CWPedro Profile
CWPedro

@cw_pedro

Followers
66,050
Following
817
Media
4,931
Statuses
124,646
Explore trending content on Musk Viewer
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Mzee wangu ananiambia Mwalimu Nyerere alisali kila siku asubuhi pale St. Peters kabla hajaenda kazini Ikulu na Jumapili siku ya Ibada. Hakuna siku alisimama altare/madhabahuni kusalimia wala kuhutubia. Suala la kusali alilifanya lake binafsi na Mungu wake. Aliijua nafasi yake.
150
174
2K
@cw_pedro
CWPedro
4 years
CHADEMA msisahau kuwaandalia DEBATE watia NIA wenu, hasa wa URAIS wetu, 'live' kwenye Tv. Anzeni kutafuta sponsors. Mkikosa tutawachangia. Waonesheni CCM namna mnavyotafuta wagombea kwa UWAZI.
106
152
1K
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Moto wa Mlima Kilimanjaro unavyozimwa KIMASIKINI huwezi kuamini ndio TANAPA hii inayotoa 'GAWIO' kubwa serikalini.
80
114
1K
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Kaanza Lissu kumchomoa mgombea wao CHADEMA wa URAIS Zanzibar. Kaka Membe na wewe Muunge mkono Lissu.
24
59
1K
@cw_pedro
CWPedro
3 years
Kumbe Dr Slaa ameshakuwa replaced mko kimya tu. Sio vizuri.
58
50
1K
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Ila Lissu anasoma sana aisee. Anajua mambo mengi sana ya nchi hii. Kila anakosimama anaijua HISTORIA yake vizuri.
34
82
1K
@cw_pedro
CWPedro
4 years
WATANZANIA wenzangu tuokoe BUNGE letu lisiwe kama Halmashauri Kuu ya CCM. Tuchague WAPINZANI kwa wingi kwenye Ubunge.
36
127
1K
@cw_pedro
CWPedro
4 years
BAKWATA inamuombea kura mgombea urais wa CCM. Tumefika kubaya sana kwenye SIASA na DINI.
83
55
996
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Tv kubwa karibu zote ziko Bukoba kwa Mgombea wa CCM muda huu. Kwa upinzani haziendi hadi taarifa ya habari ya saa 2 usiku. Ni mitambo inagoma? Msiwapinge UN. Wana HOJA.
28
80
970
@cw_pedro
CWPedro
5 years
-Mzee Mwinyi ana mwanae ni waziri; -Mzee Mkapa ana nduguye ni mkurugenzi NSSSF; -Mzee Malecela ana mke ni Mbunge Jimbo la Ikulu; -Mzee Jakaya ana Mke ni Mbunge Jimbo la Ikulu; -Mzee Warioba ana mwanae ni DC; Wazee wote hawa wanatunzwa kwa PENSHENI nzuri sana. Tutafakari.
56
99
974
@cw_pedro
CWPedro
5 years
CHADEMA wameweka utaratibu mzuri kweli wa kuwatoa gerezani viongozi wao. Wanaanza na akina mama kwa michango iliyokwisha patikana.
22
66
950
@cw_pedro
CWPedro
4 years
StarTv muda huu: -Unang'oa Naibu Waziri; -Unang'oa KatibuMkuu wa Wizara; -Unang'oa Mganga Mkuu wa Wizara; -Unang'oa Mkurugenzi Mkuu wa MSD; -Unang'oa Mkurugenzi wa Maabara Kuu; -Taarifa kutoka Maabara Kuu zinafungwa. Anabaki waziri peke yake. Kisha tunatangaza #COVID19 imepungua
59
95
925
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Hivi anayoyasema Lisu kwenye kampeni hizi zinazoendelea nani mwingine angeyasema? Bunge letu lilishanywea. Vikao vikuu vya CCM haviwezi kuthubutu. Wazee wetu wastaafu ndio hivo.
