wisdom Profile Banner
wisdom Profile
wisdom

@wisdom_daniel2

Followers
3,731
Following
2,486
Media
293
Statuses
4,999

unaborted sperm, health issues and funny moments, verified medical laboratory technologist From 🇹🇿

Joined November 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@wisdom_daniel2
wisdom
20 hours
NJIA MBALI MBALI ZA KUJIKINGA NA MAGONJWA YASIYO AMBUKIZWA ( ways of prevent non transmitted disease): Magonjwa mengi yasiyoqmbukizwa ni sababu ya mtindo wetu mbovu wa maisha Leo nitakugia njia kadhaa za kuepukana na magonjwa yasiyoambukizwa Lets go 👇🧵
Tweet media one
9
14
22
@wisdom_daniel2
wisdom
4 years
0
0
158
@wisdom_daniel2
wisdom
8 days
@julip202 Poleh haya sasa andaa 30k ➡️ choma ceftriaxone 1g od for 5days ➡️ Meza metronidazole 400mg tds for 5days na doxy 100mg bid for 5days ➡️ kumywa maji yakutosha na matunda ➡️ baada ya miez mitatu kapime na UKIMWI mpwa
20
9
113
@wisdom_daniel2
wisdom
9 days
@julip202 Hapa ndio tunapata kila John Mohammed na kina Khadija Joseph 😁😁😁💔
11
2
74
@wisdom_daniel2
wisdom
8 days
@nyuki_malkia Sisi church boys tunacomment wap
Tweet media one
1
2
53
@wisdom_daniel2
wisdom
6 days
@julip202 Rahisi ni Ukraine Israel Taribani
9
2
68
@wisdom_daniel2
wisdom
9 days
BAADHI YA VYAKULA MUHIMU KWAKUONGEZA NGUVU ZA KIUME ( SOME FOOD IMPORTANT FOR INCREASING ERECTILE FUNCTION) Jana tuliona sababu za upungufu wa nguvu za kiume na tukajifunza jinsi yakuepuka upungufu wa nguvu za kiume moja ya njia ilikua kula vyakula vyenye virutubisho
Tweet media one
6
12
50
@wisdom_daniel2
wisdom
8 days
@nyuki_malkia Hua anafika Mara kwa mara , vijana ni rahisi kumeidhisha mwenza wako embu chukua tips kidogo ✅️ muandae dakika 10 mpaka 15 usiwe na haraka kuku wako Yanini umkimbize na mawe kua na subra jioni ataingia ndani mwenyewe; hapa mnafanya touching na romance huku mkipiga story za
11
1
49
@wisdom_daniel2
wisdom
9 days
@julip202 Kupungua kilo au kuongezeka inatakiwa ubadili mfumo wa maisha katika ➡️ chakula ➡️ kulala ➡️ mazoezi ➡️ mawazo na ➡️ kuacha vilevi Ukitaka kupungua chapu chapu ➡️ tafuta mikopo (loans ) ya kausha damu iliyojuu ya uwezo wako ➡️ nunua kiwanja cha mgogoro mfano cha urithi (
9
2
43
@wisdom_daniel2
wisdom
9 days
@julip202 Kama umempenda mkubalie usije kumkubalia kwakumuonea huruma at the end of day umkule umuache upate laana bure So apo akili kichwani mwako
0
1
40
@wisdom_daniel2
wisdom
9 days
@julip202 Fanya na hii binti ➡️ oga Mara Tatu kwa siku tumia medicated soap mfano TETMOSO soap au Dettol soap ➡️ tumia antifungal mwezi mzima iitwayo gresofulvin ➡️ tumia vitunguu saumu kila siku asubuhi tafuna punye Tatu na maji ya vuguvugu mwezi mzima ➡️ fanya mazoezi kula vizur
7
4
39
@wisdom_daniel2
wisdom
8 days
