john_salamba Profile Banner
Eighty One Profile
Eighty One

@john_salamba

Followers
84
Following
2K
Statuses
1K

mwanza
Joined December 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
@john_salamba
Eighty One
5 hours
@PKishamba Ushauza game wewe,hapa unatulisha tu
0
0
0
@john_salamba
Eighty One
21 hours
@Mwanahalisitz Ama kweli ni zama za siasa mpya.Haya yote nilikuwa siyafahamu.Heko kwako mwenyekiti mpya.Nafikiri tumeanza kuona faida ya wajumbe kubadiri viongozi kwenye vyama vya siasa.
0
0
4
@john_salamba
Eighty One
3 days
@godbless_lema @TunduALissu Hapo sawa kabisa namuona TL ameanza vizuri.kukutana na hiyo mashine ni barabara kabisa,akitoka hapo aende kwa Butiku.
0
0
0
@john_salamba
Eighty One
3 days
@DrFatmaPanAfrik @MariaSTsehai @ortamisemitz Kumbe ni wa mtu flani basi tuishie hapo mkubwa.Huko ndo maana halisi ya kutofautiana,tusitukanane.
0
0
0
@john_salamba
Eighty One
4 days
RT @NamdiAzikiwe: “Usishindane na Tundu Lissu, Mungu ana agenda kwenye taifa hili kupitia yeye.”… Mchungaji
0
122
0
@john_salamba
Eighty One
4 days
@godbless_lema Kwahio Lema unaniambia nisiwe nabeba toothpicks kwa mfuko dah Umenivuruga kabisa.
0
0
0
@john_salamba
Eighty One
4 days
@Sativa255 Umeamini sasa,hizi ndo match za away
0
0
0
@john_salamba
Eighty One
4 days
@I_retweet32 @MariaSTsehai @ortamisemitz Alishatia block lakini tofali zitampata tu.kama unataka usikosolewe tafuta dunia yako.
0
0
0
@john_salamba
Eighty One
4 days
@Mwitah_tz Ni ugali kwa Chai.Sidhani kama utalika.
0
0
0
@john_salamba
Eighty One
5 days
@Deo18Tarimo 🤣🤣Kampeni ihamie huku.Kuwaondoa akina M7 wa BSS
0
0
0
@john_salamba
Eighty One
5 days
@WKazinja84310 @MariaSTsehai @ortamisemitz Wewe ni walewale,unataka niungane na wewe kitoiamini mahakama?Basi unda kikundi cha uasi itakusaidia.
1
0
0
@john_salamba
Eighty One
5 days
@MorrisonMs98606 Hivi wewe na taaluma yako ya sheria unaweza kuituhumu serikali imeruhusu mtu amiliki kikundu cha sungusungu unaamini kwamba hakuna chombo cha kuweza kuchukua hatua dhidi ya unyasasaji anaofanya.Nimekunyoshea mikono!Kumbe kijana wa kikurya ni laini hivi
0
0
0
@john_salamba
Eighty One
5 days
@MorrisonMs98606 Toa ushauri tukimbilie wapi kama sio mahakamani.Mwenyekiti anatuhumiwa kuwa na kikundi cha su ngu×2 kinapiga na kuumiza watu.Unataka twende porini kuwindana au mahakamani.Ushabiki sometime ni ujinga tu.
0
0
0
@john_salamba
Eighty One
5 days
@ShedrackRi54114 @MariaSTsehai @ortamisemitz Hata mimi bado nina umri wa kutukana na siwezi kuwa mbwa koko Fala.Nilichojaribu kufafanua ni kwamba mwenyekiti amefanya uhalifu kwanini ilaumiwe serikali?kwanini aliyetendewa asiende mahakamani?Tusipoenda mahakamani tukimbilie wapi.Acha usenge.
1
0
1
@john_salamba
Eighty One
5 days
@oweh1111 @adamlutta 😁😁😁
0
0
1
@john_salamba
Eighty One
6 days
@Ndolezi_Petro @SemuDorothy Tutashindanisha Ilani mbili tu ya CCM na CHADEMA.Wengine mtupumzishe utitiri wa wagombea na ilani zao hatuhitaji.Nawakilisha wapigakura wa October 2025.
1
0
0
@john_salamba
Eighty One
6 days
@oweh1111 @adamlutta Atakunya mara ngapi kwenye la Ekari moja
1
0
2
@john_salamba
Eighty One
6 days
@MariaSTsehai @ortamisemitz Kiongozi wa kikundi cha SunguSungu hahusiani na Serikali wala si Kiongozi anayechaguliwa na mifumo ya kikundi cha kijadi ambacho kinahusiana na kijiji wanataratibu za kiulinzi wa kijadi katika maeneo yao.
1
0
0