Joseph Brighton Malekela Profile Banner
Joseph Brighton Malekela Profile
Joseph Brighton Malekela

@joseph_malekela

Followers
3,297
Following
1,423
Media
919
Statuses
12,739

Proudly 🇹🇿 | UN Champion of SDGs| YSB Member of @EuInTz | Mandela Washington Fellow 2024 | Founding Member & Executive Director of @ALII_Africa .

Dar es Salaam, Tanzania
Joined June 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
5 months
Nakukumbusha kijana mwenzangu, unaweza kuwasha mshumaa wako bila kuuzima mshumaa wa mwenzako. Unaweza kuwa Bora bila kuwadhoofisha wengine. Unaweza kupanda viwango hadi viwango vya juu zaidi na zaidi bila kuwashusha wengine. Duniani kila mtu ana fungu lake, na wewe lakwako LIPO!.
Tweet media one
20
31
181
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
4 years
Ninatangaza rasmi nia ya kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama cha @ccm_tanzania ili kuwania nafasi ya Ubunge kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu 2020, katika Jimbo la Lupembe, lililopo Wilaya ya Njombe Vijijini, Mkoa wa Njombe. #2020ZamuYetuVijana #Magufuli5Tena
Tweet media one
168
103
1K
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
5 years
Nimepokea salamu nyingi za pole kutokana na taarifa zinazosambaa mitandaoni kwamba "nimesimamishwa masomo" UDSM. Nitazungumzia hili suala kwa kina saa10.00 jioni ofisi za @THRDCOALITION mikocheni. #SimamiaHaki #Istand4humanrights
Tweet media one
35
62
619
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
1 year
Maisha ni foleni, kila siku inasogea polepole, Mwamini Mungu, ipo siku utafanikiwa. - Boniface Mwaitege.
Tweet media one
4
38
373
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
5 years
4/5: Kwakuwa suala la msingi lilikuwa maslahi ya wanafunzi, na tayari Serikali kupitia Wizara ya Elimu wameshaachukua hatua za haraka kutatua, huku viongozi tumeshaabeba huu mzigo kwa kuhatarisha masomo yetu, HAKUNA UMUHIMU WA WANAFUNZI KULETA VURUGU. TUACHIENI SISI NA MTULIE.
Tweet media one
27
26
352
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 months
Nafurahi kuhitimu mafunzo ya Uongozi ya @WashFellowship katika Chuo Kikuu cha @michiganstateu , USA. Nitaendelea kutumia maarifa na hamasa niliyoipata katika mafunzo haya (na yale niliyojifunza kwa vijana wenzangu wa Afrika), kuleta mabadiliko chanya kwaajili yangu na nchi yangu.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
42
37
307
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
1 year
Nimepata heshima ya kumtembelea Balozi @tonytogolani katika Ofisi za Ubalozi wa #Tanzania nchini #Korea . Nimemjulisha kuhusu warsha ya Mabalozi wa Amani #GlobalPeaceCorps niliyoshiriki chini ya @GlobalPeace , pamoja na kazi zangu kupitia @aayfo_official na @Nyerere_Fellows . 🙏🏿
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
23
42
298
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
1 year
Nchi yangu, Fahari yangu. 🇹🇿
Tweet media one
12
16
263
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
5 years
1/5: Kwanza niwatoe wasiwasi wote waliokuwa na hofu juu yangu. Mimi Niko salama, ninaamani na nimemalizia mtori muda si mrefu hapa😀.
Tweet media one
19
16
240
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
1 year
Sept. 21 ya kila mwaka ni kumbukizi yangu ya siku ya kuzaliwa. Ni siku muhimu kwangu na Natumia fursa hii kumshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai hata kuongeza mwaka mwingine duniani. Namuomba Mungu, azidi kunifungulia njia, kunisogezea watu sahihi na kunipa kile tu ninachoshili.🙏🏿
Tweet media one
48
12
226
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 years
1/3: Kwa kudra za Mwenyezi Mungu, ktk duru ya II ya mahafali ya 52 ya Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam @UdsmOfficial , nimehitimu Digrii ya Elimu Jamii katika Falsafa na Maadili. Nawashukuru wazazi, ndugu, jamaa, marafiki na kila mmoja aliekuwa sehemu ya safari yangu ya kitaaluma.
