S W E B E 🇹🇿 Profile Banner
S W E B E 🇹🇿 Profile
S W E B E 🇹🇿

@SWEBE_10

Followers
6,316
Following
2,316
Media
3,403
Statuses
63,051

Architectural Engineer & Designer ⛑ || @Chelseafc & @RealMadrid Fan||Christian ✝

Every Where.
Joined November 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Usikute Nyeto Haina madhara Wanasayansi Wanatuonea tu Wivu. 🤔
58
48
748
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Ukitaka kuchakazwa na Stress, we tumia akili kwenye mapenzi. 😂
43
74
451
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Arusha Unga limited Ukitumia Google Map Wewe Na Simu Wote Mnapotea. 😂
36
36
444
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Usikute SIMBA ndiyo waanzirishi wa ile soda ya "7UP "🤔😂
29
51
425
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Arusha Unga limited Ukitumia Google Map Wewe Na Simu Wote Mnapotea. 😂
37
50
399
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Kuna kipindi unakua single mpaka unajiuliza au ulibarehe ili upige kura tu. 😂
35
51
399
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Hela hazitaki kelele ndiyo maana TV za benki hazina sauti.
20
45
367
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Leo nimepanda daladala kumbe nimeacha wallet nyumbani, ilibidi niamke nianze kuhubiri. 😪
47
53
369
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Hata unitangaze nina kibamia mimi ninachojua nimeshakunyandua. 😁
44
50
372
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Kuna muda unatenda dhambi mpaka ukiumwa shetani anajisemea "Get well soon ma-boy" 😂
31
57
350
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Pesa kidogo ushaanza kusikiliza BBC. 😁
36
73
350
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Aliyekuwa ananipa ushauri kwenye mapenzi nae kaachika leo. 😂
41
39
326
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Mwanaume ni heri ukose vyote ila sio jeans nyeusi. 😂
30
34
314
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Kuna mstari mwembamba sana kati ya kuenjoy ujana wako na kuharibu future yako, kuwa makini.... 📌
25
69
300
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Hata kama tumekutana Pharmacy ndiyo Unisave DISEASE. 😪
38
64
293
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Hatukatai unapiga nyeto sasa ndiyo hadi ubusu na ukuta wa choo kaka. 😁
33
47
291
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Msimu huu wa sikukuu napenda kusambaza upendo kwa anko wangu @EddoLalika kwa kumshindia simu kali toka @TecnomobileTZ ili tupige picha kali X-mass hii. 😅😅 #sambazafuraha @TecnomobileTZ
@TecnomobileTZ
TECNO TZ
2 years
Ni wakati wa "Level Nyingine" 🎁🥳🎁 #SambazaFuraha kwa mpendwa wako kwa kumshindia simu toleo la SPARK 9T BURE! Unachotakiwa kufanya: 1. Quote tweet pinned tweet hii 2. Weka na ujumbe mfupi wa kumthamini na kisha kum-Tag mtu huyo! Soma zaidi 👇
26
54
158
24
284
278
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Leo nimepanda daladala kumbe nimeacha wallet nyumbani, ilibidi niamke nianze kuhubiri.
28
36
276
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Rafiki yako wa kiume anaesema "Birthday Loading... " anaitwa nani? 😂
36
32
263
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Dar-Es-Salaam ukitoa Bahari kinabaki nini? 🤔
59
35
279
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Kanisa lina vibe sana hili pisi kama zote. 😁
37
53
268
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Maisha ni muhimu sana kwenye mapenzi, ila mapenzi sio muhimu sana kwenye maisha.. 📌
23
58
268
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Umekomaa kumsave mtoto wa mtu "MY LOVE" kumbe mwenzako Kakusave "MWAIPOPO"😂
40
60
274
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Hata kama huna nguvu jitahidi uwe na mkwala basi. 😂
25
33
259
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Ukiwa na roho mbaya hakikisha unauwezo wa kuzimudu shida zako... 📌
20
47
254
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Huyo uliyenae uko na uhakika ukimwita Babe mbele za watu ataitika. 😂
34
47
254
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Siku hizi hata ukila jeuri yako kuna mtu bado atatamani umgawie. 😂
30
40
240
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Singida ukitoa Alizeti wanabaki na nini? 🤔
54
31
237
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Kwaiyo mtu akiwa mfupi halafu msafi ndiyo anaitwa "short and clear" . 🤔
29
32
229
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Umeamshwa na "Forehead kiss" au umetingishwa kama Syrup ya minyoo. 😂
32
43
220
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Kuna muda unakuwa single mpaka unajiuliza au ulibarehe ili upige kura tu. 😂
37
55
218
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Sasa hivi twittani bila kikofia huna tofauti na vijana wa Facebook. 😂
