Mrzombietz Profile Banner
Mrzombietz Profile
Mrzombietz

@mrzombietz

Followers
2,938
Following
2,492
Media
488
Statuses
69,927

C.E.O òv Lòwlifèliftèd CòmpànY👑 Website designer🛸 logo maker, photo editor &graphics Computer technology &ICT Fans òv @Barcelona & @Manutd ♥️ Business idea📞

Mbeya, Tanzania
Joined January 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@mrzombietz
Mrzombietz
1 month
Kama hujui story ya maisha yangu na hujui hata kula yangu na mateso ninayopitia Huna haki ya kunihukumu maana kila ninachofanya kina sababu iliyojificha.
3
28
63
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
Kuna dogo nilimpa kazi ya daladala huyo dogo ni graduates amemamiza mwaka huu nikampa mchongo ili awe konda wangu msaidizi tugange tupate hela ya kula Dogo kila ukipiga nae story mbili tatu anaitaja UDSM chuo alichosoma nilimwambia arudi nyumbani kwanza akawaze chuo👇
23
34
677
@mrzombietz
Mrzombietz
2 months
Msiache kutongoza wanawake hapa mjini Unamuogoa kutongoza kisa pisi ni kali kumbe haina hata mia.
33
51
503
@mrzombietz
Mrzombietz
6 months
Hivi kwanini mtu akiwa anajua vitu vingi kuliko watu wengine anakuwa mpweke sana ??
31
56
333
@mrzombietz
Mrzombietz
5 months
Usidate na mwanamke mwenye combination ya ushamba, umaskini, maringo na ujuaji Utaumia kwa stress😂
4
32
180
@mrzombietz
Mrzombietz
4 months
Hivi hawa madogo chuo hela wanatumiaje Dogo unamtumia 10k unamwambia atumie siku tatu anasema haitoshi ??
37
17
186
@mrzombietz
Mrzombietz
1 month
Hivi usipopata SUPP chuoni ndiyo unaajiriwa mapema sana ??
15
23
134
@mrzombietz
Mrzombietz
5 months
Demu namwambia nampenda anasema "haiwezekani" sa haiwezekani nini wewe 🚮
19
18
120
@mrzombietz
Mrzombietz
5 months
Zamani nilikuwa naona watu wanaokunywa pombe ni watu wabaya sana na hawana akili ila sahivi mimi ndo mlevi😂😂
8
25
121
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
Maisha yamechukua vitu vyangu vingi na Kifo kimechukua watu wangu wengi sana wa muhimu Sasa hivi napambania kesho yangu kwa moyo wangu wote siogopi kupoteza chochote na sijakata tamaa Kumekucha Wapambanaji wenzangu.
15
45
121
@mrzombietz
Mrzombietz
5 months
Kama upo single weekend huwa unafanya nini ??
27
14
120
@mrzombietz
Mrzombietz
6 months
Kama ungepata wasaa wa kumshauri dizasta vina kuhusu muziki wake ungemshauri nini??
Tweet media one
18
11
118
@mrzombietz
Mrzombietz
2 months
Kwahiyo umemaliza huna hata mwezi mmoja umeshaanza kutafuta ajira ?😂
19
23
120
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
Kuna muda naamini mipango yangu mpaka nakosa tamaa ya kutamani vitu vya watu wengine kwa sababu naamini mapambano yangu ipo siku yatanifikisha juu sana nisipotarajia.
