Abdullah Mwinyi Profile Banner
Abdullah Mwinyi Profile
Abdullah Mwinyi

@Dullahmwinyi1

Followers
55,439
Following
1,239
Media
886
Statuses
25,570

“Bearer of the flame of Justice for the masses”...Concerned Citizen, an East African. Member of Parliament for Mahonda Constituency Retweet not an endorsement

Dar-es-Salaam, Tanzania
Joined April 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Kwa niaba ya familia ya Mzee Mwinyi, ningependa kuchukua fursa hii kuwashukuru Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM kwa kumchagua kaka yetu kwa kura za kishindo kupeperusha bendera kwa nafasi ya Urais wa Zanzibar.
112
145
3K
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
2 years
Happy 97th birthday to my father, guide, mentor and teacher…… wishing you many more Inshallah….
Tweet media one
78
124
3K
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
1 year
Alhamdulilah tumekamilisha Dua ya Mzee wetu alivyotimiza umri wa miaka 98 tarehe 08.05.23. Salamu zenu zote tumemfikishia. Tunamshukuru Jalali amemjaalia Shifaa, Umakini na Utimamu. Amefurahishwa sana na salamu zenu zote. Thank you.
Tweet media one
57
66
1K
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Asante Pemba.... #mwinyi2020
Tweet media one
65
50
1K
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Ni heshima kubwa kwetu. Ni matarajio yetu kupata ridhaa ya Wazanzibari katika uchaguzi mkuu utakao fanyika Oktoba 2020.
28
41
945
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
6 months
Mbuyu umeanguka, Maktaba imeungua. Tuna muomba Allah amsamehe makosa yake, na amjaalie pepo ya daraja la Juu Mzee wetu. Naomba nichukue fursa hii kutoa shukrani zangu za dhati kwa wote mliotufariji kwa njia mbali mbali. Hatuna la kuwalipa Ila kuwaombeeni Kila la kheri. Asanteni.
Tweet media one
123
110
969
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
3 years
Mzee Rukhsa, Safari ya Maisha yangu. Hakuwahi wania nyadhifa yoyote ya kisiasa maishani mwake, kiongozi alietwishwa “ukuu” na mwanademokrasia wa ukweli.....
Tweet media one
40
45
936
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
3 years
Happy Father’s day to all the great and responsible fathers out there. Happy Father’s day to the best father and grandfather of all..... Mzee Mwinyi.
Tweet media one
19
35
938
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
3 years
Happy Birthday to my one and only.... @Ms_Dahir wishing you many more....
Tweet media one
23
24
772
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 months
Kuna tatizo kubwa sana na mtandao wa @VodacomTanzania jana usiku saa nne nimenunua Data ya mwezi for 50,000, leo saa tano asubuhi nimetumiwa ujumbe imekwisha, wakati nimelala. Hili tatizo @TCRA_Tz walitazame. Huu ni wizi mkubwa. Sijui watumiaji wangapi wanapata hii kadhia.
169
113
768
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Nimepata taarifa za kuvamiwa na kujeruhiwa vibaya Mheshimiwa @freemanmbowe kwa masikitiko makubwa. Natanguliza pole kwako na familia yako. Mola akupe shifaa na siha urudi ulingoni haraka iwezekanavyo.
19
59
707
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Check mate
35
33
680
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
5 years
Sad day for governance in Tanzania.... how will history judge us?
26
103
648
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Asante Nungwi.....
Tweet media one
65
36
560
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
5 months
Familia ya Marehemu Mzee Ali Hassan Mwinyi inawashukuru watu wote waliopo Tanzania na nje ya nchi kwa kutufariji kwa salamu zenu za pole kufuatia msiba wa Mzee wetu. Familia yetu, imefarajika sana kwa salamu za pole zilizomiminika na zinazoendelea kutolewa. Sio rahisi
63
68
566
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
6 years
Tujikumbushe tofauti ya ujinga na Upumbavu.....
28
183
494
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Tutaelewana tu.......maslahi ya Zanzibar.....
38
42
508
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Clever and creative designs in bongo.....
27
111
476
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Watani zangu wa usukumani eti hii kweli?
66
68
418
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
3 years
Daily improvements, quantum of work and excellence.... Siri ya maendeleo....
21
142
398
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
3 years
Wishing Dr Salim Ahmed Salim a happy 80th birthday. An Icon and an inspiration to many. Wishing you many more.
