Shilingi Profile
Shilingi

@Bwanashilingi

Followers
1,829
Following
1,170
Media
101
Statuses
10,252
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Bwanashilingi
Shilingi
2 years
AMAZING LOOKING BUILDINGS. #Thread 👇 1. THE PIANO HOUSE, Jumba hili lipo jijini Huinam, China na idea ilitolewa na wanachuo wa ufundi ujenzi , chuo kiku Cha Hefei na kufanyiwa decoration na washirika wengine wa Huinam decorations project co.🔥
Tweet media one
11
37
74
@Bwanashilingi
Shilingi
11 days
"Amedi Ali na Kamwe haziivi" Kwa ground👇😀
Tweet media one
15
60
2K
@Bwanashilingi
Shilingi
23 days
FAHAMU NAMNA MATAPELI WANAITUMIA HII NOTI KUTAPELI. #UziMfupi Huenda sio Mara yako ya kwanza kukutana na matangazo ya kwamba hizi noti zinatafutwa na zinanunuliwa kwa bei kubwa Sana. Huu ni utapeli ambao unafanyika kwa njia zifuatazo👇
Tweet media one
90
212
2K
@Bwanashilingi
Shilingi
11 days
Nani amewahi kuona picha ya huyu jamaa akiwa hajaweka mikono mfukoni?😂
Tweet media one
79
17
1K
@Bwanashilingi
Shilingi
23 days
Kila moja, Kama anazo 10 utampa laki1. 👉Baada ya kuzipata utampgia mteja wako aliekuahidi uzitafute utakuta hapatikani kabisa kwenye simu. 👉Na hapo ndio utakapokuwa umetapeliwa.😀 Mwisho If this is Helpful, Like, repost wengine wajifunze! usiache kuniFollow @Bwanashilingi
15
67
388
@Bwanashilingi
Shilingi
23 days
👉Baada ya wewe kuzitafuta na kuwa nazo mfano mbili (2), utampgia huyo aliyesema anazinunua, labda moja Tsh 20k, hivyo atakupa kwa zote mbili elfu 40. Na akishazinunua atakuambia umtafutie na zingine nyingi ili umpe na kwamba Ana shida nazo Sana.👇
1
9
158
@Bwanashilingi
Shilingi
23 days
👉Baada ya hapo yeye huyohuyo atatuma mtu mwingine (tapeli mwenzake) ambao wapo kundi moja atakupigia simu na kukuambia kuwa anazo hizo noti za Tsh 500, hata 10 hivi. 👉Wewe kwa kuwa ulishapata mteja na unajua ni wa uhakika utafanya juu chini upate pesa uzinunue hata kwa elfu 10
2
10
145
@Bwanashilingi
Shilingi
2 months
@Mzungu_pori1 "Maradhi Ni kawaida hilo fahamu, unaweza ukakonda kwa Taifodi au TB, ukijificha unahatarisha maisha ni vyema kuthibitisha kipi kinakutisha"😂
33
6
118
@Bwanashilingi
Shilingi
2 months
Amka ukapambane watoto wako wasije kufanya hiyo kazi ya kusifia watawala. Good morning the chosen🙏📌
18
27
57
@Bwanashilingi
Shilingi
14 days
HIZI HAPA SABABU 5 ZA KWANINI YANGA DAY JANA IMEKUWA BORA ZAIDI KULIKO SIMBA DAY JUZI👇 1. Full House Pro Max Hii pia ni challenge kwa serikali kuwa Soka letu limekua, unahitajika uwanja wenye uwezo wa kubeba mashabiki wengi zaidi.