31
75
856
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Hamkumkemea Alhad Musa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar, hamuwezi kumkemea Sheikh Ponda, mtu mwenye ushawishi na msimamo wa aina yake. Kumbukeni tu kwamba Mwalimu Nyerere alituachia NCHI hii haina DINI. Yeye mwenyewe aliuchukulia ukatoliki wake kama suala binafsi.
25
93
828
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Unakuwa na Mbunge kama Lissu unamuondoa Bungeni. Unakuwa na Mbunge kama Heche naye unatafuta mbinu za kumuondoa Bungeni. Unahangaika na Wabunge wote wanaojitahidi kuwa WAKWELI wa nafsi zao. Wabunge wenye akili zinazojitegemea. Unataka BUNGE la AINA gani?
61
80
830
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Mbowe anarushiwa mawe hadi yanalundikana juu ya mwili wake. Waapi buana. Haongei. Hana habari. Watu wanaongea hadi wanajiona wapumbavu. MwanaSIASA mwingine wa aina hii ni Mzee Lowassa.
33
62
815
@cw_pedro
CWPedro
4 years
CHADEMA bado mtahangaika kumteua mgombea wenu wa urais? Wajumbe hapo Airport wamemaliza kazi.
26
35
794
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Nadhani Mh Mnyika amekuja wakati muafaka kwenye nafasi hii ya Katibu Mkuu wa CHADEMA. Ni maoni yangu tu.
19
36
806
@cw_pedro
CWPedro
4 years
January Makamba atakufaa sana Mh Rais Mteule Samia. Vyovyote utakavyoona inafaa.
65
33
784
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Dada yetu na Mbunge wangu wa moyoni @halimamdee kununuliwa au kuhongwa sio lazima kuwe kwa fedha. Ukipewa cheo au madaraka usiostahili nako ni rushwa tena mbaya zaidi kuliko ya fedha. Wewe na wenzako mjiulize kwa nini Ndugai ambaye hakuwahi kuwakubali sasa anang'ang'ana mbaki?
25
62
786
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Lazaro Nyalandu kahama toka CCM. Simsikii akiyasema 'anayoyajua' kuhusu chama kile. Nyie wenzangu na mimi vipi? nadhani hata ndoa au mahusiano yenu yakivunjika mtasema sana. Nawaona ni watu wazima. Wasomi.
65
41
773
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Wachache mnakumbuka kuwa Marehemu Mzee Mkapa ndie alikataa picha yake kutumika kwenye NOTI za Tanzania. Akambakiza Baba wa Taifa kwenye noti ya shs1000 na sarafu ya shs 100. Akambakiza Mzee AA Karume kwenye noti ya shs 500 na sarafu ya 200. Kusifiwa haukuwa ugonjwa wake.
25
68
761
@cw_pedro
CWPedro
3 years
Jakaya Kikwete na Benjamin Mkapa waliuziwa nyumba za serikali kwa bei ya kutupa. Bado tumewajengea tena mahekalu ya Bure. Huu ni uzwazwa.
38
48
756
@cw_pedro
CWPedro
4 years
RC Mbeya, Chalamila, asema ameongea kwa simu na Rais Magufuli leo asubuhi.- Alasiri ya AzamTv.
91
24
727
@cw_pedro
CWPedro
3 years
Yenu hii @CloudsMediaLive . Mtaendelea au basi?
Tweet media one
23
87
730
@cw_pedro
CWPedro
4 years
"Mjenzi wa uwanja ule (Chato) anaitwa Mayanga Contruction. Anayelipa Dotto James, mtoto wa Dada. Mayanga na Magufuli wameoa nyumba moja.-Mgombea Lissu, Ngara.
17
62
726
@cw_pedro
CWPedro
3 years
Wazo la kutaka kumuua Lissu baadae lilitolewa na NANI?
