muhasso1
MUHASSO
6 days
RT @TamsaMuhas: TAMSA-MUHAS is excited to offer an exclusive Graphics Design Training Program aimed at equipping passionate individuals wit…
0
1
0
@muhasso1
MUHASSO
7 days
RT @muhimbiliuniver: Mkuu wa Chuo MUHAS, Prof. David Mwakyusa, ametembelea MUHAS kwa lengo la kujitambulisha na kufahamiana na uongozi wa C…
0
3
0
@muhasso1
MUHASSO
7 days
MWAKA WA TANO WATEMA CHECHE, SOCCER AID WAPIGWA 5-0 MSEMAJI WAO Ndug KALOKOLA ,ALIA NA WAAMUZI 😳⚽ Mwaka wa Tano wamefanya kweli! Kichapo cha 5-0 kimewaliza Mwaka wa Kwanza, huku dimba la Ebola Stadium likigeuka uwanja wa shangwe kwa washindi 🏆. @muhimbiliuniver
Tweet media one
0
0
9
@muhasso1
MUHASSO
7 days
REFUNDS UPDATES💸💰 _____________________________________ 📍 4 February 2025 Siku ya leo Wizara ya Mikopo&Ruzuku imefanikisha malipo ya Refund Batch 1 kwa wanufaika wanaotumia mfumo wa DiDiS ambao Malipo Yao yalikua bado hayajafanyika✍️✍️ @muhimbiliuniver @HESLBTanzania
Tweet media one
1
0
3
@muhasso1
MUHASSO
8 days
RT @CheveningFCDO: The #Chevening interview period starts at the end of this month! 🌟 If you're invited, you'll be asked to upload two re…
0
62
0
@muhasso1
MUHASSO
8 days
HUDUMA ZA DHARURA CHOLE ZABORESHWA Serikali ya MUHASSO kupitia Wizara ya Afya leo imekabidhi First Aid Kits kwa viongozi wa makazi ya Chole ili kuhakikisha huduma za dharura zinapatikana kwa haraka. Kila kit ina vifaa tiba na dawa muhimu kwa msaada wa haraka. @muhimbiliuniver
Tweet media one
0
2
12
@muhasso1
MUHASSO
8 days
MUHASSO CUP 2025 Michuano Bora Zaidi ya Vyuo Vikuu na Kati Nchini Tanzania @FKihamu @CloudsMediaLive @AliKamwe @ahmed__ally
Tweet media one
0
2
33
@muhasso1
MUHASSO
8 days
CPL DERBY 😁 Leo ilikuwa moto ndani ya Ebola Stadium, ambapo Mwaka wa Tatu na Mwaka wa Pili walikabiliana kwenye derby kali . Mechi ilikuwa na kasi, chenga, na mashuti, lakini mwishowe hakuna aliyeweza kutikisa nyavu . Mpira mwingi umepigwa,Magoli hakuna #MUHASSOCUP2025
Tweet media one
0
1
5
@muhasso1
MUHASSO
9 days
@jmaduki 1 more to complete 💯💪
0
0
2
@muhasso1
MUHASSO
9 days
RT @jmaduki: Just got my 2nd shot 💪
0
1
0