Mudhakiru Dauda Profile Banner
Mudhakiru Dauda Profile
Mudhakiru Dauda

@mudhakiru_dauda

Followers
16,564
Following
6,818
Media
2,711
Statuses
64,940

Clearing, Freight Forwarding & Export. Daddy/Husband

Dar es Salaam, Tanzania
Joined November 2017
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
9 months
Agiza gari kupitia kwetu #MZADAFreightCoLtd upate huduma Zaid ya matarajio yako. BMW MINI COOPER ya mteja wetu Lisa toka Ndola Zambia.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
14
16
55
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
2 years
Mtu mmoja anisaidie kujua sababu ya msingi ilopelekea @yangasc1935 wakamuachia Said Ntibazonkiza
Tweet media one
245
30
2K
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Asa kama Sheikh Msomi Sheikh Ponda Issa Ponda kasema, mie ma'muma wake nani nipinge? Twende kazi tarehe 28/10/2020 #NIYEYE2020
31
180
1K
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Mhe. @TunduALissu akicheza pamoja na wananchi wa Tunduma, wimbo wa Bob Marley - One Love, baada ya kumaliza kuhutubia.
74
157
1K
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Asanteni wana Tunduma, wananchi wakimsubiri Mhe. @TunduALissu
23
158
1K
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Sauti inatosha?? Ujumbe nadhan unaeleweka hasa kwa wenye akili.
152
176
1K
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Ninemuelewa kikamilifu Mh. @TunduALissu
62
149
1K
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Home sweet home. Najivunia kuwa mwana Kyerwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa✌️✌️✌️ True meaning of a one man show @TunduALissu
@Kiganyi_
M A G I R I
4 years
Huyu jamaa hatembei na wasanii kama hirizi, anatembea na Ilani ya chama chake tuu na hapa Kyerwa 😄😄
239
385
3K
35
93
1K
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Mtu anakuja kwako anapiga hadi magoti, anagalagala had kulala chali kwenye magari au matope ili umwajiri/umchague ili akuhudumie. Kisha unageuka na kuanza kumwita "Mheshimiwa" na kumpigia magoti wewe mwajiri wake! Here's where we went wrong!!!!
40
222
1K
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
@kigogo2014 Mwenye nyumba karudi📌🔨🔨
23
38
924
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Hakuna kitu kizuri kama kujitambua na ukajiamini💪💪💪 We miss you so much @TunduALissu
57
114
932
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Eid Mubarak waja wa Mwenyezi Mungu.
Tweet media one
51
28
820
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Hivi jalada liliishia wapi?
Tweet media one
140
35
745
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
2 years
1. How it started. 2-3. How it is right now Ma Shaa Allah
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
102
42
725
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Yaa Allah tujaalie kuikamilisha vyema funga ya Ramadhani, zipokee funga zetu, zipokee dua zetu na toba zetu.🤲
Tweet media one
74
35
689
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
1 year
Wale ambao mmefunga Arafa Leo, mufti wenu alikuwa Arafa jana 🤣🤣 Sijui tunaelewana sehemu hiyo??
Tweet media one
71
23
681
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Hakika Allah anazo alama nyingi dunian kudhihirisha uwepo wake. Kupona kwa Lissu na kurudi kijijin kwake Leo ni miongoni mwa alama za uwepo wa Allah. Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.
38
74
668
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Nadhan lugha hii ni nyepesi mno na inaeleweka.
Tweet media one
41
98
651
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Taarifa hii ni muhim sana kwa wagombea wote Udiwani na ubunge na wapenda democrasia wote nchini.
25
152
575
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
"Get your knee off our neck" Rev. Al Sharpton
33
165
532
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
2 years
Alhamdulillah, 45 looks gorgeous on me. Leo ni siku ambayo mama angu Jalia Kyarwenda alinishusha duniani. Mzee Elias aliyekuwepo hospital akaniadhinia, na kunipa jina MUDHAKIRU (Mkumbushaji). Namwomba toba Allah Kwa hasara ya ndani ya 45, namwomba anijaalie mwisho mwema🤲
Tweet media one
121
33
469
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Mtani wangu Mkurya amenitembelea hapa kutoka Musoma. Bahati mbaya kiatu chake kimeua mbwa wangu sijui nimfanyeje.
