Oh Jesus! My heart is full of worship🙏🏾
Living and breathing to see a world full of possibolities for girls and young women like me.
Thank you
@GlblCtzn
for making my story my Glory. Truly humbled. Many thanks to my mom, my pastors, my team
@herinitiative
and to my bestfriends❤️
Hofu ni kitu kibaya sana. Nimekaa nawaza malengo niliyonayo na kila nikiangalia sioni pakutokea, milango imefungwa🤔. Namuomba Mungu atupe Imani na ujasiri kwa sababu kwa wakati wake milango itafunguka. Tuendelee kuweka bidii katika yale tunayoyafanya
Namna 🇿🇦 inavyomsherehekea Mandela na kutangaza mchango wake duniani 🙌 vizazi vijavyo haviwezi kumsahau. Baba wa taifa Mwl J.K Nyerere ana mchango mkubwa Afrika, tunaweza kufanya kitu zaidi ya mapumziko kukumbuka siku ya kifo chake. Leteni mawazo mwakani tufanye jambo
Officially sent off by family and friends. Road to marriage with the love of my life
@YemuNyoni
😍😍
God bless you all who have been supporting our journey to marriage 🙏
Vijana wenzangu kama mungu amekupa kipawa, kipaji, akili nyingi na uweza wakufanya vitu vikubwa hadi wengine wana appreciate jifunze kunyenyekea na nidhamu.Wakati mwingine hatufikii level za juu ambazo mungu ametupangia kwa sababu hatunyenyekei.
Usiwe big headed but be HUMBLE
Jiunge na kampeni ya
#PediBilaKodi
kuomba serikali kutorudisha kodi kwenye vifaa vya kujisitiri wakati wa hedhi. Hedhi si kitu cha hiyari kwa wasichana na wanawake na hawapaswi kulipia kodi jambo hili la kibaiolojia.Tuhakikishe wasichana na wanawake wanapata vifaa vya kujisitiri
Ni miaka 2 na nusu nikiwa kama sura ya
@FeminaHip
Kiongozi wa Nguvu ya binti na mtangazaji wa vipindi vya redio na TV. Nimejifunza mengi, nimefahamiana na watu wengi na nimepata uzoefu.Siku ya jana nimemaliza majukumu yangu niko tayari kuanza safari nyingine kuzifikia ndoto zangu
Namba za wagonjwa mbona haziongezeki? Je kuna uwezekano wagonjwa ni wengi ila wameamua kukaa majumbani na kujitibu huko. Hii hofu yakuogopa hospital inatokana na nini?
Tunazunguka barabarani bila kujua nani mgonjwa tutakwisha.
Nahitaji kudesign logo na kuprint bango la biashara. Kazi hizi mbili ntawapa watu wawili tofauti. Nachoangalia zaidi ni ubunifu na pia Lazima uwe kijana. DM me kazi zako tuanzie hapo
Fucha
@KennedyMmari
Sidhani kama nimekushukuru vya kutosha juu support unayonipa. Uwa nafikiria unahitaji hisa katika vitu ninavyoviongoza kwa sababu baadhi ya ideas uwa ni zako kabisa. Stubborn classmate but the kindest of all. Thank you for coming today
Kuanzisha na kuendesha biashara, kampuni au taasisi kwa kijana wa Tanzania sio rahisi. Mambo ni mengi sana mda mchache na wakati mwingine vitu vinaenda taratibu kuliko matarajio. Kinachotusaidia ni tumaini ya kwamba kesho itakuwa bora. And that’s it. Don’t loose hope 🙏
Nilifurahi sana kumuona mhe
@zittokabwe
Mimi napenda anavyoweza kupangilia hoja zake. Nadhani ni muhimu kila mtu ajifunze namna yakuwakilisha na kutetea anachoamini hadi kieleweke
@zittokabwe
karibu tena
@FeminaHip
Tuache kusema vijana hawawezi kufanya mambo makubwa. Vijana tunaweza.Tunachohitaji ni maarifa, ujuzi na uzoefu.Misungwi Fema Klab Mwanza wameweza kujenga ofisi kwa kutumia taka ngumu (chupa za maji).Ofisi hii ni kivutio.Mbali na hayo wanatengeneza jam ya nanasi, karanga na mbolea
Nauchukia sana umasikini. Ni adui namba moja wa matatizo mengi tuliyonayo.Kama huupendi kama mimi tafadhali kaza, piga kazi na usikae tamaa mpaka kieleweke. Siku moja tutatoka ndugu yangu
@Rahuuuum
@KennedyMmari
@MasaluPaschal
Dada
@RebecaGyumi
flying our flag again.She has been selected to receive UN prize from
@UN
through
@UN_PGA
Thank you for setting a good example to young women leaders in Tanzania. One thing I admire is how humble you are. You truly serve the people with no expectations
January hii tunasheherekea Miaka 20 ya Femina Hip
@feminahip
Kutakuwa na shamra shamra za kutosha
Kama umewahi kusoma jarida,kusikiliza vipindi vya redio,kuangalia vipindi vya TV na kuwa ndani ya Fema Club hii inakuhusu
#20YaKibabe
Ukiona mambo yanazidi kuwa magumu, watu wanakukimbia, milango inafungwa fahamu huo ndio wakati wakuongeza nguvu na jitihada maana mbingu yako inasogea na ndoto yako inakuwa kweli. Usikate tamaa,wakati wako unakuja
Tumepokea taarifa za kuhuzunisha kwamba Afisa wetu wa Kitengo cha Elimu kwa Umma, Bw.