Tweet media one
62
36
711
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Kama kifo cha kawaida tunalia, tunasikitika na kuomboleza hivi, kwa nini tulitaka kumuua Tundu Lissu?
35
53
704
@cw_pedro
CWPedro
5 years
Kidato cha sita sasa kama kutafuna kitumbua tu. Watoto karibu wote wanafaulu. Combination zote zina division one wengi tu. Enzi zetu miaka ile combination kama PCB ilikuwa inakosa div 1 nchi nzima. Sasa tunazaa watoto wenye akili nyingi sana?
123
55
696
@cw_pedro
CWPedro
4 years
WanaCCM mnaulizwa mbona mwaka 2015 mlijitokeza zaidi ya 40 kuwania tiketi ya CCM kugombea urais wa Jamhuri. Mwaka huu 2020 kigugumiza na uoga unatoka wapi?
60
44
710
@cw_pedro
CWPedro
4 years
RFA wanasema hawatajiunga na DW Radio mchana huu kwa sababu ambazo ziko 'NJE' ya uwezo wao. Tutanyooka tu. Tunakoelekea hata mitandao hii haitazimwa kweli?
52
62
690
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Bila mmeona kwa NINI Lissu wetu hakufa aliposhambuliwa kipumbavu na zile risasi nyingi. Anasema mambo ambayo hakuna mgombea mwingine atathubutu kuyasema. Mungu alikuwa na makusudi naye.
18
69
663
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Hatuko vizuri sana kidiplomasia na hata majirani zetu. Tukimaliza msiba huu tujitazame, tujitathmini upya. Haiwezekani Museveni aliyefanyakazi na mzee Mkapa kwa miaka 10, wakafufua EAC pamoja ashindwe kufika. Haiwezekani Kagame aliyefanya kazi na Mzee Mkapa miaka 10 asionekane.
84
47
657
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Ila huyu Baba kuna maeneo anayamudu sana. Unaambiwa hapa ni Ubungo Interchange ikiwa kwenye final touches. Mnyonge tumnyonge ila HAKI yake apewe:
Tweet media one
122
69
644
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Baba wa watu kapata kura nyingi kuliko zile risasi alizopigwa. Mungu ni mwema wakati wote.
8
32
636
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Musiba kamtukana sana Mgombea Lissu kwenye video yake ya leo. Nasubiri kuona @TCRA_Tz na @tanpol wetu mnaruhusu vipi maudhui kama yale kurushwa.
45
70
631
@cw_pedro
CWPedro
4 years
CHADEMA nawauliza tena: Kwa nini hamkuyafanya haya mwaka 2015?
Tweet media one
67
38
639
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Sio uamuzi Cabinet; Sio uamuzi wa Bunge; Sio uamuzi wa Baraza la Usalama la Taifa; Sio uamuzi wa kikao chochote cha chama chake; Ni mtu mmoja tu kaamua chanjo ya hili li #COVID19 isije nchini. Maisha na UHAI wa WATANZANIA uko rehani kiasi hiki?
43
84
626
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Ni kweli MAJIMBO ya CHADEMA yatatugawa lakini kupeleka maendeleo majimboni kwa kuangalia NANI, wa chama GANI kachaguliwa huko kutatugawa zaidi. KODI tunalipa wote. Tumwambie hivo Rais wetu @MagufuliJP
34
73
616
@cw_pedro
CWPedro
5 years
Nimepitia Report ya CAG sijaona mahali ameongelea miradi hii mikubwa inayoitwa ya 'kimkakati', kwa mfano, Stiegler's, SGR, manunuzi ya ndege, nk. Nisaidieni niione
47
31
615
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Profesa Assad: Sitakwenda kupiga kura nchi hii hadi tutakapomudu kupiga kura kidigitali. Napiga kura yangu naiona inakwenda kwa mlengwa. Nchi hii tunapiga kura lakini hatuchaguani.
