✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨ Profile Banner
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨ Profile
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨

@brokenx21

Followers
5,929
Following
4,907
Media
4,735
Statuses
122,632

𝐈𝐭'𝐬 𝐀𝐭 𝐘𝐨𝐮𝐫 𝐎𝐰𝐧 𝐃𝐢𝐬𝐜𝐫𝐞𝐭𝐢𝐨𝐧 𝐈𝐟 𝐘𝐨𝐮 𝐓𝐚𝐤𝐞 𝐌𝐲 𝐓𝐰𝐞𝐞𝐭𝐬 𝐓𝐨 𝐇𝐞𝐚𝐫𝐭

Dar es Salaam, Tanzania
Joined December 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
1 year
Arafu sio "broken" ni "Bro-Ken" yani Brother Kenny! Mmeelewa?
Tweet media one
22
24
108
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
1 year
Hamisa Mobetto alipiga hesabu mingi sana hajazaa na boya!
Tweet media one
57
17
1K
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
10 months
Hakuna Extension Bora Tz kama hii.
Tweet media one
157
65
1K
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
11 months
Ushawahi ona hili ndinga sheli? 👀
Tweet media one
120
53
984
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
4 months
Diamond Platnumz kabla hawajamloga alitupa kibao kinaitwa Ntampata Wapi.
Tweet media one
70
59
945
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
2 years
Huyu jamaa anakunywa soda kwa hasira mwenye ile clip naomba 😂
Tweet media one
20
47
782
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
1 year
Wewe hua anapikaje hizi tambi?
Tweet media one
115
50
680
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
8 months
Kama hujasoma Cuba huwezi elewa hii picha.
Tweet media one
81
17
522
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
1 year
maisha bila kitimoto yangekuaje??? 🤤 💔
Tweet media one
Tweet media two
58
30
359
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
5 months
Una rafiki mnafahamiana for 10+ years?
113
28
326
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
4 months
Mama 37 na Mtoto 20 Chagua uwe baba wa kambo au mkwe. 🏃🏾💨😂
Tweet media one
53
16
322
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
3 months
Ushawahi ona tajiri ana manifest? 👀. Hizi ni pigo za maskini tu.
36
31
316
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
8 months
Unataka best friend shoga, lakini hutaki mtoto wako wa kiume awe shoga. Hypocrisy.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
84
40
305
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
17 days
Cheers to a new chapter 🥂
Tweet media one
141
74
313
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
5 months
Imagine couple yenu inagombania 300k ya NMB
Tweet media one
39
29
294
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
1 year
Nisaidieni Kulia 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Tweet media one
73
22
274
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
5 months
Kwenye swala la Chakula unazingatia Quantity ama Quality? 😁
89
30
278
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
8 months
Ukishaona unatumia skincare ya laki 4+ ujue wewe una sura mbaya!
40
44
271
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
2 months
Mvuta bangi au mtumia madawa anaweza enda sehemu mpya na kumpata supplier wa bidhaa faster kuliko polisi, kwann?
23
17
270
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
2 months
Unafahamu njia gani effective ya ku-laundering money? Serious, Nina kipengele!
45
26
264
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
11 days
Tweet media one
1
176
252
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
3 months
Wamasaai wanakuja mjini kuuza karanga lakini home wana ng'ombe 500+ Why?
19
24
234
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
6 months
Instead of "shikamoo" unatumia salamu gani nyingine kwa mtu mzima?
76
16
233
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
4 months
Hili ndinga million ngap? 🫠
Tweet media one
23
16
224
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
3 months
Mwana anafosi sana kuwa meme ila hamumzingatii
24
15
224
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
7 months
Mama ela yangu ndo umegoma kunilipa? 🥺
Tweet media one
36
27
213
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
7 months
Usiombe mwanamke akutumie nauli then usiende uile 😂
32
14
193
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
5 months
Hakuna nyumba ya kupanga isiyokua na masharti. Masharti ulipopanga ni yapi? 👀
33
26
194
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
1 month
Kwenye hio hio talking stage utaambiwa vitu kama "nina njaa" "meishiwa bando" "natamani pizza" " nitoe out" ila ukisema you are horny ni kesi 😂😂
23
17
191
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
8 months
Shoerack yako isikose hizi viatu.
Tweet media one
20
23
181
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
4 months
Hamna Uchawi. Uchawi ni Story za Abunuasi. Uchawi ungekua kweli ungekua caught hata on camera.
79
19
183
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
10 days
Hii nimeikuta mahali, ni dawa gani wakuu?
Tweet media one
65
6
184
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
3 years
Nidhamu Ni Kila Kitu Katika Haya Maisha, Ukiwa Nayo Utafanikisha Vingi Mnooo Tuishi humoo!
