Ubalozi wa Tanzania katika Jamhuri ya Afrika Kusini unawashukuru kwa dhati watu wote waliotusaidia kuwapata ndugu wa Bw.Karim, Mtanzania mwenzetu mwenye matatizo ya akili hivi sasa, ambaye aliondoka nchini Tanzania mwaka 1998 kwa ajili kuja Afrika Kusini (Bondeni), kutafuta fursa
Ubalozi unaipongeza
@yangasc1935
kwa kutinga fainali Kombe la Shirikisho la CAF. Ni furaha kubwa kwa Watanzania waishio nchini Afrika Kusini.Ubalozi unamshukuru sana Mhe Rais
@SuluhuSamia
kwa kuhamasisha michezo na tunawatakia kila la heri wawakilishi wetu Kimataifa.
Ubalozi ukiiaga timu ya
@yangasc1935
ambayo imeondoka nchini Afrika Kusini leo tarehe 18 Mei,2023 kuelekea nchini Tanzania kwa ajili ya kujiandaa na mechi zinazofuata za nusu fainali ya ASFC na fainali CAF Confederation Cup.🇹🇿🇹🇿
Bw. Karim akiwa hospitali jana mchana sambamba na Maafisa wa Ubalozi waliofika kumjulia hali na kupata taarifa ya maendeleo yake. Pichani, Bw. Karim akizingumza na Mama yake Mzazi kwa mara ya kwanza baada ya miaka 26 ya familia kutofahamu iwapo angali hai au alikwishafariki.
2/2
Leo tarehe 14 Mei, 2023, Ubalozi umeipokea
@yangasc1935
iliyowasili nchini Afrika Kusini tayari kwa mchezo wa marudiano dhidi ya Marumo Gallants ambao ni hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika.Mechi hiyo itafanyika Mei 17, 2023 kwenye uwanja wa Royal Bafokeng.
Mfanyabiashara wa Korosho kutoka Tanzania Bw.Hassan Salamata atembelea Ubalozi na kukutana na Mhe
@MilanziGaudence
pamoja na maafisa. Bw.Salamata ameitambulisha
rasmi biashara yake Ubalozini na kueleza kuwa tayari amekwisha ingiza tani1 ya korosho hizo kwenye soko la AfrikaKusini
Mhe.
@jokateM
,Mkuu wa Wilaya ya Korogwe atembelea Ubalozi na kukutana na Mhe
@MilanziGaudence
. Mhe.Jokate yupo Afrika Kusini kutafuta masoko kwa ajili ya bidhaa za wajasiriamali wa Korogwe na kujadiliana juu ya kuanzisha ushirikiano kati ya wajasiriamali Tanzania na Afrika Kusini.
Congratulations
@twigastars
on your winning of
@COSAFA2021
Women Champions league. You have made Tanzania very proud, we thank you for representing our nation in the world of sports.
You're truly QUEENS of Tanzanian Sports.
Mhe. Hamis Mwinjuma(Mb),Naibu Waziri wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo
@MwanaFA
akifturu na Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania waliopo Durban, Afrika Kusini. Katika Iftar hiyo, Mhe. Mwinyuma amewasihi Watanzania hao kuishi kwa kufuata sheria na kukumbuka kuwekeza nyumbani.
Leo tarehe 16 Aprili, 2024 Mhe. Balozi JAMES G. BWANA amempokea Brigedia Jenerali LEONIDAS DAVID MUTALEMWA, Mkufunzi Mwandamizi (Senior Directing Staff) aliyeambatana na baadhi ya Wakufunzi na Maafisa Wakuu Wanafunzi wa Kozi Kundi la 12/2024, wanaohudhuria Mafunzo katika Chuo
Tanzania and South Africa have signed an MoU to cement the implementation of the Kiswahili Language is South African schools.The MoU was signed on 7 July as a part of the 1st celebrations of World Kiswahili Language day and was witnessed by
@dr_mpango
South African freedom fighter who received military training in Kihesa Mgagao camp in Iringa,Tanzania explaining how kiswahili was used to teach them while they were undergoing various training as part of the preparations for fighting colonialism.