6
28
118
@mrzombietz
Mrzombietz
5 months
Acheni watoto wawatu watukatae aseeh kama mimi toka mwezi huu umeanza nimekula ugali tu😂💔
19
20
100
@mrzombietz
Mrzombietz
5 months
Vijana hawaamini kwamba mapenzi yanahitaji pesa ila wanaamini kwamba hawajapata watu sahihi😂
10
20
100
@mrzombietz
Mrzombietz
2 months
Humu mtu akimaliza chuo tu anahisi anaweza mapenzi,yeye ndio mwenye akili na anaanza kushauri watu Acheni usenge wazee watu huku mtaani maisha magumu sana hatuhitaji ushauri wa wanachuo.😂
14
27
107
@mrzombietz
Mrzombietz
6 months
Sijawahi kumlaumu mtu kuondoka kwenye maisha yangu kwa sababu naamini The real one stay no matter what
7
27
105
@mrzombietz
Mrzombietz
4 months
Hawa wadada wanaolalamika wanaume hatuna nguvu za kiume Wakikutana na mimi ntawashangaza sana maana mimi napiga tackle mbili ya tatu namwaga Navaa suruali nawahi kwenda kujenga nchi huko 😂😂💔
18
22
102
@mrzombietz
Mrzombietz
7 months
Mahusiano ni jau sana kuna mwanangu analia ameachwa na girlfriend wake amemvumilia 3years bila sex na huduma jamaa alikuwa anatoa 😂😂
22
20
104
@mrzombietz
Mrzombietz
5 months
Umri wa miak 20+ sio rahisi kabisa 1.Unapoteza marafiki, 2.Unapitia changamoto za kiuchumi 3.Unandoto kubwa na hujui utatimizaje 4.Utafanya makosa 5.Utaumizwa sana na mapenzi 6.Utachukiwa na kila mtu 7.Wazazi wako wanazeeka piah Lakini yote haya unayopitiaila usikate tamaa.
8
29
100
@mrzombietz
Mrzombietz
7 months
Umesema upo kwa shangazi yako lakini mbona nasikia nyimbo ya ACHIA JALA ya dizasta vina 😂💔
Tweet media one
8
12
94
@mrzombietz
Mrzombietz
1 month
"Boom langu la kwanza ntafungua biashara sahivi ajira amna"😂
Tweet media one
19
21
93
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
"Mke wangu wa kwanza nilimpata 2008 kipindi nafanya kazi ya saidia fundi alinizalia watoto nane akaanza kuninyima unyumba tukaachana" 😂😂
Tweet media one
16
21
92
@mrzombietz
Mrzombietz
2 months
Niamke sasa nikatafute kazi ya saidia fundi nipate hela ya kula hii computer niliyonunua na wateja hamtaki kuja inabidi niuze tu.
7
31
86
@mrzombietz
Mrzombietz
4 months
Kipindi ambacho ntafanikiwa kununua gari wadada watakuwa wanapenda meli au ndege ilimradi niendelee kuteseka tu 🙌
10
22
87
@mrzombietz
Mrzombietz
5 months
Ushawahi kutegemea kiporo cha jana halafu kikachacha Maumivu yake unaweza kulia ni zaidi ya kuumizwa na mpenzi 😥💔
11
19
85
@mrzombietz
Mrzombietz
5 months
Haijalishi MAISHA yanaboa kiasi gani au unajisikia upweke kiasi gani !! Nakusihi kijana mwenzangu usithubutu KUOA utateseka vibaya sana kiufupi utachakaa😂💔
9
21
82
@mrzombietz
Mrzombietz
5 months
Kama huipendi kazi yako "chukua mkopo wa nyumba" Hapo utaanza kuipenda. Kama bado unaichukia hiyo kazi "chukua mkopo wa gari" Hapo utaanza kumpenda hadi boss wako. Kama bado unaichukia hiyo kazi "Fanya Uoe Mchaga" Utaipenda sana hiyo kazi na hutafikiria tena kuaiacha.😂😂
10
38
82
@mrzombietz
Mrzombietz
2 months
Kama umeanza kujitegemea kama kijana hakikisha unakaa karibu na watu ambao watakupa mawazo mapya na utajifunza vingi kuhusu maisha kupitia wao Usikae na watu ambao wanawaza starehe na mambo ambayo hayana mchango wowote kwenye maisha yako.
11
34
82
@mrzombietz
Mrzombietz
2 months
Hakuna siku nimepata hasira kama siku nimeenda kubeba zege nina njaa kinoma kila niki delay jamaa ananitukana sana akiniambia "Aliekwambia usisome nani uliona cement nyepesi kuliko peni lete zege hilo acha usenge " Yule jamaa nikimkumbuka nachukia sana elimu.
