Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne. Mhe,
@jmkikwete
amesema Tanzania na dunia imeshuhudia mafaniko na mapinduzi makubwa yaliyopatikana katika Sekta ya Michezo ndani ya kipindi cha mwaka mmoja cha Rais
@SuluhuSamia
Ameyasema hayo Machi 19, 2022 Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam