Jamani simu yangu inakimbiza sana bando sijui tatizo ni nini
Kwa anaeweza kunisaidia natanguliza shukrani
Nakaribia kuchoka kuweka bando naweka ata 1500 ikaisha chap akati naingia twita tu na siangaliii video wala space😭🙌🙏
Muwe na asubuhi njema Mungu awaongoze mpate riziki🙏