7
24
83
@mrzombietz
Mrzombietz
5 months
Wazazi warudishe mfumo wa kutuchagulia wake wa kuoa wanawake wa mjini wataniua😥😂
8
22
77
@mrzombietz
Mrzombietz
2 months
Mtu ameletwa mjini na TCU anaishi kwa kutegemea HESLB halafu bado anakuletea dharau kisa amesoma Sawa mwanetu.
7
20
80
@mrzombietz
Mrzombietz
4 months
Kitu kingine kinachonifanya nisihudumie mwanamke kabla sijamuoa ni hiki Unamuhudumia vizuri akianza kupendeza anaona wewe sio type yake tena.
12
18
74
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
Vijana tuzae na kuoa usitishwe na mtu kisa huna pesa zipo tu na zinatafutwa kila siku Ukiwa na hela nyingi bila kuwa na mtoto ni mzigo tu.😂
12
22
75
@mrzombietz
Mrzombietz
5 months
Twitter (X) ni ajabu sana usipokuwa makini unashauriwa na hadi hawa wanaokaa kwao Unashauriwa kuhusu ndoa na mtu ambaye hajawahi kuishi na mwanamke Unashauriwa biashara na mtu ambaye hajawahi kufanya biashara Kila mtu anatoa tu mawazo kisa tu ana degree TUWE MAKINI
17
16
73
@mrzombietz
Mrzombietz
10 days
Nimepata asali gheto yani njaa ikiuma usiku ni kulamba tu Mungu ataniua na hizi baraka.😂
14
23
75
@mrzombietz
Mrzombietz
1 month
Hivi ushawahi kumpatia mzazi wako kitu ambacho umepambana sana kukipata afu akasema hichi kidogo unanipa chanini bora usingenipa tu Hayo maumivu yake ni zaidi maumivu aseeh.😥
17
18
74
@mrzombietz
Mrzombietz
5 months
Furaha yangu ni kuona kila mtu anateswa na mapenzi nkiona mtu anateseka na mapenzi nafurahi sana 😂💔
9
17
69
@mrzombietz
Mrzombietz
5 months
Mwanamke anataka vyote hivi 1.uwe unanukia vizuri 2.uwe unapendeza sana 3.uwe una nguvu za kiume 4.uwe unampa pesa zakutosha 5.uwe una future 6.uwe una gari 7.uwe na elimu kubwa 8.uwe na gheto kali 9.uwe handsome 10.uwe mrefu mweusi Embu ongezea TUCHEKE hawa matapeli🤣😂🤣?👇
12
18
68
@mrzombietz
Mrzombietz
28 days
Leo natamani kwenye hayo maandamano watu tufike hata 50k.
5
20
72
@mrzombietz
Mrzombietz
5 months
Kuna mdada nilidate nae akaniacha aliniambia atawavumilia wengine lakini sio mimi sija heal mpaka leo💔
5
10
68
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
Dullah kwa heshima ya mashabiki wa dizasta vina tunaomba siku yake iongezwe twende nae mpaka kesho kaka kama itawezekana.
@DullahTheking2
Dullah_theKing🎶
3 months
👉🏽Jana yake alikuwa BINTI mstaarabu sana, Binti ambae alikuwa anawaogopa Wanaume ila Leo yake anawatumia Wanaume hao hao ili kuyaendesha Maisha yake, na Mtaji ni NYETI zake....Maisha ambayo yalimfanya awe kipofu wa Kesho yake.... 👇🏽 "Binti aliiwaza LEO hakuikumbuka JANA, na UPEO
Tweet media one
23
52
196
6
10
70
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
Kwenye maisha yangu ya utafutaji siamini kitu kinaitwa hela za mtandaoni au zakudownload sijui forex sijui nini huo ujinga mimi nitoeni.
