tzbranding Profile Banner
Branding Tanzania 🇹🇿 Profile
Branding Tanzania 🇹🇿

@tzbranding

Followers
16K
Following
24K
Statuses
20K

A lifetime initiative established with a purpose to profile positive legacy & create compelling brand image on all aspects of 🇹🇿. #ProudlyTanzanian

World Wide
Joined January 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
@tzbranding
Branding Tanzania 🇹🇿
4 years
Hello 👋 World 🌍 Visit #Tanzania 🇹🇿 #SafeTravels #TanzaniaUnforgettable
Tweet media one
12
54
184
@tzbranding
Branding Tanzania 🇹🇿
3 days
#HappeningNow: Joint EAC-SADC SUMMIT OF HEADS OF STATE AND GOVERNMENT- 8 February 2025, State House, Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 @SADC_News @jumuiya 👇🏾
0
0
1
@tzbranding
Branding Tanzania 🇹🇿
5 days
RT @UbaloziNigeria: On 5th February 2025, H. E. Selestine G. Kakele, High Commissioner-Designate of the United Republic of Tanzania to the…
0
4
0
@tzbranding
Branding Tanzania 🇹🇿
12 days
RT @BawaAfrika: Capture the untamed beauty of the Ndutu Plains! From stunning landscapes to incredible wildlife moments, your lens could te…
0
3
0
@tzbranding
Branding Tanzania 🇹🇿
14 days
RT @urtupdates: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. @SuluhuSamia akiwa kwenye picha ya pamoja na Wakuu wa Nchi mbalimbali ma…
0
1
0
@tzbranding
Branding Tanzania 🇹🇿
14 days
RT @urtupdates: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. @SuluhuSamia wakuu wa Nchi mbalimbali na Viongozi wengine wakishiriki Mk…
0
1
0
@tzbranding
Branding Tanzania 🇹🇿
16 days
Africa Heads of States Energy Summit 2025: Welcome message from the President of The United Republic of Tanzania, H.E. Dr. Samia Suluhu Hassan. #Mission300 #PoweringTanzania #PoweringAfrica
0
2
4
@tzbranding
Branding Tanzania 🇹🇿
16 days
RT @urtupdates: Rais wa @AfDB_Group Dkt. @akin_adesina , na Mkurugenzi Mtendaji wa Utawala wa @WorldBank, Bi. @bjerde_anna, wamewasili nchi…
0
1
0
@tzbranding
Branding Tanzania 🇹🇿
16 days
RT @BawaAfrika: The President @AfDB_Group Dr. @akin_adesina, has arrived in Tanzania to attend the African Heads of State Summit on Energy,…
0
1
0
@tzbranding
Branding Tanzania 🇹🇿
16 days
RT @urtupdates: Rais wa Jamhuri ya Sierra Leone, Mhe. @julius_maadabio Bio, amewasili jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kushiriki Mkutano w…
0
2
0
@tzbranding
Branding Tanzania 🇹🇿
1 month
@mfa_tanzania
MFA Tanzania
1 month
WAANDISHI WAPIGWA MSASA KUHUSU MKUTANO WA NISHATI WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA Imeelezwa kuwa Tanzania haikuchaguliwa kwa bahati mbaya kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati, isipokuwa imekidhi vigezo ambavyo waandaji wamejiridhisha navyo. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Noel Kaganda alipokuwa anatoa mada katika semina maalum kwa waandishi wa habari kuhusu uenyeji wa Mkutano huo. Semina hiyo inayofanyika kwenye Maktaba ya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam Januari 05, 2025 imefunguliwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Gerison Msigwa ambaye aliwaomba waandishi wa habari kutumia vizuri kalamu na sauti zao kutangaza mkutano huo na fursa zake kwa wananchi. Balozi Kaganda alizitaja sababu hizo kuwa ni pamoja na Tanzania kuwa ni moja ya nchi chache za Afrika zenye mipango thabiti ya kuwa na nishati ya kutosha na uhakika, mpango wa kusambaza umeme nchi nzima ikiwa ni pamoja na vijiji na vitongoji, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa kinara wa kuhamasisha matumizi ya nihati safi ya kupikia, mikakati kabambe ya upatikanaji wa nishati ambapo malengo ifikapo 2030 asilimia 75 ya Watanzania wawe wamefikiwa na umeme na asilimia 80 wawe wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034 Sababu nyingine alizozitaji kuwa ni kuimarika kwa diplomasia ya Tanzania, amani na usalama na uzoefu wa kutosha wa kuwa nwenyeji wa mikutano mikubwa ambayo imekuwa ikifanyika nchini. Mkutano huo unaondaliwa kwa ushirikiano baina ya Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika, Kamisheni ya Umoja wa Afrika na Tanzania unalenga kuwakutanisha