Wizara ya Sanaa Profile Banner
Wizara ya Sanaa Profile
Wizara ya Sanaa

@WizaraSanaa

Followers
125,813
Following
82
Media
5,735
Statuses
6,286

Karibu katika Ukurasa rasmi wa Twitter wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo

Dodoma, Tanzania
Joined July 2016
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
2 years
Tweet media one
135
199
4K
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
10 months
Tweet media one
61
54
917
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
10 months
Tweet media one
45
45
914
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
4 months
Tweet media one
307
69
745
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
7 months
Tweet media one
308
34
572
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
4 months
Tweet media one
109
35
516
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Tweet media one
12
22
422
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
3 years
Tweet media one
6
36
391
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
2 years
Tweet media one
17
32
377
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
5 months
Muonekano wa Uwanja wa Dkt.Samia Suluhu Hassan unaotarajiwa kujengwa Jijini Arusha kwa gharama za kiasi cha Shilingi Bilioni 286 hadi kukamilika.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
82
50
364
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
9 months
Jezi ya Ugenini ya Timu za Taifa ambayo imezinduliwa leo.
Tweet media one
10
17
306
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Naibu Waziri Mhe. @MwanaFA akitoa burudani pamoja na Msanii Linah Sanga wakati wa hafla ya Usiku wa Tuzo za Michezo zilizoandaliwa na Baraza la Michezo la Taifa (BMT) ambazo zimefanyika Machi 17, 2023 Mlimani City Dar es Salaam
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
10
19
252
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
7 years
#Ripoti Mhe. Nape atapokea ripoti ya kamati ya uchunguzi wa kilichotokea clouds leo saa nane kamili katika Ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO
13
78
237
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
2 years
Bondia maarufu nchini Mandonga ametumia dakika 1 na sekunde 56 kumchakaza mpinzani wake Musa Omary katika viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam kwenye kilele cha Tamasha la kihistoria la Sensabika.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
14
15
198
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Tweet media one
2
11
201
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
2 years
Tweet media one
16
15
200
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
3 years
#Sanaa Katibu Mkuu Dkt. Abbasi asema Wizara yake Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari,na TCRA wamekubaliana kubadilisha Kanuni ili wadau wa maudhui yasiyohusisha uchakataji habari warushe kazi kwenye akaunti zao binafsi za YouTube bila kufanya usajili na malipo kwaTCRA
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
19
24
193
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Tweet media one
9
12
185
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Timu ya soka ya Tanzania @TaifaStars_ imeicharaza timu ya Niger goli 1-0 na kufufua matumaini ya kufuzu michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2023 nchini Ivory Coast. Saimon Msuva mfungaji wa goli ndiye shujaa wa mchezo uliochezwa Juni 18, 2023 Uwanja wa Mkapa
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
10
178
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
11 months
Kwa Mkapa kazi hailali
9
17
179
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
7 years
#MaadiliyaMavazikwaWasanii ''Serikali inafuatilia kwa karibu wasanii wote wanaoweka picha za kukosa maadili kwenye mitandao na kuwachukulia hatua hivyo ninamtaka msanii Jane Rimoy maarufu kama Sanchi kufika ofisini kwangu haraka,'' Mhe. Juliana Shonza
Tweet media one
91
18
167
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
9 months
Tweet media one
2
4
167
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
4 years
Hongera sana Bondia wetu Hassan Mwakinyo @HassanMwakinyo kwa kushinda kwa TKO pambano la WBF dhidi ya Bondia Carlos Paz .Umeipeperusha vyema Bendera yetu.