Tweet media one
85
19
454
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
1 year
Proud of you boys @yangasc1935 for your hard work and determination in 2022/2023 in @CAFCLCC_fr games was awesome. 2023/2024 will be our beautiful year, where we'll come for revenge .
Tweet media one
6
37
462
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
0
0
383
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
5 years
0
0
359
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Sijawahi ona mgombea wa upinzani anapiga magoti kuomba kura. Huko huwa wanawafanyaje kwani?
Tweet media one
43
14
409
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
3 years
Quote a picture of you exploring the World 🌍 Alhamdulillah 🤲
Tweet media one
@roman_shao
Dr Roman
3 years
Quote a picture of you exploring the World 🌍
Tweet media one
7
5
75
29
18
411
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
19 days
1. Simu apige Zitto (kiongozi mstaafu) ila taarifa itolewe na ACT! 2. Raisi ana vyombo vya kumpa habari daily za kiintelijensia na za wazi mf. tukio la Sativa kutekwa, kupatikana katavi, kufikishwa Muhimbili na Aghakan, ila kasubiri simu ya Zitto ndo atoe mchango wake!
47
70
411
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
@kigogo2014 Kwa tuliobahatika kusoma vitabu vya "Willy Gamba" mitego ya wanawake majasusi kutumia miili yao kumkamata adui ni jambo la kawaida. Mungu atunusuru.
35
15
384
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Mwanamke akikukataa sababu huna hela, tafuta hela kwa bidii umuoe mtu wake wa karibu.
44
9
381
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Mr Amfifiro ujanja ujanja mwanzo mwisho!
84
25
380
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Sijawahi kujilaum kumsikiliza @godbless_lema kutokana na ufafanuzi wa hoja zake. "Unafunga mashule/vyuo ila unaaacha makanisa na misikiti ambako wazazi wakipata maambukizi wanawaletea watoto nyumbani" Hizo ni akili gani?
@fatma_karume
fatma karume aka Shangazi
4 years
Ninakubaliana naye KABISA. Lockdown ya MKAKATI NI LAZIMA kama Serikali iko SERIOUS kutaka kuokoa MAISHA YA WaTZ. Huwezi kuacha mabaa, gym, migahawa, makanisa, miskiti, iendelee kama kawaida wakati huu- unaipa Corona UPENYO WAKUSTAWI!
30
41
494
15
25
387
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
3 years
@TitoMagoti Katika uislam Kisasi ni haki. Japo kusamehe ni huruma. So ukilikoroga kwangu kitegemee kisasi kwa kizazi chako chote.
42
35
367
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Najiuliza nakosa jibu. Hivi Twitter ingekuwa na umuhim au hali gani bila uwepo wa @kigogo2014 wakati huu wa uchaguzi???
Tweet media one
29
20
360
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
2 months
TOYOTA HARRIER 2018 ambayo Kodi yake unaiona hapo 21M, ila Kwa kuwa mteja wetu ni mtumishi wa umma tunemfanyia mchakato wa kunufaika na msamaha wa kodi 11.4M (Import duty na Exercise duty). Mtumishi wa umma karibu #MZADAFREIGHTCOLTD tukuwezezeshe kumiliki ndiga ya ndoto yako
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
71
80
368
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
3 years
Hadi sasa mama katia goli 3 kambani. 1. PAYE 8% badala ya 9% 2. KUongeza umri wa utegemezi katika Bima ya afya toka miaka 18 had 21. 3. Kufuta 6% retention fee. Long live our lovely president @SuluhuSamia
25
28
355
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Tunaelekea kwenye fiesta idodomya 😂😂😂😂 tumeahidiwa kutakuwa na ubwabwa maharage bila kumsahau mondi na sepenga 🤣🤣🤣🤣
Tweet media one
Tweet media two
52
33
351
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
5 years
0
0
283
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
0
0
298
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
5 years
Eee Mwenyezi Mungu msimamie na umlinde mja wako @TitoMagoti kokote alipo, na arejee salama kuungana na familia yake. Aaamina
@advocate_silayo
Joseph Edward Silayo
5 years
Na hata sasa sitanyamaza mpaka umeungana nami,japo sijui pia hatma yangu ninavyokupigania lakini ni lazima nikusimamie,nikutetee na kukupigania,sitaona haya,aibu wala kuogopa kukutaja jina lako mbele ya waliokuchukua ndugu yangu,sijui umelalaje na umeamkaje lakini Mungu yu mwema
Tweet media one
13
101
389
4
38
324
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
2 years
Ardhi ya Hailey Selassie na Umoja wa Africa.
