Nakukumbusha kijana mwenzangu, unaweza kuwasha mshumaa wako bila kuuzima mshumaa wa mwenzako. Unaweza kuwa Bora bila kuwadhoofisha wengine. Unaweza kupanda viwango hadi viwango vya juu zaidi na zaidi bila kuwashusha wengine. Duniani kila mtu ana fungu lake, na wewe lakwako LIPO!.
Ninatangaza rasmi nia ya kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama cha
@ccm_tanzania
ili kuwania nafasi ya Ubunge kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu 2020, katika Jimbo la Lupembe, lililopo Wilaya ya Njombe Vijijini, Mkoa wa Njombe.
#2020ZamuYetuVijana
#Magufuli5Tena
Nimepokea salamu nyingi za pole kutokana na taarifa zinazosambaa mitandaoni kwamba "nimesimamishwa masomo" UDSM.
Nitazungumzia hili suala kwa kina saa10.00 jioni ofisi za
@THRDCOALITION
mikocheni.
#SimamiaHaki
#Istand4humanrights
4/5: Kwakuwa suala la msingi lilikuwa maslahi ya wanafunzi, na tayari Serikali kupitia Wizara ya Elimu wameshaachukua hatua za haraka kutatua, huku viongozi tumeshaabeba huu mzigo kwa kuhatarisha masomo yetu, HAKUNA UMUHIMU WA WANAFUNZI KULETA VURUGU. TUACHIENI SISI NA MTULIE.
Nafurahi kuhitimu mafunzo ya Uongozi ya
@WashFellowship
katika Chuo Kikuu cha
@michiganstateu
, USA.
Nitaendelea kutumia maarifa na hamasa niliyoipata katika mafunzo haya (na yale niliyojifunza kwa vijana wenzangu wa Afrika), kuleta mabadiliko chanya kwaajili yangu na nchi yangu.
Sept. 21 ya kila mwaka ni kumbukizi yangu ya siku ya kuzaliwa. Ni siku muhimu kwangu na Natumia fursa hii kumshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai hata kuongeza mwaka mwingine duniani. Namuomba Mungu, azidi kunifungulia njia, kunisogezea watu sahihi na kunipa kile tu ninachoshili.🙏🏿
1/3: Kwa kudra za Mwenyezi Mungu, ktk duru ya II ya mahafali ya 52 ya Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam
@UdsmOfficial
, nimehitimu Digrii ya Elimu Jamii katika Falsafa na Maadili.
Nawashukuru wazazi, ndugu, jamaa, marafiki na kila mmoja aliekuwa sehemu ya safari yangu ya kitaaluma.
Kila hatua Dua!. Nimefurahi kwa mara ya kwanza kukanyaga viwanja vya ikulu ya
@WhiteHouse
. Namshukuru Mungu kwa upendeleo kwangu. Naendelea kujifunza.
3/5: Naombeni niwaweke wazi kwamba, hakuna aliyekuwa na nia mbaya ya kuleta vurugu. Amani ni kitu Cha msingi katika nchi yetu.
Lakini kwa kiongozi, maslahi ya anaewaongoza ni Jambo la muhimu zaidi kuliko maslahi yake. Kiongozi hawezi kulala wakati watu wake wanataabika.
5/5: Ninaamini CKD italitazama hili suala kwa kina.
All in all, lipo jambo la kujifunza katika haya yote na kwa yeyote.
Watu ambao mnanafasi kama yangu msiogope. Watumikieni watu, uongozi sio jambo simple. Simamieni Haki na muhimu zaidi lindeni amani.
#AmaniNaHaki
Mwaka 1 baada ya kushiriki
@YALIRLCEA
, Ninafurahi kuchaguliwa
@WashFellowship
mwaka 2024. Natarajia kuendelea kujifunza uongozi ili kukuza kipaji changu na kuitumikia jamii.
Hatua hii inanitia Hamasa ya kusonga mbele zaidi kwa kile kidogo ninachofanya kwenye jamii.