@TitoMagoti
ametekwa na watu waliovalia mavazi ya kiraia maeneo ya Mwenge, jijini Dar es Salaam.
Tunaendelea kufuatilia taarifa hizo na tutatoa taarifa zaidi.
#BringBackTito
EID MUBARAKA KWA wote. Naomba tuguse maisha ya huyu binti leo ambaye amenitumia ujumbe kuhusu hali yake ya kitaaluma na kiuchumi. Anasoma chuo cha Mtakatifu Augustine, Mwanza.Ametoka katika familia ya kipato cha chini. Inaendeleaa....
Natafuta msichana ambaye hana na ana uzoefu wa masuala ya Marketing na advertising. Akiwa ameshawahi kufanya kazi kwenye advertsing agency itakuwa vizuri zaidi.
Kuna fursa sehemu kama una vigezo ni DM.
Leo ni siku ya kuzaliwa ya Mama yangu. I feel very previledged to have her. Kama mzazi pekee alinipigania sana. Niko hapa kwa sababu hakukata tamaa na kwa sababu ananiombea. Happy birthday to my mother ❤️
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi🙏🏾
Fanya unachokifanya kwa moyo na akili zako zote matokeo yape muda.
Asanteni wote kwa message zenu za pongezi na upendo. I am truly humbled 🙏🏾❤️
#GlobalCitizenNow
Kikao chetu cha kwanza cha bodi ya wakurugenzi ya
@herinitiative
kwa mwaka 2022 😊
Bodi yetu ina wakurugezi 2 wapya Vanessa Anyoti na
@Drudysseus
na wengine ni
@SNdandala
@AnnaKulaya
@CarolNdosi
Grateful for this powerful Board of Directors 🙏 that govern our organisation
Nikiwa mdogo nilikuwa nasikia kuwa mwanamke ni kuwa strong. Sasa ndio naona kuwa mwanamke ni kuwajibika maeneo mengi kazini, nyumbani na wakati huohuo unategemewa kuwa mfariji , mvumilivu na mwenye upendo. Acha tu mwanamke aitwe Super woman. Women are just special 🙌
#IWD2020
Msichana huyu mrembo (19) amebakwa na kuuliwa huko Afrika kusini. Ndoto zake zimezimwa. Imagine vitu ulivyofanya wakati una miaka 19 hadi sasa. Usizoee ukatili wala usinyamaze kimya maana unakomaa.Zifahamu dalili za ndogo na kubwa.Sexual violence is disgusting
#uyinenemrwetyana
Ukianzisha taasisi kazi yako kubwa ya kwanza ni kuweka mifumo kama ya fedha, uongozi, utafutaji pesa, uendeshaji na mengineyo. Mifumo itavutia watu kushirikiana na wewe na kuwekeza pesa zao. Mifumo itasaidia ikuwe kwa haraka. Usiiendeshe taasisi ki mimi sana, itakosa uendelevu.
Tunatembea mkoa hadi mkoa kuzungumza na vijana wanaojiongeza katika masuala ya elimu,afya, uchumi na uongozi.Ukituona tupe👋
Miaka 20 ya
@feminahip
kaa tayari kuona kazi nzuri za vijana tukiibua vipaji na masuala muhimu ya vijana nchini Tanzania kupitia Fema TV show
#20YaKibabe
Natafuta wale washauri wanaoweza kusikiliza changamoto zako na kukuongoza kufanya maamuzi. Zile therapy zile za kizungu. If you know any therapist please assist.