Tweet media one
18
26
211
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 months
Kila hatua Dua!. Nimefurahi kwa mara ya kwanza kukanyaga viwanja vya ikulu ya @WhiteHouse . Namshukuru Mungu kwa upendeleo kwangu. Naendelea kujifunza.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
10
7
201
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
5 years
3/5: Naombeni niwaweke wazi kwamba, hakuna aliyekuwa na nia mbaya ya kuleta vurugu. Amani ni kitu Cha msingi katika nchi yetu. Lakini kwa kiongozi, maslahi ya anaewaongoza ni Jambo la muhimu zaidi kuliko maslahi yake. Kiongozi hawezi kulala wakati watu wake wanataabika.
Tweet media one
7
15
182
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
5 years
5/5: Ninaamini CKD italitazama hili suala kwa kina. All in all, lipo jambo la kujifunza katika haya yote na kwa yeyote. Watu ambao mnanafasi kama yangu msiogope. Watumikieni watu, uongozi sio jambo simple. Simamieni Haki na muhimu zaidi lindeni amani. #AmaniNaHaki
Tweet media one
7
14
179
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
7 months
Mwaka 1 baada ya kushiriki @YALIRLCEA , Ninafurahi kuchaguliwa @WashFellowship mwaka 2024. Natarajia kuendelea kujifunza uongozi ili kukuza kipaji changu na kuitumikia jamii. Hatua hii inanitia Hamasa ya kusonga mbele zaidi kwa kile kidogo ninachofanya kwenye jamii. #KilaHatuaDua
Tweet media one
33
25
139
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
11 days
Asante Mungu kwa zawadi ya uhai. 1+.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
22
5
137
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
11 months
Kila mtu kwa #Karama yake, #Kadri yake na #Kudra yake. Mungu ni mwema sana.
Tweet media one
18
13
132
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
5 years
2/5: Kimsingi, uongozi sio kazi rahisi. Nilikubali kuwa kiongozi, tena katika nafasi ngumu kuliko zote. Na nyie ni mashahidi, mimi pamoja na wenzangu tumejitahidi sana kusimama kwa ajili yenu na kupambania maslahi yenu. Na kubwa zaidi, tumeyavaa maumivu ya maslahi yenu.
Tweet media one
1
12
126
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 years
"Mafanikio ni bahati. Lakini kadri unavyojituma kwenye ubunifu, kutafuta maarifa, uthubutu, uvumilivu na kumwamini Mungu, ndivyo bahati yako inavyoongezeka". ~Ruge Mutahaba
Tweet media one
4
18
132
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
1 year
Maisha huwatunuku fungu jema wale wenye kujifunza, kuelewa na kufaulu mtihani wa rizki, subra na wakati. - @tonytogolani
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
3
10
129
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
5 years
I'm honored to be the most nominated person for Human Rights Defender of the month, January 2020 under category of Social and Accountability run by @thrdcoalition . I express my gratitude to all who have appreciated my potential and nominating for this recognition. Asanteni Sana
Tweet media one
10
23
121
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
4 months
Naendelea kujifunza kuhusu Diplomasia. Mungu atie baraka zake.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
7
10
126
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
1 month
Mheshimiwa Balozi @tonytogolani nakutakia maisha marefu! Happy birthday!.
Tweet media one
2
4
122
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 years
Wito wangu kwa vijana wenzangu, unaweza kuwasha mshumaa wako bila kuzima mshumaa wa mwenzako. Unaweza kuwa Bora bila kuwadhoofisha wengine. Unaweza kupanda viwango hadi viwango vya juu zaidi bila kuwashusha wengine. Kila mtu na fungu lake. Jumapili Njema. 😊
Tweet media one
Tweet media two
8
20
116
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
6 months
Asante Mungu kwa wema na fadhili, umekuwa mwema kwangu kwa kila jambo!
