David Profile
David

@kxng_x_david

Followers
35
Following
13K
Statuses
1K

Joined November 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
@kxng_x_david
David
1 day
@TBoundBuses @ortamisemitz @CKanyasu 🀣🀣 Uko Geita wata subri kwanza wakurugenzi mjenge terminal yenu tu saiv Mama Samia ana wai kura za wakazi wa Arusha ila stendi mwaka huu lazima ita jengwa kwajili ya uchaguzi uki uliza wakazi wa Arusha awataki kuskia sijui uwanja wa kisasa wana taka Stendi tu airport tayari βœ…
0
0
0
@kxng_x_david
David
1 day
@MSAFWA_OG @munyamambogo It’s Green 24/7 365 days a year πŸ˜„
0
0
0
@kxng_x_david
David
1 day
@Deo18Tarimo Kwanza D zime isha zote ana taka kumaliza ECH series ashushe zile f13 new upgrade ume tweet bila kufanya research??
0
0
0
@kxng_x_david
David
1 day
@lanrumors @Kangaboy_ Uyu kuku πŸ”anaogopa sana wanazi wengine amezuia comments na kutagiwa na wanazi wengine kama mtoto 🀣🀣usiruhusu akuogopeshe akiongea tu ni tag mimi ananiogopa sana, kwanza mimi ndiye niliyemfanya kuweka vikwazo vyote hivyo paka leo ana zima data tu achana na uyu Mjinga
2
0
1
@kxng_x_david
David
2 days
@millardayo @BusWorldTZ Mama Samia miaka mitano Tena ila kama ana taka Kura za wakazi wa Arusha nii hii stendi ya kisasa sio ata ile uwancha mpya wa Afcon
0
0
0
@kxng_x_david
David
2 days
@lanrumors Kwa usafiri usalama na huduma bora Dar mwanza ni ally’s star 🌟 🍊🍊
3
0
4
@kxng_x_david
David
2 days
@wasafirtanzania Hatuja maliza week jamani, Tuendele kufata mitago ya malori mwaka huu πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ na hapo bado 🀣🀣🀣🀣
Tweet media one
Tweet media two
1
1
4
@kxng_x_david
David
2 days
@ChrisBennet_ Amna cha thamani wali nn, una skia aibu malori yenu kila mwezi mitago ni mengi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ½
Tweet media one
Tweet media two
0
0
0
@kxng_x_david
David
2 days
@Mbeya_Buses Ni vizuri sana saiv wakurugenzi wana ona ela iko wapi awa force route moja ime jaa na competition kubwa, zamani kwenda Mbeya una shauriwa safiri Dar kwanza ndo ushuke zako Mbeya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ½
1
0
1
@kxng_x_david
David
2 days
@TBoundBuses @tpa_tz Swala la kupost ni tabia ya Kenya tu ata waziri wengi wana TikTok zao kabisaa lakini we agiza gari kenya bei ya iyo kodi ni juu mno ndo maana nchi nyingi (land locked countries) wana tumia TPA ume ona ata Uganda ime washinda izo bei zao wame kimbia Tanzania πŸ˜‚
0
0
0
@kxng_x_david
David
2 days
@ErickCantona22 @SouthernBuses @SouthernBuses na wewe ume anza hii tabia una kakimya malori yenu yaki taga, kama ni hivo huu mwaka uta kaa kimya sana maana mitago ita kua mengi 🀣🀣🀣🀣😁
Tweet media one
0
1
2
@kxng_x_david
David
2 days
@lanrumors Tuendele kufata mitago ya malori mwaka huu πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ na hapo bado 🀣🀣🀣🀣
Tweet media one
0
1
1
@kxng_x_david
David
2 days
@TBoundBuses Tuendele kufata mitago ya malori mwaka huu πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ na hapo bado 🀣🀣🀣🀣
Tweet media one
Tweet media two
1
1
2
@kxng_x_david
David
2 days
@Nyaris_1 @BusWorldTZ @PiereTouch @Kangaboy_ @djnsajigwa @BusesNation @TBoundBuses @SouthernBuses @Eafricaboundbus @mallessa_luxury @BusesDaily Hakikisha ume tuma picha WhatsApp kwa boss, tuendele kufata mitago ya malori mwaka huu πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ na hapo bado 🀣🀣🀣🀣
Tweet media one
Tweet media two
0
0
2
@kxng_x_david
David
2 days
@mnazi36 Tuendele kufata mitago ya malori mwaka huu πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ na hapo bado 🀣🀣🀣🀣
Tweet media one
1
0
1
@kxng_x_david
David
2 days
@BusesNation Mzee wa kuzima data Vp leo posho ya boss 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 hakikisha ume tuma whatsapp kwa Boss tu endele kufata mitago ya malori mwaka huu πŸ“ŒπŸ“Œ
Tweet media one
Tweet media two
0
0
0
@kxng_x_david
David
2 days
@Haji50701Omary @lanrumors Kuma wewe πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ nili kua na subri mtago tu niko jibu
Tweet media one
1
0
0
@kxng_x_david
David
3 days
@TBoundBuses Mikate muhimu sana 🀣🀣🀣 kwa hali hii jamani wabongo mchange ticket ya Ndege sio powa
0
0
0
@kxng_x_david
David
4 days
@mnazi36 Ahh sijui prediction yangu tu Ila rangi ya green ni rangi Mbeya πŸ˜‚ Ila wakurugenzi lazima wata ogopa hii chuma anyway 400hp sio mchezo ogopa hii chuma πŸ”₯πŸ”₯
2
0
1
@kxng_x_david
David
5 days
@salaa_19 @TBoundBuses Iyo Tashriff Sawa πŸ”₯πŸ”₯ lakini iyo picha ya pili mmh Hapana aisee
0
0
0