Kante Mp2025🇹🇿 Profile
Kante Mp2025🇹🇿

@MkulimaKante

Followers
4,522
Following
5,591
Media
1,287
Statuses
18,879

Muuza Ukwaju Mstaafu🇹🇿

Dodoma, Tanzania
Joined July 2017
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
7 months
SIKU NZURI KAZINI😇 Kwenye kila shughuli mtu yeyote huwa ana siku moja nzuri ambayo huikumbuka na kuiona ni ya kipekee. Ndivyo ilivyokuwa kwangu siku moja nikiwa nimekwisha pakia mzigo wangu wa ice cream 90 ofisi kuu Kisasa,Dodoma nikasali na kuweka begi mgongoni tayari kuondoka
Tweet media one
129
259
2K
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Kwa hili jua la leo lazima watu wale ukwaju!!😁Dear Sun Please Usiniangushe
Tweet media one
50
70
1K
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Kuna wakati fulani kiumbe cha Mungu nilijaribu kurusha nyavu kwa dada mmoja walau niwe mahusianoni lkn knock out nilipigwa ndoige ikasome😁.Alinizaba jibu la kikatili sana nanukuu" Yani Mimi Nidate Na Muuza Ukwaju Unanichukuliaje We Kaka"🌏toka hapo mambo za kutongoz naziogop
Tweet media one
56
49
1K
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Kiumbe cha Mungu nishawahi pitia life fulani hv ambalo uhakika wa kula unautafuta kwa tochi mbaya zaidi nasoma😁 nikapiga hesabu zangu za haraka nikagundua nikiwa na 2k naiishi kwa siku, Nikaondoa aibu nikawa nauza batook venue wanachuo wenzangu walinisupport sana huw nawaombea
Tweet media one
66
44
854
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Wakuu Wa Wakuu Kwa Hizi Mvua Za Kushtukiza, Kuuza Ukwaju Tutarudi Msimu Wa Kiangazi😁Tunabadili Gia Angani!!
Tweet media one
32
43
805
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
Niseme Nisiseme? Anyway ngoja niseme tu liwalo na liwe ikumbukwe jezi yetu pendwa ya @yangasc1935 iliyobuniwa na mbunifu wa kimataifa kutoka nchini Tanzania @SheriaNgowi ilizinduliwa mapema kabisa jana wenzetu @ManCity wakaona wacopy na kupaste ubunifu huu📌.
Tweet media one
Tweet media two
54
39
694
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
4 months
Akili Yangu Inahisi Kuchoka Nahitaji Kupumzika Ndugu Zangu Watanzania🙏 Asanteni kwa kunipokea vizuri, Nahitaji Kulala Sasa
117
33
695
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
Wakuu narudia tena ogopa sana hustle ambayo hujui mteja utamkutia wapi😂, Ukiona mtu anatembeza kitu hebu muungishe tu maana hujui ametembea kilometre ngapi📌🤣
Tweet media one
37
44
659
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
6 months
Pale Tosamaganga vijana wa PCM ticha akiingia class kwao kumkuta monitor na mtumishi mmoja kawaida😁Wengine wote wanasomea misituni au kwenye machemba yao kama mahandaki hivi, Wanaonekanaga wasumbufu ila pepa ya mwisho utakutana na A zao za Pure Math noticeboard zimenyooka😁
Tweet media one
59
37
670
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
Eid Mubarak Wakuu Wa Wakuu, Kwa sisi wauza ukwaju leo ndio ile siku tunamwomba Mwenyezi Mungu jua lipige kama ngoma tuwalambishe watu ice cream
Tweet media one
19
26
562
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
Kwa utafiti mdogo nilioufanya nimegundua jezi za @yangasc1935 ndizo jezi pendwa kwa raia wengi wa kigeni hii inaonesha ukubwa wa @yangasc1935 na ubunifu bora wa jezi hizi uliofanywa na @SheriaNgowi
Tweet media one
7
18
528
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
Punde Si Punde Nchi Itaenda Kusimama Kwa Muda, Stay Tuned @SheriaNgowi kwenye moja na mbili tena. As Usual Wananchi Tutakwenda Kutembea Kifua Mbele,Ni wakati wa wananchi kwenda kuvunja vibubu kwa ajili ya kununua jezi bora Afrika Welcome To The World Of @SheriaNgowi 🌏
Tweet media one
11
21
405
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