Tweet media one
0
13
404
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
1 year
@FrankKhalidUK Robaldinho……. Most naturally gifted footballer of his generation
4
0
378
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
3 years
Somo la leo......
Tweet media one
21
50
380
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
6 years
Sijapata kusikia mkwaruzo baina ya hizi Taasisi mbili, kawaida inakua Serikali ndio hupambana na CAG ambayo ndio msaada mkuu wa Bunge katika kutumiza jukumu la usimamizi.......
17
46
376
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
9 months
Wala haturingi….. lakini tupo. Tukisema sisi, mtasema tunajisifia. Wasifu huo….. Zanzibar.
29
90
370
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
*_CNN aired the oldest recording of Quranic reading of Sura Adhuha in Makkah 130 years ago with a very rare film of Makkah. The recording was done during the Ottoman Caliphate in 1885 in Makkah. The is one of the earliest recording technology.
27
111
372
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
3 years
Back to work….. normal business resumes. Representing Mahonda Constituency….
Tweet media one
1
20
344
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
6 years
Hivi nini kinaendelea nchini? Tumekosea wapi? Eh Mola tuongoze, tunusuru na kila dhila, na tujaalie hekima katika maamuzi yetu....
27
62
308
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
8 months
Amani Stadium. 60th Anniversary of the Zanzibar Revolution.
Tweet media one
12
24
314
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
6 years
“...Ndani ya tumbo la kheri, kuna shari na ndani ya tumbo la shari kuna kheri..... “ JM Kikwete.....
8
34
280
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
10 months
@Tactical_Times Klopp needs to trust Wataru to do the job and free him up.
3
0
294
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Bajaji “ala sahani moja na Traffic”.... Bangi sio mboga jamani....
54
51
292
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
2 years
With Comrade Kinana, Jimbo la Mahonda…….. wataweza kweli?
Tweet media one
48
10
283
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
1 year
@Corballyred Easy…. 15 points, play only 45 2nd half minutes, and win 3-1 in all those games after comung from behind..😊
7
1
288
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
5 years
Hivi kuna ukweli hapa?
Tweet media one
32
53
284
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Nikisema na ndugu zangu wa Bumbwini..... wataweza kweli?
Tweet media one
16
21
273
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
1 year
@markgoldbridge @Carra23 It is not….. those 2 sentences are not mutually exclusive…. Both can and are true.
6
1
268
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
1 year
@AnythingLFC_ What a front 3 that would make. No need to make a choice. Suarez central, Mane left and Salah right….. all teams take cover….
1
2
258
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
5 years
My new read.....
Tweet media one
11
178
251
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
3 years
Pongezi na Shukrani. Asanteni sana wote mlioniunga mkono na kunipa moyo.
Tweet media one
1
30
249
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
1 year
Ameen ya Rabil Alameen
@dr_makame
Dr. Abdullah Hasnuu Makame
1 year
Tisini na nane ametimia Kwa rehema zake Jaalia Uhai wa faida tunaufurahia Ni neema kwa Wanafamilia Na wananchi wa Tanzania Uongoziwe jasiri twajivunia Tuliokuwepo tuliushudia Wasiokuwepo nao walisikia Hadithi njema ninawaambia Kama alivyi tuusia Afya njema tunamuombea. 🤲🏾🤲🏾
Tweet media one
8
10
75
9
9
253
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
From my best friend and wife.... The best birthday ever.... amidst the campaigning.... @Ms_Dahir
Tweet media one
27
13
249
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Mzaramo na mhindi part 2..... Nani bingwa?
31
58
252
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
7 years
Kilimo, Dakawa.... Morogoro tunapambana na hali zetu....
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
27
45
250
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Zanzibar Oyeeeeee....
Tweet media one
20
13
244
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Picha la kutisha..... Nungwi...
Tweet media one
18
12
237
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
It is recommended to recite Al-Sajda, Al-Mulk, Al-Waqia and the last 2 verses of Al-Baqara every night before going to bed.... Al-Dukhan every Sunday and Al-Kahf every Thursday evenings and Friday.
5
37
227
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Ningependa kutoa Salamu zangu za rambirambi kwa familia ya Mzee Seif Sharif Hamad, Wazanzibari wote, Chama cha ACT Wazalendo na Watanzania kwa ujumla. Maalim Seif alikua baba wa upinzani Tanzania. Amewacha alama katika historia ya Nchi yetu. Inna Lillahi wa Inna Ilahi Rajiun.