19
80
606
@cw_pedro
CWPedro
3 years
Kama mtu anakuwa Rais wa nchi hii kwa miaka 10 bado hawezi kujijengea nyumba yenye hadhi yake mimi wa kima cha chini mnatarajia nijenge kwa muujiza gani? Nchi hii ni zaidi ya unavyoifahamu.
54
70
604
@cw_pedro
CWPedro
3 years
'GAIDI' aliwahi kupenya hadi akafika Ikulu yetu. Uzembe gani huu?
Tweet media one
43
59
601
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Wakati flani nami nilitaka kuamini UPINZANI unakufa. Hautakuwepo ifikapo uchaguzi mkuu mwaka 2020. Kumbe waliokuwa wanahamia na wengine kurudi CCM ni watu wachache na NJAA zao. UPINZANI halisi upo na bado upo sana.
33
70
604
@cw_pedro
CWPedro
3 years
Hayati Magufuli alihudhuria Ibada za Wakatoliki karibu kila Jumapili hadi alipopotea tukaanza kumtafuta. Hakuna cha Padre wala Askofu aliyewahi kusimama mbele yake akamwambia maneno kama aliyoambiwa Rais wetu Samia leo. Tafakari.
60
45
597
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Afande IGP Sirro, mwache Lissu wetu ateme nyongo. Hauwezi kupitia madhila yale halafu ukakaa nayo kifuani. Yatakuua. Akimaliza kutusimulia WATANZANIA wenzake atapata ahueni zaidi na atanyamaza. Wachache walifikia hatua ile wakarudi duniani. Amemvumilia tangu ameingia nchini.
11
50
591
@cw_pedro
CWPedro
5 years
CCM jipangeni vizuri. Wote hawa ni Maaskari wastaafu wa ngazi za juu sana kwenye taaluma zao:
Tweet media one
78
27
587
@cw_pedro
CWPedro
3 years
Rais Samia kaanza vizuri. Lakini naona waliokuwa 'WAZALENDO' hawajafurahi kabisa.
37
34
583
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Lazaro Nyalandu kaja na MAPYA mawili yaliyonigusa kiaina: -Ataruhusu URAIA pacha; -Ataanzisha umiliki ARDHI usio na KIKOMO kauita Freehold Lease.
40
51
585
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Kaka @TunduALissu utakapotua Airport salama kesho uende moja kwa moja kumuaga Mzee Mkapa ambaye wakati ukiwa kule LEAT ulimtikisa sana kuhusu mikataba ya uchimbaji madini. Mkapa alikuvumilia. Wapo wanaodhani kupambania Maliasili zetu kumeanza awamu hii. Tuwape pole tu.
17
54
588
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Mbunge Kenani: Wote tulioko humu bungeni tujiulize tulishinda kweli uchaguzi uliopita?
23
38
569
@cw_pedro
CWPedro
4 years
NEC yetu kuna mlilojifunza kutoka wenzenu ZEC kwenye uamuzi wa pingamizi la Maalim Seif kugombea? Wamesema ili pingazi liwe na mashiko ni lazima lioneshe lilimnufaisha vipi mgombea. Lazima lioneshe NIA ovu ya mgombea. Wamesema ni lazima turuhusu 'human errors'.
23
58
575
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Msajili wa vyama vya SIASA na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi mnamsikia 'live' mgombea urais wa CCM anatumia kigezo cha maendeleo yanayoletwa na KODI zetu sote kutishia wapiga kura wachague wagombea wa CCM pekee. Tunasubiri KAULI yenu.
22
75
585
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Kiongozi wa DINI, Alhad Musa Salum, anampigia Magufuli kampeni za wazi jukwaani.
39
33
567
@cw_pedro
CWPedro
5 years
-Tutumie TTCL -Tuweke pesa TPB -Tulindwe na SUMAJKT -Tusome Shule na Vyuo vya Serikali -Tutibiwe Zahanati, Vituo, Hospitali za Serikali -Tunywe maji ya ---WASA -Tupande ATCL pekee -Tufanyekazi Serikalini na Taasisi zake -Chama ni CCM pekee? Onyesha UZALENDO wako.
