Fatma Dahir. Profile Banner
Fatma Dahir. Profile
Fatma Dahir.

@Ms_Dahir

Followers
7,927
Following
1,314
Media
2,505
Statuses
37,542

In a mission to educate & support our local community. #Fursa2021 |OWN VIEWS 🤫 Khalefatma @gmail .com

TANZANIA
Joined April 2010
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Ni vizuri sana kuwafikiria/kuwasemea wenzako mazuri, kwa kufanya hivyo utawapa ari yakufanya mema na mazuri mengi zaidi.
24
91
513
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Silaha yangu ya maangamizi iko tayari kabisa. Je wewe??
Tweet media one
268
131
3K
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
2 years
Mafuta 20 litres ni laki moja na elfu ishirini...ila bei ya chapati inabakia pale pale. 🤔
Tweet media one
133
30
1K
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Unaolewa na mwanaume anasema "kolosho" baladala ya Korosho?? Si bora muninyonge tu?? 😂😂😂
170
24
953
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Kuna mtu kasema wanawake wafupi wanajua sana kupenda?? 😁🙌🙌
147
13
897
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
2 years
Nilichojifunza kuna baadhi ya watu wanajificha kwenye 'utani' kudharau na kuumiza wenzao. Utani lazima uwe na mipaka.
34
69
873
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Fursa. Kwa kuwa mmetoa yenu mengi ya Moyoni kuhusu swala la ajira na ugumu wa maisha kwa ujumla, basi ningependa kutoa Mtaji wa laki tano (500000) kwa mtu mmoja kila baada ya miezi mitatu. Cha kufanya, nitumie email @khalefatma @gmail .com uniambie kwanini nikupe wewe. Good luck.
68
129
764
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Vijana. Ni muhimu sana kuwa na mtu wa kuongea nae, kubadilishana mawazo na kushauriana. Haijalishi una kazi au hauna, haijalishi una biashara, umeoa au umeolewa unahitaji sehemu yakutolea madonge yako.
47
80
758
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Asanteni sana marafiki mnaonijulia hali na kutaka kujua naendeleaje kutokana na matusi na kejeli za hapa na pale kufuatia mchakato niloanzisha hivi karibuni wa kutoa mtaji kwa wenzangu wanao taka kujiendeleza. Niwahakikishie tu sirudi nyuma!! Nitaendelea na azma yangu.
64
45
736
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
2 years
Wafabiashara wenzangu ya chakula naomba tupeane msaada jamani, sokoni mnapamudu vp? Maana hali sio hali. Pia wateja wanapokeaje mabadiliko ya bei? Maana hakuna kitu kigumu kama kupandisha bei ya chakula ghafla.
55
41
709
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
2 years
Mt umeamka zako mpole huna ugomvi wala hasira na mtu, unakwenda zako kwenye mihangaiko yako halafu ghafla unasikia "tembea basi mjinga wewe". Wabongo? 😔🙌
57
32
669
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Kama una ofisi yako na una kazi nyingi ambazo zina deadline sio vibaya ukampa kibarua kijana. kuna vijana wako wengi tu wanaweza kazi, toa hata za data entry umnyanyue kijana.
47
65
662
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Dear kijana unae tafuta ajira. Najua kuna tatizo kubwa sana la ajira kwa sasa sababu mm ni muajiri. Lakini wakati unatafuta kazi jaribu kuwa mwenye subira, adabu na ikiwezekana tumia busara wakati unafanya mawasiliano. Asante.
Tweet media one
138
57
652
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
1 year
I am proud and very happy for you @rollymsouth endelea kuonyesha utofauti wako wa kipekee na endele kutufundisha umuhimu wa kuelewa kutumia kipaji, elimu, maarifa na rasilimali watu. Binafsi umenifunza kutambua kuwa; ukijiamini na kusimamia unacho kiamini utafika unapotaka. 👏
Tweet media one
9
34
661
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Unaolewa na mwanaume ana andika xaxa?? Jinga nini?? 🙌🙌
80
19
615
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Kama unaweza ku-afford milo mitatu kwa sasa nchi hii? Basi jua wewe upo vizuri na umpe shukrani Mwenyezi, maana sio kwa kupanda huku kwa gharama za maisha. 🙌🙌
17
50
626
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Baada ya dunia nzima kupata chanjo tutaruhusiwa kwenda kwenye nchi zingine??