HE
@MilanziGaudence
had a meeting with
@HMenghestab
Regional Director, UN World Food Programme, Regional Bureau for Southern Africa. Discussions focused on a wide range of topics including on food security, support to smallholder farmers and WFP support to govts in the region.
🇹🇿 The High Commission is pleased to welcome H.E James G. Bwana, High Commissioner-Designate of the United Republic of Tanzania, as he has officially arrived in South Africa to assume his diplomatic duties.
#diplomacy
#Tanzania
#SouthAfrica
#Botswana
#Lesotho
#SADC
🤝🌍
Tarehe 7 Julai, Ubalozi uliungana na watu wote duniani kusherehekea maadhimisho ya kwanza ya Siku ya Kiswahili Duniani kwa kufanya matembezi.
"Lugha ya Kiswahili katika kukuza mawasiliano na kudumisha mshikamano duniani"
HE Gaudence Milanzi meeting with Hans Mitchell CEO - Innovative Recycling and Dr Omar Mokiwa discussing on a proposal of importing fruits from Tanzania and establishment of a processing and packaging of food produce factory ( juices and dried fruits) in Bagamoyo Tanzania
@Kilinge
Leo tarehe 29 Agosti 2022, Timu ya taifa ya Wanawake ‘Twiga Stars’ imewasili nchini Afrika Kusini kwa ajili ya mashindano ya COSAFA ambayo yanayotarajiwa kuanza tarehe 31 Agosti 2022 na kumalizika tarehe 11 Septemba 2022 Port Elizabeth,Afrika Kusini.
Ummoja wa watanzania Afrika kusini wanakutangazia mkutano wa funga mwaka, utakao fanyika tarehe 21 Novemba 2021, katika ukumbi wa Hofland park recreation center jijini Johannesburg.
Tafadhali hudhuria bila kukosa.
High Commissioner H.E
@MilanziGaudence
with some of Ambassadors/High Commissioners from different countries who visited Tanzania unforgettable booth and got an opportunity to see and taste different products that are proudly made in Tanzania during the African Day Celebrations.
Today, on 9th April, 2024, His Excellency James G. Bwana, the High Commissioner of the United Republic of Tanzania to the Republic of South Africa presented his Letters of Credence to H.E Matamela Cyril Ramaphosa, President of the Republic of South Africa. The event was held at
H.E James G. Bwana, High Commissioner of the United Republic of Tanzania to the Republic of South Africa got an opportunity to receive at the High Commission a delegation of Young Scouts from Tanzania. He briefed them about the representational functions and other key
Leo tarehe 26 Aprili, 2024, Bi. Happiness Godfrey, Afisa Mambo ya Nje Mwandamizi anayesimamia masuala ya Biashara na Uwekezaji amemwakilisha Mhe. Balozi James Gillawa Bwana katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaliyofanyika katika Makao Makuu ya
Leo tarehe 27.5.23,Ubalozi umejumuika na balozi nyingine za Afrika zinazowakilisha nchi zao nchini Afrika Kusini katika kuadhimisha miaka 60 ya Umoja wa Nchi Huru za Afrika OAU na taasisi iliyoundwa baada yake, Umoja wa Afrika “Siku ya Afrika Duniani”.
Wawakilishi wa Tanzania katika mashindano ya Shule za Afrika Fountain Gate Dodoma High School wametwaa ubingwa wa mashindano ya Shule za Afrika kwa upande wa Wasichana baada ya kushinda mchezo wa Fainali dhidi ya Timu ya Ecole Omar IBN Khatab kutoka Morocco kwa magoli 3-0.
Bw.Abdulmaliki Mollel,Mkurugenzi Mtendaji
@Global_Link_Edu
,atembelea Ubalozi na kuonana na Mhe.