Tweet media one
25
7
319
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Msanii aliyeapa na kukemea kuwa Tanzania hakuna #COVID19 na haitoingia!!! Sasa kayageukia matapishi yake kaanza kuhubiri sabuni inavyozuia #COVID19 ileile aloyosema haitoingia Tanzania. Waumini walewale waloitikia "Amen" kuwa haitoingia ndo walewale sijui wanaoitikia tena Leo?🤣
@sabi_blessed
S A B I S T A R
4 years
Tuanawe na sabani kwasababu ya Amfifiroo
148
46
425
113
26
308
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
17 days
Tufanye ngogwe wameshinda, wao ndo wamegharimia kila kitu kuanzia kutekwa, kusafirishwa had katavi, kupelekwa hospital katavi, kurejeshwa Dar (polisi 2 escort allowance na ambulance) gharama ya Muhimbili na Aghakan. Tuwapigie makofi kwa kazi hiyo njema Kisha turudi kwenye hoja
22
41
312
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Hii nakataa haiwezi kuwa Tanzania hii hii ya viwanda ambayo sisi ni matajiri na TRA inakusanya mapato lukuki kuliko awamu zote nne zilizopita, bado tunamiliki madege manane, "train ya umeme", tumejenga astegolasi na bado tuwe na darasa la hivi! Itakuwa picha hii ni ya Burundi!
@allankajembe2
The Archer🇹🇿
4 years
Ukimsikiliza @BestaMlagila , ukamsoma @UsalamaWaTaifa ukawaangalia kina @MariaSTsehai @fatma_karume @RealHauleGluck @WemaKako unaweza amini iko katika nchi mbili tofauti sana. Ila uhalisia on the ground unasherehesha fikra ngumu sana juu ya hii nchi.
116
104
513
30
30
300
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
6 years
Wow! It's great honour to be followed by this icon @DanielNewman Thank you so much
7
20
263
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
VAR imeharibu sana aisee.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
57
23
296
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Inna lillahi wa inna ilaihi rajiun. Yaa Allah msamehe dhambi zake mja wako huyu Inspector Masoud Mohammad na umkubalie toba yake. Ijaalie Qur'an iwe nuru kaburini mwake. Hakika ulikuwa mfano kuwa waweza fanya kazi yoyote na bado ukajivunia kuwa muislam na uislam wako🤲🤲
46
39
296
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
2 years
Asiye sikia la mkuu, huvunjika huu!🤣🤣🤣
Tweet media one
43
8
287
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
0
1
236
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Unahama bongo kwenda wapi kwa mfano???😀😀😀
Tweet media one
42
15
265
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
"Hata kama baadhi yetu tutakwenda gerezan, mtakaobakia songeni mbele bila woga" @freemanmbowetz
2
30
264
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
@halimamdee Katika vitu umedhihirishia umma we ni Simba jike ni kukamata yale ma kura fake na rekodi imeandikwa. Laiti majimbo yote yangekuwa vile hata walipojitangazia matokeo yao ila aibu yao wamebaki nayo.
13
13
258
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Mtume s.a.w anasema "Dunia ni starehe. Na starehe iliyo bora ni kupata mke mwema."