NJIA MBALI MBALI ZAKUONDOA SUMU MWILINI ( DETOXIFICATION) Habarini mabibi na mabwana Leo ngoja tuzungumzie jinsi mbali mbali yakupunguza sumu mwilini Kabla hatujaendelea fanya yakuatayo sasa 🔄 retweet 🫂 follow me as @wisdom_daniel2 for more health and funny issues ✅️
Tweet media one
2
11
32
@wisdom_daniel2
wisdom
8 days
@Rydx_017 @babalao__ @Balyx_ @DullahTheking2 @JayleenRickie @MissChelsea1221 Sema mm nilikua najua Steve nyerere ni mjukuu au mtoto wa nyerere kumbe sio
4
0
33
@wisdom_daniel2
wisdom
9 days
@Sirjeff_D Poleh @Sirjeff_D umeshakula mlinzi
Tweet media one
1
2
30
@wisdom_daniel2
wisdom
8 days
@julip202 Sex drive ( libido) - hamu ya tendo la ndoa Ipo sana kwa wanaume , mwanaume aliekamilika hana madeni wala magonjwa huwaza ngono zaidi ya Mara saba kwa siku Huku kwa mwanamke husumbulia na hamu kipindi yai likikomaa ( ovulation ) na kupindi yai kipindi cha kutoka damu yai
2
1
28
@wisdom_daniel2
wisdom
8 days
@Labella_Mafia95 Hii inafaida mingi ngoja nishushe baadhi ➡️ husaidia kwenye mmeng'enyo wa chakula hivyo husaidia kupata Choo laini ( hutibu constipation ) ➡️ huimalisha kinga ya mwili (Bust immune system) ➡️ kwa wanawake wenye uchi mkavu husaidia kuongeza ute ute ➡️ huondoa mafuta mabaya kwenye
1
1
28
@wisdom_daniel2
wisdom
6 days
@julip202 Kumbe waganga wa kweli bado wapo ??? Anyway mchukulie boda boda apate kipande kila siku
2
1
29
@wisdom_daniel2
wisdom
8 days
@julip202 Endelea mpaka pale STD zitakapokula mfumo wa mkojo na mfumo wa uzazi wa kiume then utalewa hospital upigwe Bomba na umepe mlundikano wa antibiotics ndio utajua hujui
1
1
25
@wisdom_daniel2
wisdom
10 days
@nyuki_malkia Tuliookoka tunacomment wapi 😁😁😁😁💔
Tweet media one
1
1
24
@wisdom_daniel2
wisdom
9 days
@julip202 His virginity ? Sasa uko na three girls na unaumia na mapenzi wakati ww mwenyewe ni mwizi 😁😁💔 Muosha huoshwa tulia kikulambe
3
1
23
@wisdom_daniel2
wisdom
1 year
@nyuki_malkia Alitusumbua sana na juice ya sharubati Sasa hv kapotea kama chino wanaman
1
0
23
@wisdom_daniel2
wisdom
1 year
Blue Monday...... Never give up one day market will reward you handsomely.... #XAAUSD
Tweet media one
5
1
23
@wisdom_daniel2
wisdom
3 years
@Yunusijr Mirinda yenyewe sasa 😜😜😜😜😜
Tweet media one
3
0
20
@wisdom_daniel2
wisdom
5 days
@Labella_Mafia95 Sema wamasai wanabahati na wazungu
2
0
40
@wisdom_daniel2
wisdom
6 days
ZIFAHAMU FAIDA ZA BAMIA 👇 Kabla hatujaendelea fanya kuretweet Like na comments Then nifollow kama bado @wisdom_daniel2 🧵👇
Tweet media one
3
4
19
@wisdom_daniel2
wisdom
7 days
Hata uwe kibonge kama @Neypaul01 Au uwe modo kama @amina_hafidh Yan nasemaje mazoezi bado ni lazima sio ombi Mazoezi kusaidia vitu vingi mbali na kupunguza au kuongeza mwili
Tweet media one
2
7
18
@wisdom_daniel2
wisdom
8 days
@Labella_Mafia95 Harifichiki nyashi lazima litaonekana hata ndani ya baibui
1
0
18