#KilaHatuaDua
2/5: Kimsingi, uongozi sio kazi rahisi. Nilikubali kuwa kiongozi, tena katika nafasi ngumu kuliko zote. Na nyie ni mashahidi, mimi pamoja na wenzangu tumejitahidi sana kusimama kwa ajili yenu na kupambania maslahi yenu. Na kubwa zaidi, tumeyavaa maumivu ya maslahi yenu.
I'm honored to be the most nominated person for Human Rights Defender of the month, January 2020 under category of Social and Accountability run by
@thrdcoalition
.
I express my gratitude to all who have appreciated my potential and nominating for this recognition.
Asanteni Sana
Wito wangu kwa vijana wenzangu, unaweza kuwasha mshumaa wako bila kuzima mshumaa wa mwenzako. Unaweza kuwa Bora bila kuwadhoofisha wengine. Unaweza kupanda viwango hadi viwango vya juu zaidi bila kuwashusha wengine. Kila mtu na fungu lake.
Jumapili Njema. 😊
Ninakutakia maisha marefu mheshimiwa
@ummymwalimu
. Mungu azidi kukupigania katika kazi nzuri ya uongozi wa nchi yetu kwa nafasi yako. Happy birthday to you!.
I'm honored to be appointment as East African Regional Director of
#AAYFO
.
For 2 years, I will be voluntarily working with fellow youths to foster diversity and
#SDGs
through youth exchange programs and partnership.
#SDGs2030
#YouthLeadership
#AAYFO
I'm honored to be awarded as "Outstanding Youth in Peace and Security" during
@youthawards_tz
#TEYA2023
This recognition makes me feel valued & see my 6+ years of voluntary works in promoting
#Youth
,
#Peace
&
#Security
Agenda is not in vain, but impactful.
Thanks for Votes 🙏
Asanteni sana kwa fursa hii adhimu ya kujielimisha kwa maslahi ya nchi yangu ya
#Tanzania
.
Nia yangu, utayari wangu na uthubutu wangu wa kuleta mabadiliko chanya ya jamii, havitoshi bila kuwa na fursa za kujielimisha zaidi. Na kwahakika,
@WashFellowship
imenifungulia Dunia!
Tunamtambulisha Joseph Brighton Malekela, ambaye ana uzoefu wa zaidi ya miaka nane katika kutetea ushiriki wa vijana katika kufanya maamuzi, amani, usalama, na maendeleo. Kwa sasa, Joseph ni afisa mkuu wa operesheni katika Shirika la Vijana la Afrika-Asia (AAYFO), akijikita
The learning journey of
@WashFellowship
starts today at
@michiganstateu
.
I'm excited and ready to learn, unlearn and re-learn on civic leadership development.
Thanks to
@usembassytz
for such a great opportunity. I look forward to come up with more experience for my community.
Baba yetu, uliye mbinguni, jina lako litukuzwe, ufalme wako uje, mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni. Utupe Leo riziki yetu. Utusamehe makosa yetu, kama nasi tunavyowasamehe walio tukosea. Usitutie majaribuni, bali utuokoe na yule muovu. Amin.
Kwako kijana mwenzangu mpambanaji, nikutie moyo kuendelea kupambania ndoto zako, kuupa muda nafasi, na kujituma kufanya kile unachokiamini! Dunia haina uwezo wa kutunza kumbukumbu za waliokata tamaa, ila huwaheshimu wote wanaopambania ndoto zao hadi dakika ya mwisho!.
Asanteni sana kwa kuniamini na kunipa fursa hii adhimu ya kuwa mjumbe wa Bodi ya Sauti ya Vijana ya Umoja wa Ulaya - Tanzania. Hii ni heshima kubwa kwangu.
Natarajia kufanya kazi na wajumbe wenzangu, kuishauri
@EUinTZ
kuwekeza katika maendeleo ya vijana ili kudumisha Amani.
