Eddo Lalika Profile Banner
Eddo Lalika Profile
Eddo Lalika

@EddoLalika

Followers
37,434
Following
1,730
Media
21,369
Statuses
126,118

Event Organizer |VSLA Trainer &Curiculum developer| SDGs |Translator |JOKER😅 |Geopolitics analyst | @SimbaSCTanzania | @ChelseaFc fan

Hustling
Joined January 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
Mzazi wako anapambana ili usome lakini wewe ukifika chuoni unashindana kuvaa na kwenda club na marafiki waliotoka familia zinazojiweza. 😒😒
Tweet media one
76
265
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
3 months
Wakenya watabaki kuwa Wakenya 😂😂😂🙌
58
749
3K
@EddoLalika
Eddo Lalika
3 months
Ile furaha ya Baba Mzazi kupandishwa nishani na mwanae alie mzaa..Imagine mwanao umemsomesha amekuwa boss wako😊
Tweet media one
29
111
3K
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
Elizabeth wa mabasi ya TILISHO, nipo ladhi kuuza mapafu yangu nikuhonge 😊😊
Tweet media one
178
67
2K
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Kuanzia Leo umalaya naacha si nikachukua namba yake nikijua mwanamke bhana kumbe Dume😒😒
Tweet media one
260
73
2K
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Hakikisha hukosi vifaa hivi maghetoni😊
Tweet media one
176
111
2K
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
TBC mna majaribu sana, yote hii ni kuhakikisha mna tukamata vijana si ndiyo😃😃
Tweet media one
133
62
2K
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
Kama haya yanayo semwa kuhusu marioo ni kweli, bhasi tumekwishaa 😒 😒
Tweet media one
156
45
2K
@EddoLalika
Eddo Lalika
7 months
Dalili zilionekana tangu awali sema tulishindwa tu kujua si hata wewe unaona hapo mguuni😊
Tweet media one
139
75
2K
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
Wasukuma kwenye hii ligi ya MWANZA Vs ARUSHA wanatumia siraha nzito mno😂😂
Tweet media one
67
85
2K
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Chanzo Cha Simba maarufu kwa jina BOB JUNIOR kuuwawa na Simba wenzake inasadikika alikuwa anapiga sana mademu za watu 😂😂
Tweet media one
99
66
2K
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Nioneshe picha ya kambi ya jeshi mimi nikuoneshe sungura shoga
63
67
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
DENGE: Hii vita HERODE ilibaki kidogo aniue nashukuru tulivo pokezana kijiti na Mtesi mwenzangu 😊
Tweet media one
168
110
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Dog style usipojua kujikaza, sekunde tatu tu wazungu nje😊
140
59
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
8 months
Wamasai wanaendelea kututhibitishia kuwa mambo yanawezekana kwenye nchi hii😂😂
Tweet media one
39
80
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
WATESI: Ukiachana na Fedha kinacho tuuma zaidi HERODE ana mke mzuri pia 😒
Tweet media one
112
58
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
6 months
Mtu wa graphics na Adimin wa pale Mashujaa ana kera mno 😂😂😂
Tweet media one
35
74
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
Maisha yamekuwa magumu sana, Mnazi mwenzangu @Adventure_36 imagine ni Wadada 😒😒
Tweet media one
43
49
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Wajomba zangu siku mkiyakanyaga mtajua PEP ni kitu gani😊
Tweet media one
131
61
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
13 days
Huyu jamaa logistics Manager wa Simba kwa alichokifanya pale uwanja wa Al hilal Tripol Libya ameweza kututhibitishia kuwa WALI NYAMA VITANI unalika vizuri tu 😂😂😂
