DR KIMANGO 💉 Profile Banner
DR KIMANGO 💉 Profile
DR KIMANGO 💉

@Drkimangojr_

Followers
15,116
Following
6,604
Media
886
Statuses
35,027

*KNOW WHY THEN DO IT*

Joined December 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
8 days
Huyu George Job anachambua mpira kwa dharau kinoma yani, mwamba anachambua mpira kama hataki utadhani kalazimishwa kuwa mchambuzi wa mpira Huyu jamaa inaonyesha ana dharau hata kwenye maisha ya kawaida,
Tweet media one
203
86
2K
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
KAMA UNATEMBEA NA MKE WA MTU FATA MAELEKEZO YAFUATAYO NGURUWE WEWE 😂 1. Akikupigia simu pokea alafu subiri aanze kuongea yeye maana labda aliekupigia ni mumewe, kenge wewe
Tweet media one
389
231
2K
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
ANAOMBA aeditiwe akiwa amevaa jezi ya yanga mpya MA IT mliopo humu fanyeni kazi
Tweet media one
75
52
2K
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Kunywa maji Kunywa maji mengi zaidi Okoa Figo zako Mawe ya kwenye Figo 👇👇
Tweet media one
182
216
2K
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Kama Uko BUZA Angalia Angani Jamani Hii Kitu Inatokea Muda Huu I mean know
Tweet media one
123
63
1K
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
6 months
Huwenda Kuna watu mpaka Sasa hawamjui kuwa huyu ni Nani,au wewe Unamjua huyu anaitwa nani.
Tweet media one
272
46
1K
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
6 months
Wachezaji weusi wanaocheza pale LA LIGA ni wengi lakini anaelalamika sana kubaguliwa rangi ni VINICIUS JR, Kwanini?
Tweet media one
195
24
1K
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Itanichukua mda sana kuamini kuwa MWANA FA, alikuwa anaumia na haya matokeo😋😋😋
Tweet media one
42
51
934
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Nimefanikiwa kuipata iyo video kwa mange app ni huzuni🚮🚮
Tweet media one
55
26
898
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
ZAA ndan kabisa 😂😂 Heroide Bado ni MWANAFUNZI wa chuo Cha Sauti Mwanza nashangaa student anadharau salary ya 7 digits 😂
Tweet media one
23
37
701
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
6 months
Achana na Goli la Joseph Guede, kuna ile pasi iliyotolewa na Khalid Aucho, then Aerial delivery ya Joseph Guede then utulivu na finishing ya Joseph Guede Khalid Aucho is simply a baller
Tweet media one
9
23
548
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Kwenye Jua Kali hii scene anayocheza Jol Master Mwamba anau sana alo😂😂
Tweet media one
21
31
516
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Yanga ni kama Masai tuh a anapambana anamua Simba akija mjin anasuka wanawake😂😂😂🙄
50
69
477
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
4 months
Ni Mchezaji gani HUYU? D mbili ni muhimu apa ili umtambue😂
Tweet media one
101
19
478
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Unaesoma tweet hii nakuombea Mungu Akubarik Uingiapo na Utakapo Tangu Sasa Na Ata Milele Amen🙏🙏
Tweet media one
41
67
411
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Embu Kila mtu ampost mpenzi wake Kuna shida imetokea mahali😂
119
50
390
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Uzuri wa Haland Ni Kama Mwenge Haruki Kijiji😂😎😎
33
37
359
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
8 months
Ivi kwa nini Ndege inamwagiwa maji ikiwa inatua🤭
Tweet media one
84
37
378
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Kwan Nyieee Mnapataje Mishangazi Najaribu Kupiga Move Apa Kwa Ploti Naambiwa Sina Adabu 😂😂😂
Tweet media one
57
59
360
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Dada Kama Haupo Kwenye Mahusiano Embu Comment Picha Yako Alafu Wanaume Tukwambie Tatizo Ni Nini
Tweet media one
22
40
360
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Kwa iyo IFM mmeamua kuvunja trending ya mazishi ya Malkia Elizabeth 2 kweli 🤔
17
31
310
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
"Juma alienda shule bila viatu" Andika upya sentensi hii ukianza na ‘viatu’ 😂😂😂😂
Tweet media one
112
52
316
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Kuna watu wanachukulia usingizi kitu SERIOUS sana. Imagine mtu ananunua adi NGUO ZA KULALIA😂😂
32
47
303
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
9 months
Twitter Madereva Mmegundua Kitu Gani Hakipo Sawa😂
Tweet media one
142
33
304
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Dunian kuna watu wanajua kudek jmn leo nimemuona mdada anatoka kun'goa jino alafu anachechemea😂😂😅