63
14
576
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Kuna mtu kasema "depression is a choice" kwamba; people choose to be depressed?? How?🤔
66
15
573
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Hela bwana? Mtu kajibu tweet moja ila mswahili kashuka na gunia zima la maneno?? 😂🙌
37
15
560
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Kuna jamaa tumemfanyia interview two weeks ago, kwa position ya supervisor. Katika kuulizwa matarajio yake ya mshahara akasema "kwa kuwaonea huruma tu labda mnipe milioni maana huko nilipo napewa zaidi ya hiyo" 🙌🙌🙆‍♂️
86
10
512
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Ukiona sikujibu DM, ujue sijakuelewa tu.
Tweet media one
70
13
507
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Ndugu mteja wangu, unaruhusiwa kabisa kwenda kununua bidhaa ambayo naiuza mm kwa competitor wangu bila kujificha wala wasiwasi. Sielewi kwanini ujione unafanya kosa wakati kila mtu na riziki yake. Pia ukitaka kurudi na kununua tena kwangu huna haja yakujisikia vibaya, karibu.
35
50
509
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Kuna hili PEPO linawasumbua wanawake wengi linaitwa "hormonal imbalance" leo naomba tulikemee kwa nguvu zote. 🙌😭
50
22
496
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Katika haya maisha nilichojifunza kikubwa ni kubakiza AKIBA ya maneno. Usiongee sana, Good Morning.
13
32
491
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Ukishindwa kumsaidia mwenzako kwa hali au mali, msaidie kwa kumuombea dua njema. Dhihaka, masimango au kumsema kwa shida zake sio vizuri.
14
63
485
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Chunguza sana watu wanao kukwamisha katika mambo yako ya msingi, mara nyingi sana ni watu wako wakaribu. Hawapendi mafanikio yako.
14
31
483
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Kuna waziri nilikutana nae mtaani na barakoa ila kwenye msiba na mkusanyiko mkubwa wa watu anakwenda bila barakoa, hii tunaitaje wataalam wa ku-bet?
98
24
479
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Boy child: unaweza kabisa kuishi maisha ya kujitegemea na kufanya kazi zako mwenyewe kama; kufua, kufanya usafi, kupika n.k. Hii itakufanya kuepuka gharama za mahusiano yasiyo ya lazima, toxic relationships, stress na hata ukapoteza dira ya maisha yako.
35
47
474
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Boy child: Communication is key, Learn to communicate.
14
43
445
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
2 years
Tujifunze kufurahia baraka/neema za wengine. 🙌
9
32
448
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
1 year
Mr.Ben, tunahangaika mno na wagonjwa wetu hasa watoto, umeshawahi kwenda pale muhimbili kitengo cha watoto wenye CANCER?? hakuna PESA itakayotosha kunihonga nikasukuma #hashtag za kijinga. Kuweni na huruma na sometimes kutumia akili yako yakuzaliwa ni bora zaidi.
@Eric__Bernard
MR BEN
1 year
Mwanzoni nilijua ni uzalendo kumbe hili la Bima ni ajenda na watu wamelipwa.. Humu pagumu sana!
Tweet media one
146
24
553
70
88
459
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Usiamini katika UCHAWA maana Mwisho wa UCHAWA ni AIBU.
17
28
435
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Ogopa sana mtu aliyeanzia kazi ngazi ya chini, hao watu wanajua mpaka majina ya wafanya usafi wa ofisini. Wakija kupanda huwa hawapendi kabisa kudanganywa.
21
20
441
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Kama unakwenda Agakhan Hospital pitia barabara ya A.H. Mwinyi, njia ya Sea View kwenda Agakhan imefungwa. Pia tuweni makini leo wenye sare zao wanahasira za kutosha. Good Morning.
19
24
434
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Kupiga na kutumia watu biashara zao kisa kuomboleza? Wametumia siku 2 kuomboleza na kuaga mwili, leo wamefungua biashara zao mnawapiga na kuwafungia biasha zao? Sio sawa kabisa.
22
31
427
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Msiba huanza baada ya mazishi.
20
12
401
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Kuna ile feeling ukiamka usiku na kufanya ibada!! Kuna muda nahisi nikiomba dua Mwenyezi Mungu ananisikia na kujibu kwa haraka sana. Najua ni ngumu sana kuelewa ila jaribu siku moja moja. 📿🤲
26
20
405
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Akiba ya maneno ni muhimu sana ndugu zangu.
22
27
388
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Nimeamini Dunia hii bila upendo haiwezekani kabisa. 🙌
16
16
375
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Tumekubaliana hakuna mualiko wa Eid kama ilivyokuwa Pasaka sio??
