Mawazohuru_ Profile Banner
Riziki Mtui Profile
Riziki Mtui

@Mawazohuru_

Followers
864
Following
1K
Statuses
2K

Writer | Blogger | Teacher

Tanzania
Joined November 2017
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Mawazohuru_
Riziki Mtui
3 days
Tuache utani mtandao gani kama @YasTanzania_ utakuruhusu unagalie account yako ya bank bure?☺️
0
0
0
@Mawazohuru_
Riziki Mtui
6 days
@MsigwaGerson Msigwaaaaaaaa nini tena?
0
0
0
@Mawazohuru_
Riziki Mtui
9 days
@GetrudeMligo Tunakemea pia maudhi ya kueneza uovu na mmomonyoko wa maadili. Sasa hivi imekuwa too much
0
0
0
@Mawazohuru_
Riziki Mtui
12 days
@NemcTanzania nahisi mnahitaji sera za kutunza mazingira nasi maneno tupu. Mafano hizi chupa za vinywaji kwa nini zisipandishwe thamani ili watu waomote na thamani hii viwanda pia vihusike.
Tweet media one
0
0
0
@Mawazohuru_
Riziki Mtui
12 days
@godbless_lema Mkuu wewe umeona tu waziri alivyozuiliwa sasa pata uhalisia kiasi gani raia anapotaka kumuona kiongozi wake katika eneo husikaπŸ₯²nadhani wengi mnafahamu mziki wake
0
1
2
@Mawazohuru_
Riziki Mtui
13 days
@Sirjeff_D Bro leoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚halafu ukute wazazi hawajui unaishi na mtoto wao
0
0
0
@Mawazohuru_
Riziki Mtui
13 days
@Eng_Matarra @Labella_Mafia95 Haaaa! Tena mifano aliyotelea ni ya Putin Afrika ya KatiπŸ˜πŸ˜‚
0
0
1
@Mawazohuru_
Riziki Mtui
14 days
@MalisaGJ_ Kuna watu hawajamwelewa kabisa. Maana yake huwezi pata haki mahakamani tena taasisi iliyoaminiw kutoa haki.
1
0
12
@Mawazohuru_
Riziki Mtui
16 days
@educatedhustler God is good.
0
0
0
@Mawazohuru_
Riziki Mtui
17 days
@Jambotv_ Ukiwa kiongozi Tanzania jitahidi usiongee utani koz watanzania hatutafuti maana zaidi πŸ˜‚πŸ˜
0
0
0
@Mawazohuru_
Riziki Mtui
19 days
@millardayo Ila mlimchafua sana na huwezi elewa maumivu iliyobeba.
1
0
3
@Mawazohuru_
Riziki Mtui
19 days
@Jambotv_ Kuna shida sana kwenye kauli za Serikali. Mfano Elimu kuna wazazi hata mia hawapo tayri kutoa. Hivyo Serikali iweke mikakati kwa kauli zake ni kipi bure kabisa
0
0
0
@Mawazohuru_
Riziki Mtui
19 days
0
0
0
@Mawazohuru_
Riziki Mtui
19 days
@Phbhimself Afanye hivyo coz yeye aliponea chupuchupu
0
0
0
@Mawazohuru_
Riziki Mtui
19 days
@godbless_lema Kumbe kelele zako zimekuwa baraka. Very positive video
0
0
0
@Mawazohuru_
Riziki Mtui
19 days
@Dr_DGwajima @Nbc_Epl πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
0
0
0
@Mawazohuru_
Riziki Mtui
24 days
@elonmusk Hypocrisy Elon
0
0
0
@Mawazohuru_
Riziki Mtui
26 days
@kapeto98 Leshoto kaka Marangu aisee
0
0
1
@Mawazohuru_
Riziki Mtui
26 days
@dkching12 Makete aisee
0
0
0
@Mawazohuru_
Riziki Mtui
26 days
@Eng_Matarra Nimetafakari sana ila nimegundua ili nifanye haya yote kaka aliyosema nahitaji kuacha kazi ya sasa ya ualimu.
1
0
2