Mwenyezi Mungu Azidi Kubariki Maombi Ya Wapambanaji Wote! Jah Bless🤲
34
73
386
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
7 months
Message niliyopata pale ni kuwa kama kafanya hivi kwangu basi hiyo ndio roho yake njema ilivyo na kwa wengine ,Namshukuru Mungu nilirudi chuo na kumaliza huku @halimamdee akiwa na mchango wake katika elimu yangu na wengine wengi sana ambao nao naandika waraka wao wa upendo😇🤲📌
Tweet media one
12
20
374
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
6 months
Kati ya kitu maisha yalinifundishaga ni kuheshima neno "Shida", Mtu akinambia nina "shida" kuna msisimko huwa naupata shida inaweza ikakufanya uanze kumuuliza maswali magumu sana aliyekuumba, Shida hukimbiza ndugu na marafiki,Shida yaweza mliza mtu mzima na ndevu zake📌
Tweet media one
Tweet media two
11
41
353
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Me ni simba ila twende mbele turudi nyuma wachezaji wa yanga wanapendeza sana ase😁
Tweet media one
42
11
294
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Yule boi muuza ukwaju @ofclbakhresagrp
Tweet media one
14
13
246
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
Forest Rangers (Zambia) Mabingwa wa ligi ya Zambia leo wamecopy jezi ya mechi yao ya leo ABSA cup final dhidi ya Muza Fc ikumbukwe jezi yetu ya njano @yangasc1935 ilibuniwa na mbunifi wa kimataifa kutoka Tanzania @SheriaNgowi apewe maua yake📌💚💛🖤
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
13
32
237
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
Jezi zenye miujiza yake! designed by @SheriaNgowi
Tweet media one
0
9
222
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
Itafika wakati wachezaji wa @yangasc wakivaa huu uzi kuna timu itakataa kuingiza wachezaji uwanjani ndio ni uzi huu wa home kit ukipenda uite "The Blue Magic" designed by @sheriangowi
Tweet media one
1
10
223
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Jaketi Kama Hizi Zinapatikana Yanga Pekee!
Tweet media one
14
6
187
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
Tunapoendelea kufurahia ushindi wa @yangasc1935 tusiache kuwakumbusha kuhusu jezi bora Afrika iliyobuniwa na mbunifu wa kimataifa kutoka Tanzania @SheriaNgowi
Tweet media one
2
9
191
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Basi bhan baada ya kumaliza masomo utagundua ni rahisi sana kupata eneo la kufanyia field study ila kupata ajira ni vita ya machozi na damu,Jobless Lab Technologist Picha kwa hisani ya field moments😁
Tweet media one
11
9
183
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Wakati fulani 2018 nikiwa Makuyuni JKT basi nilikuwa naliogopa sana jeshi, makamanda mbalimbali wakanibatiza jina la mitelu ila kuna afande mmoja jina "×" akanambia ili usiwe na mtelu at least jifunze hata kudoji ndio ukamanda,Siku nilipodoji ni kama nilikuw nimeyakanyaga🔞
49
20
170
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
4 months
Wengi wamependezwa na ukarimu wangu nasema asanteni sana mimi ni mtanzania mwenzenu🙏
Tweet media one
20
4
168
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
A place called @porkjointdodoma Karibu tukuhudumie📌
Tweet media one
Tweet media two
12
19
163
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Baada Ya Uchovu Wa Siku Nzima, Usisahau Kupumzika Wewe Sio Mashine😁
Tweet media one
4
8
158
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
7 months
Mungu Si Athumani Nikiwa na begi langu nikasikia sauti ikiniita kutokea kwenye gari moja ikabidi nichomoke speed maana sisi huitwa kwa jina moja tu la "ukwajuu" ukizubaa tu anafika mwenzako nilipofika kwa gari nikamuona dereva akiwa na @halimamdee na @esteramosbulaya nikashtuka!