8
61
158
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
3 months
Hivi unaweza request bolt then umpe tu mzigo akufikishie pahali? 💀
27
10
180
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
2 years
Azam energy ni Stronger but Mo Xtra ni Sweeter Yako pendwa ni ipi?
Tweet media one
Tweet media two
29
6
168
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
1 year
@Neypaul01 Kuna mtu kasema punguza Doggystyle 😂
10
1
159
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
5 months
Date a woman older than you, have sex with women older than you, marry a woman older than you. You will enjoy life🤌🏾
26
28
163
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
4 months
Ukitoa 450k kwenye mshahara wako unabakiwa na shingapi?
49
16
164
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
8 months
Mama anacheza Aviator kuniliko 🙌🏾
16
20
161
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
8 months
Ambao hatujawahi kulana na tweeps roll call??
36
12
162
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
1 year
babe wako akikuita "Daddy" na madoido kidogo unafurahi kweli ila akikupa majukumu ya baba unaanza lia lia 😂
17
29
157
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
1 year
Kibao gani cha huyu mwamba unakisikiiza mpaka leo?
Tweet media one
45
12
148
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
7 months
"nataka" "naomba" "nisaidie" "sipendi" " uko wapi" " i love you too" "thanks babe" " unarudi saa ngapi" "nilipitiwa" "ngekua ng'ombe ungenipenda"
@_shukryyy
𝗠𝗪𝗔𝗜𝗦𝗔 𝗠𝗧𝗨 𝗠𝗕𝗔𝗗🖤
7 months
Kazi ya girlfriend kwa relationship inakuwa ni ipi?
10
0
26
33
42
157
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
6 months
Kuna watu mnavipawa vya kupiga picha na simu zenu, quote frame 4 za picha tuone kipaji chako!
46
21
154
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
11 months
Kazi ipo 😂😂
Tweet media one
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
11 months
Maza kajua kutumia stickers, now hajibu kitu ni stickers tu!😭
5
3
13
54
13
155
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
2 months
Mambo my?
@TuliaAckson
Dr. Tulia Ackson
2 months
Happy Sunday Folks!
Tweet media one
478
135
4K
42
10
155
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
3 months
Umeenda sehemu uka-connect WiFi umetumia wee, uka-swampa mitandao yote kumbe WiFi ilijizima ukawa unatumia Mobile Data bila kujua.. Pain! 💔😂😂
14
21
150
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
2 months
Unatuma View Once kumbe mtu ako na simu mbili 🙂
15
18
147
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
1 year
Wadau wa Azam huyu dada haya ni macho yake?
Tweet media one
31
4
144
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
1 month
Tukio gani linaweza kukufanya uone hivi? 😂
Tweet media one
50
16
146
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
2 years
Anayejua handle ya huyu bidada naomba! I need more wallpapers 😁
Tweet media one
9
6
138
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
6 months
Magufuli alikua na mapungufu yake ila nchi ilinyooka kwa namna fulani. Alisema tutamkumbuka 🙌🏾
15
16
144
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
3 months
Hivi kama mtu huna P O Box barua ya kazi unaandikaje?
21
12
142
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
5 months
Huyu Mdau inasemekana Anaharibu Nguvu Za Kiume 🥱
Tweet media one
30
7
134
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
7 months
Kanisa katoliki ndo linaongoza kwa michango 🙌🏾
43
8
132
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
4 months
Ukiwa msela wa huyu manzi ni either uwe unajua kuvaa sana au we kuvaa hujui kabisa atleast mtaendana 😂😂
@Maryftaddoh
Mariam
4 months
A simple casual outfit you can pull off this Saturday
Tweet media one
Tweet media two
35
84
618
23
6
134
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
2 years
kumbe ku-mTag @spana_konki ni kosa 😩😂
Tweet media one
16
8
125
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
3 years
@amerix This is what I was saying, she wants to make people believe she is still getting hit on
1
2
118
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
5 months
JINSI YA KUTUMIA MB 172 KWA SIKU TATU. A thread ⬇️
Tweet media one
32
9
124
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
2 months
Tanga ndo jiji lina nyumba za matope mjini kati?
19
10
124
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
5 months
Zuchu??
@hlo_again
۪
5 months
🤭🍾
Tweet media one
21
722
12K
21
7
123
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
1 year
Mnaweza niona mshamba ila choo cha kuchuchumaa ni kizuri zaidi ya cha kukaa >>>>>>>
Tweet media one
Tweet media two
65
15
125
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
1 month
3 GB zinatosha kabisa kuangalia Titktok Siku Nzima.
5
10
122
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
6 months
No SEX the whole 2024. Who's with me? 🥹
29
16
117
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
5 months
Ki utani utani haya maji yamewakalisha afya na Kilimanjaro kwa utamu.
