Uncletony90 Profile Banner
Uncle Tony Profile
Uncle Tony

@Uncletony90

Followers
8K
Following
353K
Statuses
12K

🙏ONLY GOD 🙏

Non
Joined March 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Uncletony90
Uncle Tony
4 years
Only God🙏🙏
4
1
27
@Uncletony90
Uncle Tony
13 hours
0
0
0
@Uncletony90
Uncle Tony
13 hours
@INFLUENCERjr Mr Verbs nae😂
2
0
2
@Uncletony90
Uncle Tony
13 hours
@FKihamu Wap? Kwa ligi au apo ukoloni?
0
0
1
@Uncletony90
Uncle Tony
13 hours
@Advocate_Jebra Inamaana Kuna vijana wanakula hela kimya kimya?
0
0
0
@Uncletony90
Uncle Tony
3 days
@PresenterNoah Eeeeh😂😂 huyo ajue amfukuzwa kimtindoo hatakiwiii
0
0
0
@Uncletony90
Uncle Tony
3 days
0
0
0
@Uncletony90
Uncle Tony
4 days
CHASAMBI na GOLI bora la Msimu😂
0
0
0
@Uncletony90
Uncle Tony
4 days
Kocha kafukuzwa Yanga pengo linaonekana kwa Makolo😂
0
0
3
@Uncletony90
Uncle Tony
4 days
@anuskills3 😂😂ujue wameona unahela
1
0
1
@Uncletony90
Uncle Tony
5 days
Kinyozi; Nikunyoe kama bro apa Mteja; hapana mimi sinyoi kama under20 wasio na Majukumu Gafla ikawa kamzozo😂😂
0
0
2
@Uncletony90
Uncle Tony
5 days
😂😂😂Ila hii ligi yetu
@albogastbm
RememberTheName
5 days
Hapa sasa ndo ile Mixer ya Ubaya Plus Ubwela inakutana. Huu msimu mambo ni mengi sana. Wake wanaokota kocha Singida BS hawa kocha anatangaza mwenyewe kuwa ni miongoni mwao🤣 Mpaka ifike Mei mapacha wa Kkoo watakabana uwanjani. #RememberTheName
0
0
0
@Uncletony90
Uncle Tony
5 days
@INFLUENCERjr @spana_Konki Spana ni mwanayanga mwenzetu, unataka kheri yake?
1
0
4
@Uncletony90
Uncle Tony
5 days
Unaamka Hujui unaelekea wap, Simu za michongo haziiti. Hii Dunia wakati mwingine ni Katili sana
Tweet media one
0
0
0
@Uncletony90
Uncle Tony
5 days
1
0
0
@Uncletony90
Uncle Tony
6 days
Imekuwaje tena?
Tweet media one
0
0
0
@Uncletony90
Uncle Tony
6 days
@YoungAfricansSC Oyaa si alipiga press mchana huyu Ramovic? Kosa lake nini tena?
0
0
1
@Uncletony90
Uncle Tony
6 days
Naona watu wengi wanasema masta analeta ujuaji, ila hata zombee nilisikia akisema hizo ishu za Arabic na akasema ndio maana waimba bongo fleva wengi ni waislam sababu ya hiyo. Na ukiangalia inakuja hivi
@chapo255
SANUKAnaCHAPO
6 days
“Lady Jaydee hajawai kuimba Bongo Fleva, ili uimbe pure Bongo Fleva ni lazima uwe umepitia madrasa kwasababu Bongo Fleva ina fusion ya arabic” -Master Jay
Tweet media one
0
0
0
@Uncletony90
Uncle Tony
8 days
Jamaa kasema apa hii game ya man u ilikuwa ya kuchekia Baa😂
0
0
1
@Uncletony90
Uncle Tony
9 days
@VodacomTanzania nimenunua umeme toka jana mpka saivi token hamna nimepiga TANESCO wanasema huo muamala kwao haupi shida nini?
1
0
0