Niseme Nisiseme? Anyway ngoja niseme tu liwalo na liwe ikumbukwe jezi yetu pendwa ya
@yangasc1935
iliyobuniwa na mbunifu wa kimataifa kutoka nchini Tanzania
@SheriaNgowi
ilizinduliwa mapema kabisa jana wenzetu
@ManCity
wakaona wacopy na kupaste ubunifu huu📌.