Jeany
@jeju_julius
Followers
4K
Following
56K
Statuses
30K
health & Beauty commercial_ model God stand with me and my family's 🙏 love mom & dady and my family ♥️ proudly _ Tanzania🇹🇿 #blackbeuty #wigorginal
Tanzania
Joined July 2020
Leo ni siku ambayo naikumbuka daima tarehe 16/9/2022 niliondokewa na mpendwa wangu anaitwa HILARY alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa WA Figo alinipenda Sana alinipa Kila ninachokihitaji kutoka kwake na nilikuwa na simamia miradi yake akuwahi kunieleza kuwa anasumbuliwa na Figo siku Moja napiga Simu inapokelewa na mdogo wake ananieleza kaka anaumwa yupo KAIRUKI HOSPITAL nilivyofika pale Mimi machozi yananitoka Hilary akaniambia usilie jeany sikutaka kukueleza kweli sababu usingenikubali nikamwambia usjari mungu yu pamoja nawe niliondoka kesho ndugu zake wakasema anatakiwa kwenda AFRICA KISINI Kwa ajili ya matibabu nilimuomba Hilary twende wote akanieleza wewe Baki unasimamia miradi ndugu zangu wapo nikwambia sawa walivyoondoka walifika tukawa tunawasiliana kupitia Simu ya mdogo wake siku Moja napigiwa Simu na mdogo wake asubuhi jeany kaka anataka kuongea na wewe nilivyopokea alikuwa ananiambia nimekumis J wangu uku machozi yakimtoka nikamwambia why!! Unalia akasema hapana nakumis Sana akanieleza kunishauri vitu vingi Sana tukaagana ilivyofika saa 10 jioni nilipiga Simu ili nijue Hali anaendeleaje Kwa Simu ya mdogo wake aikupokelewa Simu yake nayo apokei masaa 3 Simu haikupokelewa baada muda kidogo napigiwa Simu na mdogo wake anasema kaka atunaye Tena nilililia Sana zaidi ya Sana vipi taratibu akasema kesho uje airport tunasafirisha kupeleka bukoba nilivyofika airport nikaona mwili wake unashushwa hapo hapo nilipoteza fahamu nilikuja pata fahamu badae Sana tulielekea BUKOBA kwao Kwa ajili ya mazishi tulizika Salama nikarudi Kila kitu kwangu kiriharibika nikaanza Moja Daima sitoacha kukuombea 🙏
193
125
757
RT @thickfaah06: Mchezo wa 3,000 watu 10 kupokea wig la thamani ya 150,000 mtu anatoka kila baada ya siku5.
0
4
0