27
50
287
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
NIKIKUMBUKA SINA HELA NAPANIC Halafu Nataka Kupigana😂😂😂
28
51
286
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
10. Mahusiano yako usimshirikishe shoga yake wala rafiki yako, nyani wewe 11. Usitembee na mke wa mtu tafuta wa kwako, nguchiro wewe
19
7
304
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Nakutongoza Unaringa Namtongoza Mama yako Ananikubali Unakuwa Mtoto wetu Tunakutesa🤣🤣🤣🤣🤣 Happy Valentine People Of GOD
33
31
292
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Niwaandikie Uzi kuhusu jinsi gan Minyoo wanaingia kwenye Moyo au Niwaache kwanza mle lunch 😂😂
Tweet media one
52
24
296
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Kwahiyo mwamba ndyo kagoma kumshika Manka😂😂😂
Tweet media one
45
38
286
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Kwanini tujichoshe ku design wakati samples zipo nyingi za kukopi😂😂😂
Tweet media one
25
35
282
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
3 months
Mlioko Airport muda huu naombeni handle zenu apo chini Ili jion back bencha @goligani aweze kufanya rokoo kirahisi
Tweet media one
63
24
277
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Toeni wajumbe facts nan ni bora apo
Tweet media one
53
31
258
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Wydad Wamecheza kawaida. Kama watacheza hivi kwao 🇲🇦 lolote laweza kutokea hata Simba kutinga nusu fainali.. Lakini kama walificha silaha zao bas tumekwisha » Kibu kabadilika, anacheza kitimu, habutui kama zamani, utulivu mkubwa mguuni na kichwani.. Nice performance Kibu 🙌
Tweet media one
18
30
269
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Jana Morison alitaman aumie ili abebwe kwenye kigari lakin ikashindikana😂😂
24
36
254
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Vijana wenye umri kati ya miaka 20 hadi 45 wanatumia staili ya kuwanyonya wenza wao sehemu za siri lengo likiwa ni kuwavutia wapenzi wao katika kushiriki ngono. Epuka oral sex ili kujikinga na magonjwa kama Saratani Ya Koo, Hepatitis A, Hepatitis B na Hepatitis C
Tweet media one
64
50
261
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Tuelewane kidogo wapwa kula Maisha Sio Kuvuta SHISHA Na Kunywa POMBE😂😂 Busara za #DactariWaFamilia
Tweet media one
30
58
261
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Leo Ndo nimegundua kwa nn wakoloni walikua awatak kuondoka Africa 🌍
Tweet media one
22
38
241
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Morning Gains dondoshaa Handle yako tuinuke wote Kitozo
59
49
226
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
... 😅 Licha ya Azam FC kuingia kinyumenyume na basi lao kama kaka zao lakini wamepigwa kimoja cha nguruwe😂 Yanga mabingwa wa FA kwa mara ya pili mfululizo. Timu bora Ukanda wa CECAFA kwa sasa. Nani anabisha ?!
Tweet media one
12
25
233
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
18 days
NI MUDA WA KUCHUKUA HATUA ZA KISHIRIKINA SASA😎😎😎😎
Tweet media one
18
39
227
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Niitien TRA😂🙌 wakati tunawasubir TRA waingie ukumbini naomben handle zenu niwainue kidogo @Drkimangojr_
Tweet media one
39
33
210
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Kila kwenye contacts za mwanaume Hayakosekani majina ya Neema na Happy! 😊
21
43
197
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
14 days
THE BEST DEFINITION OF NOBODY KNOWS TOMORROW😂😂😂😂
Tweet media one
30
60
217
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
7 days
Asante Kwa Zile Hoteli Ambazo Huacha Sukari Mezani. Nakaribia Kujaza Gunia Nikauze😂😂😂
Tweet media one
26
38
218
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Kama umeamka salama asubuh hii ya leo wewe ni mshindi. Mungu akutangulie katika kazi zako siku ya Leo🙏
Tweet media one
23
46
204
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Tulio ona siku kama ya leo tumshukuru MUNGU maana sio kwa uwezo wetu🙏
Tweet media one
36
38
201
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Wameamka salama na wameanza kupata chai nzito ya maziwa Saa Nne Kamili tuanza orientation ya kuwaonyesha lecture room na tutamalizia na kuwapitisha kwenye Kila wodi
Tweet media one
16
43
199
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
FUNGU GANI LA BIBLIA HUWEZI KUSAHAU HATA UKAE MIAKA 10 BILA KULISOMA TENA?