Tweet media one
11
32
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Unaambiwa Serena Hotel hiki chakula milioni mbili😃😃
Tweet media one
288
78
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Pale Riverside kuna mdada anaitwa "Mwanaidi Miuno ya Kenge" abarikiwe sana😊
115
75
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
3 months
Hello SATIVO wenzaku huku usingizi umigomi kabisa
Tweet media one
25
81
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
Baada ya DENGE kujitokeza hadharani, sasa kwa heshima na tahadhima tunamleta kwenu Mheshimiwa HERODE Bin Upupu Kiboko ya WATESI. Makofi mengi tafadhari 😂😂😂
Tweet media one
74
86
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Siamini kama naenda kuipiga masaa 24😭
Tweet media one
104
57
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
6 months
Trab akiwa na Trat jimboni jana 😊😊
Tweet media one
63
56
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
4 months
Huyu Mzee anaijua sehemu inaitwa Kwamsisi Handeni -Tanga au anaongea tu 😊
Tweet media one
134
36
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
Nasikia shemeji yenu yule anaesemaga "NAMTAFUTA HONEY..HONEYYYYYYYYY HONEYYYYYY" katoa connection huko😂😂😂😂
Tweet media one
53
35
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
10 months
Matokeo ya mvua za Tanga😅
Tweet media one
62
67
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
3 months
Mbwa ni mbwa tu kazingua mno😂😂😂
154
186
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
Show ya Ali Kiba jana ili isha haraka haraka kama msiba wa mwizi😊
Tweet media one
77
50
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
Ukisoma Juzuu 30 kwenye Quran takatifu kuna herufi moja imetokea sehemu moja tu na haijatokea sehemu nyingine yeyote. Itaje hiyo herufi nikupe zawadi.
Tweet media one
86
101
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Ukiweza kuitumia vyema hii kitu, bhasi hawezi kukuacha hata siku moja😊
Tweet media one
71
28
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
Kwahiyo hiyo connection ya Dr Kumbuka mnatupa au ndio mnaona mafriji yetu hayagandishi 😂😂
Tweet media one
38
32
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
Ney Paul ungeacha nipite ndio upige picha Yako😊
Tweet media one
58
57
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
Nisaidieni kumtakia HAPPY BIRTHDAY Mama Junior wangu a.k.a Irene Mascania.Kiukweli ukiachana na mambo yote Irene ni mtu mwenye huruma na amejaa upendo sana kuna kipindi alikuwa analea mimba ya mke mwenza baada ya mimi kucheza mechi kavu na beki tatu wetu😊.Happy birthday Dear Ex
Tweet media one
105
86
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
Anae pita mbele yenu ni Kiboko ya WATESI 😂😂
Tweet media one
56
73
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Tujifunze kuji brand kutoka kwa @ommydimpoz hanaga baya, anacheka na kila mtu, privacy ni msingi wake, wala hajigambi yaani unaambiwa mwana yupo humble mno. N.B. Oyaa Ommy tuache masihala mwanangu, January ngumu nikope Aftatu mwanangu😒
Tweet media one
80
41
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
7 months
ALIKIBA: Nafungua Redio mpya itaitwa Crown FM TRA: 👇🏽👇🏽👇🏽😂😂😂😂
Tweet media one
39
67
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Awekewe ulinzi wa CIA 😂😂
Tweet media one
87
92
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
Ni kweli Idd Amin aliivamia kagera au tulipangwa na mabeberu!!!