@MilanziGaudence
ambapo alielezea namna wanavyoendesha shughuli zao na jinsi wanavyosaidia kuwaunganisha wanafunzi wa Tanzania kusoma taaluma mbalimbali kwenye vikuu vya nje ya nchi.
Mhe. James Bwana, Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini (aliyekaa kulia) akiwa na Bw. Riaz Hussein Abeid (aliyekaa kushoto), ambaye ni Mdogo wa Bw. Karim Hussein Abeid Lyimo (aliyekaa katikati), mara baada ya Ubalozi kumkutanisha na kaka yake Karim katika Hospitali ya Pretoria
MAADHIMISHO YA SIKU YA KISWAHILI DUNIANI
Maadhimisho haya yalipambwa na Filamu ya Royal Tour; mawasilisho ya mada; fursa za uwekezaji zilizopo Tanzania;Shairi; maonesho ya utalii na utamaduni na vinywaji na vyakula vya Kitanzania.
Mhe. Balozi James Bwana, Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini (R) akiagana na Bw. Swedi Ramadhan (L), Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania Pretoria (TACOP) baada ya Mkutano wao tarehe 19.01.2024.
Kupitia Mkutano huo, Balozi Bwana aliarifu kuhusu matayarisho ya Ubalozi wa
On April 26, 2024, Ms. Happiness Godfrey, Counsellor, overseeing Trade and Investment, represented represented His Excellency Ambassador James Gillawa at the 60th Anniversary Celebrations of the Union of Tanganyika and Zanzibar held at the Headquarters of the Southern African
On 8th November, 2023 , Mr. Edward Komba, Chargé d'affaires a.i
and Ms. Happiness Godfrey, Counsellor met with Ms.Nomsa Shabangu, Deputy Director Department of Basic Education of the Republic of South Africa
@DBE_SA
and Mr.Pono Chiloane.
The discussion centered on various issues
Wanafunzi kutoka shule ya Sekondari ya Helasita
@HelasitaS
iliyopo Mtoni Kijichi jijini Dar es Salaam wametembelea Ubalozi na kuzungumza na Mhe.
@MilanziGaudence
pamoja na maafisa wa Ubalozi. Wanafunzi hao wapo nchini Afrika Kusini kwa ziara ya mafunzo.
#Tanzania
participated in
#DiplomaticFair2022
organizedby
@DIRCO_ZA
alongside 59Countries under the theme"Strengthening Resilience in Nutrition and Food Security onthe AfricanContinent".We showcased our history,culture,tourist attractions,investment&trade opportunities available
Watumishi wa Ubalozi waliojumuika na Wizara na taasisi mbalimbali za nchini Afrika Kusini kumtakia heri Mhe.
@MilanziGaudence
baada ya kumaliza muda wake wa kuhudumu nchini Afrika Kusini.
Hon. Dr. Steven Kiruswa (MP), Deputy Minister for Minerals (L), handing over to H.E James Bwana, Tanzanian High Commissioner to South Africa - the QR Code with details about Tanzania's Mining investment opportunities, at the Tanzanian Pavilion. Hon. Kiruswa (MP) headed Tanzania's
Mhe.Balozi
@MilanziGaudence
amekutana kwa mazungumzo na maafisa waandamizi kutoka
@TanroadsH70643
ambao wapo nchini Afrika Kusini katika ziara ya mafunzo mbalimbali ikiwemo ubunifu wa madaraja, ujenzi, utunzaji na usimamizi.
H.E Simon D. Michael, Ambassador of the Republic of South Sudan to South Africa paid a courtesy call to H.E
@MilanziGaudence
. The two leaders discussed issues of mutual benefit between the two countries.
H.E James G. Bwana, High Commissioner of the United Republic of Tanzania to the Republic of South Africa has presented copies of his Credentials and officially commenced his Tour of Duty.