Tweet media one
50
41
201
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Ningejua maisha yatakua magumu namna hii Aki ya Mungu nisingepiga kelele darasani 😂
24
35
187
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Jana Usiku Nilinunua Pepsi Big Take Away Maeneo Ya Buza Kuja Kufungua Nikakuta Ni Chai Kinacho Niuma Zaidi Hata Sukari Awajaweka...😭😔💔
24
42
185
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
MAISHA YA BONGO BHANA Unaweza ukawa unambembeleza mpenzi wako kisa hana furaha. Kumbe nae kagombana na mpenzi wake..
20
27
181
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Muhimu sana kusafisha mfumo wako wa usagaji wa chakula. Anza kusafisha mfumo wako wa usagaji chakula kwa kutumia dawa za Minyoo mfano Mebendazole na Albendazole walau Kila baada ya miez mitatu. ulaji na upishi wa vyakula vyetu sio salama sana hivyo kupata Minyoo ni rahisi sana
Tweet media one
Tweet media two
16
53
198
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Handle zenu ziko wap niwainue kidogo @Drkimangojr_ @Drkimjr_
Tweet media one
91
43
187
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Hivi anaondoka na ng'ombe wake au amewaachia!??😂😂
Tweet media one
18
35
183
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
3 months
JAMHURI YA watu wa TWITA mliokuwa AIRPORT huu ndo muda wa ROKOOO,weka HENDO yako afu sema NIPO ili tujue kuwa UMERUDI salama NYUMBANI Salama @goligani @Mzungu_pori1 🫶🫶🫶✊👑
Tweet media one
49
26
186
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
7 days
MIMI NDIE NILIE MUITA ZUCHU SAA SABA USIKU AJE KWANGU😂😂😀
Tweet media one
39
49
189
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Mpenzi wako akiamia dar es salaam ww futa namba alafu move on😂😂
16
35
173
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Asante Mungu Kwa kutupa kibali Cha kuiona tena siku ya Leo nakuomba unibarik Mimi na anae soma tweet hii katika kazi zetu zote siku ya Leo
Tweet media one
28
62
179
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Simba tumesajil kipa au takataka🚮🚮 22 - 23 | 𝙎𝙚𝙧𝙞𝙚 𝘿 10 — Michezo 02 — Cleansheet 14 — Magoli ya kufungwa 22 - 23 | 𝘾𝙖𝙧𝙞𝙤𝙠𝙖 10 — Michezo 19 — Magoli ya kufungwa 01 — Cleansheets Alikuwaa akicheza ligi daraja la (4) 🇧🇷.
Tweet media one
40
14
179
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Dada ugonjwa ulio nao ni topic ambayo niliiruka chuo nipe dk 10 nikapitie notice zangu kwanza ndio nije nikutibu😅
Tweet media one
26
38
170
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
... Manchester city wametinga fainali UEFA champions league kibabe,🔥 NB ; Man city kama Yanga, wote wanaitwa WANANCHI The 'CITIZENS' na wote wanasaka TREBLE msimu huu 🏆🏆🏆
Tweet media one
10
39
177
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Mtu umekaa zako vizur tuh huna stress mara shemeji yako anakutext 'Hey Babe I Love You'😂😂
24
35
168
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
JE KABILA LAKO LIMEMTOA MTU GAN MAARUFU??? Nasoma Comments
Tweet media one
71
24
167
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Watu wema bado wapo sana, Kijana akiosha maziwa kabla ya kupeleka kwa wateja
Tweet media one
17
43
164
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 month
Sasa nione Mtu ana edit Anaweka Jezi Ya Chelsea Humu ! 🚶
Tweet media one
24
36
171
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Alafu ukipitupiga picha na iPhone yako jitahid basi kututumia kwa wa Kati...!!
19
33
162
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
2. Msizoee kuingia guest moja kila mnapokutana maana watu watawachora na kutoa taarifa, mbwa wewe 3. Mkiingia guest msiandikishe majina yenu halisia, paka wewe
3
0
171
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
7 months
Charles anaendelea kutusisitiza tusiogope kuuliza bei ya samaki tukiwa sokoni maana huwezi jua muuzaji ameamkaje siku iyo!!!
Tweet media one
19
17
165
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Dogo Anadharau Sana huyu.😊😊 Unaacha 4Millions Kwa Mwezi afu unaomba wazurulaji BukuBuku Alaaa😂 APINGWE NA APUUZWE KABISA😁
Tweet media one
17
32
158
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Mnajua Blood groups zenu au mnadate tuh??? Kun kitu kinaitwa rhesus factor, mkizaa watoto Mongoloids mtaikumbuka hii post...
