Jabiri Makame
@jabiri_makame_
Followers
39K
Following
19K
Statuses
607
Concerned citizen of URT๐น๐ฟ Passionate abt serving people, #SDGsChampion13 @urithiwakijani Gairo District Commissioner
Dar es Salaam, Tanzania
Joined June 2013
RT @SuluhuSamia: Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Sheikh Muhammad Iddi (Abuu Iddi), Imamu Mkuu wa Msikiti wa Mwinyiamani, Mshauโฆ
0
284
0
RT @jmkikwete: Nimepokea kwa mshtuko na masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Jenerali David Bugozi Musuguri, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi waโฆ
0
159
0
We are Proud of our President
A great leader: Thank you President โฆ@SuluhuSamiaโฉ of Tanzania for your incredible leadership that led to the success of the clean cooking summit in Africa held in Paris. The world heard you and rallied with $2.1 billion. You are a gem for Africa! We trust your leadership.
1
0
5
RT @SuluhuSamia: Heartfelt thanks to my Co-Chairs @fbirol Executive Director of @IEA, Norwegian Prime Minister @jonasgahrstore and @AfDB_Grโฆ
0
213
0
Kupeleka timu 2 robo fainali ya Klabu Bingwa Afrika ni heshima kubwa kwa Taifa letu, ni kielelezo Cha Ubora na Ukuaji wa Ligi yetu, na ni matokeo ya hamasa kubwa na msukumo unaotolewa na Rais wetu Mhe Dkt @SuluhuSamia Hongera Tz, Hongera @YoungAfricansSC & @SimbaSCTanzania
4
0
12
RT @ikulumawasliano: Rais Samia Suluhu Hassan amezungumza na wachezaji wa timu ya Taifa ya mpira wa miguu Taifa Stars jioni hii kwa njia yโฆ
0
129
0
Hongera sana comrade na tunakutakia kila la heri katika kumwakilisha Vijana kwenye jukumu hili muhimu kwa Tanzania ya Miaka 50 ijayo.
Napenda kumshukuru Mhe Rais @SuluhuSamia kuridhia, Mhe Waziri @kitilam kuniteua kua mjumbe wa kamati ya kitaalam ya kuandika Dira Ya Taifa 2050. Wameonyeosha imani kubwa kwangu na natambua nimepewa dhamana kubwa kuwakilisha vijana wenzangu. A Tanzanian Dream in a making๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ
1
0
1
Dr. Salim Ahmed Salim: an African transformational leader and a consensus builder #TheDiaryOfDrSalim
0
0
3
๐๐๐ข๐ซ๐จ ๐๐ข๐ฅ๐ข๐ฆ๐จ ๐๐ข๐๐ฌ๐ก๐๐ซ๐ ๐๐ฑ๐ก๐ข๐๐ข๐ญ๐ข๐จ๐ง & ๐๐ข๐ฅ๐ข๐ฆ๐จ ๐๐๐ซ๐๐ญ๐ก๐จ๐ง #October 10-14, 2023
1
1
4
Alhamdulillah! #TukutaneIvoryCoast Tanzania imefuzu kwenda kwenye Michuano ya AFCON. Hii ni mara ya 3 kwa Tanzania kufuzu kushiriki katika Michuano hii. Hongereni sana Vijana wetu wa Taifa Stars. #Tumetoboa #KaziInaendelea
0
0
12
๐๐๐ซ๐๐ฌ๐ ๐ฅ๐ ๐๐จ๐ง๐ ๐จ๐ณ๐ข ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐๐ฐ๐๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ง๐๐ฆ๐๐ ๐ฆ๐จ๐ฃ๐ ๐ฐ๐ ๐๐จ๐ง๐ ๐จ๐ณ๐ข ๐๐ก๐. ๐๐ค๐ญ ๐๐๐ฆ๐ข๐ ๐๐ฎ๐ฅ๐ฎ๐ก๐ฎ ๐๐๐ฌ๐ฌ๐๐ง Uongozi ni Utumishi wa Watu... Mahusiano ktk Uongozi.... Upole si Ujinga....... Fikiri Kabla ya kutenda/kuamua....
0
0
4
RT @Nnauye_Nape: This Government remains fully committed to democracy and the rule of law, but will not make any compromises against breachโฆ
0
12
0
RT @Nnauye_Nape: The Government of the United Republic of Tanzania will continue to uphold freedom of expression, peaceful assembly and allโฆ
0
14
0
RT @Nnauye_Nape: TANZANIAN GOVERNMENT RESPONSE TO INACCURACIES IN REPORTS ON ARRESTS OF CRIMINAL SUSPECTS IN TANZANIA It has come to my attโฆ
0
58
0
๐๐๐ฉ๐ฉ๐ฒ ๐๐ง๐ญ๐๐ซ๐ง๐๐ญ๐ข๐จ๐ง๐๐ฅ ๐๐จ๐ฎ๐ญ๐ก ๐๐๐ฒ 2023. "๐บ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐ข๐กโ: ๐๐๐ค๐๐๐๐ ๐ ๐๐ข๐ ๐ก๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐" #happyinternationalyouthday
#greenskillsforyouthtowardsasustainableworld #climatechange #urithiwakijanigairo
0
1
9
@MkindiJackie @USAIDTanzania @USAmbTanzania @usembassytz @taha_tanzania @anthonytza @hendry_yohana @TahaTaric @KelvinRemen @SAGCOT @GeofrreyK Congratulations Dr. @MkindiJackie for your visionary leadership in horticultural sector in Tz. Gairo is looking forward to benefit from this huge project.
0
0
2
Shukrani Rais wetu Mhe. Dkt @SuluhuSamia kwa hamasa kubwa unayotoa katika Sekta ya Michezo. Sekta ya Michezo inakuwa kwa Kasi nchini na chini ya Uongozi wako tutashuhudia timu zetu zikifanya makubwa Afrika na Duniani.
Ahsanteni wana Simba kwa kunialika kushiriki nanyi katika siku yenu muhimu hii leo. Hongereni kwa siku nzuri. Pongezi kwenu kwa kuendelea kutangaza utalii wa nchi yetu kwa kufikisha kibegi katika kilele cha Mlima Kilimanjaro. Michezo inatuleta pamoja, inatupa burudani, na kudumisha amani na utulivu, lakini pia inachagiza katika kukuza uchumi wa nchi yetu. Tumekuwa na mwamko na mafanikio makubwa katika michezo miaka ya karibuni. Mbali na Klabu ya Yanga kutinga fainali za Kombe la Shirikisho; Tembo Warriors, Kilimanjaro Queens na Serengeti Girls wametuwakilisha vyema kimataifa. Ahadi yangu ya hamasa ya kununua kila goli katika mashindano ya kimataifa itaendelea. Mbali na Serikali kuendelea kuwekeza katika michezo, natoa wito pia kwa sekta binafsi kufanya hivyo. Nchi yetu ina mazingira mazuri ya kufanya biashara, na michezo ni moja ya eneo muhimu kiuwekezaji.
0
0
5
Rais Mhe Dkt @SuluhuSamia amefanya yote yanayopaswa kufanywa na Kiongozi wa nchi kuonesha mapenzi yake na kiu yake kuona Tz inapata heshima kubwa katika ulimwengu wa soka. Hivyo, wanamichezo wetu watambue kwamba wana deni kubwa kw Taifa, wananchi, na mama anawadai #kaziiendelee
1
0
14