Hakuna relationship yangu ishawahi kufika stage yaโI just called you to say that I love youโkila saa ni makesi tu lakini ipo siku๐๐๐๐๐๐๐
Jamani msipende kukaa madirishani Kwenye daladala leo kuna jamaa kapigwa kibao na mpiga debe wakati gari inaondoka kisa hajapewa hela na kondakta๐๐