“Bearer of the flame of Justice for the masses”...Concerned Citizen, an East African. Member of Parliament for Mahonda Constituency Retweet not an endorsement
Kwa niaba ya familia ya Mzee Mwinyi, ningependa kuchukua fursa hii kuwashukuru Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM kwa kumchagua kaka yetu kwa kura za kishindo kupeperusha bendera kwa nafasi ya Urais wa Zanzibar.
Alhamdulilah tumekamilisha Dua ya Mzee wetu alivyotimiza umri wa miaka 98 tarehe 08.05.23. Salamu zenu zote tumemfikishia. Tunamshukuru Jalali amemjaalia Shifaa, Umakini na Utimamu. Amefurahishwa sana na salamu zenu zote. Thank you.
Mbuyu umeanguka, Maktaba imeungua. Tuna muomba Allah amsamehe makosa yake, na amjaalie pepo ya daraja la Juu Mzee wetu.
Naomba nichukue fursa hii kutoa shukrani zangu za dhati kwa wote mliotufariji kwa njia mbali mbali. Hatuna la kuwalipa Ila kuwaombeeni Kila la kheri. Asanteni.
Mzee Rukhsa, Safari ya Maisha yangu. Hakuwahi wania nyadhifa yoyote ya kisiasa maishani mwake, kiongozi alietwishwa “ukuu” na mwanademokrasia wa ukweli.....
Kuna tatizo kubwa sana na mtandao wa
@VodacomTanzania
jana usiku saa nne nimenunua Data ya mwezi for 50,000, leo saa tano asubuhi nimetumiwa ujumbe imekwisha, wakati nimelala. Hili tatizo
@TCRA_Tz
walitazame. Huu ni wizi mkubwa. Sijui watumiaji wangapi wanapata hii kadhia.
Nimepata taarifa za kuvamiwa na kujeruhiwa vibaya Mheshimiwa
@freemanmbowe
kwa masikitiko makubwa. Natanguliza pole kwako na familia yako. Mola akupe shifaa na siha urudi ulingoni haraka iwezekanavyo.
Familia ya Marehemu Mzee Ali Hassan Mwinyi inawashukuru watu wote waliopo Tanzania na nje ya nchi kwa kutufariji kwa salamu zenu za pole kufuatia msiba wa Mzee wetu.
Familia yetu, imefarajika sana kwa salamu za pole zilizomiminika na zinazoendelea kutolewa. Sio rahisi
Sijapata kusikia mkwaruzo baina ya hizi Taasisi mbili, kawaida inakua Serikali ndio hupambana na CAG ambayo ndio msaada mkuu wa Bunge katika kutumiza jukumu la usimamizi.......
*_CNN aired the oldest recording of Quranic reading of Sura Adhuha in Makkah 130 years ago with a very rare film of Makkah. The recording was done during the Ottoman Caliphate in 1885 in Makkah. The is one of the earliest recording technology.
Tisini na nane ametimia
Kwa rehema zake Jaalia
Uhai wa faida tunaufurahia
Ni neema kwa Wanafamilia
Na wananchi wa Tanzania
Uongoziwe jasiri twajivunia
Tuliokuwepo tuliushudia
Wasiokuwepo nao walisikia
Hadithi njema ninawaambia
Kama alivyi tuusia
Afya njema tunamuombea. 🤲🏾🤲🏾
It is recommended to recite Al-Sajda, Al-Mulk, Al-Waqia and the last 2 verses of Al-Baqara every night before going to bed.... Al-Dukhan every Sunday and Al-Kahf every Thursday evenings and Friday.
Ningependa kutoa Salamu zangu za rambirambi kwa familia ya Mzee Seif Sharif Hamad, Wazanzibari wote, Chama cha ACT Wazalendo na Watanzania kwa ujumla. Maalim Seif alikua baba wa upinzani Tanzania. Amewacha alama katika historia ya Nchi yetu. Inna Lillahi wa Inna Ilahi Rajiun.