Tweet media one
Tweet media two
6
6
114
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 months
I return from @WashFellowship with 4 papers; 1. Appreciation letter from @KamalaHarris 2. Congratulatory letter from @BarackObama 3. Certificate of Completion from @SecBlinken 4. Certificate of Completion from @michiganstateu I pledge to transform papers to community impact.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
9
9
111
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
3 months
Team #Tanzania is ready to represent the country in this year's @WashFellowship . Photos captured at JNIA & KIA before departure. All arrived safely in US. #MandelaWashingtonFellowship #TeamTanzania #HakunaMatata .
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
3
9
108
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
1 year
Ninakutakia maisha marefu mheshimiwa @ummymwalimu . Mungu azidi kukupigania katika kazi nzuri ya uongozi wa nchi yetu kwa nafasi yako. Happy birthday to you!.
Tweet media one
2
6
105
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
3 months
Don't judge me by my successes, judge me by how many times I fell down and got back up again. - Nelson Mandela.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
5
11
106
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
7 years
Kila mtu anafahamu kuwa ELIMU ndio ukombozi Ila, hata kama kila Mtanzania akiwa na Degree 2, bila uzalendo ni sawa na bure. #MezaYaWazalendo
5
13
97
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
5 months
Asante Mungu kwa wema na fadhili: Umekuwa mwema kwangu kwa kila jambo! 🙌
Tweet media one
1
3
98
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
5 years
I'm honored to be appointment as East African Regional Director of #AAYFO . For 2 years, I will be voluntarily working with fellow youths to foster diversity and #SDGs through youth exchange programs and partnership. #SDGs2030 #YouthLeadership #AAYFO
Tweet media one
7
17
96
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
11 months
I'm honored to be awarded as "Outstanding Youth in Peace and Security" during @youthawards_tz #TEYA2023 This recognition makes me feel valued & see my 6+ years of voluntary works in promoting #Youth , #Peace & #Security Agenda is not in vain, but impactful. Thanks for Votes 🙏
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
14
16
91
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 months
Hope.
Tweet media one
3
3
96
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 years
Asante Mungu kwa wema na fadhili; umekuwa mwema kwangu kwa Kila jambo. 😊
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
5
91
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
3 months
Asanteni sana kwa fursa hii adhimu ya kujielimisha kwa maslahi ya nchi yangu ya #Tanzania . Nia yangu, utayari wangu na uthubutu wangu wa kuleta mabadiliko chanya ya jamii, havitoshi bila kuwa na fursa za kujielimisha zaidi. Na kwahakika, @WashFellowship imenifungulia Dunia!
@usembassytz
US Embassy Tanzania
3 months
Tunamtambulisha Joseph Brighton Malekela, ambaye ana uzoefu wa zaidi ya miaka nane katika kutetea ushiriki wa vijana katika kufanya maamuzi, amani, usalama, na maendeleo. Kwa sasa, Joseph ni afisa mkuu wa operesheni katika Shirika la Vijana la Afrika-Asia (AAYFO), akijikita
Tweet media one
5
10
60
5
14
91
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
1 year
Ashukuriwe Mungu kwa wema (usiopimika) na fadhili (zisizohesabika); amekuwa mwema kwangu (kila wakati), kwa kila jambo. 😊😊😊😊
Tweet media one
7
7
88
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
3 months
The learning journey of @WashFellowship starts today at @michiganstateu . I'm excited and ready to learn, unlearn and re-learn on civic leadership development. Thanks to @usembassytz for such a great opportunity. I look forward to come up with more experience for my community.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
13
12
90
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
1 year
Miaka 11 Twitter na sijafikisha followers afu tatu😂😂😂 Aisee Hapa Twitter ni pagumu sana, wapwa mko wapi tuinuane? #MyTwitterAnniversary
Tweet media one
10
3
89
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
3 months
"Let your choices reflect your hopes, not your fears". - Nelson Mandela.
Tweet media one
2
4
82
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 years
Baba yetu, uliye mbinguni, jina lako litukuzwe, ufalme wako uje, mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni. Utupe Leo riziki yetu. Utusamehe makosa yetu, kama nasi tunavyowasamehe walio tukosea. Usitutie majaribuni, bali utuokoe na yule muovu. Amin.