Tweet media one
9
24
220
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
5 years
Safu ya Ushindi.....
Tweet media one
9
25
221
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
2 months
@DoryLamptey With no DM it will be a challenge. But where is Diego Armando Maradona? Young fans may not remember him, but he was like Messi but more explosive & more powerful. He should be in any greatest ever team in history.
12
0
217
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
2 years
@Pm93Tz @zainabdehinde @SuluhuSamia @Nnauye_Nape @JMakamba @tanpol @UtaliiTz @ortamisemitz @ikuluzanzibar I have spoken to @the Minister of Tourism, Zanzibar. He is on top of the matter and a full investigation is ongoing. We are expecting an official statement on the matter soon.
12
20
215
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Nimepewa ushauri na Mzee mtu mzima leo jimboni, “....mwanangu usifanye maamuzi ukiwa na hasira na usitoe ahadi ukiwa na furaha....” hakika ni maneno mazito.
8
16
219
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
6 years
Leo nakumbuka maneno niliopewa na Baba yangu..... muda mrefu kidogo uliopita.... “mwanangu, kila msitu na Komba wake”..... kwa waswahili wenzangu mtaelewa. Jumaa Mubarak.....
10
29
209
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
7 years
Democracy in Africa, can it work.... lets listen to Mwalimu.....
8
99
209
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
2 years
Jumaa Mubarak my twitfam…. Have a pleasant weekend
Tweet media one
11
6
205
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
7 years
Ule Mgahawa wetu wa chakula cha kiswahili..... Nguru la kupaka, Chapati nyambunyambu, harage la nazi.... Juice la Ukwaju.... All at Mgahawa, Ground Floor Golden Jubilee Tower....
Tweet media one
13
32
198
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
3 years
100 days of Mama Samia.... Calm Authority ✅ Regional & Int. Relations ✅ Governance ✅ Improvement of Business Env. ✅ Continuation SGR, JNHPP ✅ Finalize UG Pipeline ✅ Re-engage to start LNG ✅ Re-engage & start Bagamoyo Port ✅ Review&repeal of “offensive”Laws ✅ And more...
14
45
201
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
6 years
“There can be no peace without Justice.....” JK Nyerere
2
40
195
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
6 years
Tweet media one
13
11
190
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
1 year
@FrankKhalidUK Messi, Mbappe, Neymar….
3
1
193
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Strangely prophetic..... keep safe.
13
54
191
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
11 months
Naomba nifanye Survey ya Tz Twita kuhusu Uraia pacha Tanzania. Naomba nipate maoni yenu kuhusu Faida na Madhara ya Uraia pacha …. Naomba ushirikiano wenu tafadhali itusaidie kujengea hoja.
47
39
190
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
5 years
Somebody jus sent this to me..... have a nice weekend....😊
Tweet media one
13
36
189
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Rizq ni amana... mafundisho kwa wale watakaozingatia...
12
54
189
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
3 years
Bismillahi Rahman Raheem. Ramadhan Mubarak
7
12
184
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
3 years
Bismillahi Rahman Raheem
9
13
187
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Great innovation from Abu Dhabi. Can’t we set-up a public private initiative to set-up branded units around the city... ? @umwalimu @DocFaustine
17
64
184
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Happy New Year and Jumaa Mubarak to all twitfam.....
5
4
175
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
1 year
@Corballyred I would say he is closer to KDB than Gerrard….. Gerrard was much more aggressive than both. All are incredible and unique talents….
2
1
181
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
6 years
Bunge vs CAG...... The Court of public opinion has been loud and clear...... we await how the Legislative and Judicial process’ will pan out.... are we beginning to see the limitations of the current Constitution laid bare.... is a Constitutional crisis inavitable?
7
45
172
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Nungwi is yellow & green....
Tweet media one
7
20
169
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
3 years
CCM Oyeeee
Tweet media one
21
6
168
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
6 years
Mazungumzo baada ya futari..... @moodewji
Tweet media one
5
10
164
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
5 years
I will tell my kids this is 2019 Nobel Laureate winner Abiy Ahmed
Tweet media one
15
9
168
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Sayeed Maulana Shareef Baddawi. Allah ampe kauli thabit na ampe pepo ya daraja ya juu.
Tweet media one
20
7
167
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
2 years
Kweli si kweli?