Tweet media one
9
10
162
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Naibu Waziri Mhe. Hamis Mwinjuma (Mb) akisaini kitabu cha wageni ofisini kwa Waziri wa Wizara hiyo, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana ( Mb) mara baada ya kuwasili Ofisi za wizara Mtumba jijini Dodoma Februari 28, 2023, baada ya kuapishwa na Rais @SuluhuSamia . Februari 27, 2023
Tweet media one
2
5
161
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Tweet media one
30
22
151
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
3 years
Shirikisho la Mpira wa Miguu wa Barani Afrika (CAF) limepongeza mikakati inayofanywa na Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuendeleza michezo hususan Soka, ambapo wiki ijayo atapokea kombe la CECAFA 2021 la vijana Wenye Umri chini ya Miaka 23.
Tweet media one
5
8
144
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
11 months
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
18
9
146
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Naibu Waziri Mhe.Hamis Mwinjuma @MwanaFA akisalimiana na Wachezaji na benchi la ufundi la Timu ya Simba Mara baada ya kumalizika kwa mchezo kati ya Simba na Vipers kutoka Uganda Katika mchezo huo wa Ligi ya Klabu Bingwa Afrika Timu ya Simba imeibuka na Ushindi wa Goli moja kwa 0
Tweet media one
Tweet media two
6
5
145
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
7 years
#MjadalawaMavazinawadauwaSanaa ''Ipo hapa ya kuwa na siku maalum ambayo nchini nzima itashauriwa kuvaa vazi la batiki au kitenge kwa ajili ya kuenzi utamaduni wetu huku msisitizo wa kulinda utamaduni wetu ukizingatiwa''Mhe.Waziri Harrison Mwakyembe
Tweet media one
56
11
141
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
8 months
Tweet media one
0
5
138
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Tweet media one
3
12
141
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Naibu Mhe. Hamis Mohamed Mwinjuma akizungumza na Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Dkt. Kedmon Mapana ofisini kwake Mtumba jijini Dodoma Februari 28, 2023.
Tweet media one
1
3
137
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
2 years
Tweet media one
2
18
132
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
10 months
Ukarabati wa Awamu ya Kwanza unaoendelea katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam umefikia asilimia 95 na asilimia tano zilizobaki zinatarajiwa kukamilika ndani ya siku tano kuanzia leo.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
7
8
133
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
8 months
Tweet media one
1
6
126
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
6 years
#KuelekeaAFCON2019 Kila la kheri Taifa Stars katika mechi ya leo dhidi ya Lesotho
Tweet media one
12
15
117
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
2 years
Gurudev Amaliza “Royal Tour”na Salaam kwa Wasanii Kiongozi mashuhuri duniani wa kiroho na Balozi wa Amani, Gurudev Sri Sri Ravishankar ameondoka nchini leo asubuhi kuelekea Ujerumani baada ya kukamilisha “Royal Tour” ya siku mbili nchini.
Tweet media one
Tweet media two
0
37
118
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Tweet media one
1
6
114
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
10 months
Tweet media one
4
15
116
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
2 years
Tweet media one
3
6
108
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Tweet media one
11
17
111
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
4 months
Tweet media one
2
18
109
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Kutoka Rustenburg Afrika Kusini mchezo wa marudiano wa nusu fainali ya Kombe la Afrika unaendelea na Naibu Waziri Mhe. @MwanaFA yupo jukwaani kuwaongoza mashabiki wa Yanga ambao wamejitokeza kwa wingi nchini Afrika kusini.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
0
6
106
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
2 years
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
2
107
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Waziri Mhe. Pindi Chana ameshuhudia Klabu Yanga ikiibuka na ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Timu ya Marumo Gallants ya nchini Afrika Kusini. Mchezo huo wa Nusu Fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika umechezwa Mei 10, 2023 la Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
7
106
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
6 years
#BungeniLeo Waziri wa Habari, Utamaduni , Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe akiwa katika picha ya pamoja na Mwanamitindo Bibi.Flavian Matata ,alipotembelea viwanja vya Bunge leo Jijini Dodoma.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
13
98
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
10 months
Katibu Mkuu @MsigwaGerson akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa FIFA Gianni Infantino, Kocha wa zamani wa timu ya Asernal, Arsene Wenger pamoja na Wachezaji wa Timu ya Simba mara baada ya mchezo wa Ufunguzi wa African Football League kati ya Simba na Al Ahly Oktoba 20, 2023
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
2
8
107
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Naibu Mhe. @MwanaFA akikabidhi Hundi kwa Mwakilishi wa Mwanamuziki Mkongwe wa Dansi Bw. Mbaraka Mwinshehe ikiwa ni mgao wa Mrabaha, wakati wa Hafla ya kugawa Mirabaha kwa Wasanii Julai 21, 2023 Jijini Dar es Salaam.