Tweet media one
Tweet media two
4
3
81
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 months
Kwako kijana mwenzangu mpambanaji, nikutie moyo kuendelea kupambania ndoto zako, kuupa muda nafasi, na kujituma kufanya kile unachokiamini! Dunia haina uwezo wa kutunza kumbukumbu za waliokata tamaa, ila huwaheshimu wote wanaopambania ndoto zao hadi dakika ya mwisho!.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
6
11
84
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
5 months
Asanteni sana kwa kuniamini na kunipa fursa hii adhimu ya kuwa mjumbe wa Bodi ya Sauti ya Vijana ya Umoja wa Ulaya - Tanzania. Hii ni heshima kubwa kwangu. Natarajia kufanya kazi na wajumbe wenzangu, kuishauri @EUinTZ kuwekeza katika maendeleo ya vijana ili kudumisha Amani.
@EUinTZ
EU in Tanzania
5 months
📢Kutana na @joseph_malekela , mjumbe wa Bodi wa Sauti ya Vijana Umoja wa Ulaya - Tanzania, anayehimiza ushirikishwaji wa vijana katika kukuza amani na usalama kwa maendelo endelevu. Zimesalia siku 2️⃣0️⃣ kuelekea uzinduzi rasmi wa Bodi ya Sauti ya Vijana #YSBEUTZ #EuropeDay
Tweet media one
4
10
40
16
14
82
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 months
Kongamano la Tanzania Youth Forum linafanyika siku chache zijazo jijini Dodoma. Waziri Mkuu @KassimMajaliwa_ na Mhe. Rais @SuluhuSamia wanatarajiwa kushiriki. Nasubiri kwa hamu kusikia mambo 3 muhimu: 1. Baraza la Taifa la Vijana 2. Sera ya Maendeleo ya Vijana 3. Youth Quota.
Tweet media one
Tweet media two
12
23
80
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
1 year
“May your choices reflect your hopes, not your fears” - Nelson Mandela
Tweet media one
1
6
78
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
4 years
Congratulations H.E Dr. John Pombe Joseph Magufuli for your re-election as United Republic of Tanzania's President 2020 - 2025. Wishing you all the best in serving Tanzania for the second term. Looking forward to see more transformative and integrity Leadership! #Tanzania
Tweet media one
3
8
77
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
1 year
Ukitaka kuwa kiongozi, hakikisha umewatengeneza au umewasaidia wengine wengi zaidi kuwa viongozi katika maeneo yao. Wakati wako ukifika, hawatakosekana wachache watakaokusemea vizuri ili kukamilisha jambo lako. #TYF2023
Tweet media one
4
15
76
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
1 month
Tweet media one
1
6
75
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 years
Nimepata heshima ya kuchuguliwa kushiriki mafunzo ya Uongozi yanayoandaliwa na @YALIRLCEA , Nairobi, Kenya. Mafunzo haya yanatuleta pamoja vijana zaidi ya 80 kutoka nchi 14 za Afrika. Kwa kipindi Cha wiki mbili, natarajia kujifunza zaidi kuhusu Uongozi kupitia taasisi za kiraia.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
7
74
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
1 year
Leo nilialikwa kipindi Cha Morning Trumpet @azamtvtz kujadili kuhusu Jitihada za Serikali ya #Tanzania katika kuwawezesha wananchi kiuchumi kupitia 10% za mapato ya halmashauri nchini. Tumeangazia mafanikio, changamoto na nini kifanyike kuboresha zaidi jitihada hizi njema.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
7
70
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
4 years
Leo nimejitokeza katika ofisi za CCM Wilaya ya Njombe na kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi @ccm_tanzania ili kugombea Ubunge katika Jimbo la Lupembe. Ninawahamasisha vijana wenzangu mnaokidhi matakwa ya kikatiba, tujitokeze kwa wingi! #2020ZamuYetuVijana
Tweet media one
13
11
72
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 months
Today I led the @youth4peaceTZ team to visit Brig. Gen. Itangale, Commandant of Tanzania Peacekeeping Training Centre - TPTC ahead of the upcoming National Forum on Youth, Peace and Security slated from Sept. 20 - 22, 2024 in Dar es Salaam. #Youth4Peace #Tanzania
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
2
6
72
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
6 months
It was a great pleasure to visit @undptz Resident Representative @komatsubarasan1 , exchanging views on empowering youth Leadership talents to address social challenges, promote sustainable peace & development in #Tanzania . I'm so happy learning the great work done by @undptz .
