CpbBOB Profile Banner
BOB Profile
BOB

@CpbBOB

Followers
739
Following
36K
Statuses
11K

Simba Sports Club & Manchester United

Joined April 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
@CpbBOB
BOB
22 minutes
@BongeLaAfya Nchi imejaa viongozi wabinafsi sana wangeweka mabasi yakutosha leo hii hakuna mwananchi angetaka kutumia gari binafsi kwenda mjini wanatengeneza matatizo wenyewe halafu wanatafuta suluhisho kwa gharama za wananchi niuninafsi uliopindukia
1
0
0
@CpbBOB
BOB
12 hours
RT @DearS_o_n: Bro... bro... bro... If you knew just how quickly women can move on from one man to the next, you'd stop trying to impress t…
0
174
0
@CpbBOB
BOB
12 hours
@liz_churchill10 @africaupdates He can do African one big favour by freezing all Hidden African leader accounts held and repatreat all funds to respective country it will assisting Africa to run their countries without depending foreign aids and will assist to know fraudulent leaders around African continent
0
0
0
@CpbBOB
BOB
16 hours
RT @Al__Quraan: 📌
Tweet media one
0
103
0
@CpbBOB
BOB
17 hours
@MariaSTsehai @KatibaMpyaTz_ @BungeT @Mwitah_tz mkuu ufafanuzi, you're good at it.Details of the contract and any benefits for the nation asante.
0
0
0
@CpbBOB
BOB
17 hours
@EsirEid Nakutumia media zao kusifia watu wanatumia muda mchache sana kuongelea mambo yanayogusa jamii ndio mana tawala wakiwa na jambo Lao wote wanahamia dodoma na jezi wanavaa niaibu sana na ndio kichaka cha watu kujisafisha
0
0
1
@CpbBOB
BOB
18 hours
@MariaSTsehai Maridhiano yanataka watu credible kweli kweli katika jamii wasiokua na integrity yenye mashaka yoyote haiwezekana upande mmoja ni mpambe halafu uje kwenye jamii kusema unasimamia maridhiano huu ni mzaha kwa jamii namatumizi mabaya ya nafasi
0
0
0
@CpbBOB
BOB
1 day
Tweet media one
0
232
0
@CpbBOB
BOB
1 day
RT @PathOfMen_: Don't watch porn guys. You literally get luckier in life when you stop watching porn.
0
1K
0
@CpbBOB
BOB
1 day
@millardayo Ila Gazeti la Uhuru wanamaanisha hii America ya Trump na Elon au American Chips?
0
0
0
@CpbBOB
BOB
1 day
@woopiesnooker @EsirEid Mimi sio mkulima wala sio mtu kati ila naona adha wanazopata nauongo wanaokutana nao! Ukienda kwenye masoko ya madini huwezi kuambiwa acha mzigo hela utakuka kulipwa baadae kwanini kwa wakulima inakua hivyo? Kwanini bei za madini hazipangwi jukwaani? Ukijijibu hayo utaelewa
1
0
1
@CpbBOB
BOB
1 day
@woopiesnooker @EsirEid Wewe uliuza mahindi yako kwa hizi bei?😀😀
0
0
0
@CpbBOB
BOB
1 day
@woopiesnooker @EsirEid Bei zakupanga majukwaani? Kaka tuwasemee wakulima wetu kwa nguvu kubwa wanataabika sana tunapigwa sana fix ground hali haiendani nawanachosema
1
0
1
@CpbBOB
BOB
2 days
@woopiesnooker @EsirEid Wakulima Ruvuma,Rukwa na Songwe wameuza Mahindi kwa bei gani? Na wakipeleka mahindi yao NFRA wanalipwa baada ya muda gani? Tusiwafanyie siasa watu wanateseka shukuru Mungu kama amekujalia shughuli inayokupa kipato kama sio mkulima
1
0
1
@CpbBOB
BOB
2 days
@Chiggscom @OleMtetezi Sukari inawapanda nyie ambao hamtaki kusikia uchaguzi huru na wa haki saa nne asubuhi mnakata pumzi
1
0
1
@CpbBOB
BOB
2 days
@woopiesnooker @EsirEid Nenda kakope ukalime 😅😅 nchi hii mavuno yakiongezeka inakua kama laana kwa wakulima bei zinashuka mawinga ndio wananufaika nenda katembelee wakulema sio unakaa mjini nakusikia porojo nenda field ukajionee
1
0
1
@CpbBOB
BOB
2 days
@woopiesnooker @EsirEid Sasa unaharibu mjukuu wa Wasira🤣🤣hayo ninatokeo ya sera mbovu za vegetables zimeshindwa kushughulika na swala la ajira na kuboresha mazingira ya Kilimo na Masoko yauhakika namna hiyo ndio mnanufaika nyie na ujinga wa watu
1
0
1
@CpbBOB
BOB
2 days
@Jambotv_ No mainstream media no wasanii na watu taarifa zinawafikia kuna kitu cha kujifunza kwenye hili watu wasipuuze kuna ujumbe mzito unatumwa kupitia hizi response
0
0
0
@CpbBOB
BOB
2 days
RT @InterestingSTEM: ‘…to be a really good mathematician, you have to be lazy’ 🤔
0
151
0
@CpbBOB
BOB
2 days
@woopiesnooker @EsirEid Watu wako desperate na mambo mengi hivyo sio wakuwashangaa niwakuwaonea huruma naamini tungekua na mifumo mizuri inayotoa fursa mbadala haya mambo yasingekuwepo achana na hawa wa mtandaoni ukienda mtaani ndio utaona madhara zaidi hadi wazee wako kwenye zile ofisi zamikeka
1
0
1