Tweet media one
92
55
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Ndugu waandishi Manara alikuwa ananing'ata kitovu changu😂😂
Tweet media one
46
23
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
3 months
"Sativa tupatie odds 4 za uhakika la sivyo tunafanya lolote"😊
Tweet media one
11
27
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
10 months
Wachezaji wa SIMBA mna chakujifunza kutoka Yanga. Igeni namna Yanga wanavo ipambania timu🔥🔥🔥
Tweet media one
98
44
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
3 months
Huko kwenye Space Kuna mtu anaulizia tarehe na mwezi aliyo zaliwa jamaa ili akamshughulikie kinyumbani❤️😂😂🙌
64
91
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
Sasa HERODE sikia nikuambie "Usije ukajichanganya hata siku moja,kwa maana WATESI wamekuwashia notification on, utakaangwa uive" 😂😂😂😂😂
Tweet media one
50
52
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
3 months
Appreciation tweet Kwa Tito Magoti hakika umeupiga mwingi🔥🔥🔥
Tweet media one
6
120
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Kwahiyo Dr. Mwaka Mzee wa ushauri wa mahusiano atawaambia Nini watu😂😂😂😂nyie
52
37
1K
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
Ila Kuna Kodi za hapa na pale nazo muwaambie wajue 😊😊😊
Tweet media one
62
30
975
@EddoLalika
Eddo Lalika
3 years
Jamani Gono baya nyie asikuambie mtu😥
103
64
918
@EddoLalika
Eddo Lalika
3 months
Jobless mlio vaa kaunda suti hapa airport terminal 2 mmeamua kutuchanganya sio 😊
Tweet media one
39
51
983
@EddoLalika
Eddo Lalika
5 months
Ndugu Watanzania SUKUNUNU anarudi hewani😂😂😂😂
Tweet media one
56
50
981
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Kwakweli jeshi la polisi wanaendelea kutuonesha ule ukarimu waliosema, maombi yenu jamani😂😂😂
Tweet media one
55
49
954
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Kumbe ukipaka ugoro sehemu za siri kutoboa interview ya kazi uhakika mna siri nyie😋
57
60
942
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Madada pouwa ya Njombe yanakunywa ARVs hadharani tu🙄
85
56
932
@EddoLalika
Eddo Lalika
3 months
Chopper tunakushushia maombi thabiti ukifika pale KATAVI chukua nguo za SATIVA zipeleke Mbeya wanyakyusa wanataka wawashughulikie kinyumbani watekaji.
Tweet media one
24
93
965
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Hivi walimu mna future kwenye maisha yenu kweli!?🙄
104
61
927
@EddoLalika
Eddo Lalika
8 months
Hii club Ina watu wa Hovyo sana 😂😂😂
Tweet media one
70
36
937
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Ebu nichege chigunde kimoja alafu nilale zangu😂😂
75
34
922
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
Unaambiwa moja limebeba Wachezaji jingine limebeba mabegi ya Wachezaji 😂😂
Tweet media one
18
48
923
@EddoLalika
Eddo Lalika
9 months
Ila Bongo 😂😂😂
Tweet media one
25
55
917
@EddoLalika
Eddo Lalika
3 months
Sio mbaya za chinichini zinasema tuna elekea kumpata sauti ya wengi sauti ya Mungu.
Tweet media one
18
148
925
@EddoLalika
Eddo Lalika
10 months
Tangu nimuone mhudumu wa Basi la Extra Luxury nimeanza kumsahau Elizabeth wa TILISHO 😊😊
Tweet media one
38
30
913
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
Ahmed Ally kaonekana na mzigo wa jezi pale Mitaa ya msimbazi 😊
Tweet media one
23
46
903
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Kuna Malaya ukilala nae hupati pesa mwezi mzima😒
103
59
874
@EddoLalika
Eddo Lalika
8 months
Jamaa wamepambana sana ila hatuoni kama Wizara husika ikiwasapoti🤔🤔
Tweet media one
100
47
884
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Nimechoka kugeuzwa kitega uchumi kisa mtoto😒😒
Tweet media one
99
51
854
@EddoLalika
Eddo Lalika
7 months
Ukiichukia Yanga hii hakika utakuwa Mchawi unae weza wanga mchana. Hongera Yanga hata sisi Simba tumekubali🙌🙌🙌
Tweet media one
4
33
887
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
Sukununu simama umalizane na anko Denge, ni mafuta tu wala hana shida ya kukupiga 😊
Tweet media one
52
40
875
@EddoLalika
Eddo Lalika
23 days
SATIVA akitoa ushuhuda baada ya mikeka yake kukamilika😅
Tweet media one
13
26
894
@EddoLalika
Eddo Lalika
3 months
CHOPPER: "Watu wa Mbeya tunasema Sativa apatikane la sivyo tunaingia ulingoni"
Tweet media one
11
78
872
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Vijana usinunue dada pouwa ukampeleka ghetto kwako, utanishukuru baadae 😂😂
54
54
863
@EddoLalika
Eddo Lalika
7 months
Moto utawaka 😅😅😅
Tweet media one
44
46
866
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Ukipiga mke wa mtu na wewe jiandae kupigwa😋
53
54
832
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
Irene Mascania njoo huku nikuoneshe Scania linalovuna mahindi na kukoboa 😊
Tweet media one
68
54
857
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Kumbe wadada mkikaaga maghetoni wenyewe mnapeanaga taarifa za style mpya 😃😃
42
63
830
@EddoLalika
Eddo Lalika
3 years
Wanaume wenzangu idinde kote lakini isidinde kwa mke wa mtu.