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
1
13
66
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
4 years
As you are protecting yourself against the spread of #COVID_19 , please go extra mile by making sure everyone around you is seriously taking action as well. You can't be safe if they are not safe. #COVID_19 #covid19Tanzania #Dare2BeAware #ThubutuKujua #CoronaNoma #Tanzania .
Tweet media one
2
16
68
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
5 months
Safely arrived in Beijing, to attend the China-Africa Youth Festival hosted by Ministry of Foreign Affairs of the People Republic of China 🇨🇳. For 1 Week, I expect to angage in discussions on the long-standing cooperation of China & Africa. @ChineseEmbTZ @JMakamba @mfa_tanzania
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
10
12
67
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
6 years
Ukishukuru kuokota, shukuru na kupoteza. Na maisha ni kama goroli, Kuna muda unadema, kuna muda unaingia joda, Kuna muda unaweka kira. Sasa wewe kudema imekua matatizo? Kuna watu wamemute..... Hahahahah I real like this actor! @MwangiTelvin @vefama267 @jr_masaki
2
7
65
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 months
Hapa @WashFellowship , Nafurahi kuonana na Selemax, Raia wa Liberia na mhitimu wa @Nyerere_Fellows Cohort 1 (2022) Dar es Salaam. Selemax ni miongoni mwa vijana 60 wa Afrika niliowaratibia mafunzo ya Uongozi, Amani, usalama na maendeleo yaliyotolewa na @Ndc_tz na @UONGOZI .
Tweet media one
Tweet media two
2
6
67
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
11 months
Nakutia moyo kijana mwenzangu, kesho ni njema kuliko Jana na ni njema zaidi kuliko Leo. Ni suala la muda tu wala Usikate Tamaa. Shukuru kwa kila jambo, Mungu ni wetu sote na anatuwazia mema! 💪 Photo credit: @MkomwaSylvia
Tweet media one
5
6
65
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
6 months
"Maisha huwatunuku fungu jema wale wenye kujifunza, kuelewa na kufaulu mtihani wa rizki, subra na wakati." ~ @tonytogolani
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
6
66
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
7 years
Karibu Nkurumah leo Mada: DHANA YA UZALENDO INAANZIA WAPI NA KIPIMO CHAKE NI KIPI @MariaSTsehai @JMakamba @ridhiwankikwete #MezaYaWazalendo
Tweet media one
5
9
62
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
4 months
Wiki hii nimejumuika na vijana wenzangu wa #Tanzania tuliochaguliwa kushiriki mafunzo ya Uongozi ya #MandelaFellowship , yatakayofanyika kati ya Jun. 19 - Aug. 2, 2024 Marekeni. Ni heshima kubwa kwangu kupata fursa hii adhimu. Natazamia kujielimisha kwa maslahi ya nchi yangu!.
Tweet media one
5
5
66
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 years
Today, at @UdsmOfficial class of M.A in Strategic and Peace Studies, we were honored by a visitation of Ambassador @Mjengaomar who shared with us his experience in Diplomatic Communication, Practices & Strategies. It was so great learning from this legend!. Thanks for coming 😊.