Tweet media one
3
4
104
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Tweet media one
2
3
102
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
2 years
Tweet media one
4
14
102
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Waziri Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akimkaribisha Mwenza wa Makamu wa Rais wa Marekani Mhe. Kamala Harris Bw. Douglas Emhoff (kulia) alipotembelea Kituo Cha Michezo cha Jakaya Kikwete Youth Park kilichopo Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam leo Machi 30, 2023.
Tweet media one
0
7
100
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
3 years
KILELE CHA UMISSETA MTWARA Wasanii wa muziki wa kizazi kipya akiwemo Shollo Mwamba, G.Nako, Mr. Blue, Shilole na Nandy wakitumbuiza leo Julai 2, 2021 kwenye kilele cha Mashindano ya Kitaifa ya UMISSETA yaliyofanyika katika uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
7
12
96
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
5 months
Tweet media one
4
11
96
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
8 months
Tweet media one
0
7
95
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
5 months
Naibu Waziri @MwanaFA amekabidhi zawadi ya Shilingi Milioni 20 kwa @YoungAfricansSC ikiwa ni ahadi ya Rais Mhe. @SuluhuSamia kwa Klabu hiyo baada ya kuifunga CR Belouizdad magoli 4 na kufanikiwa kutinga robo fainali ya Klabu Bingwa Afrika.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
5
97
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
4 years
#Michezo "Kufuatia michezo kuruhusiwa na Mhe. Rais John Magufuli,Tunaruhusu Ligi Kuu,Ligi daraja la kwanza na la pili pamoja na Kombe la Shirikisho (Azam Federation Cup) kuendelea ili tupate bingwa pamoja na Mwakilishi katika Kombe la Shirikisho Afrika" Dkt.Mwakyembe
Tweet media one
6
8
92
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
3 years
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ambaye ndio mgeni rasmi katika ufungaji wa Tamasha la 40 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo akifurahia Burudani zinazotolewa jukwaaani, Oktoba 30,2021
Tweet media one
Tweet media two
5
13
94
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Naibu Waziri Mhe. @MwanaFA leo Juni 5 2023 Bungeni Dodoma amewasilisha Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024.
Tweet media one
2
6
94
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. @KassimMajaliwa_ akimkabidhi Nahodha wa Timu ya Fountain Gate Beatrice Charles pesa taslimu Shilingi Milioni 5 ikiwa ni zawadi Kwa timu hiyo baada ya Kutwaa Ubingwa wa Afrika kwa Shule za Sekondari nchini Afrika ya Kusini Aprili 13, 2023 Dodoma
Tweet media one
4
5
94
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Naibu Wazirii @MwanaFA amesema Serikali ina lengo la kuingiza somo la Maadili kwenye Mtaala wa Elimu ili kukabiliana na Changamoto ya mmomonyoko wa maadili katika jamii. Amesema hayo leo Aprili 18, 2023 Bungeni Dodoma alipokua akijibu swali la Mhe. Bahati Ndingo (Viti Maalum)
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
6
5
91
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
2 years
Tweet media one
5
9
92
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Mazungumzo, Waziri @dr_pindi na Naibu Waziri @MwanaFA leo Mei 8, 2023 Bungeni jijini Dodoma
Tweet media one
3
6
86
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
3 years
Tweet media one
4
8
87
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
9 months
Naibu Waziri Mhe. @MwanaFA amesema hakuna kikwazo kwa Timu yoyote ya Ligi Kuu kuchagua Uwanja wa Nyumbani katika mechi zake ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akibainisha kuwa kabla ya Ligi Kuu ya Tanzania kuanza Timu zina uhuru wa kuchagua uwanja wa nyumbani utakaotumika
Tweet media one
Tweet media two
4
8
91
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
10 months
Tweet media one
11
6
86
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
11 months
Tweet media one
3
7
85
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
6 years
#KikaoNaWaandishiWaHabari "Vijana igine mfano mzuri kutoka kwa mwanamitindo wetu Flaviana Matata, kwa kujitolea kusaidia jamii ili kuleta matokeo chanya " Dkt.Mwakyembe
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
1
13
85
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Tweet media one
1
7
86
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
6 years
#SimbaBungeni Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza na Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Jumaa Aweso wakiwa katika picha ya pamoja na mshambuliaji wa Timu ya Simba Bw. Emmanuel Okwi wakati timu hiyo ilipotembelea bungeni leo Jijini Dodoma.
