Nikajua tutamfutia mashtaka yote Lissu baada ya kumpa adhabu ile ya shambulizi baya, la AIBU, la risasi nyingi, bila HATIA. Mwenyezi Mungu anatuona mjue.
Mbona tumesamehe mafisadi, majambazi, mafirauni kama Babu Seya,., tunakwama wapi na kila siku tuko makanisani na misikitini?