Tanzania inashiriki katika Maonyesho ya Meetings Africa 2024 yaliyoanza tarehe 26 hadi 28 Februari, 2024, huko Sandton, Afrika Kusini. Katika Maonyesho hayo, Tanzania inawakilishwa na wadau kutoka Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC),
On 11th April, 2024 in the margins of the World Travel Market Africa 2024 Meeting held in CAPE TOWN, H.E James G. Bwana, Tanzania's High Commissioner to South Africa, held a side meeting with Hon. Fredson Bacar, the Deputy Minister of Culture & Tourism from the Republic of
Leo tarehe 17 Februari, 2024 Mhe. Balozi James Bwana, Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, ambaye pia anaiwakilisha Tanzania katika Jamhuri ya Botswana na Falme ya Lesotho, amefanya Mkutano na Viongozi wa Jumuiya za Watanzania (Diaspora), wanaoishi Afrika Kusini, Botswana na
H.E Dan B.Tamang,Ambassador-designate of Nepal to South Africa paid a courtesy call to H.E
@MilanziGaudence
.The two leaders discussed issues of mutual interests and agreed to work together in enhancing relations between Tanzania and Nepal for the benefits of the two countries.
Leo tarehe 29.03.2023,Ubalozi umekutana na Bw.Basil O'Hagan muanzilishi na mmiliki wa kampuni ya O’Hogans Irish Pub and Grill iliyopo Afrika Kusini na kujadili fursa mbalimbali za biashara na uwekezaji ikiwemo nia yake ya kuanzisha 'O’Hogans Irish Pub and Grill nchini Tanzania.
Wataalamu wa Elimu ya Msingi kutoka Afrika Kusini leo wametembelea shule ya msingi ya Chief Albert Luthuli iliyoko Mkoani Morogoro.Katika ziara hiyo wataalamu hao walijadiliana na Uongozi wa Mkoa na Uongozi wa shule kuhusu ushirikiano kati ya shule hiyo na shule za Afrika Kusini.
Tarehe 26.02.2024 Maafisa Ubalozi Bi. Jane Mhando ( Mwambata wa Uhamiaji) na Bi . Faith Masaka( Mwambata wa Utawala) walianza kazi ya kukutana na Watanzania waishio Cape Town - Afrika Kusini, ambao wana uhitaji wa kupata Hati za Kusafiria.
Mkutano huo ambao ni utekelezaji wa
Bi.Fatma H.Rajab,Katibu Mkuu,
@wizara_yahabari
pamoja na Wakurugenzi na maafisa kutoka
@WizaraSanaa
wametembelea Ubalozi na kuzungumza na
@MilanziGaudence
.Ujumbe huo upo nchini Afrika Kusini kwenye ziara ya mafunzo na kubadilishana uzoefu katika masuala ya utamaduni na sanaa.
The winners of COSAFA Women Champions league 2021
(
@Twigastarstz
)
Paid a courtesy call at the Tanzania High Commission in Pretoria and were warmly welcomed by the High Commissioner
@MilanziGaudence
and other staff.
The High Commissioner of the United Republic of Tanzania to the Republic of South Africa, H.E James Bwana, paid a courtesy visit to Kamal CISCO (PTY) Ltd, a Steel Company located in Cape Town, South Africa.
The Company is the first largest Tanzanian owned investment in South
Tarehe 1.10.22,Ubalozi ulihudhuria mkutano maalumu ulioitishwa na kamisheni ya uangalizi wa Uchaguzi mkuu nchini Lesotho kwa ajili ya kuwapa Mabalozi wanaowakilisha nchi za SADC nchini Lesotho taarifa kuhusiana na kazi ya Kamisheni hiyo kuelekea uchaguzi utakaofanyika 07.10.2022
H.E. MAJ. GEN (RTD) BIDS FAREWELL AS HE ENDS TOUR OF DUTY AS HIGH COMMISSIONER OF URT TO SOUTH AFRICA
H.E
@MilanziGaudence
,High Commissioner of the United Tanzania to Republic of South Africa, paid a courtesy call on H.E. Amb. Nonceba Losi, Chief of State Protocol of the
Tarehe 2 Machi 2023, Maafisa Ubalozi wakiongozwa na Mhe.Balozi
@MilanziGaudence
walitembelea mitaa ya Port Elizabeth-Eastern Cape na kujionea shughuli mbalimbali zinazoendeshwa na Watanzania mjini hapo ikiwa ni pamoja na Zanzibar Butcher na garage ya magari Mandela AutoMagic.
