Ukiwekeza kupitia TIC (
@InvestTanzania
), unapata punguzo la hadi 75% ya ushuru wa forodha unaponunua vifaa vya mtaji kama mitambo au magari (Capital Goods). Huduma zote zinapatikana kupitia kituo cha huduma kwa wateja cha TIC na TRA, kufanya uwekezaji kuwa rahisi.