Huyu jamaa logistics Manager wa Simba kwa alichokifanya pale uwanja wa Al hilal Tripol Libya ameweza kututhibitishia kuwa WALI NYAMA VITANI unalika vizuri tu 😂😂😂
Baada ya DENGE kujitokeza hadharani, sasa kwa heshima na tahadhima tunamleta kwenu Mheshimiwa HERODE Bin Upupu Kiboko ya WATESI. Makofi mengi tafadhari 😂😂😂
Nisaidieni kumtakia HAPPY BIRTHDAY Mama Junior wangu a.k.a Irene Mascania.Kiukweli ukiachana na mambo yote Irene ni mtu mwenye huruma na amejaa upendo sana kuna kipindi alikuwa analea mimba ya mke mwenza baada ya mimi kucheza mechi kavu na beki tatu wetu😊.Happy birthday Dear Ex
Tujifunze kuji brand kutoka kwa
@ommydimpoz
hanaga baya, anacheka na kila mtu, privacy ni msingi wake, wala hajigambi yaani unaambiwa mwana yupo humble mno.
N.B. Oyaa Ommy tuache masihala mwanangu, January ngumu nikope Aftatu mwanangu😒
Kitu ambacho CCM wamefaulu ni kuwekeza kwenye Chipukizi (Vijana wenye umri mdogo) nadhani hapa vyama vya upinzani vinatakiwa vijifunze sana kwenye kuandaa hazina ya rasilimali watu kama CCM.