47
7
377
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Vijana; kama huwezi kumlipa mtu bora usikope, omba msaada tu usaidiwe. Unakuta mtu anaomba mkopo na anajua kabisa kwa muda aliopewa wa kulipa hatoweza kulipa ila anakubali, next time utakuwa husaidiki.
32
19
373
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
17 days
Umevuka mipaka @millardayo Sikuombei anguko Ila Kuna vitu automatic ukivifanya maishani unakuwa umejipa balaa. Jitahidi kurudi kwenye mstari, utatushukuru baadae.
@millardayo
millardayo
18 days
#VIDEO : Baada ya video iliyosambaa ikionesha Wanaume watano wakimbaka na kumlawiti kwa zamu Msichana kwa madai kwamba ameiba Mume wa Boss wao (wanayemtaja kwa jina la Afande) AyoTV imefika Yombo Dovya ambako Msichana huyo alisema kwenye video kuwa huko ndiko anakoishi. Mwandishi
272
101
1K
45
54
387
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Napenda mtu anaetoa solution kuliko kutoa kasoro na ku-discourage jitihada za wenzake. Kama huna msaada kwa mtu usimkatishe tamaa kwenye mambo yake.
15
48
371
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Mitandao ya simu imeongezea bei za vifurushi, Mambo haya yanatokea wakati hatuwezi kutumia hata twitter bila VPN? Serikali itambue kuwa; kuna watu wanafanya biashara kupitia Internet, inauwa biashara nyingi kwa kuruhusu mambo kama haya bila kufikiria kwa kina. @TCRA_Tz
28
45
344
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Hormonal imbalance kwa wanawake ni tatizo kubwa mno kwa wanawake! Hili likipatiwa solution ya kudumu makasiriko na visirani vitapungua kwa asilimia kubwa sana. 😩
20
11
345
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Kuna MPOLE, MKIMYA halafu kuna JEURI....!🙌
19
6
333
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Fanyeni utamaduni wa kupeana ZAWADI, inajenga mahusiano mazuri na mapenzi baina yenu. Sio kwa wapenzi/Mke/Mume tu bali hii hata kwa majirani na marafiki.
18
23
333
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Naomba serikali ielewe kwamba; Data sio sukari, wizara na waziri husika inabidi ajipange upya na- akubali kwenye hili amechemka. Kulalamika hatuwezi acha kwa maswala ya msingi kama haya, waziri jipange upya! ajira hakuna hiyo ndio source kubwa ya INCOME kwa vijana. @TCRA_Tz
27
49
331
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Waziri wa vijana ana account hapa twitter??
18
9
319
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Biashara ya Mobile Money imekuwa chungu sasa. Mambo ya Lipa hapa na ubunifu wote wa vijana unakwenda kupotea kwa ongezeko la makato makubwa. Sikatai kutafuta vyanzo vya pesa ili kuleta maendeleo, ila kwa upande huu uliochaguliwa unaua vyanzo vingi vya mapato.
16
54
328
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Kwa lolote unalopitia mwenyezi atakuvusha....
25
29
326
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Tulikosea sana pale tulipoa amua kuwa; mtoto wa mwenzako ni mkubwa mwenzako! Mtoto halelewi na wazazi peke na kama unadhani hivyo basi unajidanganya, na kwenye malezi hakuna formula. Malezi ni busara, uvumilivu na kumtanguliza Mungu, ukali wala kupiga hakusaidi lolote.
17
31
318
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
2 months
Mitandaoni Kuna watu hatari sana tuwe makini, inabidi tuwe na followers wenye real identity. Kitendo cha kumteka mtu na kumtupa kwenye mbuga ya wanayama tena wanyama wakali hiki ni kitendo cha kutisha, walikusudia kutoa uhai kijana wa watu. Tusikubali huu unyama.
15
51
333
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Mbio za Mwenge zilizuiliwa? Kwann?? Maana sijasikia muda sana hayo mambo.
26
5
307
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Jenga mazoea ya kujichanganya na watu tofauti, utajifunza maisha halisi na sio ya kwenye tamthilia za kifilipino.
15
33
316
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Ogopa sana mtu asiyekuwa na 'TABIA/MSIMAMO'. mara nyingi ni bendera fuata upepo.
