Dogo aliniambia law school hata kama wanafaulu 20 na yeye atakuwepo. Nika overpromise mazawadi akifaulu.
Ladies and Gentlemen AMEFAULU. I am a very proud sister.
Jamani wakivunja jengo La Tanesco wenzenu wa mikoani tutapotea. maana mpaka tulione ndo tunajua tumefika Dar. hata tukipotea tunaombe tuonyeshe jengo halafu tutatafuta njia. mtuonee huruma.
someone who graduated with a Second class upper or First class, and Studied Electrical Engineering. A Multinational Danish company will like to employ and train them in Denmark. Kindly Forward CV and credentials to sansy
@um
.dk
Airport ya Doha imejaa wakenya na waganda na mataifa mengine lakini si wa TZ. Nimepata nafasi ya kumuuliza moja wao huwa wanapataje nafasi. Akaniamba wao Wana Agency ambazo huwa wanatuamia
#Thread
Mtu akilipwa mafao hata akaamua kwenda kukesha bar... Inakuhusu Nini? SI hela yake?
Halafu akifa hili suala la familia inapewa hela ya miaka 3 nyingine ya serikali kisa Nini hasa?
Alipochoma picha hakuna alieuliza kama kijana alikuwa kalewa au alikuwa kwenye depression. Alipata hukumu mara moja. Hawa wao wanataka kusingizia kulewa. Ukilewa na unaruhusiwa kufanya makosa?
Made my day.... I wish one of these dipper company wampe dili or free dippers. Usually huwa wanaonyesha wamama wakifunga watoto. This guy wakianza na hii kwenye commercial the shift to him withe dippers. Someone make this happen.
Tunaukimbilia ulinzi wako, mzazi mtakatifu wa mungu, usitunyime kukiomba katika shida zetu, utuokoe siku zote kila tuingiapo hatarini, ewe bikira mtukufu mwenye baraka. Amina.
Wazungu wanamlaza mtoto mchanga peke yake kwenye chumba na analala. Mimi Curtis hawezi hata kulala kwenye kitanda chake same room. I need to know how they train them.
Haya maoni (ambayo hayajakamilika) yameleta mihemuko mikubwa tena kwa mashujaa wa mitandaoni ambao leo hawajitokeza. Hivyo ninalazimika kuweka rekodi sahihi.
Nilichomaanisha;
1. Tanzania na nchi nyingi za Kiafrika ni MAAJABU kukamatwa kistaarabu. Haiondoi ukweli kuwa mtu
Unajua kuwa kila mwanamke ana hadithi ya kwa namna moja au nyingine alidhalilishwa, aliitwa malaya au kahaba , hakusikilizwa alipohitaji msaada. Jeshi la polisi linamwambia huyu binti na kututuambia wanawake wote kuwa hatuko salama.
Msamaha ni kufikisha wahusika mahakamani.
Chanjo zimeanza kutoka. Kama unatamani kuchoma ila bado unawasiwasi uliza ujibiwe.
Si vyema mtu ukakosa kuchanja kisa hauna taarifa sahihi.
Chanjo Inaokoa Maisha
when I was rushed to the hospital
@TJTanzania
took care of me. He gave me bed rest and assured me I was going to be okey. Today he got to meet Curtis.
Thank you.
Papa ameomba tufunge na tusali ijumaa leo 23/02/18 kwa ajili ya kuombea amani na utulivu Congo na south Sudan. Tuungane nae na zaidi pia tuikumbuke nchi yetu Tanzania katika maombi.
Kama Kuna wadau Wana agencies labda waangalie huu upande. Huyu ameniambia waTZ tunafeli kwa ajili ya Lugha( Naamini hii si kweli tunajua kingereza bwana) . Ni sisi pia kuanza kuchangamkia hizi fursa. Kuna world cup soon na nadhani kutakuwa na uhitaji wafanyakazi.