7
16
71
@mrzombietz
Mrzombietz
2 months
Mwanaume usipojipambania mwenyewe na ndoto zako ukahangaika na mapenzi haya yatakukuta Utapenda Utaachwa Utateseka kisenge Utapiga nyeto mpaka ukome Afu utapenda demu mwingine Atakuacha utateseka tena Mpaka ujue ndoto na mafanikio ni muhimu kuliko hayo mapenzi.
10
35
69
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
Mtu una degree yako nzuri lakini unaogea sabuni ya unga hii sio sawa serikali iangalie hili swala.
14
19
66
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
chake hicho akishachoka aje tufanye kazi maana kila story ukianzisha akianza utasikia pale Mabibo tulikuwa tunafanya fyoko fyoko fyoko qmmke Ile kitu nilimwambia ni ujinga kusoma hata mimi nilisona tena kwa shida sana sahivi nateseka anaona yeye ndo kasoma hicho chuo chake😂😂
0
2
69
@mrzombietz
Mrzombietz
2 months
Hela yangu ninavoipata kwa shida hivi afu nije nimpe mwanamke kisa tu ananipa kikojoleo chake Huo ujinga mimi nitoeni.
11
19
65
@mrzombietz
Mrzombietz
2 months
Hizi daladala za kimara zinajaza sana mpaka konda anakosa sehemu ya kukaa inabidi akodi boda afate daladala nyuma.😂
14
23
65
@mrzombietz
Mrzombietz
5 months
Vijana tunajua vitu vingi ila tunafanya vitu vichache
5
21
60
@mrzombietz
Mrzombietz
5 months
Lengo la kila mmoja wetu ni bi mkubwa nyumbani afurahie matunda ya mwanae Tusikwamishane kwenye utafutaji wetu
9
19
63
@mrzombietz
Mrzombietz
2 months
Mtoto anasoma form 2 tayari kifua kimelala na body count inasoma 10+ aseeh vijana nyege zinafanya mnaharibu watoto wa watu. Punguzeni mihemko ya kishamba kumbukeni na nyie mtapata mabinti Wazazi nao sahivi ni kama wameruhusu mtoto ajihusishe na ujinga hawakemei kabisa.
8
26
64
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
Mwanaume uñaenda Gym na huna hela hizo nguvu za kunyanyua vyuma si upeleke shambani tu ulime wanaume tumekuwa wasenge sana.😅
6
13
64
@mrzombietz
Mrzombietz
7 months
Hahah maisha yangu yanachekesha sana Gheto langu lina thamani ya 2M afu sehemu ninapo fanyia kazi ni 500k 😂😃
10
13
59
@mrzombietz
Mrzombietz
2 months
Mzamiru yassin anafahamika kama kiungo punda Anakatwa na wachawi.😂
8
12
63
@mrzombietz
Mrzombietz
5 months
Twitter (X) mapenzi hivi perfume ina mchango gani kwenye mahusiano naona kila mdada anataka mtu anaenukia ??
10
7
60
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
Mtu umenifollow na unaomba follow back kwa nguvu sana lakini hulike wala kucomment hutaki pia kurepost hutaki basi post tuone nako hutaki aah dadek Kazi yako ni kushangaa tu humu ndani ila humu ndani ila acha hizo bhana we nanii.😂
Tweet media one
17
18
62
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
Elimu ya bongo inashangaza sana aseeh ifike wakati viongozi wetu wafanye namna waongelee hili swala.
5
23
62
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
Kupamba ghetto nayo kazi ngumu sana unabandika wallpaper zako ukutani mwenye nyumba anakwambia hama.😅
13
24
61
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
Hili vibe la kwenye kazi ukiamua kuipenda kazi yako ni balaa sana kazi ya ukonda wa daladala mkisikia La mboto! Laaaamboto wee laamboto wee Gongo la mboto unaenda huyo ndio mimi sàsa nakiwasha 😂🙌
8
26
60
@mrzombietz
Mrzombietz
2 months
Nikipata hela kidogo tu naona kila demu ni mwizi kama hapa nina afu kumi tu naona kila mchumba anataka kunitapeli hela yangu.