Tweet media one
4
4
64
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
5 months
Meza Moja na kiongozi kijana mahiri @JerrySilaa , Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi, alieambatana na kiongozi wa Mwenge hapo jana Mnazi Mmoja. Nafurahi kuona anavyojituma kupambana na changamoto zinazowakabili wananchi katika sekta ya Ardhi. Namtakia kila la kheri.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
3
63
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 years
Kwa niaba ya kamati ya maandalizi ya awamu ya kwanza ya #NyerereFellowship , nilipata nafasi ya kutoa majumuisho ya shughuli zote zilizofanyika katika programu hii. Naishukuru sana Taasisi ya Mwalimu Nyerere kwa kuniamini na kunipa nafasi hii adhimu ambayo imenifunza vitu vingi.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
9
63
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
7 months
"Maisha huwatunuku fungu jema wale wenye kujifunza, kuelewa na kufaulu mtihani wa rizki, subra na wakati." ~ @tonytogolani
Tweet media one
2
8
63
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
4 months
Leo nimeongozana na vijana wenzangu 17 kati ya 26 (tuliochaguliwa kushiriki mafunzo ya #mandelawashingtonfellowship2024 USA) kutembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa lengo la kujifunza kazi mbalimbali za Bunge katika kusimamia utendaji kazi wa serikali.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
11
7
63
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
4 years
Kheri ya kumbukizi ya siku yako ya kuzaliwa Mkuu wa chuo changu pendwa, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (CKD) na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. @jmkikwete Ninakutakia maisha marefu. Mungu akutunze! Ninasubiri kwa hamu sana "KITABU CHAKO". #HBD_JK #Tanzania
Tweet media one
0
4
60
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
4 months
Miaka ya karibuni nimekuwa nafananishwa na watu mbalimbali wenye majina kwenye jamii, nikiwa ndani na hata nje ya nchi. Najua sifanani kabisa! Lakini wakati wote, najipa changamoto ya kuendelea kujifunza kutoka kwa wale ninaofananishwa nao ili walau niziishi sifa zao njema!.
Tweet media one
3
6
62
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 months
Habari! Naungana na vijana wenzangu zaidi ya 700 wa Afrika katika kilele cha mafunzo ya @WashFellowship yaani #MandelaFellowshipSummit , Washington DC, USA. Najivunia kuwakilisha nchi yangu ya #Tanzania katika jukwaa hili la vijana viongozi wa Afrika. Naendelea kujifunza!.
Tweet media one
Tweet media two
3
12
61
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
1 year
Kongamano la vijana kitaifa @youthforum_Tz kwa mwaka 2023 limetupa fursa adhimu vijana kijadili kwa kina ushiriki wetu na nafasi yetu katika uongozi, utawala, demokrasia na maendeleo endelevu. Nilipata heshima ya kuwa Mmoja wa watoa mada. Kongole kwa waandaaji wa kongamano hii.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
2
9
60
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
5 years
Zaburi 23: 1-3 1 BWANA ndiye mchungaji wangu, Sitapungukiwa na kitu. 2 Katika malisho ya majani mabichi hunilaza, Kando ya maji ya utulivu huniongoza. 3 Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza katika njia za haki kwa ajili ya jina lake. Happy Sunday to you all!.
Tweet media one
3
6
57
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
5 months
Wiki hii nilialikwa na @ypc_tanzania kuwa katibu wa Kongamano la Vijana Halmashauri ya Kibaha Mjini wakati wa Mbio za Mwenge. Pichani nikikabidhi nakala ya masuala yaliyojitokeza, mapendekezo na maazimio ya Vijana kwa Ndugu Godfrey Mnzava, Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa.
Tweet media one
3
4
59
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
5 years
Swali: Kuna uhusiano wowote Kati ya AMANI na HAKI? Kwanini watu wengi katika maisha ya kawaida tu wanapenda sana AMANI kuliko HAKI? Question: Is there any nexus between PEACE and JUSTICE? Why most of people in local life are more likely interested with PEACE than JUSTICE?