📢Kutana na
@joseph_malekela
, mjumbe wa Bodi wa Sauti ya Vijana Umoja wa Ulaya - Tanzania, anayehimiza ushirikishwaji wa vijana katika kukuza amani na usalama kwa maendelo endelevu.
Zimesalia siku 2️⃣0️⃣ kuelekea uzinduzi rasmi wa Bodi ya Sauti ya Vijana
#YSBEUTZ
#EuropeDay
Kongamano la Tanzania Youth Forum linafanyika siku chache zijazo jijini Dodoma. Waziri Mkuu
@KassimMajaliwa_
na Mhe. Rais
@SuluhuSamia
wanatarajiwa kushiriki.
Nasubiri kwa hamu kusikia mambo 3 muhimu:
1. Baraza la Taifa la Vijana
2. Sera ya Maendeleo ya Vijana
3. Youth Quota.
Congratulations H.E Dr. John Pombe Joseph Magufuli for your re-election as United Republic of Tanzania's President 2020 - 2025. Wishing you all the best in serving Tanzania for the second term. Looking forward to see more transformative and integrity Leadership!
#Tanzania
Ukitaka kuwa kiongozi, hakikisha umewatengeneza au umewasaidia wengine wengi zaidi kuwa viongozi katika maeneo yao. Wakati wako ukifika, hawatakosekana wachache watakaokusemea vizuri ili kukamilisha jambo lako.
#TYF2023
Nimepata heshima ya kuchuguliwa kushiriki mafunzo ya Uongozi yanayoandaliwa na
@YALIRLCEA
, Nairobi, Kenya.
Mafunzo haya yanatuleta pamoja vijana zaidi ya 80 kutoka nchi 14 za Afrika. Kwa kipindi Cha wiki mbili, natarajia kujifunza zaidi kuhusu Uongozi kupitia taasisi za kiraia.
Leo nilialikwa kipindi Cha Morning Trumpet
@azamtvtz
kujadili kuhusu Jitihada za Serikali ya
#Tanzania
katika kuwawezesha wananchi kiuchumi kupitia 10% za mapato ya halmashauri nchini. Tumeangazia mafanikio, changamoto na nini kifanyike kuboresha zaidi jitihada hizi njema.
Leo nimejitokeza katika ofisi za CCM Wilaya ya Njombe na kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi
@ccm_tanzania
ili kugombea Ubunge katika Jimbo la Lupembe.
Ninawahamasisha vijana wenzangu mnaokidhi matakwa ya kikatiba, tujitokeze kwa wingi!
#2020ZamuYetuVijana
Today I led the
@youth4peaceTZ
team to visit Brig. Gen. Itangale, Commandant of Tanzania Peacekeeping Training Centre - TPTC ahead of the upcoming National Forum on Youth, Peace and Security slated from Sept. 20 - 22, 2024 in Dar es Salaam.
#Youth4Peace
#Tanzania
It was a great pleasure to visit
@undptz
Resident Representative
@komatsubarasan1
, exchanging views on empowering youth Leadership talents to address social challenges, promote sustainable peace & development in
#Tanzania
.
I'm so happy learning the great work done by
@undptz
.
Safely arrived in Beijing, to attend the China-Africa Youth Festival hosted by Ministry of Foreign Affairs of the People Republic of China 🇨🇳.
For 1 Week, I expect to angage in discussions on the long-standing cooperation of China & Africa.
@ChineseEmbTZ
@JMakamba
@mfa_tanzania
Ukishukuru kuokota, shukuru na kupoteza.
Na maisha ni kama goroli,
Kuna muda unadema, kuna muda unaingia joda, Kuna muda unaweka kira.
Sasa wewe kudema imekua matatizo? Kuna watu wamemute.....
Hahahahah I real like this actor!
@MwangiTelvin
@vefama267
@jr_masaki
Hapa
@WashFellowship
, Nafurahi kuonana na Selemax, Raia wa Liberia na mhitimu wa
@Nyerere_Fellows
Cohort 1 (2022) Dar es Salaam. Selemax ni miongoni mwa vijana 60 wa Afrika niliowaratibia mafunzo ya Uongozi, Amani, usalama na maendeleo yaliyotolewa na
@Ndc_tz
na
@UONGOZI
.
