AMAZING LOOKING BUILDINGS.
#Thread
👇
1. THE PIANO HOUSE,
Jumba hili lipo jijini Huinam, China na idea ilitolewa na wanachuo wa ufundi ujenzi , chuo kiku Cha Hefei na kufanyiwa decoration na washirika wengine wa Huinam decorations project co.🔥
FAHAMU NAMNA MATAPELI WANAITUMIA HII NOTI KUTAPELI.
#UziMfupi
Huenda sio Mara yako ya kwanza kukutana na matangazo ya kwamba hizi noti zinatafutwa na zinanunuliwa kwa bei kubwa Sana. Huu ni utapeli ambao unafanyika kwa njia zifuatazo👇
Kila moja, Kama anazo 10 utampa laki1.
👉Baada ya kuzipata utampgia mteja wako aliekuahidi uzitafute utakuta hapatikani kabisa kwenye simu.
👉Na hapo ndio utakapokuwa umetapeliwa.😀
Mwisho
If this is Helpful, Like, repost wengine wajifunze!
usiache kuniFollow
@Bwanashilingi
👉Baada ya wewe kuzitafuta na kuwa nazo mfano mbili (2), utampgia huyo aliyesema anazinunua, labda moja Tsh 20k, hivyo atakupa kwa zote mbili elfu 40. Na akishazinunua atakuambia umtafutie na zingine nyingi ili umpe na kwamba Ana shida nazo Sana.👇
👉Baada ya hapo yeye huyohuyo atatuma mtu mwingine (tapeli mwenzake) ambao wapo kundi moja atakupigia simu na kukuambia kuwa anazo hizo noti za Tsh 500, hata 10 hivi.
👉Wewe kwa kuwa ulishapata mteja na unajua ni wa uhakika utafanya juu chini upate pesa uzinunue hata kwa elfu 10
@Mzungu_pori1
"Maradhi Ni kawaida hilo fahamu, unaweza ukakonda kwa Taifodi au TB, ukijificha unahatarisha maisha ni vyema kuthibitisha kipi kinakutisha"😂
HIZI HAPA SABABU 5 ZA KWANINI YANGA DAY JANA IMEKUWA BORA ZAIDI KULIKO SIMBA DAY JUZI👇
1. Full House Pro Max
Hii pia ni challenge kwa serikali kuwa Soka letu limekua, unahitajika uwanja wenye uwezo wa kubeba mashabiki wengi zaidi.