Tweet media one
2
3
157
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Unapowazuru wengine,Twaomba utukumbuke🙏
Tweet media one
5
11
149
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
7 months
Nikiwa nimekwisha ingia viwanja vya Nyerere square maeneo yangu ya kujidai maana wanaopakwa kucha rangi ndio huwa wateja wetu sana sema siku hiyo ilikuwa tofauti maana ni watu wachache tu walikuwa vimbwetani, mpiga picha mmoja akasema dogo nenda jamuhuri kuna bonanza la wabunge
Tweet media one
1
3
150
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Amini usiamini @SheriaNgowi pamoja na @yangasc1935 wako mbele sana ya muda ni vile tu baadhi ya watanzania hawapendi kuappreciate hadharani ila moyoni wanalitambua hili, Ona hawa ni @TshepoJeans wamezindua nguo zao hv majuzi hii idea ni @SheriaNgowi mtupu aheshimiwe sana
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
9
10
148
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Fireboy Dml Huyu Kijana Atengwe Anaimba Sana Asee🥂
9
6
145
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
A.75 Bila Kupayuka Biashara Ya Ukwaju Hutoboi📌😁
Tweet media one
9
5
145
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
6 months
@iamcleopatricia kwa hakika nilichojifunza kuhusu wanawake ni hiki 1.Wanawake wana jicho la tatu la fursa, waweza kuwa fursa kwake kwa mwanzo akitokea mwenye fursa zaidi utakimbiwa tu. 2.Wanawake wakifika hatua ya kuhisi wanaweza jitimizia mahitaji yao ya kiuchumi kazi unayo
17
6
148
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
7 months
Moyoni nikiwa nina wingu la furaha ya keep change ambayo ni faida yangu ya ice cream kwa siku nzima wao wakiwasha gari tayari kuondoka nami nimekwisha omba picha ya kumbukumbu😇mheshimiwa @halimamdee akatoa kiasi cha pesa na kunambia kijana hii kaongezee ada nilihisi kulia🥹
Tweet media one
1
6
145
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
7 months
Umbali kutoka Kisasa zilipo ofisi mpaka kukamata viunga vya mji kuu ni umbali wa kuchosha mwili ukizingatia usafiri wangu ni miguu, hilo halikuwa na shida maana nilishazoea na ilinisaidia kuuza ice cream chache humo njiani kwa wauza maduka,wadada wa saloon hivyo mzigo kupungua.
Tweet media one
2
4
146
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Happy Birthday To Me!!
Tweet media one
24
11
127
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
Itoshe kusema kwamba jezi mpya zinazokuja hivi karibuni ni za motoo sana narudia tena ni za motoooo haswaaaaaa📌muhimu kuandaa maokoto ya kununulia jezi @SheriaNgowi
Tweet media one
2
3
137
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
1
0
114
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
7 months
Moyoni nikajisemea liwalo na liwe hakuna kumuogopa mtu ukizingatia biashara yetu ya ukwaju na aibu haviendani😁nikajisemea kama protocal huvunjwa basi zivunjwe lazima niuze ukizingatia nilikuwa napambania kupata ada kwa kuuza ukwaju na karanga😃
Tweet media one
Tweet media two
2
4
136
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Oya waliosema kwa ground ni kugumu sana hawakuwa wanatania,Tuulize wauza ukwaju kipindi hiki cha mvua😂
Tweet media one
4
7
130
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
TBT📌
Tweet media one
8
5
128
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
SUPER HERO @GibsonKawago with BILLION SMILES. When you've been fighting for it all your life You've been struggling to make things right That's how a superhero learns to fly Every day, every hour, turn the pain into power
Tweet media one
0
2
130
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
Basi bhana kuna watu walipatia mume/mke kwa hivi viunga😁
Tweet media one
14
6
125
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
7 months
Kwa ukarimu mwingi sana na kwa namna ambayo sikuitarajia mheshimiwa @halimamdee na mwenzake @esteramosbulaya wakanambia niwape ice cream za maziwa na dereva kisha nikapewa kiasi cha pesa kilichonihitaji nirudishe chenji nikiwa natafuta chenji nikaambiwa hiyo baki nayo🤲🙏😇😃
Tweet media one
1
3
125
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
7 months
Sikutaka kujifikiria mara mbili kwa haraka sana nikaondoka square kuelekea jamuhuri maana hizi biashara zetu ukichelewa dakika moja tu utakuta mwenzako kakuwahi na kawalambisha watu wote wewe utabaki kuona maganda tu😁 nashukuru nilipofika pale nikiwa na kama ice cream 80 kwa beg
Tweet media one
2
3
121
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
5 months
Happy birthday my lovely daughter,Dady loves you so much
Tweet media one
43
6
115
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
7 months
Nikiwa katika hali ya kushukuru sana kwa wema ule mheshimiwa @halimamdee na mwenzake wakawa very cooperative kiasi cha kunifanya mimi niwaone ni binadamu wenzangu na tunaweza kuongea na nikasikilizwa😃hivyo tukawa washikaji kwa muda wakapat kujua mawili matatu kunihusu.
