Huyu George Job anachambua mpira kwa dharau kinoma yani, mwamba anachambua mpira kama hataki utadhani kalazimishwa kuwa mchambuzi wa mpira
Huyu jamaa inaonyesha ana dharau hata kwenye maisha ya kawaida,
KAMA UNATEMBEA NA MKE WA MTU FATA MAELEKEZO YAFUATAYO NGURUWE WEWE 😂
1. Akikupigia simu pokea alafu subiri aanze kuongea yeye maana labda aliekupigia ni mumewe, kenge wewe
Achana na Goli la Joseph Guede, kuna ile pasi iliyotolewa na Khalid Aucho, then Aerial delivery ya Joseph Guede then utulivu na finishing ya Joseph Guede
Khalid Aucho is simply a baller
Wydad Wamecheza kawaida. Kama watacheza hivi kwao 🇲🇦 lolote laweza kutokea hata Simba kutinga nusu fainali.. Lakini kama walificha silaha zao bas tumekwisha
» Kibu kabadilika, anacheza kitimu, habutui kama zamani, utulivu mkubwa mguuni na kichwani.. Nice performance Kibu 🙌
Vijana wenye umri kati ya miaka 20 hadi 45 wanatumia staili ya kuwanyonya wenza wao sehemu za siri lengo likiwa ni kuwavutia wapenzi wao katika kushiriki ngono. Epuka oral sex ili kujikinga na magonjwa kama Saratani Ya Koo, Hepatitis A, Hepatitis B na Hepatitis C
... 😅 Licha ya Azam FC kuingia kinyumenyume na basi lao kama kaka zao lakini wamepigwa kimoja cha nguruwe😂
Yanga mabingwa wa FA kwa mara ya pili mfululizo. Timu bora Ukanda wa CECAFA kwa sasa. Nani anabisha ?!
Wameamka salama na wameanza kupata chai nzito ya maziwa Saa Nne Kamili tuanza orientation ya kuwaonyesha lecture room na tutamalizia na kuwapitisha kwenye Kila wodi
Muhimu sana kusafisha mfumo wako wa usagaji wa chakula. Anza kusafisha mfumo wako wa usagaji chakula kwa kutumia dawa za Minyoo mfano Mebendazole na Albendazole walau Kila baada ya miez mitatu. ulaji na upishi wa vyakula vyetu sio salama sana hivyo kupata Minyoo ni rahisi sana
JAMHURI YA watu wa TWITA mliokuwa AIRPORT huu ndo muda wa ROKOOO,weka HENDO yako afu sema NIPO ili tujue kuwa UMERUDI salama NYUMBANI Salama
@goligani
@Mzungu_pori1
🫶🫶🫶✊👑
... Manchester city wametinga fainali UEFA champions league kibabe,🔥
NB ; Man city kama Yanga, wote wanaitwa WANANCHI The 'CITIZENS' na wote wanasaka TREBLE msimu huu 🏆🏆🏆
2. Msizoee kuingia guest moja kila mnapokutana maana watu watawachora na kutoa taarifa, mbwa wewe
3. Mkiingia guest msiandikishe majina yenu halisia, paka wewe
Kwahyo Suala la Bandari Limezimwa na Madaktari Hawa Wa Sudani? Nchi Hii Bana Tutawaliwe Tena Na Wakoloni Vichwa Vyetu Bado ni Mgando Sana Tunawaza Sketi Tu😁
6. Mume wake hata akisafiri usiende nyumbani kwake, kunguni wewe
7. Mume wake hata akisafiri usimruhusu alale kwako mwambie akalale kwake, ngedere wewe