59
62
556
@cw_pedro
CWPedro
6 years
Katika wanaompenda na kumheshimu sana Rais wetu Zitto ni mmoja wao. Anamshauri, anamtahadharisha, anamuonya, anamrekebisha kwa uwazi kabisa kila anapotaka kujikwaa. Upendo gani unaozidi huo? Ninyi mliochagua 'ukasuku' hamumsaidii sana Rais wetu.
34
108
564
@cw_pedro
CWPedro
5 years
Michango ikikamilika msimbague Dr Mashinji. Wakati huo alikuwa mwanaCHADEMA kwelikweli. Mabadiliko ya sasa yasimuondolee heshima na hadhi yake yote ya wakati huo.
105
35
548
@cw_pedro
CWPedro
4 years
TBC wanamkata kata Maganja wa NCCR. Hawataacha tabia hii. Wamehamia kwa Rungwe nako wanakatakata hivohivo. Rudini tu kwenye kampeni za CCM.
32
33
563
@cw_pedro
CWPedro
4 years
"CCM na ujanja wetu woote, hatukuwahi kumshinda huyu bwana( Maalim Seif)".-Membe
20
25
559
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Usiri nao umekuwa mwingi mno hadi kero. Mzee wetu ameugua, amelazwa hadi amefariki, Taifa halijui chochote. Mbona kwa Mwalimu Nyerere haikuwa hivi?
51
33
559
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Adadi out, Mwakyembe out, Serukamba out, Makala out, Chenge out, Tizeba out, Masele out, Kapuya out.
70
54
553
@cw_pedro
CWPedro
4 years
WATANZANIA wenzangu mmeshakaa mkawaza BUNGE bila watu kama Zitto, Heche, Halima, Sugu, Lema, akina Esther na wengine litakuwa BUNGE la AINA gani? Tusiligeuze BUNGE letu kuwa kama nyumba ya Ibada au chama cha SIASA ambako wa kusikilizwa ni mtu mmoja tu. Tuliokoe BUNGE letu.
30
132
567
@cw_pedro
CWPedro
3 years
Sioni wala sisikii madaraja, majengo, viwanja vya ndege, nk., vikiitwa majina ya hawa Bibi zetu. Walitukosea NINI?
Tweet media one
52
45
557
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Lissu anasema yeye na Mh Mbowe ni wazima sana. Hawawezi kujilinganisha na Ben Sanane, Azory Gwanda, Aquilina, Alphonce Mawazo, Kanguye na wengine. Hivyo anamshukuru sana Mungu.
3
40
555
@cw_pedro
CWPedro
4 years
"Rais Magufuli ni kama Yesu Kristo".-Kangi Lugola, Bungeni.
154
24
542
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Kwani Mrisho Gambo ana undugu na Jakaya wetu?
Tweet media one
57
15
561
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Kwa NINI Sheikh Ponda amesikika zaidi kuliko Sheikh wa Mkoa wa Dar, Alhad Mussa Salum, ambaye alitangazwa 'live' na Tv zote kubwa?
54
34
548
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Huu ndio unatarajiwa mchuano mkali kabisa wa uchaguzi mkuu 2020 kama refa atakuwa free & fair:
Tweet media one
146
24
551
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Polisi wetu, hilo la Lissu kupokelewa Airport limekwisha salama hilo. Leo mmefanya kazi kitaaluma kabisa. Hongereni sana. Tatizo lilikuwa RC Makonda?
20
25
542
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Kesho utasikia mashamba ya Mwingira yataifishwe. Hayaendelezwi! Wakati mashamba ya Mzee Mwinyi, Mkapa, Sumaye, ..., yapo tu.