73
58
813
@EddoLalika
Eddo Lalika
3 months
Wajomba leo na Mimi EATV wamenikumbuka kumbe nimetoa hoja 😂😂😂.
Tweet media one
24
43
868
@EddoLalika
Eddo Lalika
8 months
Khee Nini hiki wakuu😅😅
Tweet media one
85
93
863
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 months
" Hakikisheni mnatimiza majukumu tuliyopewa na wamiliki wa mabasi ipasavyo😊"
Tweet media one
11
30
854
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Kutana na style mpya inayoitwa "FUNDI GEREJI YUPO UVUNGUNI"
Tweet media one
55
59
799
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 month
"Nyie vijana wa mama Semeni kati yenu nani aliyezima mtandao wa X "
Tweet media one
12
59
835
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Leo ndio nimejua kuwa love of my life anajiuza 😒
57
32
801
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Nyie kumbe ukilala uchi ndio unakuwa na usingizi mtamu hivi🙄
120
64
775
@EddoLalika
Eddo Lalika
3 months
Watekaji kila wakilala waote wanakimbizwa na hii ndege😊
Tweet media one
112
64
826
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Wadada kuweni makini,kuna mwenzenu hapa stendi shanga zimemwagika zote😂😂😂
51
61
801
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
Msipo saini huo mkataba tunaludisha biashara ya utumwa😊
Tweet media one
61
57
804
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Night Club za Tanga ukiona umeletewa kinywaji Cha ofa na mtu usie mjua, achana nacho utanishukuru baadae😂😂
52
32
798
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Yaani Malaya wanajua sana kucheza na akili zetu "Utasikia nipe baba nipe ni wewe tu"😂😂
62
62
774
@EddoLalika
Eddo Lalika
10 months
Kitu ambacho CCM wamefaulu ni kuwekeza kwenye Chipukizi (Vijana wenye umri mdogo) nadhani hapa vyama vya upinzani vinatakiwa vijifunze sana kwenye kuandaa hazina ya rasilimali watu kama CCM.
Tweet media one
139
32
800
@EddoLalika
Eddo Lalika
3 months
Wameanza kupush hashtag za kumchafua SATIVA hii haikubaliki
66
82
809
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Kumbe yule dada wa kanda ya ziwa ni kachelo na mpo kimya tu, mnataka tuyakanyage tukabanwee mapwege/Mbupu na spana😂😂
34
31
791
@EddoLalika
Eddo Lalika
26 days
Tunaelekea wapi kama nchi!!)🤔🤔
Tweet media one
11
76
811
@EddoLalika
Eddo Lalika
9 months
Jaivah tuachie mademu zetu😒😒
Tweet media one
48
53
793
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
ELIZABETH WA TILISHO: Eddo ukitaka nikukubalie haraka, uwe unapanda mabasi ya TILISHO kama ulivopanda Leo.😊
Tweet media one
41
55
787
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Tusinyonye hovyo jamani kuna GONO la mdomoni🙄
48
33
761
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Huyu jamaa ndio anatufanya wanaume wengine tuonekane hatuna maana, valentine na ipite😒😒
Tweet media one
68
46
779
@EddoLalika
Eddo Lalika
2 years
Yule anaesemaga wanaume wote ni mbwa ona anavyoteseka Sasa😂😂😂
Tweet media one
34
50
778
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
Tunamleta kwenu FEISAL a.k.a Toto lilopeleka nongwa kwa Maza, hakika Yanga wanajuta kumsajili huyu last born.😃😃
Tweet media one
44
62
771
@EddoLalika
Eddo Lalika
1 year
HERODE: Sasa DENGE twende huko huko gheto kwako ukanioneshe hivyo vyeti😊
Tweet media one
30
45
775