Leo tarehe 17/04/2024 Bi.Jane Mhando, Mwambata Uhamiaji amemuwakilisha Mhe. Balozi James G. Bwana, Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini katika Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Jamhuri ya Kiislamu ya Pakistan. Hafla ya Sherehe hiyo ilifanyika jijini Pretoria, Afrika
Leo tarehe 25.05.23, Tanzania imeungana na Afrika Kusini katika kuadhimisha miaka 60 ya Umoja wa Afrika”Siku ya Afrika” nchini Afrika Kusini.Mgeni rasmi katika sherehe hizo alikua Mhe. Cyril Ramaphosa,Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini
@CyrilRamaphosa
.
Tarehe 11 Februari, 2024, Mhe. James Bwana, Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini alikutana na Bi. Hleki Mabunda, Mkurugenzi wa Mahusiano ya Kimataifa aliyeambatana na Bi. Nomsa Shabangu, Mkurugenzi wa Mahusiano ya Kimataifa kutoka Wizara ya Elimu ya Msingi ya Afrika Kusini.
Uongozi wa chuo cha
@NCTTanzania
@shogo_sedo
umekutana na uongozi wa chuo cha
@EkurhuleniEast
cha Afrika Kusini na kujadili maeneo mbalimbali ya ushirikiano katika uendeshaji wa mafunzo bora ili kuzalisha wahitimu wanaokidhi mahitaji ya soko katika sekta ya utalii.
#tz_royaltour
Wafanyabiashara wa jumla na reja reja kutoka nchini Afrika Kusini wamewasili Tanzania katika ziara ya mafunzo. Baadhi ya makampuni hayo ni GIBS, Shoprite, Ackermans, Hypercheck, W&R Seta, Total SA (Pty) Ltd n.k.Ziara hiyo inaratibiwa na Ubalozi kwa kushirikiana na Tan Trade.
Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani:
Wapigania uhuru wa Afrika Kusini wakielezea mchango wa Kiswahili na namna walivyojifunza Kiswahili walipokuwa nchini Tanzania wakati wa harakati za ukombozi wa kusini mwa Afrika.
Leo tarehe 20 Oktoba,2023, baadhi ya waambata Jeshi, wawakilishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ya nchini Afrika Kusini
@DIRCO_ZA
,taasisi za Serikali na taasisi binafsi zilizopo Afrika Kusini wameungana na watumishi wa Ubalozi kumtakia heri Mhe. Balozi
H. E. Saad Maandi,Ambasador Designate of Algeria
@AlgembPretoria
to South Africa, paid a courtesy visit to H.E
@MilanziGaudence
.During the meeting they discussed bilateral relations between Tanzania and Algeria and ways to strengthen cooperation and promote shared interests.
Ubalozi umekutana na Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania (Diaspora)waishio Cape Town Afrika kusini.Katika kikao hicho viongozi hao wameahidi kuunda Jumuiya yenye mshikamano kwa maslahi ya Watanzania wote waishio CapeTown.Ubalozi pia ulihudhuria sherehe ya siku ya wanawake duniani.