11
17
320
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Dear kijana wakitanzania: usione AIBU kujitafutia na kujipambania ili mradi tu unatafuta kwa njia ya HAKI. Hakuna aliyefanikiwa bila kujaribu, pambana ili ikifika siku juhudi zako na mafanikio ndio yakutambulishe. #Unaweza #Fursa #Fursa2021
12
47
316
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Nilichogundua watanzania tunapenda sana vitu vizuri. Nguo, chakula, magari na hata sehemu nzuri za starehe. Tatizo likuja kwenye kuvigharamia!! Yani mtu anataka kupata huduma pale Agakhan hospital, hospital ya kiwango kile kwa bei sawa na Sinza dispensary kweli?
28
14
308
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
SINA RAHA, NINA UCHUNGU MKUBWA..INAUMIZA....INAUMIZA SANA. TAFADHALI CHUKUA HATUA YA KUJILINDA NA KUWALINDA WENGINE, TUWALINDE WAZEE WETU JAMANI. 💔
15
18
303
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Kitakacho kukwamisha mwaka huu ni kulazimisha kuishi kwenu wakati uwezo wa kujitegemea unao. Hama kwenu mpwa!! Ukijitegemea fursa nyingi utaziona.
26
16
300
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Hakikisha Katika mambo yako una washauri watakao kwambia ukweli mchungu, hakikisha una sikiliza pia, sio lazima kufuata ushauri wa mtu ila SIKILIZA kuna faida kubwa sana katika hilo.
9
32
296
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Hivi ni kweli wapo wanaopewa pesa namna ile au sie wengine ndio hatuna vistari vya dole gumba? (Bahati) 🤭
29
4
282
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Unaolewa na mwanaume anapaka mkorogo?? Sister si bora ubaki singo??
32
5
289
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Eti mtu kaiba sanduku kakimbia nalo? 😂😂🙌
15
6
284
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Angalizo. Sijasema mtu anitumie idea yake ya biashara. Nimesema uniambie kwanini nikupe wewe hiyo laki tano. Khalefatma @gmail .com hii ndio email yangu, nitumie hapa tafadhali.
31
26
261
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Tweet media one
Tweet media two
11
5
263
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
There is no such thing as a "broke woman" tafuta PESA kijana. 😂🙌
14
5
244
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Mama yangu alikuwa mwalimu, kuna siku tumeamka tukakuta ameandika ukutani " WEMA USIZIDI UWEZO" Tukajua ujumbe haukuwa wetu tukapiga kimya huku tunatizama nani atakuja kusema lolote. Hakuna aliyejitokeza mpaka leo. 😂😂
9
12
246
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Inaanza na wewe!! Usisubirie mpaka 'tamko' vaa maski jikinge na uwakinge wengine.
Tweet media one
17
13
242
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Kuna muda unajiuliza hivi kwani nimelazimishwa kujiajiri? Wajasiriamali tutafika mbinguni wenyeji wetu watushangae pia. 😢🙌
19
12
243
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Wanaume kama John Peter walianza kupotea duniani miaka gani?? 🙌🙌
Tweet media one
22
19
239
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Hapa Tweeter kila mtu na mtue.
31
1
229
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
"Iishangazi fulani hivi shombe shombe ambalo ukilipiga vijembe na kulisema vibaya huko pembeni bila kulifuata usoni na kuliambia wala huwa halikujali" utasema mpaka ukauke mate.😂 Tujiandae tukapige kura tuachane na wachawi kwanza.
44
12
231
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Tuchunge sana midomo yetu. unakwenda kumsema mtu vibaya kwa watu wake wakaribu halafu wanakuchora tu, next thing you know gazeti lote limerudi!! Unaonekana boya tu. 🙌🙌
9
16
233
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Unamfanyia ubaya mtu, chuki na hata unafikia hatua ya kujigamba kwa ubaya unaomfanyia, halafu baadae unashangaa reaction yake?
7
10
234
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Mtu mzima kisoda....vitsho viiingii 😅😅😅🙌
Tweet media one
16
6
232
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Ukiona umehangaika sana kutafuta maisha sehemu moja kwa muda mrefu na hufanikiwi HAMA!! jaribu sehemu nyingine tofauti huwezi jua riziki zako ziko sehemu gani. Kuendelea kung'ang'ania sehemu moja unajipotezea muda na kujicheleweshea mambo mazuri, narudia tena HAMA.
14
26
225
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Nina vitabu vitatu vya Mzee Mwinyi; Safari Ya Maisha Yangu. Nataka kuvitoa Kama zawadi ya Eid kwa watu watatu; naomba nitajie kwenye comments majina matatu ya wanao stahili kupata zawadi hii. @MarekaMalili @Kiganyi_ @ManenoIzaak
204
22
227
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
7 years
Tweet media one
20
17
222
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Ijumaa ya leo nawaombea Mama zetu, walio hai na walio tangulia katika haki, wale walio acha watoto wao either kwa kifo au kwa sababu zozote zile. Sio kazi rahisi kuwa Mama, na sio rahisi kuacha watoto wako! Mwenyezi Mungu awape pepo walio tangulia na awafanyiwe wepesi walio hai.