27
25
253
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
0
0
228
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Mwanamke anayejiheshim hashuki thaman, hata akiwa mzee utaolewa tu. Rejea Bi Khadija Bint Khuwailid aliolewa na Mtume s.a.w akiwa 40 na Mtume s.a.w akiwa 25. #AlJumaaDarsa
20
25
252
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
1 month
Ndg @ummymwalimu naomba intervention. Jirani yangu Mtaa wa KAGEMU, Kitendaguro Manispaa ya Bukoba Rosemary Kokuberwa Joseph (0710760945) alijifungua mtoto mwenye tatizo mume akamkimbia. Mwanae kaugua na kufia hospital ya Mkoa Kagera kanyimwa maiti hadi alipe bill 200,000.
22
57
261
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
0
0
233
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
2 years
A new day, new career and a new life in #MzadaFreightCoLtd
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
27
21
252
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
2 years
Kama ambavyo mzee huyu tulikutana kwenye usaili bongo na akaona nafaa pamoja na wenzangu kuingia katika shule zake Al Andalus society na kudum miaka 6 (Alhamdulillah), basi nami Leo ilikuwa fursa yangu kwenda kumuaga ili tutakieni kheri katika maisha mapya In Shaa Allah.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
13
17
248
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Mtume s.a.w anasema "Mwemye kufunga anazo furaha mbili. 1. Wakat wa kufturu na 2. Pindi atakapokutana na mola wake." Ndugu zangu tujitahidi kuzipata faida hizi kwa kufunga kikamilifu na kuzilinda funga zetu. Muwe na funga njema ya leo🤲
24
39
249
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
1 year
Hela huwa Ina tabia mbaya sana!
Tweet media one
21
13
252
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
3 years
Kuwa mwalimu raha sana. Pilika pilika zetu hutufichia uzee wetu😀😀
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
17
6
248
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
0
1
210
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
@kigogo2014 Nataman siku Tanzania tupate Raisi mzalendo kama Levy Mwanawasa wa Zambia (2002-2008) aliyepindua bunge likaondoa kinga ya maraisi kushitakiwa, akamburuza Fredrick Chiluba mahakaman kwa ufisadi aliofanya akiwa madarakani. Maraisi wengi wa kiafrica kwa kujijua wamejiwekea kinga🚮
Tweet media one
13
7
234
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
@WemaKako Dah! Kaka nakushukuru sana kwa kunikumbuka na kutaka kujua hali ya ukimya wangu. Huu ndo urafiki. Mtani naumwa week ya pili sasa na niko admitted siku ya 3 Leo lakin maendeleo ni mazuri.
Tweet media one
100
11
221
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
6 years
0
0
204
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
@RealHauleGluck Umekosea sana kuitoa habar hii muda huu, maana wanaweza msalimisha kwa muda ili kukuprove wrong!!!! Hawa wote waloshiriki bao la mkono ilitakiwa wote wafyekelewe mbali kwenye huo mchakato, wakae off pitch ili wajue matokeo ya kazi ya mikono yao 2015.
25
5
227
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Allahu Akbar. The Prophet Muhammad Peace be Upon him said; "No one shall be a believer until he he loves for his brother what he loves for himself". How can you eat and have excess food to poor in a garbage while your brothers and sisters have nothing to eat???😭😭😭
8
42
219
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Papa Mobimba😀😀👊
Tweet media one
18
6
215
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Yaa Allah walinde waja wako hawa wanaojitolea uhai wao kwa ajili ya kuokoa waja wako🤲🤲
40
41
218
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Walau neno hili limenitia nguvu asubuhi hii.