Tweet media one
Tweet media two
5
8
85
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Tweet media one
9
5
84
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Waziri Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akimkabidhi vitendea kazi ikiwemo Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020 hadi 2025 Naibu Waziri wa wizara hiyo, Mhe. Hamis Mwinjuma (Mb) mara baada ya kuwasili ofisini Mtumba jijini Dodoma Februari 28, 2023.
Tweet media one
Tweet media two
2
1
87
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
4 years
Naibu Waziri Mhe.Juliana Shonza ametoa mwezi mmoja kwa uongozi wa Kampuni ya Benchmark Production inayoendesha mashindano ya kusaka vipaji kwa wasanii wa muziki maarufu kama Bongo Star Search (BSS) kuhakikisha wamemlipa mshindi wa kwanza wa mwaka 2019 zawadi yake ya milion 50
Tweet media one
17
8
77
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
10 months
Tweet media one
2
6
82
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Naibu Waziri @MwanaFA akikabidhi zawadi ya Shilingi Milioni 10 zilizotolewa na Rais wa Tanzania Mhe. @SuluhuSamia . kwa Nahodha wa Timu ya Yanga Bakari Mwamnyeto baada ya timu hiyo kuibuka na ushindi wa magoli 2 kwa 0 dhidi ya Real Bamako ya nchini Mali.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
6
79
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
2 years
Tweet media one
6
16
80
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
10 months
Naibu Waziri @MwanaFA Uwanja huo Oktoba 16, 2023 ambapo amewaalika Watanzania wafike uwanjani hapo kushuhudia mechi ya ufunguzi wa African Football League (AFL) kati ya timu ya Simba na Al Alhy ya Misri utakaochezwa kwa Mkapa jijini Dar es Salaam Oktoba 20, 2023.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
5
78
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Tweet media one
1
8
77
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
2 years
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne. Mhe, @jmkikwete amesema Tanzania na dunia  imeshuhudia mafaniko na mapinduzi makubwa yaliyopatikana katika Sekta ya Michezo ndani ya kipindi cha mwaka mmoja cha Rais @SuluhuSamia Ameyasema  hayo Machi 19, 2022 Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
7
79
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
7 years
#KutembeleaMsaniiWastara ''Ndugu zangu watanzania najua kutoa ni Moyo ombi langu kwenu ni kumsaidia msanii Wastara Issa kuweza kupata kiasi cha shilingi Milioni kumi na nane kwa ajili ya matibabu ya mguu wake,"Mhe.Waziri Dkt.Harrison Mwakyembe
Tweet media one
5
9
74
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
6 years
#KikaonaWadauwaKisektaGeita Msemaji Mkuu wa Serikali Tanzania Dkt.Hassan Abbas amewataka waandishi wa habari wa Mkoa wa Geita kumpa taarifa pale wanaponyimwa taarifa na viongozi wa serikali zinazohusu kutangaza shughuli za maendeleo ya mkoa huo
Tweet media one
1
9
72
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
3 years
Mkutano Mkuu wa 41 wa UNESCO umeipitisha tarehe 7 Julai ya kila mwaka kuwa Siku ya Kiswahili Duniani, azimio hilo limepitishwa na Nchi zote Wanachama wa UNESCO bila kupingwa leo November 23, 2021, Paris nchini Ufaransa.
