![Luchio Felisi Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1770649521111896064/eAu8-T4g_x96.jpg)
Luchio Felisi
@LuchioMbifile
Followers
98
Following
2K
Statuses
668
@nelson_wagwan @godbless_lema Mbona unafananisha mbingu na ardhi mkuu, uliona wapi Trump anachangisha kununua gari yake binafsi?uliona wapi Trump anachangisha kugharamia uchaguzi wa ndani ya chama!?
0
0
0
@nelson_wagwan @godbless_lema Mkuu kuna namna wanachama wanaweza kutoa mchango indirect, na chama kikabaki na akiba kuliko kutembeza bakuli hivi kila saa, chama omba omba kuna siku kitafika bei kwa mabeberu
2
0
0
@nelson_wagwan @godbless_lema Chadema imezidi mkuu, pamoja na fikra Zangu mfu lakini naona ipo haja ya chama kujitegemea
1
0
0
@King_davd_ii @godbless_lema Tusijifananishe na ccm tutengeneze mikakati ya kwetu chama kijitegemee
0
0
0
@hamis_semindu @RollandCruz5 @godbless_lema Huku CHAUMA hatuchangishani michango hivo na ubwabwa tunagawa kwenye kampeni 😁
1
0
1
@hamis_semindu @godbless_lema Sawa hatukatai michango, lakini basi uongozi utuoneshe mipango mikakati ya kuongeza vyanzo vya mapato ili chama kijitegemee
0
0
0
@RollandCruz5 @godbless_lema Hawataki kusikia maneno kama haya wamejaa propaganda tu na porojo
0
0
1
@Salamaenrich @godbless_lema Nachangia kwa uwezo na nafasi yangu, lakini sifurahishwi na kuomba omba bhanaa
1
0
1
@CpbBOB @godbless_lema Sio biashara ila kuna namna chama kinaweza kutengeneza pesa kupitia wanachama wao, kwa kupitia kulipia kadi,ubunifu nk
0
0
0
@Salamaenrich @godbless_lema Kuhusu mm kuchangia ni suala binafsi na huwa nafanya hivo mara kwa mara. Natamani viongozi wapya waje na mkakati wa chama kujitegemea, chama omba omba kuna siku kitafika bei kwa mabeberu
1
0
1