Tweet media one
10
12
52
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
3 years
1 day left for Tanzania International Model UN - TIMUN2021 to be held at Institute of Tourism (Marububi), SUZA, Zanzibar! Meet one of our guest speakers, Ambassador Togolani Mavura @tonytogolani , former chairperson of YUNA Tanzania #TIMUN2021 #sdgs2030 #Tanzania #Zanzibar
Tweet media one
1
10
54
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
5 years
No one can get back and rectify his/her bad beginning: but, anyone can start a fresh today and create a very bright future. The past adds nothing to the future, but only today!. Not too late. Let's wake up and move on!. #BePositive #BeConfident #BeHappy #ActNow #YouthCan
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
12
53
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 years
This Saturday, March 25th, 2023 from 10am - 12noon I will be joining Twitter space of #TIMUN2023 , together with senior @AreefFazel , @NoelMtafya and many others. The discussion topic is: "Youth Role in leadership and promoting Peace". Don't plan to miss this discussion!.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
8
55
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
4 months
Kutoka Bungeni! Nikiwa na vijana wanzangu #Tanzania watakaoshiriki @WashFellowship 2024. Tunaendelea kujifunza.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
4
56
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
4 months
Kuelekea mafunzo ya Uongozi ya @WashFellowship , washiriki toka #Tanzania tumepata fursa ya kipekee kukutana na Naibu Katibu Mkuu wa @mfa_tanzania Balozi Said kupata nasaha zake kabla ya kutuaga rasmi. Tumejifunza mengi na tuko tayari kwenda kujielimisha kwa maslahi ya nchi yetu!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
11
53
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
4 years
Go, learn, try to practice and make desired change. Make sure you do everything at your highest capacity; prioritizing trustfulness, efficiency and professionalism. Then wait and see how the nature is very fair to hard working person! While waiting, keep improving! #TIMUN2020
Tweet media one
2
11
51
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 months
Baada ya kukamilisha hatua zote za mafunzo ya uongozi ya @WashFellowship , washiriki kutoka Tanzania tumetembelea @UbaloziUSA na kutoa mrejesho wa yale tuliyojifunza katika program hii. Shukrani za dhati kwa Mhe. Balozi @eskanza kwa kutenga muda wa kutusikiliza na kututakia heri.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
5
52
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 years
Leo tumezindua rasmi mradi wa #VijanaNaAmani255 . Mradi huu unakusudia kuhamasisha ushiriki na ushirikishwaji wa Vijana katika ujenzi wa amani. Mradi utawafikia vijana (walio mashuleni na nje ya shule) waishio mikoa ya mipakani, pamoja na vijana mitandaoni. #VijanaNaAmani255
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
10
51
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
5 years
E Mungu wewe ni nguvu yetu, Ilete baraka kwetu sisi Wana wako, Haki yako iwe ni nguvu yetu, Uwe faraja yetu hata kwa machungu, Upendo na Amani tujazie, Undugu uzidi uhasama na kisasi, Mbona majirani tunapigana, Tufunze Upendo tukakumbatiane! By Pillars of Faith. 🙏🙏🙏🙏
3
9
49
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
3 months
Ahadi namba 6: "Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kutumia elimu yangu kwa faida ya wote".
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
5
53
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
11 days
Imekuwa ni heshima ya kipekee kwangu na kwa shirika la @ALII_Africa kumkaribisha Mheshimiwa Dkt. Dotò Mashaka Biteko, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambae Amemuwakilisha Mhe. Rais @SuluhuSamia katika ufunguzi wa Kongamano la Kitaifa la Agenda ya Amani kwa Vijana. Asante!.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
4
52
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
1 year
As I start my new role of Chief Operations Officer at @aayfo_official , today I met with H.E Siraj Ahmad Khan, Ambassador of @PakinTanzania to explore potential areas of collaboration. I look forward to working together in common areas of interest. #AAYFO .
Tweet media one
Tweet media two
8
7
50
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 months
Nimeshiriki ufunguzi wa Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Vijana Kimataifa lililoandaliwa na @WMKVAW jijini Dodoma. Nilipata fursa ya kuwasilisha maoni ya taasisi za vijana juu ya mchakato wa Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050, hasa mambo ya muhimu kuyazingatia kwa vijana.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
13
51
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 years
Septemba 21 ni kumbukizi yangu ya siku ya kuzaliwa. Namshukuru Mungu kwa kunijaalia kutimiza mwaka mwingine duniani. Namuomba Mungu azidi kunipa moyo wa shukrani, kuridhika na kujituma katika kupambania ndoto zangu. Happy birthday to me!
Tweet media one
Tweet media two
13
4
49
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 months
We've concluded the @WashFellowship Summit 2024 with a surprise of receiving 2 important congratulatory letters; from @VP of United States H.E @KamalaHarris and from Former US President H.E @BarackObama . The vibe can tell! This has been a most joyfully moment ever! Asante Sana!
3
6
50
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
1 year
@HildaNewton21 Maji hufuata mkondo wake. Hao watu ni very smart. Kila mtu kajijenga haswa. For me, they deserve.