13
34
533
@cw_pedro
CWPedro
4 years
WATANZANIA tuko 'MAKINI' sana. Kujaza fomu kugombea nafasi ya KISIASA tuko makini kuliko kuingia mikataba ya manunuzi na ujenzi wa miradi mikubwa.
18
61
537
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Ukisikiliza simulizi ya Mbowe na akaunti zake, biashara zake, huwezi amini kwamba haya yalitendeka TANZANIA. Yalitendwa na WATANZANIA kwa MTANZANIA mwenzao! Kwa kuwa WATENDAJI hawa wapo, hawajafariki na Magufuli, wajitokeze watuombe radhi WATANZANIA.
Tweet media one
19
70
525
@cw_pedro
CWPedro
3 years
Wastaafu wetu wa KISIASA hawastahili zaidi ya walichokipata na wanachoendelea kukipata kwa sheria waliojitengenezea wenyewe. Msiendelee kutuchefua. Nchi imewatumikia zaidi ya mlivyoitumikia. Baadhi yenu hata kutuibia mmetuibia sana.
16
64
530
@cw_pedro
CWPedro
3 years
Vichwa ambavyo tunatamani wasiwe WATANZANIA kwa kuwa sisi WATANZANIA wengi wetu ni MAZUZU, akina NDIO MZEE:
Tweet media one
13
62
522
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Ila HOJA za Lissu mwangwi wake unakwenda mbali sana. Jibu la uwanja wa ndege limetoka leo.
13
39
520
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Mkiniambia Lissu ni mpango wa Mungu kwa Taifa hili naweza kuwakubalia.
23
52
517
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Eti nyie wanaCCM kindakindaki, naulizwa hapa, zile kura za maoni za wazi zilikuwa na maana gani kama baadhi ya majimbo hazikuheshimika?
47
35
511
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Ukomavu wa KISIASA:
Tweet media one
24
48
514
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Jamaa walimuokota toka chuoni moja kwa moja akawa Mbunge. Leo anawafanyia haya.
@swahilitimes
Swahili Times
4 years
Mbunge wa Momba, David Silinde amejiuzulu nafasi zake za uongozi ndani ya CHADEMA, ni baada ya wabunge wenzake kumtaka kufanya hivyo kwa kutotii agizo la kutokwenda bungeni. Amesema wananchi ndio walimtuma bungeni, hivyo hata akikosa udhamini wa CHADEMA, atatumia chama kingine.
Tweet media one
190
89
2K
69
20
500
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Nikajua tutamfutia mashtaka yote Lissu baada ya kumpa adhabu ile ya shambulizi baya, la AIBU, la risasi nyingi, bila HATIA. Mwenyezi Mungu anatuona mjue. Mbona tumesamehe mafisadi, majambazi, mafirauni kama Babu Seya,., tunakwama wapi na kila siku tuko makanisani na misikitini?
Tweet media one
28
62
505
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Uwazi huu unaoendelea kuoneshwa na CCM kwenye kura zao za maoni uendelee hadi uchaguzi mkuu wenyewe.
31
31
510
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Ndugu zangu huenda siko sahihi lakini kuna 'kamtego' nakaona hapa kwenye hii hatua ya udhamini wagombea urais wa Jamhuri watarajiwa. Mgombea mtarajiwa kwa tiketi ya CHADEMA ni kama kaanza kampeni kabla ya wakati. Mgombea wa CCM anazitafuta sahihi za wadhamini kimyakimya.
103
32
494
@cw_pedro
CWPedro
3 years
This man, GJ Malisa:
Tweet media one
12
33
509
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Sasa kama hata Mahakama ya rufaa 'HAIONI' Sheria zinazokinzana na KATIBA ya Jamhuri, tukimbilie wapi? NANI amebaki kuwa MLINZI na MTETEZI wa KATIBA hii?
20
35
495
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Kumbe ukimsifia Rais Samia unataka UTEUZI. Mlipokuwa mkimsifia Magufuli mlikuwa mnataka NINI?