19
28
221
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Usikute wadada wa kichaga nao walipewa matako ila wakayauza. 🤔
32
47
229
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
We endelea kumuuliza umekula nini leo my, na wenzako wanamuuliza kama mapaja yameacha kuuma. 😂
17
30
220
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Wakati mwingine pitio lako gumu linaweza kuwa hadithi ya njia ya mafanikio yako hapo baadaye... 📌
18
56
210
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
GOOD MORNING MY TWITTER FAMILY 😅
42
38
199
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Usipingane na ukweli ili ujipe furaha ya mpito.... 📌
29
65
214
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Ujanja ni kuwa na bank ya kijanja ili upate huduma za kijanja zilizo enea nchi nzima. Jiunge na @DTBTanzania leo ili ufurahie huduma za kifalme. @EddoLalika @MissChelsea1221 @samuelmway @anuskills3 @Julius_MZA @nyuki_malkia @FumboKhan2019 @Eddo142 @Mzungu_pori1 @Lizzie36021
@DTBTanzania
DTB Tanzania PLC
2 years
Vitu vizuri katika maisha mara zote ni rahisi na vyenye ufanisi, kama DTB Mobile banking. Bofya *150*77# kisha fata maelekezo.
Tweet media one
2
8
22
22
152
204
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
NAUZA AKILI.. 😁
41
27
205
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Hata kama Nimetokea Songea Ndiyo Unisavi KINJEKETILE NGWALE., 😔
15
19
199
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Eti pombe inauna taratibu, sasa ulisikia nani anataka kufa haraka.😂
15
29
207
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Kuna mstari mwembamba sana kati ya kuenjoy ujana wako na kuharifu future yako, kuwa makini ........📌
20
48
201
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Vaa suti, Pendeza ingizako darasa la first year wape assignment alafu potea. 😂
14
28
196
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
GOOD MORNING MY TWITTER FAMILY 😅
37
57
187
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Haya wapwa tulete handle kwanza tupate followers chap chap
48
41
190
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Usahaulifu ndiyo unaotufanya tukipita karibu na makaburi tusilie..... 📌
16
61
198
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Hata kama huna nguvu jitahidi uwe na mkwala basi. 😂
24
44
191
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Sasahivi Twitter haka usipo engage tutakunasa kwenye viewers. 😂
15
27
193
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Wakikwambia hawaoni unachokifanya waambie haufanyi kwaajili ya wasiyo ona....... 📌
16
38
186
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
GOOD MORNING MY TWITTER FAMILY 😅
51
41
180
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Haya wapwa tulete handle kwanza tupate followers chap chap. Munifollow niwafollow back tuishi. ✊✊
70
34
182
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Unamsave mtoto wa mtu "MY LOVE" kumbe mwenzako Kakusave MWAIPOPO. 😂
21
22
179
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
GOOD MORNING MY TWITTER FAMILY. 😅
36
33
183
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Unatoka zako kanisani mara Aisha miuno follow you. 😂
36
41
177
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Hata kama maisha ni magumu ndiyo uhame na mswaki. 😁
16
23
181
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
GOOD MORNING MY TWITTER FAMILY 😅
51
41
175
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Unatoka zako kanisani mara "Aisha miuno follow you" . 😂
27
41
176
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Nipo apa kwa mama lishe kaona user name yangu kasema nile tu bure nimeupiga mwingi leo. 😂
23
28
178
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
GOOD MORNING MY TWITTER FAMILY 😅
49
36
174
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
GOOD MORNING MY TWITTER FAMILY 😅
41
53
170
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Nibeti sasa hata nirudishe pesa nliyokula jana. 😪
10
31
173
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Weka handle yako tupate followers chap chap
50
28
161
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
GOOD MORNING MY TWITTER FAMILY. 😅
26
32
166
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
YANGA ni kama Mwenge hauvuki nchi.😂
16
22
169
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Wale watu waliyo niahidi kuwa watasimama na mimi naona wamesha kaa. 😪
15
31
168
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Hata Nyama ROBO haifungwi haraka hivi kama Prison. 😂
8
13
167
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
Follow me halafu weka handle yako tupate followers chap chap.
50
34
153
@SWEBE_10
S W E B E 🇹🇿
2 years
GOOD MORNING MY TWITTER FAMILY 😅
48
46
157