Tweet media one
1
2
116
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
7 months
Namshukuru Mungu nilipofika hapo ndipo nilipoamini ilikuwa ni siku nzuri kazini japo nilikuta wenzangu washauza uza kwenye majukwaa ambapo walikuwepo watazamaji baadhi wa bonanza lile hivo ikawa ngumu kiasi maana wengi tayari wana ice cream mkononi😁 isipokuwa waheshimiwa
Tweet media one
1
3
112
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
Nilichojifunza kwa hakika maneno huumba, Ikumbukwe hii speech ilitolewa na mbunifu wa kimataifa kutoka Tanzania @SheriaNgowi siku ya uzinduzi wa jezi na kweli Mungu kajalia @yangasc1935 sasa ni mabingwa wa ligi kuu mara ya 29.Glory to God📌
4
9
111
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
Hii comment ya mheshimiwa spika huwa inanipa nguvu sana ya kupanga mikakati mikali kuelekea kulichukua jimbo fulani ifikapo 2025🇹🇿Inshallah
Tweet media one
7
3
105
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Valentine ishapita,Mapambano yanaendelea! Anyway jana tumeuza sana ukwaju kwa wapendanao, Kumbe mapenzi sio gharama kivile😁📌2023 nazama kwenye dimbwi la mapenzi liwalo na liwe!
Tweet media one
2
1
104
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
@yangasc1935 wameshinda nchi nzima imefurahi, Yes wananchi wamefurahi kwa ushindi huu wa kihistoria hii ni kubwa sana ukiachana na ubora wa timu napata nguvu ya kusema kuna namna fulani uzi huu "The Blue Magic" designed by @SheriaNgowi umekuw ukitupa matokeo mazuri sana sana.
Tweet media one
1
4
104
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
A place called home🌏
Tweet media one
12
5
103
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
2021 Unabaki kuwa mwaka wa kumbukumbu kwangu,Ni wakati ambao nilihisi nipo gizani ila Mungu akaleta mwangaza,Ninabaki kuwashukuru watu wote walionichangia hata nikaweza kurudi chuo na kuhitimu masomo yangu.Nilijifunza uvumilivu, upambanaji lakini pia watu wema wapo @millardayo
6
13
96
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
Hapa Ni Wapi?