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
4 years
Hebu fikirieni walinunua upinzani kwa pesa ndefu - work done ZERO Wakafuta uchaguzi wa 2019 - bado work done ZERO Wakawafunga upinzani tukawachangia wakatoka Uchaguzi wametukia hadi jeshi - bado tumesimama DEFIANT! Pesa na nguvu zote =ZERO sasa watu 19 ndo nini? #ChangeTanzania
127
144
1K
11
7
224
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
2 years
Chungu 28 kibindoni. Allah twakuomba iwapo Leo ni usiku wa Laylatul Qadir tujaalie kuudiriki tukiwa katika utaji wako (dhikr), visimamo ama tukisoma Qur'an. 🤲 اللهم بلغنا ليلة القدر 🤲
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
16
18
220
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Ndg zangu ktk Iman, hii ni biashara njema itakayo tufaa dunian na akhera. Ni ukamilishaji wa msikiti ulioko Madizini Turiani, wilayani Mvomero Naomba changia lolote tupate japo madirisha 7 @100k au sakafu ili msikiti huu ukamilike kwa na. 0712861700 HAMID MNYAU (Mjumbe) @moodewji
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
8
67
216
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
5 years
"Muogope Mungu na iogope teknolojia". Mutahaba, R. 2017.
23
28
197
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
5 years
Dah! Miaka 58 ya uhuru bado jamii zetu zinataabika na kero ya maji. Mwambieni @Nnauye_Nape wananchi wake Mtama wanateseka aisee sio kushangilia ununuzi wa madege tu wakat watu wake wanakosea hata maji ya kuosha maiti!
35
35
207
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
@monicaalphonce Tunaogopa kupewa namba kisha baada ya siku 2 Ada ya mwanao inaisha, kodi inaisha, simu inapasuka, unauguliwa,....... mambo kibao!🤣🤣
24
9
207
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
3 months
Mtu anielimishe kidogo. Nini umuhim wa hawa watu wanaitwa OSHA kwenye biashara?
42
4
212
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
2 years
Alhamdulillah done. Swalat al Asr, Al Maghrib, Al Ishai, Taraweh (rakaa 6 Sheikh Shureim, rakaa 4 na witri Sheikh Bandal Balila) na swalatul Jana'iz kadhaa. Sasa muda wa kurejea kwetu Jeddah. Allah atukubalie dua zetu @jaliluzaid @meddy_88 na @hermescash
Tweet media one
Tweet media two
23
23
200
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
@kigogo2014 Amewezaje kuwa mwepesi hivyo na shombo zake zote zile kwa wengine?
3
1
197
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
3 years
Tweet media one
31
7
196
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
@Glory79469362 @kigogo2014 Aisee hii koki kafungulia ya hatar. Maji hayazuiliki😀😀😀😀
6
7
192
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
3 years
@fatma_karume Kila aliyetenda uovu wakat wa pombe hawez jivua dhambi hiyo kwa kisingizio cha "kutekeleza magizo toka juu".
5
12
196
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
2 years
Allah S.W anasema katika Surat Al Rahman aya ya 60 "Je? Kuna malipo ya wema zaid wema?"Allah Akbar Hii ni zawad toka kwa mzazi wa hawa wanafunzi. Kushoto nilimfundisha Grade 7-9 na sasa yuko High school, na mdogo wake nimemfundisha pia 7-9 mwakan High school. Tutende wema❤
Tweet media one
Tweet media two
23
16
197
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
0
0
176
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
4 years
Hakika Allah ni muweza. Laiti #COVID19 ingekuwa na dawa ndege zingegongana angani wanasiasa wetu uchwara wa kiafrica wakienda Ulaya, America na India kutibiwa. Ila wameishia kujificha vijijini mwao. #StaySafeStayHome
Tweet media one
27
18
193
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
5 years
Jama tarehe 17/1/2020 ilikuwa siku ngum sana baada ya kuondokewa na kaka angu Surait Dauda nyumban Nkwenda Kyerwa. Namuombea Allah amsamehe dhambi zake na amkubalie amali zake njema. Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea.
54
4
186
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
3 years
Hello Tanzanian. Are you an experienced Tanzanian English teacher, either national or international schools, fluent in English with no mother tongue accent effect and would like to teach in Saudi Arabia? If yes, my DM is open for further information.
36
59
183
@mudhakiru_dauda
Mudhakiru Dauda
5 years
0
0
175