Thank you to all our amazing followers for an incredible year, your support made our first-ever show ”The Junction” a success with 11 fantastic episodes. Subscribe to stay tuned for more exciting content in 2024.
What was your favorite episode from 2023?
Unatumia njia zipi kuepuka na issue ya mental health?
Bonyeza link kwenye Bio kuangalia kipindi youtube 📺 iRoc Networks
📍
@elementstz
#BeMore
#thejunction
Cristiano 38, amefikisha magoli 40 na kuongoza orodha ya wafungaji kwa mwaka 2023, baada ya kufunga goli kwenye mechi dhidi ya Bosnia
Orodha ya vinara wa magoli mpaka sasa kwa mwaka 2023,
Cristiano Ronaldo 40
Erling Halland 39
Barnabas Varga 39
Kylian mbappe 35
Harry Kane 33.
pazi basketball club wamefanikiwa kufuzu hatua inayofuata ya michuano ya Road to Bal baada ya kushinda mechi zote tatu za mashindano, wanatinga hatua inayofuata kutafuta tiketi ya kucheza mashindano ya Africa basketball Africa kwa mwaka 2023,
Zabuni mpya ya Sheikh jassim kuinunua klabu ya Manchester United imekataliwa , baada ya kuwasilisha na kuwepo na mazungumzo baina ya timu ya Sheikh Jassim na Glazzers ambao ndio wamiliki wa klabu, Sheikh Jassim ametangaza kujiondoa kwenye mchakato wa kununua klabu.
Lionel Messi ameshinda tuzo ya
@ballondorofficial
2023, mbele ya Mshambuliaji
@erling
.haaland ambaye ameshika nafasi ya pili akifuatiwa na mshambuliaji wa Psg
@k
.mbappe ,
Hii inakua mara ya 8 kwa
@leomessi
kuchukua tuzo ya Ballon D’or.
Msanii Naira Marley amekanusha rasmi kuhusishwa na kifo cha Msanii Mohbad.
Naira Marley yupo nje ya nchi na amethibitisha kupokea muito kutoka kwa jeshi la polisi la Nigeria kuripoti kwa ajili ya uchunguzi wa kifo hicho.
#BeMore
#mohbad
Move Afrika’s first major music event, Will take place on 6 December 2023, at the BK Arena in Kigali, Rwanda 🇷🇼
Pulitzer winning artist and co-founder of creative imprint pgLang Kendrick Lamar will headline the event
staa Tory lanez ametuma ujumbe kwa mashabiki wake ‘’The umbrellas’’ akiwa gerezani
Ujumbe wa Tory lanez ni kuwahakikishia hali nzuri aliyo kuwa nayo huko gerezani ,
anatumikia kifungo cha miaka 10 gerezani kwa kukutwa na hatia ya kumpiga risasi msanii Megan Thee Stallion.
siku kama ya leo mwaka 2004, Lionel Messi akiwa na miaka 17 alicheza mechi yake ya kwanza kwenye klabu ya Barcelona,
ilkuwa ni mwanzo wa safari yake ya kuwa mmoja ya wachezaji bora duniani.