As I head to GC prize awarding ceremony in New York surprising, I met our former president hon
@jmkikwete
His positive energy and a great sense of humor is inspiring. Is he going to
@GlblCtzn
?
I think this is my week of meeting presidents from Tanzania, Rwanda and Botswana 🙏🏾
Ever Imagined where you would be if poverty got in the way of your dreams? If you did you would relate to the work that
@herinitiative
is doing🇹🇿
Thank you
@TimesLIVE
for this great feature and
@GlblCtzn
for this incredible platform 🙏🏾❤️
Umasikini unasababisha wasichana washindwe kumaliza shule. Wengi wao wanapata mimba na kuolewa lakini kwa Munira ni tofauti. Baada ya kupata mafunzo ya kujiimarisha kiuchumi aliamua kuwa mjasiriamali, anaagiza ubuyu kutoka Zanzibar nakuuza Mbeya na bado anafanya vizuri darasani.
Siku moja nilikuwa na maumivu makali baada kuona ndoto yangu ya
@herinitiative
inanigharimu sana. Nikalalamika kwa
@KennedyMmari
"This dream is so expensive, it drains me, siiwezi". Akanijibu every dream is expensive.Nimejifunza kuwa kama ndoto yako haikugharimu ifikirie upya
Asubuhi uanza na habari njema.
Kwa wale wote ambao mmekuwa mkihitaji kujitolea katika shirika la
@herinitiative
Wakati ndio huu, tembelea page yetu kujua zaidi. Mwisho wa kutuma maombi ni Novemba 12
I can’t wait to see our new batch of volunteers maana mambo ni 🔥🔥🔥
Dear
@GetrudeMligo
I Love your heart, kindness, hardwork and your passion. You are an incredible person and so proud to call you my baby sister.
Congratulations. You will make a beautiful bride and a wifey. A Godly marriage is your portion 🙏🏾
Your Story is your Victory.
Unaweza kutumia changamoto, mapito na mafanikio yako kama motisha yakufikia ndoto zako.
Asante sana
@dailynewstz
kwakushare stori yangu leo.
Hata uwe na uwezo kiasi gani huwezi kufanya kila kitu mwenyewe. Unahitaji watu wakushirikiana nao kufikia lengo.Unaweza kuwa mbeba maono na unawaongoza wengine lakini hiyo haikupi nguvu yakudharau mchango wa wengine. Let's learn to appreciate others
@RebecaGyumi
#EAYWLMI
Nimekua nikiangalia historia ya Soweto tangu nikiwa mdogo kupitia filamu ya Saraphina. Finally, nimefika. Eneo hili limejaa ujasiri na mapambano ya haki. Mandela house ni 🙌🏾🙌🏾🙌🏾 naondoka nikiwa big fan wa Winne Mandela. That woman was something else ✊🏽
1st November, a year older.
What a time to be alive🥰
Unlike many other years where I celebrate tangible/physical achievements today I just celebrate Life, Grace, Resilience, Determination and Fun 🥂
To more 1st November Lyen ❤️
Uzinduzi wa
#JeshiLaDada
kwa ajili ya kuhakikisha mtandaoni ni mahali salama kwa kila mmoja bila kuhukumiana wala kudhalilishana.
Ungana na jeshi hili kuelekea
#16DaysOfActivism
kuongeza uelewa juu ya
#SafeSpaceTZ
Asante sana kwa kuwekeza maarifa, fursa na stadi za uongozi. Nafurahia mchango wa programu ya Mandela Washington Fellowship katika kunifikisha hapa nilipo.
Hongera kwa Mhitimu wa mojawapo ya programu zetu za 2023
@Lydiacharles_
, ambaye hivi karibuni ametunukiwa Tuzo iitwayo 2024 Global Citizen Prize. Lydia alianzisha shirika linalosaidia wanawake na wasichana kujitoa ktk mzunguko wa umaskini na kujikwamua kifedha. Pia, alianzisha
One of a life changing experience for me was my time with
@AkiliDada
A mentorship program that changed my life. It was during this time that i made the most difficult but important decision of my life. I practised leadership and management with minimal supervision.
Wenzangu mlioweka malengo ya mwaka mmefikia wapi? Naombeni mnisaidie mikakati yakufikia yangu maana hali ni mbaya 😢
Ila bado ninatumaini nitafika. Kama na wewe bado tuna nafasi ya kuboresha🙇♀️
@MasaluPaschal
@badrujumah
@Rahuuuum
@KennedyMmari
Tanzania yetu hii watu wanapigika sana na maisha.Maradhi, umasikini na ukatili kila kona.Tutumie sauti zetu na nafasi zetu kupigania haki na usawa wa fursa za kielimu,kiuchumi na kisiasa. Watoto,vijana na wanawake vijijini hawana mitandao ila wanahitaji msaada wetu. Wanatutegemea
1st of November and am overly excited 😁
Favored and honored to experience the love and joy of God on this beautiful day.
