kennypafisa Profile Banner
Kenny P. Afisa Profile
Kenny P. Afisa

@kennypafisa

Followers
225
Following
1K
Statuses
8K

President

Kenya
Joined August 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
@kennypafisa
Kenny P. Afisa
1 hour
0
0
0
@kennypafisa
Kenny P. Afisa
1 hour
@LuchioMbifile @godbless_lema Imekuwa too much we umetoa mara ngap? Je unafikiria pesa za kuendesha chama zitolewe wap kama ruzuku ndio hvyo ni kidogo kutokana na hujuma iliyofanyika 2020 kwny uchaguzi. We bado una stress ya uchagz
0
0
0
@kennypafisa
Kenny P. Afisa
1 hour
@Adventure_36 Huu mwaka ni wa uchaguzi unaweza shangaa zikabeba kura feki na kusomba wanaCCM tu
0
0
2
@kennypafisa
Kenny P. Afisa
2 hours
@Twaha_Mwaipaya Hawajasombwa wamekuja kwa kupenda
0
0
1
@kennypafisa
Kenny P. Afisa
2 hours
1
0
0
@kennypafisa
Kenny P. Afisa
2 hours
@jaliluzaid Hahahhaha. Hakuna hasira kaka. Gombea tu tutakupigia kura
0
0
0
@kennypafisa
Kenny P. Afisa
3 hours
@victoriacharlz We nae kama Juha. Sasa mikopo ya vikundi ambayo ni asilimia 10 ya mapato ya Halmashauri inatolewa na rais? Badala ya kuwashukuru wafanyabiashara unamshukuru mtu ambay hajui ht kuuza pipi. Shenzi kabisa
0
0
1
@kennypafisa
Kenny P. Afisa
4 hours
@ortamisemitz Msongo wa mawazo kwa vijana sababu kuu ni ukosefu wa ajira iliyochangiwa na CCM chini ya Tamisemi. Mmewaita waalimu maelfu kwa maelfu na kuwafanyika usaili wa mchongo na sasa wengi wao wana msongo wa mawazo. Sasa mmeona mlete program ya kupiga pesa kwny jambo hilo. Ila CCM.
0
0
0
@kennypafisa
Kenny P. Afisa
5 hours
@zirackandrew1 @TheCitizenTz Huyo ni mtu mwny akili ndogo sana. Yaani utegemee misaada ili ushawishike? Hahaha
0
0
0
@kennypafisa
Kenny P. Afisa
7 hours
@davitheempire @ChademaTz Admn wa @ChademaTz huwa anahujumu sana kz za viongozi.
0
0
2
@kennypafisa
Kenny P. Afisa
7 hours
@kalage_jr @mpambazi unajiskiaje kaka kuona bidhaa yako somewhere. Nadhani hii inakupa furaha sana moyoni ht ikitokea haujapata mabilioni kwss lkn najua moyo wako una amani kwmb unaona product yk sehm
1
1
3
@kennypafisa
Kenny P. Afisa
7 hours
0
0
0
@kennypafisa
Kenny P. Afisa
7 hours
@AmbakisyeMwak11 @orpptanzania hawez ongea chcht kwsbb huyo ndio mteuzi wake. Nchi inahitaji ukombozi sana
0
0
0
@kennypafisa
Kenny P. Afisa
7 hours
@CharlMagige @godbless_lema Kwan hz zinefanyika bure? Na zilipofanyika we unajua kwmb wao hawajashiriki? Ht hvyo hy sio main agenda pale kwa post.
1
0
0
@kennypafisa
Kenny P. Afisa
7 hours
@Jambotv_ Hv Tz kila ck ni wawekezaji tu lkn hatuoni thamn ya huo uwekezaji km unaongeza chcht zaidi ya mikopo 24/7.
0
0
1
@kennypafisa
Kenny P. Afisa
8 hours
@HecheJohn Kazi ndio kwanzaaaa imeanza. Hakuna kusomba watu kama wanavyofanya @ccm_tanzania ya dalali mwanamke
0
0
2
@kennypafisa
Kenny P. Afisa
8 hours
@CharlMagige @godbless_lema Amesema zinazo ongoza. Elewa kilichoandikwa. Pia we unajuaje uwekezaji wao kwny eneo hilo km haina innovation?
2
0
0
@kennypafisa
Kenny P. Afisa
8 hours
@kalage_jr @Nurjan_seyd Sasa ww kuwa nayo dukani kwako. Huyo kakuonesha bidhaa nyingine kaka. Iba siri hapo(kakupa code mpya)
0
0
0
@kennypafisa
Kenny P. Afisa
9 hours
@BahatiChigudulu @CarolNdosi @ItsKamala Ukiona mradi unatetewa sana ujue kuna upigaji hata usihangaike sana n watetezi ni sehem ya walaji.
0
0
1