Tweet media one
15
16
159
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
5 years
Mwenyezi mungu Nani? Tumsikilize Sh. Othman Matata atueleze kwa lugha tatu ili iwe rahisi kwa wote kuelewa.....
10
53
153
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
6 years
Kimya ni kinga kizushi, kuzukia wale wale; Kimya kitazua moshi, mato msiyafumbule; Kimya kina mshawishi, kwa daima na milele; Kimya kina mambo mbele, tahadharini na kimya. Bwana muyaka bin Haji.... Kimya Kimya msidhani, Ni ishara ya Amani. Kimya... JK Nyerere
5
28
159
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
8 years
Rais (Mstaafu) Ali Hassan Mwinyi yuko hai,mzima wa afya na tunamwomba Allah amjaalie maisha mema yenye kheri naye & ampe uzima.Amin #mwinyi
30
61
160
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Leo nimesikia mjadala mkubwa sana kuhusu Ubunge na mwanzo wa kazi ya Ubunge. Nimeona niulete huo mjadala hapa Twitani. Naomba niulize hivi Mbunge anakua Mbunge baada ya kuchaguliwa, kutangazwa na tume, kuchapishwa kwenye Gazette Au baada ya kuapishwa?
27
7
151
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
3 years
Wishing you all a Merry Christmas and a prosperous new yoear. Heri ya Noeli. Nawatakia ndugu zangu wote kila la kheri, baraka na fanaka.
Tweet media one
1
15
149
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Propagandist anasema hakuna tatizo la sukari....😊
33
25
150
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
3 years
The great Kilimanjaro....
Tweet media one
6
19
149
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Bismillahi Rahman Raheem....
5
10
149
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
5 years
This made my day..... Thank you @Ms_Dahir
Tweet media one
Tweet media two
24
15
143
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
1 year
@MrBlackOG Pulp fiction….
4
5
145
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
3 years
Bismilahi Rahman Raheem
8
13
144
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
5 years
Allah akusamehe makosa yako, na upumzike mahala pema peponi. Our prayers to your love ones on this most trying of days....
Tweet media one
7
31
143
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
1 year
@PragmaticMou Do not forget Rafa Benitez….. and his father was a manager, grew up understanding what it takes to be a manager….. not surprised at all that he is doing so well on the hotseat.
0
6
140
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Please wear it..... stay safe.
Tweet media one
1
36
138
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 months
Baada ya kutuma ujumbe huu na mjadala mkubwa uliozua mtandaoni, jambo linaloashiria kuguswa kwa tatizo hili na wengi, nimepata wasaa wa kuzungumza na uongozi wa @VodacomTanzania na viongozi wa @TCRA_Tz nitoe shukrani ya dhati kwa ushirikiano wenu (1/3)
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 months
Kuna tatizo kubwa sana na mtandao wa @VodacomTanzania jana usiku saa nne nimenunua Data ya mwezi for 50,000, leo saa tano asubuhi nimetumiwa ujumbe imekwisha, wakati nimelala. Hili tatizo @TCRA_Tz walitazame. Huu ni wizi mkubwa. Sijui watumiaji wangapi wanapata hii kadhia.
169
113
768
49
14
137
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Mola ampe kauli thabit, amsamehe makosa yake, na amlaze mahala pema peponi. Mola awape wandani wake subira katika kipindi hichi kigumu. Inna Lillahi Wa Inna Ilahirajiun...
Tweet media one
11
15
135
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
3 years
“Today is the 21st day of the 21st week of the 21st year of the 21st Century..... its a special day.... wishing everyone a very special day..” Anon...
4
32
133
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
7
21
133
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
4 years
Mzaramo na Muhindi..... ongea na Mswahili lugha anayoijua... “nitaroga tu Chawi ya kihindi”....
15
31
133
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
8 months
AM, JM and MA….. Zanzibar.
Tweet media one
7
8
132
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
1 year
Presenting the budget estimates for Ministry of Constitution and Legal Affairs for 2023/2024. There is a budget increase of almost 60% compared to last year. The increased budget is attributed Constitution making process which is the main priority for the next Financial year.
Tweet media one
9
13
130
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
6 years
Cartoon of the week..... kudos @masoudkipanya
Tweet media one
4
35
121
@Dullahmwinyi1
Abdullah Mwinyi
5 years
Parliamentary Democracy maana yake nini......? Maoni ya Nyerere....
14
42
127