Nakutia moyo kijana mwenzangu, kesho ni njema kuliko Jana na ni njema zaidi kuliko Leo. Ni suala la muda tu wala Usikate Tamaa. Shukuru kwa kila jambo, Mungu ni wetu sote na anatuwazia mema! 💪
Photo credit:
@MkomwaSylvia
Wiki hii nimejumuika na vijana wenzangu wa
#Tanzania
tuliochaguliwa kushiriki mafunzo ya Uongozi ya
#MandelaFellowship
, yatakayofanyika kati ya Jun. 19 - Aug. 2, 2024 Marekeni.
Ni heshima kubwa kwangu kupata fursa hii adhimu. Natazamia kujielimisha kwa maslahi ya nchi yangu!.
Today, at
@UdsmOfficial
class of M.A in Strategic and Peace Studies, we were honored by a visitation of Ambassador
@Mjengaomar
who shared with us his experience in Diplomatic Communication, Practices & Strategies.
It was so great learning from this legend!. Thanks for coming 😊.
Meza Moja na kiongozi kijana mahiri
@JerrySilaa
, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi, alieambatana na kiongozi wa Mwenge hapo jana Mnazi Mmoja.
Nafurahi kuona anavyojituma kupambana na changamoto zinazowakabili wananchi katika sekta ya Ardhi. Namtakia kila la kheri.
Kwa niaba ya kamati ya maandalizi ya awamu ya kwanza ya
#NyerereFellowship
, nilipata nafasi ya kutoa majumuisho ya shughuli zote zilizofanyika katika programu hii.
Naishukuru sana Taasisi ya Mwalimu Nyerere kwa kuniamini na kunipa nafasi hii adhimu ambayo imenifunza vitu vingi.
Leo nimeongozana na vijana wenzangu 17 kati ya 26 (tuliochaguliwa kushiriki mafunzo ya
#mandelawashingtonfellowship2024
USA) kutembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa lengo la kujifunza kazi mbalimbali za Bunge katika kusimamia utendaji kazi wa serikali.
Kheri ya kumbukizi ya siku yako ya kuzaliwa Mkuu wa chuo changu pendwa, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (CKD) na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
@jmkikwete
Ninakutakia maisha marefu. Mungu akutunze!
Ninasubiri kwa hamu sana "KITABU CHAKO".
#HBD_JK
#Tanzania
Miaka ya karibuni nimekuwa nafananishwa na watu mbalimbali wenye majina kwenye jamii, nikiwa ndani na hata nje ya nchi.
Najua sifanani kabisa! Lakini wakati wote, najipa changamoto ya kuendelea kujifunza kutoka kwa wale ninaofananishwa nao ili walau niziishi sifa zao njema!.
Habari! Naungana na vijana wenzangu zaidi ya 700 wa Afrika katika kilele cha mafunzo ya
@WashFellowship
yaani
#MandelaFellowshipSummit
, Washington DC, USA.
Najivunia kuwakilisha nchi yangu ya
#Tanzania
katika jukwaa hili la vijana viongozi wa Afrika. Naendelea kujifunza!.
Kongamano la vijana kitaifa
@youthforum_Tz
kwa mwaka 2023 limetupa fursa adhimu vijana kijadili kwa kina ushiriki wetu na nafasi yetu katika uongozi, utawala, demokrasia na maendeleo endelevu.
Nilipata heshima ya kuwa Mmoja wa watoa mada. Kongole kwa waandaaji wa kongamano hii.
Zaburi 23: 1-3
1 BWANA ndiye mchungaji wangu, Sitapungukiwa na kitu.
2 Katika malisho ya majani mabichi hunilaza, Kando ya maji ya utulivu huniongoza.
3 Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.
Happy Sunday to you all!.