On 11th April 2024, H.E James G. Bwana, Tanzania’s High Commissioner to South Africa attended the Tourism Investment Forum Africa (TIFA) Conference at
#WTMAfrica2024
in CAPETOWN. Alongside that meeting, H.E. Bwana, held discussions with Mr. Hany El Hady, Director of Sales -
A FAREWELL INTERVIEW BY H.E MAG.GEN. (RTD) GAUDENCE S.MILANZI
@MilanziGaudence
AFTER A SUCCESSFUL COMPLETION OF HIS TENURE OF DUTY AS THE HIGH COMMISSIONER OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA TO SOUTH AFRICA AND OTHER COUNTRIES OF REPRESENTATION BOTSWANA,LESOTHO &SADC SECRETARIAT.
The High Commissioner of the United Republic of Tanzania to the Republic of South Africa H.E James Bwana with Hon. Geordian Hill - Lewis, the Mayor of Cape Town during the 2024 Annual Diplomatic Brunch.
The two leaders discussed a wide range of things, including prospects for
On March 23rd, 2024, H.E. James Bwana, Tanzanian High Commissioner to the Republic of South Africa participated in the commemoration of the Battle of Cuito Cuanavala fought in Angola, from 14th Aug 1987 to 23rd March 1988 between the People's Armed Forces for Liberation of Angola
On 02nd June,2022, H.E
@MilanziGaudence
, presented his Letters of Credence to His Majesty King Letsie III at the Royal Palace in Maseru, thus oficially assumed his position as the High Commissioner of the United Republic of Tanzania accredited to the Kingdom of Lesotho.
Leo tarehe 21/04/2024, Maafisa na watumishi wa Ubalozi wamehudhuria katika kikao cha Kufungua mwaka cha Jumuiya ya Watanzania waishio nchini Afrika Kusini (TACOSA) na kushiriki katika uchaguzi wa Viongozi wa Chama wa Watanzania waishio Johannesburg (TCJ) ambacho awali hakikuwepo.
Tarehe 23 Aprili, 2024 Bi. Jane Mhando, Mwambata Uhamiaji, alimwakilisha Mhe. Balozi James Bwana, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Jamhuri ya Afrika Kusini, kuweka saini katika kitabu cha Maombolezo kulichofunguliwa na Ubalozi wa Jamhuri ya Kenya uliopo mtaa wa
Mhe.
@MilanziGaudence
amewaomba Viongozi wa jumuiya za Watanzania waishio nchini Afrika Kusini,Botswana na Lesotho kuwahimiza Watanzania wasio na kazi maalumu kurejea nyumbani Tanzania ambako Mhe.Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameweka mazingira wezeshi ya biashara na Uwekezaji.
On 21.3.23,
@MilanziGaudence
attended a ceremony to receive the mortal remains of Ms.Kholeka Tunyiswa who passed on 05.3.23 in TZ.She was part of the SA nurses recruited to fill the gap when British nurses abandoned Tanzania,then Tanganyika,in the wake of independence in Dec 1961.
Tarehe 4.03,2023,Mhe.
@MilanziGaudence
ameitisha kikao na Viongozi wa Jumuiya za Watanzania wanaoishi nchini Afrika ya kusini,Botswana na Lesotho. Kikao hicho kimejadili masuala mbalimbali kuhusu Wanadiaspora ikiwemo changamoto za kiutendaji na ushirikiano katika Jumuiya zao.
On 8th June,23,H.E
@MilanziGaudence
participated in the panel discussion which discussed“access,connectivity& mobility opportunities in Africa”. The Panel was moderated by Mr.Aaron Munetsi,
@aaronmunetsi
CEO, Airlines Association of Southern Africa.
H.E. Dr. Emma Dunlop-Bennet, High Commissioner for Aotearoa New Zealand paid a courtesy call to H.E. Maj. Gen. (Rtd) Gaudence S. Milanzi, Tanzania High Commissioner to South Africa. The two discussed possible cooperation on climate change resilience program, education and dairy.