Tweet media one
41
7
97
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Kiukweli sisi chelsea tunawatamani sana man u😁
Tweet media one
10
8
90
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 months
@mshambuliaji Kitu kizuri kuhusu uislamu ni mazishi yao Hakunaga mambo mengi. Safi sana, Apumzike Kwa Amani
4
2
94
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
6 months
@eastafricatv Sisi kama yanga lengo letu lilikuwa makundi na tushalivuka nusu fainali na fainali hizo ni anasa😁
2
1
92
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
Mwamba huyu hapa @SheriaNgowi , Naweza kumwita game changer kaleta mapinduzi makubwa sana kwenye biashara ya jezi kwa vilabu vyetu hapa nchini siku ya leo @namungofc wametambulisha jezi zao huku nao wakijinasibu kutoa maana ya kila kit📌ikumbukwe hizi mambo muasisi ni @SheriaNgowi
Tweet media one
1
6
88
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
The good thing about Tosa school ni ule wimbo wao wa shule😂umekaaga kibabe sana haunaga chorus,Shule Yetu Tosaaaaa😂😂
Tweet media one
5
7
80
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
4 months
Girl's Role Model @KivuyoLaurel
Tweet media one
10
2
83
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
Sema Hawa @ManUtd inaonekana inawafuatilia sana @YoungAfricansSC pamoja na mbunifu wa kimataifa kutoka Tanzania @SheriaNgowi tunaendelea kukumbushana man u wamezindua jezi zao na wamekopi ubunifu uliofanywa na @SheriaNgowi kwenye msimu wetu wa 2021/2022 zingatia hizo patterns📌
Tweet media one
Tweet media two
7
4
82
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
The Green Magic" Designed by @SheriaNgowi pichani ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Mpira wa Miguu CAF,Mohammed Sidat akipokea zawadi ya Jezi ya Young Africans SC kutoka kwa meneja wa timu Walter Harson wakati wa hafla ya ya mafunzo ya Leseni za Klabu na kumkabidhi Jezi ya Yanga
Tweet media one
1
1
82
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
Mwamba kabisa anayependezesha wananchi @SheriaNgowi 📌Unaambiwa Kule Wameleta Mwingine Je Watauweza Huu Moto Kweli?
Tweet media one
3
3
82
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
Kijana mwenzetu na mtanzania mwenzetu @GibsonKawago Atakua na Tour Marekani ya Teknolojia kwa ajili ya kukutana na wataalamu mbalimbali wa Teknolojia na kuangalia jinsi anavyoweza kukuza Teknolojia ya Betri za Lithium Za WAGA .Hii ni kubwa sana kongole kwake
Tweet media one
3
14
79
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Ukifuatilia kiundani kabisa utagundua Yanga wana mipango ya kuchukua ubingwa kimataifa, Achana na hawa jamaa zingatia begi ya ukwaju hapo nyuma!!
Tweet media one
2
5
76
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Ifike mahali @SheriaNgowi apewe maua yake ikiwa wakuu wa serikali wanatambua ukubwa wake kwenye suala la ubunifu lakini bado atatokea mwenye chuki mmoja ambae pasipo kujua watu wanaumiza akili kiasi gani kwenye ubunifu ataongea lolote analojisikia kusanifu. Tujifunze kuappreciate
Tweet media one
5
2
76
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Basi bhana @ofclbakhresagrp wanasaidia sana viumbe vya Mungu kuendelea kusurvive maana kwa ground ni do or die Mwenyezi Mungu azidi kumbariki😇
Tweet media one
3
9
74
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
@mshambuliaji Tuendelee kuilaumu serikali au na sisi tufosi mazingira tuwe sehemu ya serikali tuchukue mabilioni afu tulaumiwe, choose your side wisely
15
2
75
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
@FrankKhalidUK he have fun in jail
4
0
69
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Basi bhana siku moja kiumbe cha Mungu niliona post ya tangazo la kazi kwa dada yetu shishi food alikuwa anazindua restaurant yake mjini kati nikasema wacha niende nikarushe nyavu hata ya kuwa mhudumu tu pale😁 sijui nilitaka kusema nn ila nayo nilikosa..Kwa ground kuheshimiwe!!
7
2
73
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Kitu kikubwa maisha yamenifundisha ni kuwakumbuka wale wote waliosimama na mimi katika nyakati ambazo zilikuwa ngumu kwangu! Hata wale waliotoa mia tano zao na mia mbili zao kununua batook na karanga zangu ili kiumbe cha Mungu nisurvive, Nikisema huwa nawaombea namaanisha!