9
19
61
@mrzombietz
Mrzombietz
7 months
Bora mnione mshamba Bora mnione siendi na fashion Bora mnione navaa nguo moja Lakini furaha yangu ni kuona wanaonitegemea nyuso zao zikijaa furaha
11
19
55
@mrzombietz
Mrzombietz
4 months
Hongera sana kwa upande wangu tena hongera kubwa sana, Sijui nini kinakuja ila kinakuja . Tuendelee kujinenea mema na Mungu atatubariki🙏
5
25
57
@mrzombietz
Mrzombietz
9 months
Wazee hivi kuchati na demu mnawezaje maana mimi kila mda hapa ni nambie nambie tu 😂
15
12
57
@mrzombietz
Mrzombietz
2 months
Kazi ya daladala ni raha sana unapata hela kiasi chake lakini ubaya wa hizo hela unazopata hupati muda wa kuzitumia.😂
9
20
57
@mrzombietz
Mrzombietz
2 months
Kubeti na kubeba zege bora nikabebe zege .😂
10
19
58
@mrzombietz
Mrzombietz
4 months
Unazani ukiskiliza ngoma za huzuni ndo atarudi ??😂
8
9
56
@mrzombietz
Mrzombietz
17 days
@AhmedBenBela_10 @ClaraAloyce @JayleenRickie @EsirEid @Lizzie36021 @goligani Ndomana hata pinned post yangu inasema usije ukamuhukumu mtu kwa maamuzi aliyofanya watu tunafanya kila kitu ili tusurvive kwenye haya maisha Sema wizi ni mbaya sana hii interesting story huyu dogo kaiba kwa sababu walimwengu hata ukiomba hawakupi ila ukiiba wanakuchoma moto.
6
5
57
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
Tafuta hela wewe mpumbavu kama kusoma kila mtu amesoma bhana 😂😂
8
12
55
@mrzombietz
Mrzombietz
4 months
Vitanda vya wapush hashtag 😂
Tweet media one
11
11
55
@mrzombietz
Mrzombietz
5 months
Kuna muda utafika pressure haitakuwa ni nani ? mwenye iphone, anaevuta bhang, anaevaa vizuri. pressure itakuwa ni nani? mwenye nyumba nzuri,mwenye pesa za kuendesha maisha,mwenye ndoa imara,mwenye familia yenye furaha Hata kama unapendeza na kuvuta bangi tengeneza future yako.
7
18
52
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
Mr Blue _-_Tabasamu Chid benz_ Mashallah 🎵 Hizi nyimbo za kusikiliza kwenye gari nitafute pesa ninunue gari sasa.😂
6
15
53
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
Kila siku ni zawadi hakuna neema inayozidi uhai kumekucha Wapambanaji wenzangu.
5
19
54
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
Amesema yupo kwa shangazi yake lakini mbona nasikia OH Mahi Kwani shangazi yake ni msanii.😅
Tweet media one
5
12
51
@mrzombietz
Mrzombietz
1 month
Dada huyo mpenzi wako anavaa suruali kubwa za jeje kama wasanii na amekwambia atakuoa.😂
8
15
55
@mrzombietz
Mrzombietz
2 months
Unaamua kumpenda mwanamke mweusi vizuri tu Kumbe yeye anapenda wanaume weupe bhana.😅
6
17
55
@mrzombietz
Mrzombietz
6 months
Watu wa kawaida wapo na TV kubwa nyumbani kwao ila watu wenye uelewa mkubwa wapo na LIBRARY kubwa nyumbani kwao
7
17
52
@mrzombietz
Mrzombietz
5 months
Niweke notification kwa fabrizio romano huo ndo muda wa usajili sasa
5
9
50
@mrzombietz
Mrzombietz
6 months
Hivi ili mtu uingie kwenye mahusiano unatakiwa uwe na nini ??? maana kuna vitu vinanichanganya??