Tarehe 21 Oktoba, 2023, jumuiya za Watanzania waishio ughaibuni (Diaspora) waliopo nchini Afrika Kusini, Botswana na Lesotho walijumuika na Ubalozi katika kumpongeza na kumtakia heri Mhe. Balozi, Maj.Gen.(Mst) Gaudence S.Milanzi
@MilanziGaudence
kwa kumaliza muda wake wa
Acting Chief Executive Officer of the Tanzania Private Sector Foundation (TPSF), Mr.Raphael Maganga
@tpsftz
, paid a courtesy visit to the High Commission and met with Mr. Edward Komba, Chargé d'affaires and the team.
Among other issues, they discussion centered on ways to
Ubalozi unampongeza Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutimiza miaka miwili tangu aingie madarakani Machi 19, 2021.
On 18 October, 2023, Mr.Edward Komba,Chargé d'affaires met with Mr. Pierre Senghor, Head of New Business Development and Policy from Volkswagen South Africa Ltd
@VolkswagenSA
.
Among other issues, the discussion centered around the future of mobility in Africa, VW strategy in
Ujumbe wa Wafanyabiashara wa jumla na rejareja kutoka nchini Afrika Kusini wakiwa katika ziara ya mafunzo wametembelea Maonesho 47 ya Biashara ya ya Kimataifa ya Dares Salaam maarufu kama Sabasaba yanayoendelea katika Uwanja wa
Maonesho ya Biashara wa Mwl.J.K Nyerere mkoani DSM.
On 7.08.23,H.E
@MilanziGaudence
met with Mr.Hasnayn Ebrahim,Executive Director at Africa International Advisors (AIA)
@AfricalA
and his team. Among other issues, they exchanged views on different areas of cooperation and AIA investment plans for Tanzania in the near future.
High Commissioner-Designate of Jamaica to South Africa
@JamaicainRSA
,H.E. Mrs. Joan Edwards to paid a Courtesy Call on H.E
@MilanziGaudence
.During the meeting the two leaders agreed to work together to enhance cooperation and promote shared interests between the two
countries.
Ubalozi umekutana na kufanya mazungumzo na Bw. W.Makabanyane, Mkurugenzi wa kitengo cha kukuza biashara barani Afrika, pamoja na wadau wengine kutoka Wizara ya Kilimo ya Afrika Kusini. Mazungumzo hayo yamelenga kuimarisha ushirikiano kwenye sekta ya Kilimo.
H.E James Bwana, High Commissioner of Tanzania to South Africa (R) and Dr. Hashil Abdullah (L), Permanent Secretary for the Ministry of Industry and Trade at the 16th Meeting of the African Continental Free Trade Area (AfCFTA) Committee of Senior Trade Officials in Durban, South
Mhe.
@MilanziGaudence
akimuonesha Mhe.Saad Maandi,Balozi Mteule wa Algeria nchini Afrika Kusini ramani ya Tanzania inayoonesha vivutio mbalimbali vya utalii na maeneo mengine ya kitalii yaliyopo Tanzania.Pia,alimualika Mhe.Maandi kutembelea vivutio hivyo atakapopata nafasi.
Wafanyabiashara kutoka nchini Afrika Kusini wakinunua bidhaa zilizotengenezwa na wafanyabiashara wa Kitanzania baada ya kuvutiwa na ubora wa bidhaa hizo walipotembelea Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dares Salaam(sabasaba).
Wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma kozi ya urubani nchini Afrika Kusini wameutembelea Ubalozi na kukutana na Mhe
@MilanziGaudence
.Mhe.Balozi aliwasihi wanafunzi hao wasome kwa bidii ili kuongeza wataalam wa Taifa katika fani ya urubani na kuweza kuipeleka sekta ya anga mbele zaidi
Today,10.7.23.H.E
@MilanziGaudence
attended
#KALUSHIDAY10756
Event 2023Wreath-laying ceremony in commemoration of Solomon Kalushi Mahlangu’s Birthday at the grave site of Solomon Mahlangu at Mamelodi West Cemetery.During the event H.E Milanzi laid a wreath and delivered a speech.