Tweet media one
2
7
69
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
5 months
Ukienda Tabora Barabara Za Lami Zimejengwa Hadi Msituni, Kama Sweden Hivi
13
12
72
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Kipekee niwashukuru @ofclbakhresagrp kwa kuona si vema kiumbe cha Mungu kutumia miguu kama ngamia, Sasa ni mwendo wa kuserereka tu na bike😁Oya ogopa sana harakati ambayo hujui mteja utaenda kukutana nae wapi unaweza uza ice cream mbili tu kwa siku😂
Tweet media one
6
2
70
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
Simamisha ujenzi, Nawasalimu kwa jina la @SheriaNgowi 🥂📍🔥🔥🔥
3
6
69
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Tutegemee Makubwa kila iitwapo leo kutoka @yangasc1935 .Hongera sana @SheriaNgowi #BidhaaBoraAfrika
Tweet media one
1
3
68
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Wahenga walisema damu ni nzito kuliko maji,And I Agree😁Mzee hakupigwa📌
Tweet media one
6
3
66
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
@Sirjeff_D Unataka kusemaje mkuu au sijaelewa😁
Tweet media one
4
0
66
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
@EricNjiiru Mandonga is Mohamed Ali In Words
0
1
66
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
@iamjuddah @rebeccapeter04 Judah Stop Lying, We all know you sold Jesus Christ...You are always after money
4
0
62
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
11 months
Haya sasa club ya @YoungAfricansSC ishaingikia group stage za ndaaani kabisa @SheriaNgowi ashamaliza kazi yake ya kudesign yanga kits kwa ajili ya mashindano ya CAF kuanzia sasa hivi saa yeyote mwamba atapuliza kipenga kutambulisha jezi bora kabisa kuwahi kutokea stay tuned.
Tweet media one
0
5
65
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
When Mwanaukwaju Meet Mwanasiasa,Yanaongelewa Maisha Ya Kijana Wa Kitanzania📌
Tweet media one
Tweet media two
3
4
61
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
ule wasaa wa kusambaza CV,kwa ground uwongo ni mwingi sana wakuu wa maofisi wakisema watakupigia jua imeisha hiyo😁
Tweet media one
4
6
63
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
0
0
51
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
Sema hii Thread kupata followers n easy sana ndani ya saa moja followers 900 zidisha mara saa 24 nitakuwa bloo kabisa😁
Tweet media one
3
4
55
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
🖤💛💚
4
4
57
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
Kiumbe Cha Mungu,Tunaendelea Kusambaza CV😁
Tweet media one
3
5
57
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
@ze_mandevu Baada Ya Kumaliza Masomo Nilipata Kaziii Eeeh😁📍📌
Tweet media one
6
2
55
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
6 months
@fbuyobe 😂😂😂huyu mwamba mwenye kofia ukimuangalia vizuri unaona kabisa anajua karate kombati
4
1
57
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
Epuka matapeli 📍Tanzania designer wa jezi ni mmoja tu si mwingine ni @SheriaNgowi Wananchi Tembeeni Kifua Mbele 💚💛🖤 Jezi Za Msimu Huu Ni Za Moto📌
0
4
57
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
A place called earth!!!
Tweet media one
5
4
53
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Wahenga walishawahi kusema "Every great design begins with an even better story." na hiki ndicho amekuwa akikifanya @SheriaNgowi big up kwake tujiandae kuona akivunja rekodi zake mwenyewe tena.Young African Kits 2023/2024 Coming soon💚💛🖤
Tweet media one
0
0
55
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
21
5
55
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Shabiki wa simba ukija kutaka kushindanisha jezi zenu za kimataifa na zetu nakuzaba mkofi😂
Tweet media one
5
4
54
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
6 months
Pale Tosa ni heri mtu akose vipindi vyote vya darasani ila asikose wali wenyewe huita "nyali"😁wale vijana wapo tayari kuandamana
Tweet media one
8
3
55
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 months
@Sirjeff_D Kuna mdau alinambia chama X kikiingia madarakani nchi hii itaendelea sana nikajisemea ihiiii Vyama Vya Siasa Huwa Opportunistic Siku Zote, Ni Kama Wanawake Tu
3
6
54
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
2 years
Mtihani mkubwa katika maisha ni jinsi ya kuishi na watu waliotuona hatufai kwao bila sababu yeyote!
5
4
51
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
1 year
MUUZA UKWAJU.
Tweet media one
4
3
54
@MkulimaKante
Kante Mp2025🇹🇿
7 months
@prossoff 😂😂Vijana wa kiume nashauri kama kuhudumia tuhudumie wazazi kwanza
6
2
52