Wiki hii nilialikwa na
@ypc_tanzania
kuwa katibu wa Kongamano la Vijana Halmashauri ya Kibaha Mjini wakati wa Mbio za Mwenge.
Pichani nikikabidhi nakala ya masuala yaliyojitokeza, mapendekezo na maazimio ya Vijana kwa Ndugu Godfrey Mnzava, Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa.
Swali: Kuna uhusiano wowote Kati ya AMANI na HAKI? Kwanini watu wengi katika maisha ya kawaida tu wanapenda sana AMANI kuliko HAKI?
Question: Is there any nexus between PEACE and JUSTICE? Why most of people in local life are more likely interested with PEACE than JUSTICE?
1 day left for Tanzania International Model UN - TIMUN2021 to be held at Institute of Tourism (Marububi), SUZA, Zanzibar!
Meet one of our guest speakers, Ambassador Togolani Mavura
@tonytogolani
, former chairperson of YUNA Tanzania
#TIMUN2021
#sdgs2030
#Tanzania
#Zanzibar
No one can get back and rectify his/her bad beginning: but, anyone can start a fresh today and create a very bright future.
The past adds nothing to the future, but only today!.
Not too late. Let's wake up and move on!.
#BePositive
#BeConfident
#BeHappy
#ActNow
#YouthCan
This Saturday, March 25th, 2023 from 10am - 12noon I will be joining Twitter space of
#TIMUN2023
, together with senior
@AreefFazel
,
@NoelMtafya
and many others.
The discussion topic is: "Youth Role in leadership and promoting Peace".
Don't plan to miss this discussion!.
Kuelekea mafunzo ya Uongozi ya
@WashFellowship
, washiriki toka
#Tanzania
tumepata fursa ya kipekee kukutana na Naibu Katibu Mkuu wa
@mfa_tanzania
Balozi Said kupata nasaha zake kabla ya kutuaga rasmi.
Tumejifunza mengi na tuko tayari kwenda kujielimisha kwa maslahi ya nchi yetu!
Go, learn, try to practice and make desired change.
Make sure you do everything at your highest capacity; prioritizing trustfulness, efficiency and professionalism.
Then wait and see how the nature is very fair to hard working person!
While waiting, keep improving!
#TIMUN2020
Baada ya kukamilisha hatua zote za mafunzo ya uongozi ya
@WashFellowship
, washiriki kutoka Tanzania tumetembelea
@UbaloziUSA
na kutoa mrejesho wa yale tuliyojifunza katika program hii.
Shukrani za dhati kwa Mhe. Balozi
@eskanza
kwa kutenga muda wa kutusikiliza na kututakia heri.
Leo tumezindua rasmi mradi wa
#VijanaNaAmani255
. Mradi huu unakusudia kuhamasisha ushiriki na ushirikishwaji wa Vijana katika ujenzi wa amani.
Mradi utawafikia vijana (walio mashuleni na nje ya shule) waishio mikoa ya mipakani, pamoja na vijana mitandaoni.
#VijanaNaAmani255
E Mungu wewe ni nguvu yetu,
Ilete baraka kwetu sisi Wana wako,
Haki yako iwe ni nguvu yetu,
Uwe faraja yetu hata kwa machungu,
Upendo na Amani tujazie,
Undugu uzidi uhasama na kisasi,
Mbona majirani tunapigana,
Tufunze Upendo tukakumbatiane!
By Pillars of Faith.
🙏🙏🙏🙏
Imekuwa ni heshima ya kipekee kwangu na kwa shirika la
@ALII_Africa
kumkaribisha Mheshimiwa Dkt. Dotò Mashaka Biteko, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambae Amemuwakilisha Mhe. Rais
@SuluhuSamia
katika ufunguzi wa Kongamano la Kitaifa la Agenda ya Amani kwa Vijana. Asante!.
As I start my new role of Chief Operations Officer at
@aayfo_official
, today I met with H.E Siraj Ahmad Khan, Ambassador of
@PakinTanzania
to explore potential areas of collaboration. I look forward to working together in common areas of interest.