8
11
52
@mrzombietz
Mrzombietz
7 months
Majukumu yanapunguza sana unyamwezi 😂
6
16
52
@mrzombietz
Mrzombietz
1 month
Nioe demu nimedate nae mwezi mmoja au miwili huu ujijga siwezi fanya kabisa Demu ili nimuoe inabidi nikae nae kuanzia mwaka mmoja.😂😂
4
14
53
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
Kazi ya dala dala ngumu sana wazee unalala kwa kuchelewa kuamka kwa kuwahi Sahivi naombea gari iharibike nipumzike kidogo 😂
7
16
52
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
UMASKINI unatufedhehesha sana Mungu atupiganie tuondoe hili janga majumbani kwetu japo vikwazo ni vingi ila Mungu ni mkubwa. Good morning.
8
25
52
@mrzombietz
Mrzombietz
6 months
Sisi wengine tunahangaika kuziba mapengo yaliyoachwa na wazazi wetu Baada ya kuziba mapengo ndo tuanze kupambania ndoto zetu tuna safari ndefu sana lakini tuna imani tutafika tulipokusudiwa🙏
4
19
49
@mrzombietz
Mrzombietz
6 months
Nimechoka kujificha ficha aseeh mimi napenda sana wadada wenye matackle 😂😂
9
10
52
@mrzombietz
Mrzombietz
29 days
Wazazi hawajali hata kama mtandaoni nina followers wengi wenyewe ni kunituma tu mkaa.😂
10
15
53
@mrzombietz
Mrzombietz
5 months
Dini ni kama zipo kwaajili ya kuzidi kutufanya waafrika tuwe wavivu na kushindwa kutofautisha sehemu ambayo inahitaji maombi na sehemu inayohitaji kupambana mungu atusimamie🙏
10
12
50
@mrzombietz
Mrzombietz
4 months
Huyo unaemuona mchafu mtaani kwenu Ndiyo baba wa familia yetu anafanya kila namna sisi tufurahie maisha
3
17
52
@mrzombietz
Mrzombietz
6 months
Wadada wanakuacha kwa sababu za kijinga sana sa mtu anakuacha eti kisa huna hela 😂💔
7
15
52
@mrzombietz
Mrzombietz
2 months
Kijana tafuta hela waganga hawawezi kuwapa hela acheni uvivu.
7
21
53
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
Siku moja moja huyo mwanamke wako anaekuletea dharau kisa yeye ni mzuri Mtoe Out mpeleke maeneo wanapojiuza malaya akaone wenzake walivokuwa wazuri na wanajiuza.
8
17
49
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
Upendo wa Baba na Mama nimechelewa sana kuupata lakini ni upendo bora sana ambao kila mmoja wetu alistahili kuupata Wewe kama mwanaume na huna mtoto hakikisha ukipata mtoto hakikisha anapata huo upendo ni muhimu sana.
7
22
51
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
Humu Twitter kama kuna watu hawamuelewi dizasta vina ntaanza kuwalazimisha kumuelewa 😂
12
15
52
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
Kama umewahi kutengeneza kile kishimo kwenye tonge la ugali ili uweke mboga nyingi sahau kabisa kuhusu swala la kuwa tajiri 😅
10
15
52
@mrzombietz
Mrzombietz
5 months
Niplay playlist ya dizasta vina niondoke gheto ntarudi badae wapangaji wenzangu waendelee kula madini wakijua nipo😎
1
12
49
@mrzombietz
Mrzombietz
5 months
Toka mwaka huu umeanza nkiona mtu anakunywa Pombe tu najua anatumia hela za familia Hela ni ngumu sana ukiwa unatafuta mwenyewe
3
13
49
@mrzombietz
Mrzombietz
3 months
Kuna demu alikuja ghetto akasema hawezi kula ugali usiku ataota anakimbizwa Nilimwambia atoke nje kidogo aangalie nje yupo nani alivotoka nilifunga mlango sikufungia tena nkamwambia aende kwao.
7
13
52