10
34
214
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
VPN inawakosesha mapato makubwa pengine zaidi hata ya whatsapp call.Twitter iachiwe bila VPN, watu waingie mitandaoni wengi bila vikwazo,mtakufanya kodi kubwa zaidi kuliko kupandisha bei za bandle ili watu wasitumie mitandao. Kifupi tu; watu wako radhi kununua VPN. @TCRA_Tz
13
20
219
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
"System is watching you" vitisho vipya hivi naona. 😂😂🙌
10
2
213
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Leo nimemuota mwendazake; ananisuta kabisa hata mazikoni sikufika! 🤭🙆‍♂️🙌
19
2
205
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Ubaya wa UNAFIKI mwisho wake huwa ni AIBU tu. Tuombe Mwenyezi Mungu atupe STARA. 🤲 Good morning.
3
17
214
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Hii ni kwa kina Dada mnaojipanga kuanza uzazi au tayari mnakaribia kujifungua kuna kitu inaitwa "postpartum" najua haya mambo huwa hayaongelewi ila hicho kipindi inabidi uwe makini sana. Jiweke tayari kukubali mabadiliko ya kimwili na kiakili, pia jipe muda wa ku-recover.
7
23
211
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Kumbuka; unaweza simamia kamati ya harusi yako na sio ya mazishi yako, be HUMBLE friend. ✌
10
17
208
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Jifunze kusoma alama za nyakati na ujue 'kujiongeza' tambua kila kitu kinafanyika kwa kiasi, tambua wakati wa kuondoka au kuacha kitu!! Mara nyingi tunajidanganya kuwa mambo yatabadilika, kila kitu kitakuwa sawa, pengine unajipotezea baraka na kujiongezea mikosi tu.
7
19
206
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
9 months
Ukitaka kujua duniani hapa upo mwenyewe, pata shida inayohitaji msaada wa haraka. 🙌🙌🙌🙌
27
48
210
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Kila tendo jema lina malipo yake mema. Kama sio leo basi kesho na kama sio kwako basi kwa kizazi chako.
4
29
205
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Mfanyabiashara sikiliza nikwambia; biashara na dhulma haviendani, panga bei kulingana na manunuzi yako na sio kulingana na mteja anayenunua! Kuna watu wanapata bei tofauti na wengine kwa muuzaji mmoja na bidhaa ni ileile ACHA DHULMA hutoendelea na utakosa baraka kwenye kazi yako.
18
16
203
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Inasikitisha sana kuona wizara ambayo inasimamia mambo ya vijana imewekwa sehemu ambayo imesahaulika kabisa. Mh.Rais @SuluhuSamia napenda kupendekeza kuwa; wizara hii itizamwe upya, pia tunahitaji waziri aendane na kazi za wizara, waziri kijana atatufaa zaidi. Shukran. 🙏🏻
8
18
205
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
7 years
Baada yakukaa kwenye foleni yakupiga Kura siku mzima, unaambulia kuambiwa maneno ya dharau utadhani hukumpa wewe UONGOZI.
26
106
202
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
Tweet media one
20
11
199
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
7 years
@jmkikwete Happy birthday Mr. President. Ile home work yakusoma number uliyotuachia tumeimaliza vizuri. 🙏
27
15
201
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Fursa. Wahudumu wawili wa Restaurant wanahitajika, kike na kiume. Sifa za muombaji; -Umri kuanzia miaka 25 -wawe wamemaliza form four -awe amesoma hotel management kwa ngazi ya certificate(optional) - Muonekana mzuri ni bonus Tuma maombi kupitia email kwenye bio yangu.
14
46
194
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
7 years
Tweet media one
15
14
195
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Nothing to SMILE about..
Tweet media one
39
4
196
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
2 years
Tujifunze kutofautisha kati ya ukweli na maoni binafsi katika jambo: Kila mtu ana uhuru wa kutoa 'maoni' yake katika jambo; lakini kunatofauti kubwa kati ya maoni na 'UKWELI'.
8
21
183
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
4 years
Wazima?
22
9
184
@Ms_Dahir
Fatma Dahir.
3 years
🤲🤲🤲
Tweet media one
7
23
182