Kwahyo kwa siku 29 Jeshi la Polisi
@tanpol
mmekua mkimshikiliq bwana Kombo kwa siku 29 ama mmeanza kumshikilia toka lini?
Kwa siku zote 29 hamkuona kuwa ndugu
@ExMayorUbungo
na wengine wanaandika mitandaoni kumuhusu?
Haya ndo matendo
@SuluhuSamia
amewapongeza kwayo??
Kuna
Video kwenye comments
Katika suala zima la ku tengeneza maudhui wazee wetu bbc watakuja kukaushwa damu.
Alichofanyiwa huyu mzee ni ukatili wa kijinsia na kihisia.
Inaelekea hii space watu wengi waliikosa,
Kama mngependa irudiwe niambieni kwa kunipa retweets 3000 kwenye hii Post
Niffollow weka notifikation on,
Zikifika retweets 3000 ama followers 20k ndani ya saa 24 lispace linaruka kwa hewa: TWENDENI KAZI
#ZatureSpaces
Wapendwa
@ExMayorUbungo
anawakaribisha kumuunga mkono kwenye biashara yake ya MAYAI maana Kuku wake ni kama wanamkomoa kwa kutaga.Raising hands
Anauza Tsh. 6500 tu kwa TREY na anakuletea popote ulipo DAR, pia Kwa wa maeneo mengine wasiliana nae kwa namba 0712 239 595
Ngorongoro: Tundu Lissu atimiza malengo yake
Ukweli ni Kwamba, lengo la ziara ya Tundu Lissu na Chama chake, kupeleka Oparesheni 255 kwenye maeneo ya hifadhi ya Ngorongoro ilikuwa ni kuitangazia dunia unyama wanaofanyiwa Wamasai na Serikali ya Tanzania, wa kuwahamisha kwenye
Huyu Ng’ombe anaitwa Freshian, Asili yake ni huko Uholanzi, ana uwezo wa kutoa maziwa lita 400 (ndoo 20) kwa siku. Hii mbegu haijafika Afrika bado, kwa sasa iko zaidi ulaya na Amerika ya kasikazini.
Wakishushwa 5 Mto Ruvu, Dar unaitishwa mgao wa maji 😂😂
NASHUKURU KWA 10,000 followers Si kwa nguvu si kwa uwezo, niwashukuru wote mlioniheshimisha,
Asubuhi hii nianze na watu 100 kwa haraka follow
@iamZature
@iamZature
Retweet, weka handle yako nikufollow, follow wote wakufollow back
Yakiitwa mashindano ya Mamisi leo, halafu waende mama zetu wasichana wasiende, Mmoja wa mama yetu ndo atakuwa Miss, maana majaji hawana uchaguzi CC
@godbless_lema
#ZatureSpaces
MUHIMU SANA HII ITAKUSAIDIA
Je, unajua kwamba wakati wa Kusafisha Damu (dialisisi), damu Hutolewa mwilini kupitia bomba jekundu, hupita kwenye mashine ya dialisisi, na kisha kurudishwa tena kwenye mfumo wa mwili kupitia bomba la bluu?.
Mchakato huu hurudiwa kwa saa nne huku
Nime tafakarari sijapata majibu,
Jana dingi alivyotumia muda wake karibu wote kumjibu jj inamaana hakuwa ameandaa hotuba yake? Kwa maana Kama alikua ameandaa hotuba ya mambo ya maendeleo asingepoteza kumjibu jj
MNISAIDIE MAJIBU MSIISHIE KULIKE 😋🤗
GWAJIMA AMLAUMU HALIMA MDEE KUTOTENGENEZA MITARO YA BOKO
2020 Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia CCM, Askofu Josephat Gwajima alimlaumu aliyekuwa Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA) kwa kusababisha mafuriko kwa wananchi wa Boko.
2024 atamlaumu nani?
@godbless_lema
#KatibaMpya
haihitaji eti CCM ikubali 🙄 tusijidanganye! Katiba ni ya WANANCHI na mamlaka ZOTE hutokana na wananchi!
Walichofanya CCM (and they mastered the craft) ni kujenga taswira (Illusion) as if wao ndo gatekeepers wa Katiba - Thubutuu 😑
#KatibaMpyaMovement
is ON 🙌🏽
Huyu inamaana atapunguza kuweka Vifurushi, atapungua kutuma na kupokea pesa,
Hii TOZO itaumiza wananchi ila serikali na makampuni ya simu yatapata sehemu yake ya hayo maumivu, athari za tozo ni DOMINO EFFECT
We are Gaining masivelly After WhatsApp is Down
Follow me
@iamZature
+
@Lee_ian_Mosenya
and Drop your Handle.
Follow all the retweeters. Follow Back all