wakuu wa nchi zote za Afrika na wadau wengine ili kujadili kwa pamoja njia za kuchagiza upatikanaji wa nishati ya uhakika na nafuu kwa kutumia rasilimali zilizopo. Mkutano huo utakaofanyika jijini Dar Es Salaam Januari 27 na 28, 2025 utahitimishwa kwa nchi 14 kusaini Mpango wa Nishati ambao ni ahadi ya Serikali zao kuchukua hatua mbalimbali za kufikisha umeme kwa wananchi. Nchi hizo ni Tanzania, Liberia, Senegal, Niger, Nigeria, Chad, Mauritania, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Côte d'Ivoire, Burkina Faso, Malawi, Msumbiji na Zambia. Mkutano huu unaojulikana kwa kifupi kama Mission300 utajiwekea malengo ya kuwafikishia umeme watu milioni 300 kati ya watu milioni 685 wanaoishi bila umeme barani Afrika, ifikapo mwaka 2030.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
1
3
@tzbranding
Branding Tanzania 🇹🇿
1 month
RT @mfa_tanzania: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maend…
0
13
0
@tzbranding
Branding Tanzania 🇹🇿
1 month
#AfricaEnergyUpdates This energy project has truly brought significant changes, particularly in our daily production environment. It has become essential for carrying out our everyday activities. As a result, young people have started opening barbershops, while others are engaged in welding or selling cold drinks. Everyone is making the most of the opportunities provided by access to electricity. #SaveTheDates: Mission 300 Africa Heads of State Energy Summit - January 27 - 28, 2025 to be held at JNICC Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 #Mission300 #PoweringAfrica
0
1
2
@tzbranding
Branding Tanzania 🇹🇿
1 month
#SaveTheDates: 27 - 28 January 2025, Dar es Salaam, United Republic of Tanzania 🇹🇿 Connecting Millions to Electricity in Africa With "Mission 300" STORY HIGHLIGHTS 1. Roughly 600 million people in Sub-Saharan Africa lack access to electricity.  2. The World Bank Group, together with the African Development Bank, has committed to providing access to electricity to 300 million people in Sub-Saharan Africa by 2030.   3. ⁠Known as “Mission 300,” this ambitious plan is attracting widespread support. Soon to be the world’s largest workforce, Africans have an opportunity to transform their region into a global economic powerhouse—provided they have access to modern power. Currently, about 600 million people in Sub-Saharan Africa lack access to electricity. This forces them to rely on firewood and charcoal or expensive and polluting generators to cook, stay warm, and keep the lights on in their homes and businesses. Turning on the switch for more Africans, either through connections to the electricity grid or distributed renewable energy solutions, such as mini-grids powered by solar panels and stand-alone solar installations, could be transformational for people’s well-being, protecting forests, and all facets of the region’s economy. This is why at the 2024 Spring Meetings, the World Bank Group and the African Development Bank launched an ambitious effort to connect at least 300 million people in Africa with electricity access by 2030. That promise, known as “Mission 300,” is now galvanizing development partners and building momentum in Africa and beyond. #Mission300 #PowerAfrica
Tweet media one
0
2
4
@tzbranding
Branding Tanzania 🇹🇿
1 month
RT @MkindiJackie: Tanzania's exports to the UK are significantly surging than ever before! Thanks to President @SuluhuSamia, Ambassador @Mb
0
47
0
@tzbranding
Branding Tanzania 🇹🇿
1 month
#Now Visit Tanzania Participate Africa Energy Summit 27-28 January 2025 #PoweringAfrica #Mission300
@BawaAfrika
BAWA AFRICA
1 month
Save the date.
Tweet media one
0
0
3
@tzbranding
Branding Tanzania 🇹🇿
1 month
RT @BawaAfrika: Save the date.
Tweet media one
0
1
0
@tzbranding
Branding Tanzania 🇹🇿
2 months
Proudly Tanzanian
@moddyyakubu
Prof. Mohamed Janabi
2 months
Namshukuru MWENYEZI MUNGU kwa kutimiza mwaka mwingine
Tweet media one
0
0
2
@tzbranding
Branding Tanzania 🇹🇿
2 months
RT @moddyyakubu: Namshukuru MWENYEZI MUNGU kwa kutimiza mwaka mwingine
Tweet media one
0
265
0