KINGDANIEL
@daniel_fumbo
Followers
1K
Following
7K
Statuses
6K
kuna mchongo nausikilizia ukitiki tu najenga
Dar es Salaam, Tanzania
Joined May 2022
@Kunde0 mm kuna manzi mmoja nilisoma nae saiz kawa mzuri nikashobokea kumchek wasap uwez amin aka bluetik salam
1
0
1
@MSAMBATAVANGUJ wabunge wanapiga pessa kichizi alaf wanasema vijana siasa hailipi wakati wao kutoka hawataki
0
0
0
@Adventure_36 njoo mikoani kama mbeya na sumbawanga utachoka mkuu kuna nyumba mpk mwenyewe ameamua kumpa kijana akae tu bila kulipa
0
0
0
@Sirjeff_D ukiona mwanaume ana kula chpsi na bado ana post mtandaoni ujue huyo IQ mbovu na uwe na wasi wasi nae sanaa
0
0
2
RT @mrembo_og: X marafiki samahani yeyote aliyepo Tunduru ruvuma aje DM please kuna jambo anisaidie huko.
0
4
0
@munyamambogo ndio lkn siku mojabnilikua kijiweni mshikaji kashuka kwenye scania G 400 auto anaulizwa kuna kampuni ina faw unaweza akasema taiweza tu umeona shida inapo anzia hapo
1
1
3