#AAYFO
.
Nimeshiriki ufunguzi wa Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Vijana Kimataifa lililoandaliwa na
@WMKVAW
jijini Dodoma.
Nilipata fursa ya kuwasilisha maoni ya taasisi za vijana juu ya mchakato wa Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050, hasa mambo ya muhimu kuyazingatia kwa vijana.
Septemba 21 ni kumbukizi yangu ya siku ya kuzaliwa.
Namshukuru Mungu kwa kunijaalia kutimiza mwaka mwingine duniani.
Namuomba Mungu azidi kunipa moyo wa shukrani, kuridhika na kujituma katika kupambania ndoto zangu.
Happy birthday to me!
We've concluded the
@WashFellowship
Summit 2024 with a surprise of receiving 2 important congratulatory letters; from
@VP
of United States H.E
@KamalaHarris
and from Former US President H.E
@BarackObama
.
The vibe can tell! This has been a most joyfully moment ever! Asante Sana!
Kwenye harakati za utafutaji, kuna kupoteza MUDA, kupoteza PESA na kupoteza WATU tena wale wa muhimu kabisa. Katika hali zote, muhimu sana kuhakikisha humpotezi MUNGU wako.
Yamebaki masaa kuhitimisha mwaka 2019.
Napenda kuwashukuru sana wazazi wangu, ndugu, jamaa, marafiki na kila mtu aliyeshirikiana nami kwa namna moja au nyingine kwa mwaka huu mzima.
Nimejifunza mengi sana kutoka kwenu.
Ninawatakia Kheri ya Mwaka Mpya!.
#HappyNewYear2020
Mr. Kadari Singo, Chief Executive Officer of Uongozi Institute
@UONGOZI
together with
@KulayaHenry
offered an executive leadership training to members of 1st Cohort of
#NyerereFellowship
.
It’s exciting to see we have a forum for building capacity of young leaders of Africa. 💥
Nilifurahi kuonana tena na
@IamEva87
nilipotembelea
@UbaloziUSA
. Mara ya mwisho kuonana nae ilikuwa 2017, alihudhuria kama mgeni katika moja ya matukio niliyoratibu pale Benjamin Mkapa High School.
Kwa sasa yeye ni afisa mwandamizi wa
@UbaloziUSA
na mimi ni bado mpambanaji.
Katika kukumbukizi yangu ya kuzaliwa, napenda kuwashukuru watu wote ambao wamewahi kuweka mikono yao katika maisha yangu tangu kuzaliwa, iwe kwa wema au kwa ubaya. Najua ni wengi na sio wote nawakumbuka
Hapa nilipo, mchango wenu ni mkubwa sana! Mbarikiwe!
#25thHappyBirthdayJBM
Timu ya Mradi wa
#VijanaNaAmani255
tupo Wilaya ya
#Tandahimba
Mkoani
#Mtwara
na tumepokelewa na Mhe. Kanali Patric Sawala, Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba, ambapo tumemueleza jitihaza zetu za kuhamasisha ushiriki na ushirikishwaji wa vijana ktk ujenzi wa amani.
#SDGs2030
#Tanzania
Asante Sana Mheshimiwa
@ridhiwankikwete
kwa kuungana nasi kwenye kilele cha Kongamano la Kitaifa la Agenda ya Amani na Usalama kwa Vijana, Sept. 22, 2024, JNICC, Dar es Salaam. Nakutakia majukumu mema katika kushughulikia agenda za vijana nchini Tanzania.
#Youth4PeaceAgenda
Wiki hii nimeshiriki maandalizi ya jukwaa la
@youth4peaceTZ
ambapo nimeungana na wadau mbalimbali wa agenda ya vijana na amanj katika kajadiliano ya pamoja.
Nafurahi kuwa sehemu ya kutengeneza fursa kwa vijana wa
#Tanzania
kushiriki michakato ya amani na maamuzi ya Maendeleo.