![🅜🅐🅢🅔🅘 Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1886714673099104256/XD0-vz44_x96.jpg)
🅜🅐🅢🅔🅘
@Lyakale_
Followers
1K
Following
205K
Statuses
15K
Joined February 2021
@HildaNewton21 Mhubiri amesema vyema sana. Kuna wafanyabiashara wa imani na matapeli wa injili ambao wao kazi yao ni kuwatumia watu kujipatia utajiri lakini hawako tayari kusimama na hao watu kuhusu haki zao. Wale ambao wauwaji wanakwenda kuteka vipaza sauti na kupiga porojo nao wanashangilia.
0
0
0
@Jambotv_ @ccm_tanzania Deni pekee analonidai ni tiketi ya mapumziko kupisha rais mwenye msimamo na uwezo wa kuitoa nchi iliko sasa na kuipeleka inakostahili kuwako. Kiongozi anayepiga vijembe, kukejeli au kukaa kimya wakati maovu yanatemdeka kwa watu wake basi huyo hana kibali cha Mungu.
0
0
0
RT @ChiefMKOMWA: Mwanasiasa Wangu Bora na Wamfano Wa Kuigwa Kwa Kipindi Hiki Kwangu Mimi ni Huyu Kaka Yangu @godbless_lema Amenishangaza Sa…
0
56
0
@Ndolezi_Petro Kuna wakati nilihisi labda ni mimi peke yangu niliyeona kwamba hili ni tatizo mpaka nikajishtukia. Tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu na hakuna anayejua rais ajaye atakuwa na maono gani kuhusu wizara mbali mbali au wasaidizi wake halafu mhuni anakuja na saini zake kwenye fedha. 🤷♂️
0
0
0
@tolemongikoro @mdudenyagali Una haki ya kuwa mpumbavu lakini hauna haki ya kuamua kuhusu wengine. 🤝
1
0
1
@LazaroNyalandu Haja ya moyo wangu ni kuiona Tanzania Mpya yenye amani na isiyo ya utekaji bila ccm. Nina imani mwaka huu tunakwenda kupokea kwa jina la Yesu. 🙏
0
0
0
@mdudenyagali Kuna kingine wanachoweza zaidi ya kuteka vijana kwa kuwapigia simu au kuwanyima dhamana wazee?
0
0
1
@mdudenyagali @mwigulunchemba1 Ndio maana amekimbilia kuweka saini yake kwenye fedha wakati tunaelekea kwenye uchaguzi na hakuna mwenye uhakika wa atakuwa nani baada ya hapo. 🚮
0
0
5
@DenisMarwa29429 @tanpol Hayo sio madhaifu, ni upumbavu wa kujitakia. Kwani serikali yako ilivyotunga huo wimbo kwa ajili ya Amin, wao walikuwa wakamilifu sana?
1
0
0
@TheRealEkiswaga @IAMartin_ @kafulila_david @zittokabwe Labda mtuambie nyie wanaccm, shaka ni kitu gani?
0
0
0
@jacksonmnyawam2 @SuluhuSamia Hii inamaanisha kwamba eidha mtangulizi wake alikuwa anafanya maigizo ama huyu anawaogopa wahuni.
0
0
1