15
28
162
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Tanzania 🇹🇿 Jobless Wanaishi Vizur Kuliko Wenye Vibarua Wanamiliki Simu Kali, Watoto Wakali Na Awaishiwi Bando
7
27
147
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 month
Wote Mlio Omba Kazi Serikalini Idara Ya Afya Leo interview NAWATAKIA KILA LA HERI
17
48
168
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
4 months
Rais hakutaka kushangilia kabisa goli la Stephanie Aziz KI jana 😂
Tweet media one
6
7
167
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Nina mpango wa kuoa mwanamke mwenye kigugumizi ili nikiamka asubuh kabla ajamaliza kusema naomba hela ya matumizi niwe nimeshafika kazini😂😂
33
46
156
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Unapopiga goti omba, Mungu akujalie moyo wa uvumilivu juu ya kuishi na wanadamu
15
43
147
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
MSTARI GANI WA BIBLIA HUWEZI KUUSAHAU HATA UKAE MIAKA 10 BILA KUUSOMA TENA
Tweet media one
40
43
159
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Ukishindwa kujenga nyumba jitahid ujenge hata heshima sababu haina gharama
23
51
147
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Kwahyo Suala la Bandari Limezimwa na Madaktari Hawa Wa Sudani? Nchi Hii Bana Tutawaliwe Tena Na Wakoloni Vichwa Vyetu Bado ni Mgando Sana Tunawaza Sketi Tu😁
Tweet media one
35
36
151
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Mwisho wa siku hakikisha unakuwa na mtu Mwenye huruma na kujali☺️, Kuna kipindi mapenzi pekee hayatoshi.🥰
Tweet media one
17
36
154
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Wanafunzi wa SUA baada ya kumaliza kukamua Mbuzi😂😂
Tweet media one
24
38
145
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Tushushe handle zetu kabla Mzee wa Utopolo ajakabidhi Golden boot yake 😂😂 @Drkimangojr_
Tweet media one
22
19
149
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
8 months
Nasoma majibu kwenye comment
Tweet media one
73
26
151
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Kuna kale kausingiz kanakujaga baada ya kumaliza bao la Pili 😂 😂 Nyiee mtakuja kufa uchiii 😂 😂
20
31
143
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
9 days
Dalili Nyingine Ya Umasikini Ni Kununua Viatu Na Kuvipeleka Kwa Fundi Vikazungushiwe Uzi
Tweet media one
33
37
154
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Mapenzi ya Kitanzania ni kama Bluetooth ukiwa karibu ina pair mkiwa mbali everyone searching for a new device😂👌
17
28
135
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
... 💵 Hii ndiyo pesa watakayopewa wachezaji wa Yanga na (GSM) iwapo watatwaa Ubingwa wa CAFCC 🏆 63,000,000 × 28 = Tsh 1.7 Billion (1,764,000,000)
Tweet media one
7
23
149
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Watoto wa siku izi wanavunja Chupa ya chai wanacheka tuh, sisi tulikua tunazimia mara saba kabla bi mkubwa ajaja😂🙌🙌
20
30
138
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Turud utotoni ni tabia gan ya ajabu ulikua nayo. Mimi mama akipika maandazi lazima niamke usiku nikadokoe😂😂
20
23
137
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
Leteni hizo handle zenu wapwa kabla Vyura wetu awajaamka uko Miami 😂 @Sostene1Justine anafolow back
Tweet media one
85
38
138
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Tangu nizaliwe sijawah kuona mdada akimsumbua mpenzi wake amnunulie biblia 😂😂🙄
21
37
135
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Unakuta mdada anaringa anatumia Infinix Halafu anakaa hostel na analala kwenye dobodeka sasa unaringa nini😂😂😂😂
19
29
140
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Ukitaka kujua binadamu ana nguvu sana sukuma mlango wa choo😂😂
19
48
136
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Hakuna wa kumtenganisha Mkojani na Mabasi ya Mikoani..😂😂😂
Tweet media one
19
28
138
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
2 years
Watu wafupi ndo chanzo cha viatu vya watoto kupanda bei😂
17
27
128
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
6. Mume wake hata akisafiri usiende nyumbani kwake, kunguni wewe 7. Mume wake hata akisafiri usimruhusu alale kwako mwambie akalale kwake, ngedere wewe
1
0
140
@Drkimangojr_
DR KIMANGO 💉
1 year
4. Ukimpigia simu akakata usipige tena labda yupo na mumewe, kuku wewe 5. Usipende kumtumia sms za kimapenzi kila mara, bata wewe
2
1
141