Tweet media one
Tweet media two
6
17
74
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Tweet media one
2
5
75
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
5 months
Waziri Mhe. Dkt. Ndumbaro amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa TFF Bodi ya Ligi Kuu (TPBL) na wawakilishi kutoka Klabu za Simba na Yanga ili kujadili masuala mbalimbali ya michezo na kuweka mikakati ya Klabu za Tanzania zinazoshiriki michuano ya Klabu Bingwa Afrika
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
10
6
74
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
8 months
Naibu Waziri Mhe. @MwanaFA amezindua Mashindano ya Mathayo CUP katika Jimbo la Same Magharibi mkoani Kilimanjaro lililoandaliwa na Mbunge wa Same Magharibi, Mhe. Mathayo David. Amempongeza Mbunge huyo, kwa kuandaa mashindano hayo ambayo yanatoa fursa kwa vijana kuonesha vipaji
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
8
74
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
3 years
Tweet media one
Tweet media two
30
5
71
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Tweet media one
5
6
73
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Naibu Waziri @MwanaFA amewataka wasanii wa filamu nchini watembelee Kituo cha Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika ili wapate maudhui yatakayowawezesha kuandaa filamu za kuenzi mchango wa Tanzania katika harakati za ukombozi hilo hususani nchi za kusini mwa Afrika.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
15
73
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Waziri Mhe. Dkt. Pindi Chana akiteta jambo na Naibu Waziri wa wizara hiyo Mhe. @MwanaFA leo Aprili 18, 2023 Bungeni jijini Dodoma.
Tweet media one
Tweet media two
1
2
73
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Waziri Mkuu wa Tanzania @KassimMajaliwa_ akizungumza na Waziri @WizaraSanaa Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Prof. Joyce Ndalichako Bungeni jijini Dodoma leo Aprili 4, 2023.
Tweet media one
Tweet media two
2
7
71
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Ufafanuzi
Tweet media one
19
5
70
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
3 years
Tweet media one
1
11
69
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
6 years
#ZiaraShuleYaAlliance "Shule za Sekondari na Msingi hakikisheni kuwa michezo inakua sehemu ya taaluma maana utafiti unaonyesha kuwa shule zinazowanyima watoto fursa ya kucheza husababisha matokeo hafifu katika mitihani pamoja na utoro mashuleni" Mhe.Mwakyembe
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
9
5
67
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
10 months
Tweet media one
0
0
70
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
2 years
Tweet media one
3
16
69
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
2 years
Tweet media one
4
7
68
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
4 years
#MabingwaCosafa Timu ya Taifa ya wasichana chini ya umri wa miaka 17 (U 17) wakiwasili Uwanja wa Ndege wa Mwl. Julius Nyerere baada ya kuwafunga Zambia kwa mikwaju ya penati 3-4 kufuatia sare ya 1-1 huko Nelson Mandela Bay, Afrika Kusini
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
2
71
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
6 years
#Wastara Msanii wa Filamu nchini Wastara Juma amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli na Serikali kwa michango waliyotoa kufanikisha matibabu yake yaliyofanyika nchini India mwaka huu katika hospitali ya Saifee na ameeleza afya yake iko njema
Tweet media one
0
4
70
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
6 months
Tweet media one
8
10
70
@WizaraSanaa
Wizara ya Sanaa
1 year
Naibu Waziri @MwanaFA ameongoza watanzania waliopo nchini Afrika Kusini kuishangilia Timu ya Fountain Gate wanaoiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Soka la Wanawake kwa Shule za Sekondari za Afrika, ikiibuka na Ushindi wa magoli 7 kwa 1 dhidi ya Edendale High School
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
4
68