Father, I thank you for past year of learning obedience and submission to God.
But this is my Glory year🙏🏾
Happy Birthday Lydia Lyen Charles 🥂🎉🎉🎉
Waiting is the principal of God 🙏🏾
Kusubiri ni kanuni ya kimungu ✊🏽
Just like David, in the middle of challenges he encouraged himself in the Lord and we can do the same❤️
Fahamu maana yako ya mafanikio kwa sababu mafanikio hayafanani wengine ni nyumba, biashara, elimu na n.k Ukishajua mafanikio ni yapi kwako utasimamia malengo yako hadi yakupe matunda. Mafanikio ya wengine ni mazuri lakini sio lazima yawe yako. Kaa kwenye njia yako. Good morning
Nimeamini kuwa ndoto zinakuwa kweli 🙌🏾
Tumeshiriki mchakato huu mwaka na nusu kutoka mashirika zaidi ya 400 hadi 1
Tumepokea tuzo ya
@K_B_Foundation
kama udhihirisho kuwa maono na jitihada za vijana zina maana kubwa zaidi ya yote kuwasheherekea wasichana wa 🇹🇿
Glory to God
A selfie with the
@SecondGentleman
@DouglasEmhoff
of the United states.We discussed on the importance of investing in women and Girls. I had a message for Vice President
@KamalaHarris
and his team took a video to deliver my message. Maybe she will see it and respond?
@GlblCtzn
🇹🇿
Nilipata nafasi ya kutembelea ubalozi wa Tanzania nchini Marekani na kuelezea juu ya kazi tunazofanya kupitia
@herinitiative
@Pandadigitaltz
Asante sana
@UbaloziUSA
kwa pongezi na mapokezi mazuri. Salamu nyingi kwa mhe. balozi
@eskanza
kwa kuwa kielelezo cha uongozi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kama unasimamia na kupigania haki za wasichana na vijana tafadhali zisimamie kuanzia kwenye familia yako, mtaani na maeneo yoyote uliopo. Sio vizuri kuongea tu mtandaoni alafu ukikuta watu wananyimwa haki unanyamaza. Tusimame nao na tusimame kwa ajili yao
@herinitiative
Hakuna mwisho wa kujifunza. Ujuaji mwingi unakutenga na maarifa. Ni vema kujifunza kwa wengine . Nilifurahi kujifunza kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii kutoka kwa
@MasaluPaschal
alipokuja kuongea na Girl Power na Boy Power team katika ofisi zetu za
@FeminaHip
Nimepata jibu la hapana kwa vitu viwili nilivyokuwa navihitaji sana ndani ya siku moja. Moyo wangu umesononeka lakini nimejifunza nini chakuboresha ili kesho nipate ndio. Nakuombea hapana isikuvunje moyo bali ikuongezee ujasiri. Amini kuwa kuna kitu bora zaidi mbeleni.
Take time to work on yourself especially on your attitudes and behaviour that affect you and others. Don’t say it’s the way I was born and raised. Yes you were traumatized in your childhood, in that relationship but you can decide to be the better version of yourself.
Kuna mda uwa tunafikiria kwanini tufate kanuni za Mungu? Kwanini tuwe waaminifu, tusamehe, tutoe zaka? Kwa macho ya kibinadamu hatuoni tunayopata.Kuna mengi umepokea, umebarikiwa na kuepushwa na mabaya kwa sababu kuna wakati ulijitoa kwa ajili ya Mungu. God is good and faithful.
Thank you
@GlblCtzn
for awarding me the
#GCPrize
Citizen award for the work that I do together with the incredible team of
@herinitiative
@Pandadigitaltz
to contribute breaking the circle of poverty and promoting financial resilience among girls and young women in Tanzania.
Ufaulu wa Daraja la Kwanza Umeongezeka pia kutoka Wanafunzi 8 Mwaka 2017 mpaka Wanafunzi 40 Mwaka 2018.
Kwa Mfano; Chanzige Sekondari Mwaka 2017 haikutoa Div 1 lakini mwaka huu-2018 imetoa Div 1- 2. Ilikuwa na Div 0- 21 mwaka huu-2018 Div 0 ziko 6 tu!!!
Tokomeza Zero Kisarawe!