Tweet media one
19
13
119
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
3 months
Sema humu watu wakishajua fulani ni demu wako, wataingia gharama yoyote ile wakusaidie kuchapa, basi tu.
20
21
120
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
3 months
Sidhani kama kuna jiji linaongoza kwa kula mihogo duniani kama Dar Es Salaam.
18
19
116
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
1 year
🌚
Tweet media one
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Embu Kila mtu ampost mpenzi wake Kuna shida imetokea mahali😂
120
53
393
34
3
115
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
4 months
Siku hizi unadhani unamuingiza mtu kwenye mfumo, kumbe yote hio ilikua plan ya huyo mtu na wewe ndo umeingizwa kwenye mfumo kirahisi!
9
20
117
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
6 months
What's the meaning of your name?
44
13
114
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
1 year
Jamaa alikua na upepo mkali kabla ya kufahamika sura yake 😂
Tweet media one
15
1
111
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
10 months
Uko kundi gani? - Salary 😛 - Wages - Profit - Jobless - Mwizi - Tapeli
47
5
116
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
4 months
Kama unafululiza kula dagaa kama main na ndo mboga yako; we ni maskini tu. Unless unakula kwa hamu 😎
23
14
112
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
4 months
Ugumu wa mahusiano miaka ya sasa unaletwa na nini?
31
19
112
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
6 months
Kuishi Dar ni mateso kuliko kuishi mkoa mwingine wowote.
11
14
110
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
2 months
Mara yako ya mwisho kuokota hela ilikua lini?
25
15
112
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
10 months
S7 edge Used 4GB RAM/ 32 GB ROM 120,000/= not fixed. Good Condition ( don't let pics fool you) Interested DM.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
44
16
111
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
2 years
Tweet media one
19
1
104
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
4 months
Huwezi jenga kwa 5k pata heavy breakfast, jipende! Supu nzito! Maji mengi na Maandazi ya kutosha!
8
26
107
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
1 year
Uzuri wa haya maji siku hizi hata Kilimanjaro haikuti! Matamu kinoma!
Tweet media one
28
7
105
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
2 months
Kumbe Uncle Wafles ni demu 💀
21
5
104
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
5 months
Dar Mkoa Wa Chapati 🔥
Tweet media one
17
12
104
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
1 month
Mmeona jinsi vijana wako radhi sana kua machawa? Kisa hela ndogo ndogo za kupewa! 💀
14
19
104
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
6 months
10k,20k,50k sio hela za kulalamika sana kumpa mrembo! Ni hela za kawaida sana! Ukiona kutoa hizi hela jau bas focus na kutafuta hela kwanza! Achana na wanawake.
15
21
100
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
7 months
Umemuweka nani wallpaper? 🤔
54
7
101
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
6 months
Mchezo umeisha au bado?
Tweet media one
33
7
96
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
2 months
Ukizoea automatic unaweza sahau endesha manual car? 🥹🥹
16
18
103
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
2 months
Usiombe uwe na bosi mpare kmmk utajuta!
13
10
103
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
1 year
Watu hawapendi kuambiwa ukwl🤣
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
31
6
101
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
3 months
Kibongo bongo Unaweza pata mtu tinder na ukaoa?
20
13
102
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
6 months
Ukiwekeza kupitia TIC ( @InvestTanzania ), unapata punguzo la hadi 75% ya ushuru wa forodha unaponunua vifaa vya mtaji kama mitambo au magari (Capital Goods). Huduma zote zinapatikana kupitia kituo cha huduma kwa wateja cha TIC na TRA, kufanya uwekezaji kuwa rahisi.
Tweet media one
4
47
101
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
1 year
Sema mtu kujitoa uhai kisa mapenzi ni upumbavu na kutojipenda. Hamna utetezi unaweza justify hii kitu!
23
4
97
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
4 months
Simu ikidumbukia huku ndo basi tena..
Tweet media one
26
6
95
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
1 year
Naheshimu mashine yangu bana🙅🏿‍♂️
@nyuki_malkia
Malkia Nyuki 👑🇹🇿
1 year
Kitandani wapo fire sana🔥
Tweet media one
58
21
333
6
3
97
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
8 months
Unaweza control hasira zako?
41
9
97
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
1 year
Kusema la kweli ukiwa jobless siku zinaenda taratibu duh!! 😅
9
13
95
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
1 month
"GPA DOESN'T MATTER" dear mwanafunzi it DOES!!
17
14
95
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
3 months
Kinachoniuma yule makalio tuna-share jina 🚮
20
13
94
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
1 year
Kipindi hicho moshi 15k 🔥😂
Tweet media one
10
4
93
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
8 months
Uwe na Jumapili Njema. Mdhamini wetu siku ya leo ni Newcastle.
Tweet media one
5
10
88