23
31
500
@cw_pedro
CWPedro
3 years
Yericko wetu katika UBORA wake:
Tweet media one
24
50
495
@cw_pedro
CWPedro
5 years
Bashe hatakuja kuwasamehe Kinana na Jakaya wetu kwa suala la kukatwa kikatili Mzee Lowassa mwaka 2015. Atawabamiza kila atakapokumbana nao kwa suala lolote lile.
20
29
482
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Mh Lissu 'hatashinda' urais lakini nadhani kuna mahali ameifikisha nchi yetu kwa hizi hotuba zake za kampeni. Kuna mambo tusingeyasikia hadi mwisho wa dunia. Ahsante Mungu wetu kwa kumbakiza Lissu duniani.
100
32
482
@cw_pedro
CWPedro
4 years
WATANZANIA hatuna msaada na SIASA za UPINZANI. Tuwaache tu. Wanayopitia wanayajua wao. Halima na Esther walipigwa vibaya na askari Magereza. Kuna tulichofanya? Mbowe, Lema na Esther Matiko walikaa jela almost miezi minne. Tulifanya NINI?
91
27
489
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Ila Wabunge wetu wa CHADEMA hii ni aibu sasa. Kumbe mmeshakung'uta POSHO yetu buana. Zaidi 110m?
107
14
474
@cw_pedro
CWPedro
3 years
Haya. Naona GJ Malisa kajiongeza hapa. Tumsaidie Mdude aanze upya:
Tweet media one
23
81
479
@cw_pedro
CWPedro
3 years
Uchumi wa jirani zetu Kenya ni mzuri zaidi ya huu wa kwetu Tanzania lakini kuna maBBI huko yanaendelea; mikutano ya hadhara ipo; Rais na Naibu wake hawaivi; wanawezaje haya kisha sisi tunashindwa?
51
49
471
@cw_pedro
CWPedro
4 years
"Katika wale msioamini kuna Mungu, muangalieni huyu Tundu Lissu. Siku ile anapelekwa Nairobi kutoka Dodoma, alikuwa amekusanywa tu ndani ya mashuka ya mahospitali. Huyu baba ni kama alifufuka tu".'-Mama mmoja pale Mbeya.
9
45
465
@cw_pedro
CWPedro
3 years
Waziri Simbachawene anasema SILAHA zinashikwa vizuri na 'WAJINGA' wa kidato cha nne. Hatari.
37
48
464
@cw_pedro
CWPedro
3 years
Kumbe Eric Shigongo darasa la saba! Dunia hii...
43
14
454
@cw_pedro
CWPedro
3 years
Katika vyama ambavyo vimeuvuruga sana upinzani CHADEMA ni kimojawapo. Kama mtakumbuka mwaka 2015 chama hiko kilikodi wagombea wote ngazi kuu za kitaifa kutoka CCM.
88
15
460
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Jamani, wametuomba sisi WATANZANIA wenzao michango ya kampeni. Mimi nimewatumia kidogo nilichokuwa nilichokuwa nacho. Mlitaka wawaombe MABEBERU?
20
38
468
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Askofu Bagonza anauliza maswali haya magumu matatu:- 1. Ukiiba fedha za umma unaitwa mwizi/fisadi. Ukiiba kura uitwe nani? 2. Ukilazimisha kufanya mapenzi kwa mtu unaitwa mbakaji. Ukilazimisha kututawala tukuiteje? 3.Ukichaguliwa kihalali unaitwa kiongozi. Ukichaguliwa kwa
21
93
461
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Sheria zetu zinatufanya sote tuonekane WAJINGA. Utapitaje bila kupingwa wakati haujapigiwa kura?
Tweet media one
21
40
458
@cw_pedro
CWPedro
4 years
Jaji Warioba: Mliengua wagombea sio kwa mujibu wa KATIBA yetu na SHERIA za NCHI.
19
27
443