daniel_fumbo Profile Banner
KINGDANIEL Profile
KINGDANIEL

@daniel_fumbo

Followers
1K
Following
7K
Statuses
6K

kuna mchongo nausikilizia ukitiki tu najenga

Dar es Salaam, Tanzania
Joined May 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
@daniel_fumbo
KINGDANIEL
4 days
:usipoalikwa usihudhurie waspokuambia usiwaulize ✍️
Tweet media one
1
0
3
@daniel_fumbo
KINGDANIEL
3 hours
@Adventure_36 bado majeruhi kama hawa ambao taarifa zao hata polisi hawana
Tweet media one
0
0
0
@daniel_fumbo
KINGDANIEL
3 hours
wakali hapa ni wapi🇹🇿
Tweet media one
0
0
1
@daniel_fumbo
KINGDANIEL
7 hours
@Kunde0 mm kuna manzi mmoja nilisoma nae saiz kawa mzuri nikashobokea kumchek wasap uwez amin aka bluetik salam
1
0
1
@daniel_fumbo
KINGDANIEL
15 hours
@MSAMBATAVANGUJ wabunge wanapiga pessa kichizi alaf wanasema vijana siasa hailipi wakati wao kutoka hawataki
0
0
0
@daniel_fumbo
KINGDANIEL
16 hours
@EsirEid yani kachapiwa
0
0
0
@daniel_fumbo
KINGDANIEL
16 hours
@EsirEid basi tuseme tawile
0
0
1
@daniel_fumbo
KINGDANIEL
23 hours
@EngMapundajr alaf vile vidada waga vina maneno mazuri kinomaa
0
0
1
@daniel_fumbo
KINGDANIEL
1 day
@Phbhimself ila volvo mpk leo bado wako ngangali
0
0
2
@daniel_fumbo
KINGDANIEL
1 day
@TBoundBuses kila nchi inasheria zake kumbuka zetu tumerithi toka kwa mzungu
0
0
0
@daniel_fumbo
KINGDANIEL
1 day
@munyamambogo sema zile chuma sio za masafa marefu bwana tuna fosi tu
0
0
1
@daniel_fumbo
KINGDANIEL
2 days
@apvmpkin bado akimaliza inabidi uipige pige
0
0
0
@daniel_fumbo
KINGDANIEL
2 days
@Adventure_36 njoo mikoani kama mbeya na sumbawanga utachoka mkuu kuna nyumba mpk mwenyewe ameamua kumpa kijana akae tu bila kulipa
0
0
0
@daniel_fumbo
KINGDANIEL
2 days
@Sirjeff_D ukiona mwanaume ana kula chpsi na bado ana post mtandaoni ujue huyo IQ mbovu na uwe na wasi wasi nae sanaa
0
0
2
@daniel_fumbo
KINGDANIEL
2 days
RT @mrembo_og: X marafiki samahani yeyote aliyepo Tunduru ruvuma aje DM please kuna jambo anisaidie huko.
Tweet media one
0
4
0
@daniel_fumbo
KINGDANIEL
2 days
@ze_mandevu itakua mademu wamemfilisi
1
0
0
@daniel_fumbo
KINGDANIEL
2 days
@munyamambogo ndio lkn siku mojabnilikua kijiweni mshikaji kashuka kwenye scania G 400 auto anaulizwa kuna kampuni ina faw unaweza akasema taiweza tu umeona shida inapo anzia hapo
1
1
3
@daniel_fumbo
KINGDANIEL
2 days
@mdudenyagali acha wafe unatekaje mtoto kesho watateka na kuua
0
0
0
@daniel_fumbo
KINGDANIEL
3 days
Tweet media one
0
0
2
@daniel_fumbo
KINGDANIEL
3 days
@Kunde0 kwa mala ya kwanza naiona actross imekulazinga itakua tandiboi huyu
1
0
2