Tufanye ngogwe wameshinda, wao ndo wamegharimia kila kitu kuanzia kutekwa, kusafirishwa had katavi, kupelekwa hospital katavi, kurejeshwa Dar (polisi 2 escort allowance na ambulance) gharama ya Muhimbili na Aghakan.
Tuwapigie makofi kwa kazi hiyo njema Kisha turudi kwenye hoja