Tweet media one
1
12
45
@Bwanashilingi
Shilingi
9 days
Njia ya wapi hii wakuu😀
Tweet media one
13
10
35
@Bwanashilingi
Shilingi
2 months
@spana_Konki Anajaribu kujibu ionekane haimstui lakn deep down anakereka
2
0
35
@Bwanashilingi
Shilingi
11 days
Mdogo wake mke wa mjomba wako akikupa utapiga?😀
11
6
34
@Bwanashilingi
Shilingi
2 years
@Strictlyirene Kwahiyo mnajisifu kumpiga 7😁
0
0
27
@Bwanashilingi
Shilingi
11 days
Wenye kazi Leo wapo mapumziko, sisi wengine tuliopo kwenye Mihangaiko tupo Kama kawaida😀 Good morning ✋
11
16
29
@Bwanashilingi
Shilingi
2 months
Unapigwa spana Mara unaona mshikaji wako kabisa amecomment "Bado anapumua piga kichwani"😂
8
5
27
@Bwanashilingi
Shilingi
1 month
@fumbokhanJr Ni Kama wewe tu watu walivyo hawaielewi GPA yako😂
4
0
27
@Bwanashilingi
Shilingi
21 days
@captainpapiloni Hata akiifuta, haitasaidia, tutamfuata hata YouTube 😂
1
0
26
@Bwanashilingi
Shilingi
14 days
HAKUNA KITU KINAUMA KAMA UPIGE DV1 YA 3 AU 4 A LEVEL HALAFU USOME COURSE MOJA NA MTU MLA BATA UNAEMFAHAMU MWENYE 3 YAKE AU 2 YA 12😂😂😂
12
6
25
@Bwanashilingi
Shilingi
10 days
Mbeya ukitoa hili jengo wanabaki na Nini?😀
Tweet media one
11
7
23
@Bwanashilingi
Shilingi
3 months
@TMnyama4_ Hii ni marketing strategy tu ya jamaa ameamua afanye uvuvi kwa njia hii😂
1
0
23
@Bwanashilingi
Shilingi
23 days
Hivi SISO ni Nini?
Tweet media one
4
4
22
@Bwanashilingi
Shilingi
1 month
Tuamke wakuu tukateseke tusitegeane Good morning ✋
9
7
19
@Bwanashilingi
Shilingi
2 years
Wanawake wafahamu kuwa kukosa Tako kubwa sio ulemavu.
0
7
16
@Bwanashilingi
Shilingi
2 months
@spana_Konki 😂😂😂tajiri anapigwa spana Ila anazituliza na kuonyesha ujasiri wa Hali ya juu
1
0
18
@Bwanashilingi
Shilingi
2 months
Kama kawaida ambao hatuna Cha kurithi tuamke tukajitafute Tena leo huku tukimuomba Mungu atupe uvumilivu 🙏 Good morning ✋
6
7
15
@Bwanashilingi
Shilingi
12 days
Wafamasia wa X wanakataa mchongo wenye mshahara 700k ila wakitoka hapo wanamcheki jamaa DM😀
2
4
18
@Bwanashilingi
Shilingi
1 month
1
0
16
@Bwanashilingi
Shilingi
2 months
@ze_mandevu Naaam😀📌
1
0
16
@Bwanashilingi
Shilingi
2 months
@jniffer_ Lete hapa naffolow chap
1
1
15
@Bwanashilingi
Shilingi
2 months
Kumekucha tena siku ya leo, tusio na Cha kurithi tuamke tukajitafute Tena huku tukimuomba Mungu ulinzi. Good morning ✋
4
7
15
@Bwanashilingi
Shilingi
8 months
@spana_Konki Kuna jamaa alisema kidevu Kina partition Kama Pumbu😂
4
0
16
@Bwanashilingi
Shilingi
2 months
0
0
15
@Bwanashilingi
Shilingi
13 days
@NjiwaFLow Ukweli mtupu, hili litakuwa la Dr.kumbuka😂
1
2
15
@Bwanashilingi
Shilingi
11 days
Chuma Kama Hii inaweza ikawa pesa ngapi mpaka ikushinde?😀
Tweet media one
1
2
14
@Bwanashilingi
Shilingi
2 months
Unamsaidia mtu tatizo lake linaondoka badala akushukuru anasema"Halafu hata Mimi niliwaza hivyohivyo"
3
4
14
@Bwanashilingi
Shilingi
9 days
Kuna mtu hapajui hapa kweli?😀
Tweet media one
3
5
14
@Bwanashilingi
Shilingi
2 months
Ambao hatuna Cha kurithi tuamke tukajitafute Tena, Tusikate tamaa. Good morning the chosen 🤚
4
3
13
@Bwanashilingi
Shilingi
2 years
0
0
10
@Bwanashilingi
Shilingi
22 days
Sabuni ya kipande of All Time😂 Huko kwenu Bei gani?
Tweet media one
4
4
14