Kama hujui story ya maisha yangu na hujui hata kula yangu na mateso ninayopitia
Huna haki ya kunihukumu maana kila ninachofanya kina sababu iliyojificha.
Kuna dogo nilimpa kazi ya daladala huyo dogo ni graduates amemamiza mwaka huu nikampa mchongo
ili awe konda wangu msaidizi tugange tupate hela ya kula
Dogo kila ukipiga nae story mbili tatu anaitaja UDSM chuo alichosoma nilimwambia arudi nyumbani kwanza akawaze chuo👇
Maisha yamechukua vitu vyangu vingi na Kifo kimechukua watu wangu wengi sana wa muhimu
Sasa hivi napambania kesho yangu kwa moyo wangu wote siogopi kupoteza chochote na sijakata tamaa
Kumekucha Wapambanaji wenzangu.
Kuna muda naamini mipango yangu mpaka nakosa tamaa ya kutamani vitu vya watu wengine
kwa sababu naamini mapambano yangu ipo siku yatanifikisha juu sana nisipotarajia.
Humu mtu akimaliza chuo tu anahisi anaweza mapenzi,yeye ndio mwenye akili na anaanza kushauri watu
Acheni usenge wazee watu huku mtaani maisha magumu sana hatuhitaji ushauri wa wanachuo.😂
Hawa wadada wanaolalamika wanaume hatuna nguvu za kiume
Wakikutana na mimi ntawashangaza sana maana mimi napiga tackle mbili ya tatu namwaga
Navaa suruali nawahi kwenda kujenga nchi huko 😂😂💔
Umri wa miak 20+ sio rahisi kabisa
1.Unapoteza marafiki,
2.Unapitia changamoto za kiuchumi
3.Unandoto kubwa na hujui utatimizaje
4.Utafanya makosa
5.Utaumizwa sana na mapenzi 6.Utachukiwa na kila mtu
7.Wazazi wako wanazeeka piah
Lakini yote haya unayopitiaila usikate tamaa.
Haijalishi MAISHA yanaboa kiasi gani au unajisikia upweke kiasi gani !!
Nakusihi kijana mwenzangu usithubutu KUOA utateseka vibaya sana kiufupi utachakaa😂💔
Kama huipendi kazi yako
"chukua mkopo wa nyumba"
Hapo utaanza kuipenda.
Kama bado unaichukia hiyo kazi
"chukua mkopo wa gari"
Hapo utaanza kumpenda hadi boss wako.
Kama bado unaichukia hiyo kazi
"Fanya Uoe Mchaga"
Utaipenda sana hiyo kazi na hutafikiria tena kuaiacha.😂😂
Kama umeanza kujitegemea kama kijana hakikisha unakaa karibu na watu ambao watakupa mawazo mapya na utajifunza vingi kuhusu maisha kupitia wao
Usikae na watu ambao wanawaza starehe na mambo ambayo hayana mchango wowote kwenye maisha yako.
Hakuna siku nimepata hasira kama siku nimeenda kubeba zege nina njaa kinoma
kila niki delay jamaa ananitukana sana akiniambia
"Aliekwambia usisome nani uliona cement nyepesi kuliko peni lete zege hilo acha usenge "
Yule jamaa nikimkumbuka nachukia sana elimu.