@DoryLamptey
With no DM it will be a challenge. But where is Diego Armando Maradona? Young fans may not remember him, but he was like Messi but more explosive & more powerful. He should be in any greatest ever team in history.
Nimepewa ushauri na Mzee mtu mzima leo jimboni, “....mwanangu usifanye maamuzi ukiwa na hasira na usitoe ahadi ukiwa na furaha....” hakika ni maneno mazito.
Leo nakumbuka maneno niliopewa na Baba yangu..... muda mrefu kidogo uliopita.... “mwanangu, kila msitu na Komba wake”..... kwa waswahili wenzangu mtaelewa. Jumaa Mubarak.....
Ule Mgahawa wetu wa chakula cha kiswahili..... Nguru la kupaka, Chapati nyambunyambu, harage la nazi.... Juice la Ukwaju.... All at Mgahawa, Ground Floor Golden Jubilee Tower....
100 days of Mama Samia....
Calm Authority ✅
Regional & Int. Relations ✅
Governance ✅
Improvement of Business Env. ✅
Continuation SGR, JNHPP ✅
Finalize UG Pipeline ✅
Re-engage to start LNG ✅
Re-engage & start Bagamoyo Port ✅
Review&repeal of “offensive”Laws ✅
And more...
Naomba nifanye Survey ya Tz Twita kuhusu Uraia pacha Tanzania. Naomba nipate maoni yenu kuhusu Faida na Madhara ya Uraia pacha …. Naomba ushirikiano wenu tafadhali itusaidie kujengea hoja.
Bunge vs CAG...... The Court of public opinion has been loud and clear...... we await how the Legislative and Judicial process’ will pan out.... are we beginning to see the limitations of the current Constitution laid bare.... is a Constitutional crisis inavitable?
Kimya ni kinga kizushi, kuzukia wale wale; Kimya kitazua moshi, mato msiyafumbule; Kimya kina mshawishi, kwa daima na milele; Kimya kina mambo mbele, tahadharini na kimya. Bwana muyaka bin Haji.... Kimya Kimya msidhani, Ni ishara ya Amani.
Kimya... JK Nyerere
Leo nimesikia mjadala mkubwa sana kuhusu Ubunge na mwanzo wa kazi ya Ubunge. Nimeona niulete huo mjadala hapa Twitani. Naomba niulize hivi Mbunge anakua Mbunge baada ya kuchaguliwa, kutangazwa na tume, kuchapishwa kwenye Gazette Au baada ya kuapishwa?
@PragmaticMou
Do not forget Rafa Benitez….. and his father was a manager, grew up understanding what it takes to be a manager….. not surprised at all that he is doing so well on the hotseat.
Baada ya kutuma ujumbe huu na mjadala mkubwa uliozua mtandaoni, jambo linaloashiria kuguswa kwa tatizo hili na wengi, nimepata wasaa wa kuzungumza na uongozi wa
@VodacomTanzania
na viongozi wa
@TCRA_Tz
nitoe shukrani ya dhati kwa ushirikiano wenu (1/3)
Kuna tatizo kubwa sana na mtandao wa
@VodacomTanzania
jana usiku saa nne nimenunua Data ya mwezi for 50,000, leo saa tano asubuhi nimetumiwa ujumbe imekwisha, wakati nimelala. Hili tatizo
@TCRA_Tz
walitazame. Huu ni wizi mkubwa. Sijui watumiaji wangapi wanapata hii kadhia.
Mola ampe kauli thabit, amsamehe makosa yake, na amlaze mahala pema peponi. Mola awape wandani wake subira katika kipindi hichi kigumu. Inna Lillahi Wa Inna Ilahirajiun...
Presenting the budget estimates for Ministry of Constitution and Legal Affairs for 2023/2024. There is a budget increase of almost 60% compared to last year. The increased budget is attributed Constitution making process which is the main priority for the next Financial year.