George Maguzu Profile
George Maguzu

@maguzuh

Followers
263
Following
63
Statuses
930

good newz ..

Joined September 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
@maguzuh
George Maguzu
1 day
Taja hicho kifungu kilichokiukwa kwanza..
@fatma_karume
fatma karume aka Shangazi
2 days
Swali: Kusema Katiba ya chama imekiukwa ni kosa la kumuondoa mtu uwanachama? Inahuzunisha sana.
0
0
0
@maguzuh
George Maguzu
1 day
@IAMartin_ Ebu taja hicho kifungu cha katiba kilichovunjwa..
0
0
0
@maguzuh
George Maguzu
2 days
@bajabiri Atoe taarifa za mshahara wake kwa ajili tu aridhishe wakuda wa mitandaoni yaani..
6
0
0
@maguzuh
George Maguzu
2 days
@IAMartin_ Hayo ungeyasema kipindi FAM yuko bungeni..
0
0
0
@maguzuh
George Maguzu
3 days
@lifeofmshaba Mlitumia kila aina ya hila na fitna dhidi ya FAM, mlidhania watu watasamehe kirahisi tu..mtavuna mlichopanda tulieni dawa iwaingie.
1
0
0
@maguzuh
George Maguzu
3 days
@LelloMmassy Kifupi hakuna jipya..it's a waste of time๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
0
0
1
@maguzuh
George Maguzu
3 days
0
0
0
@maguzuh
George Maguzu
4 days
@EJ_Mwita Ameshiriki live kupitia zoom
0
0
1
@maguzuh
George Maguzu
4 days
Usipotuliza akili vizuri (kama unayo hiyo akili) huwezi kumuelewa huyo mzee..
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
4 days
Mzee ameulizwa nini halafu amejibu nini?๐Ÿค”
0
0
0
@maguzuh
George Maguzu
4 days
@IAMartin_ Wakati FAM yuko bungeni hukuzihoji hizo gharama kabisa au hazikuwepo kipindi kile...
0
0
0
@maguzuh
George Maguzu
5 days
Kalewa pombe na nyama za bure
@Eric__Bernard
MR BEN
5 days
Ukute wakati Mwabukusi anazungumza alikua Kalewa ๐Ÿ˜‚
0
0
1
@maguzuh
George Maguzu
5 days
@somebarry Watoto wa buku 2 pekee ndio hudhania uchawa ulianzia wakati wa JPM...
1
0
0
@maguzuh
George Maguzu
7 days
@Olloluwanifemi Hii ni futuhi๐Ÿ˜๐Ÿ˜
0
0
0
@maguzuh
George Maguzu
8 days
@zittokabwe Hao jamaa sio wa kuwaamini ni mtego huo...wanataka wajipange upya
0
0
0
@maguzuh
George Maguzu
8 days
@denhope26 @EmmausAskofu Wanataka mwenzao afanye vitu ambavyo wao wenyewe hawawezi kuvifanya..
0
0
0
@maguzuh
George Maguzu
8 days
Ukikataliwa kuingia nchi ya watu sio lazima upewe maelezo..nchi yeyote huru inayo mandate ya kumruhusu au kumkatalia mtu yeyote kuingia kwa kadri watakavyoona wao inafaa..
@HildaNewton21
Hilda Newton
9 days
Kwani nini kinaendelea kwenye Serikali ya Rais Samia? Kwanin wamemshikilia Mbunge wa Kenya Babu Owino kwa masaa matatu halafu wamemzuia kuingia Tanzania. Kosa lake ni nini haswa?
0
0
0
@maguzuh
George Maguzu
10 days
@mhagachi2023 Umeiweka hoja vizuri sana kwa lugha rahisi mtu yeyote kuelewa
0
0
0
@maguzuh
George Maguzu
10 days
@EJ_Mwita Hao wamejikataa wenyewe...waswahili tuna msemo wetu mashuhuri .."utakula ulikopeleka mboga"
0
0
5
@maguzuh
George Maguzu
12 days
@OlengurumwaO Kama Mikoa ya Kagera na Kigoma ingekuwa na madini pengine TZ ingekabiliana na tatizo hilo hilo..
0
0
0