M N G E P A π
@africaneddo
Followers
63
Following
335
Statuses
635
ADDICTED AND PERCEPTION
Dar es Salaam, Tanzania
Joined October 2021
Maisha hayaeleweki yule mchumia juani analia kwenye mvua sikuhizi..βπΏ#eddotellerπ @ClaraAloyce
0
0
0
@ClaraAloyce @AhmedBenBela_10 @AlistidesAllen @ALugandu @NyenzajuniorPJN @KimsureTz @AfricanKid271 πrudishia bwana ako ki jbl chake shem
0
0
1
Siku shukrani ya punda ikibadilika mtamuona hana msimamo..βπΏ#eddo_tellerπ @ClaraAloyce
0
1
1
Usichanganye kati ya kuona malengo au kumpenda maumivu yapo hapo..βπΏ#eddo_tellerπ @ClaraAloyce
0
1
1
Kwenye zama hizi kuna watu bado wanadhani AMANI ni haki. Such a stupid mindβ¦βπΏ#eddo_tellerπ @ClaraAloyce
0
1
1
Mvua inayonyesha kwenye shamba la mwenzio halikupi wewe mazaoβ¦βπΏ#eddo_tellerπ @tonytogolani
0
0
0
Mzee wa makamo alisema linahitajika tabasamu moja la masikini ili matajiri waseme furaha sio pesa..βπΏ#eddo_tellerπ @ClaraAloyce
0
1
1
Kumbe alihitaji mwezi mmoja tu kunionesha ile miaka mitano haikua na umuhimu sana kwa yule..βπΏ#eddo_tellerπ @ClaraAloyce
0
1
1
Future zetu zingetegemea maneno yenu mngetuletea sana usenge duniani..βπΏ#eddo_teller
@ClaraAloyce
0
1
2
Nilimpenda kiasi cha kwamba kipindi anachimba kaburi langu nilijali kuhusu vidole vyake visiumie..βπΏ#eddo_tellerπ @ClaraAloyce
0
0
1
Huwenda ni kweli hatuvai sawa na bwana ako au kaka yako nyumbani ila chakula chenu pendwa ndo wanachokula wanaotutegemea kila siku..βπΏ#eddo_teller
0
0
1
Ni kweli sijawahi kuiona pepo ingali niko hai ila huyu binti niliyenae nadhani anapajua nishakua mwenyeji..βπΏ#eddo
@ClaraAloyce
0
0
0