@_falsi1ke
Mimi Kuna siku nimeenda kwa my dad's brothers ilikua ni family gathering,Mimi kupewa chai nkasema sikunywangi juu sipendi maziwa,kusema hivyo naskia huko nyuma kwa background "watu wa bangi hawakunywangi chai"🥲🥲till now i don't go to those things 😤