1
1
48
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
6 days
Kwenye harakati za utafutaji, kuna kupoteza MUDA, kupoteza PESA na kupoteza WATU tena wale wa muhimu kabisa. Katika hali zote, muhimu sana kuhakikisha humpotezi MUNGU wako.
Tweet media one
2
13
82
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
4 years
Forget past mistakes. Forget failures. Forget everything except what you’re going to do now and do it. Nice Sunday friends 😊
Tweet media one
6
3
47
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
5 years
Yamebaki masaa kuhitimisha mwaka 2019. Napenda kuwashukuru sana wazazi wangu, ndugu, jamaa, marafiki na kila mtu aliyeshirikiana nami kwa namna moja au nyingine kwa mwaka huu mzima. Nimejifunza mengi sana kutoka kwenu. Ninawatakia Kheri ya Mwaka Mpya!. #HappyNewYear2020
Tweet media one
2
4
44
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 years
Kuelekea maadhimisho ya #SikuYaAmani2022 , nimepata fursa ya kuzungumza na @CloudsMediaLive kwa niaba ya kamati ya pamoja ya maadhimisho. #SikuYaAmani2022 itaadhimishwa Septemba 21, 2022, #Kilimanjaro . Nimesisitiza umuhimu wa vijana kushiriki kudumisha #Amani nchini #Tanzania .
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
8
45
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 years
Mr. Kadari Singo, Chief Executive Officer of Uongozi Institute @UONGOZI together with @KulayaHenry offered an executive leadership training to members of 1st Cohort of #NyerereFellowship . It’s exciting to see we have a forum for building capacity of young leaders of Africa. 💥
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
8
46
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
1 year
Mheshimiwa @PatrobasKatambi Naibu Waziri wa @WMKVAW amefungua kongamano la kitaifa la vijana @youthforum_Tz 2023 lililofayika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention, Dodoma. Pichani tukiteta machache baada ya ufunguzi. #YouthLeadership #Tanzania
Tweet media one
1
5
45
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 months
Nilifurahi kuonana tena na @IamEva87 nilipotembelea @UbaloziUSA . Mara ya mwisho kuonana nae ilikuwa 2017, alihudhuria kama mgeni katika moja ya matukio niliyoratibu pale Benjamin Mkapa High School. Kwa sasa yeye ni afisa mwandamizi wa @UbaloziUSA na mimi ni bado mpambanaji.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
2
4
46
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
4 years
Katika kukumbukizi yangu ya kuzaliwa, napenda kuwashukuru watu wote ambao wamewahi kuweka mikono yao katika maisha yangu tangu kuzaliwa, iwe kwa wema au kwa ubaya. Najua ni wengi na sio wote nawakumbuka Hapa nilipo, mchango wenu ni mkubwa sana! Mbarikiwe! #25thHappyBirthdayJBM
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
7
5
44
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 years
Timu ya Mradi wa #VijanaNaAmani255 tupo Wilaya ya #Tandahimba Mkoani #Mtwara na tumepokelewa na Mhe. Kanali Patric Sawala, Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba, ambapo tumemueleza jitihaza zetu za kuhamasisha ushiriki na ushirikishwaji wa vijana ktk ujenzi wa amani. #SDGs2030 #Tanzania
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
1
10
42
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
9 days
Asante Sana Mheshimiwa @ridhiwankikwete kwa kuungana nasi kwenye kilele cha Kongamano la Kitaifa la Agenda ya Amani na Usalama kwa Vijana, Sept. 22, 2024, JNICC, Dar es Salaam. Nakutakia majukumu mema katika kushughulikia agenda za vijana nchini Tanzania. #Youth4PeaceAgenda
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
6
45
@joseph_malekela
Joseph Brighton Malekela
2 months
Wiki hii nimeshiriki maandalizi ya jukwaa la @youth4peaceTZ ambapo nimeungana na wadau mbalimbali wa agenda ya vijana na amanj katika kajadiliano ya pamoja. Nafurahi kuwa sehemu ya kutengeneza fursa kwa vijana wa #Tanzania kushiriki michakato ya amani na maamuzi ya Maendeleo.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
3
45