Twitter (X)
ni ajabu sana usipokuwa makini unashauriwa na hadi hawa wanaokaa kwao
Unashauriwa kuhusu ndoa na mtu ambaye hajawahi kuishi na mwanamke
Unashauriwa biashara na mtu ambaye hajawahi kufanya biashara
Kila mtu anatoa tu mawazo kisa tu ana degree
TUWE MAKINI
Hivi ushawahi kumpatia mzazi wako kitu ambacho umepambana sana kukipata afu akasema hichi kidogo unanipa chanini bora usingenipa tu
Hayo maumivu yake ni zaidi maumivu aseeh.😥
Mwanamke anataka vyote hivi
1.uwe unanukia vizuri
2.uwe unapendeza sana
3.uwe una nguvu za kiume
4.uwe unampa pesa zakutosha
5.uwe una future
6.uwe una gari
7.uwe na elimu kubwa
8.uwe na gheto kali
9.uwe handsome
10.uwe mrefu mweusi
Embu ongezea TUCHEKE hawa matapeli🤣😂🤣?👇
👉🏽Jana yake alikuwa BINTI mstaarabu sana, Binti ambae alikuwa anawaogopa Wanaume ila Leo yake anawatumia Wanaume hao hao ili kuyaendesha Maisha yake, na Mtaji ni NYETI zake....Maisha ambayo yalimfanya awe kipofu wa Kesho yake.... 👇🏽
"Binti aliiwaza LEO hakuikumbuka JANA, na UPEO
Mwanaume usipojipambania mwenyewe na ndoto zako ukahangaika na mapenzi haya yatakukuta
Utapenda
Utaachwa
Utateseka kisenge
Utapiga nyeto mpaka ukome
Afu utapenda demu mwingine
Atakuacha utateseka tena
Mpaka ujue ndoto na mafanikio ni muhimu kuliko hayo mapenzi.
chake hicho akishachoka aje tufanye kazi maana kila story ukianzisha akianza utasikia pale Mabibo tulikuwa tunafanya fyoko fyoko fyoko qmmke
Ile kitu nilimwambia ni ujinga kusoma hata mimi nilisona tena kwa shida sana sahivi nateseka anaona yeye ndo kasoma hicho chuo chake😂😂
Mtoto anasoma form 2 tayari kifua kimelala na body count inasoma 10+ aseeh vijana nyege zinafanya mnaharibu watoto wa watu.
Punguzeni mihemko ya kishamba kumbukeni na nyie mtapata mabinti
Wazazi nao sahivi ni kama wameruhusu mtoto ajihusishe na ujinga hawakemei kabisa.
Mtu umenifollow na unaomba follow back kwa nguvu sana lakini hulike wala kucomment hutaki pia kurepost hutaki basi post tuone nako hutaki aah dadek
Kazi yako ni kushangaa tu humu ndani ila humu ndani ila acha hizo bhana we nanii.😂
Hili vibe la kwenye kazi ukiamua kuipenda kazi yako ni balaa sana kazi ya ukonda wa daladala
mkisikia La mboto! Laaaamboto wee laamboto wee Gongo la mboto unaenda huyo ndio mimi sàsa nakiwasha 😂🙌
@AhmedBenBela_10
@ClaraAloyce
@JayleenRickie
@EsirEid
@Lizzie36021
@goligani
Ndomana hata pinned post yangu inasema usije ukamuhukumu mtu kwa maamuzi aliyofanya watu tunafanya kila kitu ili tusurvive kwenye haya maisha
Sema wizi ni mbaya sana hii interesting story huyu dogo kaiba kwa sababu walimwengu hata ukiomba hawakupi ila ukiiba wanakuchoma moto.
Kuna muda utafika pressure haitakuwa ni nani ?
mwenye iphone, anaevuta bhang, anaevaa vizuri.
pressure itakuwa ni nani?
mwenye nyumba nzuri,mwenye pesa za kuendesha maisha,mwenye ndoa imara,mwenye familia yenye furaha
Hata kama unapendeza na kuvuta bangi tengeneza future yako.
Sisi wengine tunahangaika kuziba mapengo yaliyoachwa na wazazi wetu
Baada ya kuziba mapengo ndo tuanze kupambania ndoto zetu tuna safari ndefu sana lakini tuna imani tutafika tulipokusudiwa🙏
Dini ni kama zipo kwaajili ya kuzidi kutufanya waafrika tuwe wavivu
na kushindwa kutofautisha
sehemu ambayo inahitaji maombi na sehemu inayohitaji kupambana
mungu atusimamie🙏
Siku moja moja huyo mwanamke wako anaekuletea dharau kisa yeye ni mzuri
Mtoe Out mpeleke maeneo wanapojiuza malaya akaone wenzake walivokuwa wazuri na wanajiuza.
Upendo wa Baba na Mama nimechelewa sana kuupata lakini ni upendo bora sana ambao kila mmoja wetu alistahili kuupata
Wewe kama mwanaume na huna mtoto hakikisha ukipata mtoto hakikisha anapata huo upendo ni muhimu sana.