albogastbm Profile Banner
RememberTheName Profile
RememberTheName

@albogastbm

Followers
7K
Following
7K
Statuses
10K

'Versatile' Broadcast Journalist | Digital Content Creator | Radio & TV Program Producer | @eastafricatv | @earadiofm | Jiunge na Barca 👇

Dar es Salaam, Tanzania
Joined November 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
@albogastbm
RememberTheName
2 years
Habari kwa Maendeleo Endelevu ✍️
@eastafricatv
EastAfricaTV
2 years
#PICHA Mhariri Dawati la Habari EATV/EA Radio Elbogast Myaluko (@albogastbm) (kushoto) akiwa kwenye Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari 2022 linalofanyika kwenye ukumbi wa JNICC jijini Dar es Salaam leo Desemba 17, 2022. #EastAfricaTV
Tweet media one
8
3
113
@albogastbm
RememberTheName
14 hours
Pale kwa Meja Isamuhyo Stadium nyumbani kwa Masau Bwire pameumana vibaya vibaya. Baada ya jana Umoja wa Vilabu vya GSM kufurahi leo wamesononeka. #RememberTheName
Tweet media one
10
14
452
@albogastbm
RememberTheName
1 day
Msimu huu kama sio Trebble basi uchawi upo🤣 Nawapumulia Real Madrid na Atletico Madrid bado pointi 2 na moja tu. #RememberTheName
Tweet media one
4
0
22
@albogastbm
RememberTheName
2 days
Alejandro Jose Hernandez Hernandez anachezesha Sevilla Vs Barca leo. Amewahi kusema kuwa 1994 akiwa na miaka 11, alikuwa anavutiwa sana na Barca ya Romario na Laudrup. Kwasasa ni mwamuzi katili sana asiyependwa na Barca wala Madrid wakiamini anawaonea. Huwa hatoi favour kirahisi.
Tweet media one
0
5
182
@albogastbm
RememberTheName
2 days
Mambo si Ndo Haya sasa. Kesho mapema tu namalizana na Sevilla. #RememberTheName
Tweet media one
5
0
39
@albogastbm
RememberTheName
2 days
Mambo niyapendayo. Sasa hapa dakika za mwisho Real Madrid asawazishe watoke sare. Halafu wote nitawafunga mechi nitakazokutana nao. #RememberTheName
Tweet media one
2
0
34
@albogastbm
RememberTheName
4 days
Yaani hawa mpaka waeleze Chasambi alijifungaje pale Tanzanite Kwaraa🤣🤣 #RememberTheName
Tweet media one
0
0
21
@albogastbm
RememberTheName
4 days
Chama langu Barcelona linanipoza machungu ya Chasambi. Mapema tu chuma cha kwanza. #RememberTheName
Tweet media one
2
0
20
@albogastbm
RememberTheName
4 days
Umri mdogo, kipaji kikubwa, Mistake mbili kubwa. Interview kuhusu Maxi. Goli la kujifunga. Unahitaji simu ya @moodewji kukwambia pole na usikie neno lake akisema Usijali ndio mpira. Kisha unahitaji kukaa mbali na simu then kuomba Mungu Fadlu asikuadhibu uwanjani. #RememberTheName
Tweet media one
40
22
434
@albogastbm
RememberTheName
5 days
Hapa sasa ndo ile Mixer ya Ubaya Plus Ubwela inakutana. Huu msimu mambo ni mengi sana. Wake wanaokota kocha Singida BS hawa kocha anatangaza mwenyewe kuwa ni miongoni mwao🤣 Mpaka ifike Mei mapacha wa Kkoo watakabana uwanjani. #RememberTheName
5
6
97
@albogastbm
RememberTheName
6 days
Ila kuzaliwa Tanzania tu nayo ni baraka tosha aisee!🤣 Singida Black Stars wanashangaa Kocha wao kitambulishwa Yanga na wanaomba utulivu wakati wanafutilia jambo hilo😀 #RememberTheName
Tweet media one
Tweet media two
7
4
87
@albogastbm
RememberTheName
6 days
HIZI UMMA MBILI NAZO ZINACHANGANYA SANA TWENDE NA YA JUU AU YA CHINI? #RememberTheName
Tweet media one
4
0
22
@albogastbm
RememberTheName
6 days
Kaka na dada kupeana mali sio mbaya. Kocha wa Singida Black Stars ametangazwa kuwa kocha mpya wa Yanga. #RememberTheName
Tweet media one
3
0
48
@albogastbm
RememberTheName
7 days
Nani ameshabebwa sana mpaka sasa msimu huu, kati ya hawa wanaume 22 wa Dar es Salaam? #RememberTheName
Tweet media one
9
0
28
@albogastbm
RememberTheName
7 days
Hispania Real Madrid wanalia kuonewa na waamuzi🤣 Tanzania Yanga wanalia Simba kupendelewa na waamuzi🤣 Miezi kadhaa nyuma hizi timu zilisajili Mbappe na Chama zikiwa kama Complete Squad. Barcelona na Simba zikasajili Academy😀! FOOTBALL mchezo mtamu sana🙌😀 #RememberTheName
Tweet media one
Tweet media two
106
59
726
@albogastbm
RememberTheName
8 days
Nimeleta Shobo na Man City ona sasa natia huruma bora ningebaki na Barcelona yangu tu tumeshinda goli letu moja safi kabisaa. #RememberTheName
Tweet media one
1
0
59
@albogastbm
RememberTheName
9 days
Wikiendi imeisha vyema kwa mashabiki wa Simba na Barcelona. LAMINE YAMAL leo alikuwa kama MPANZU waliamua kuichukua mechi na kuificha miguuni mwao. #RememberTheName #LaLiga #NBCPL
Tweet media one
3
8
372
@albogastbm
RememberTheName
9 days
Ukiwa Shabiki wa Barcelona na Simba SC ukaambiwa leo uchague timu yako moja ishinde na nyingine ipoteze UTACHAGUA IPI? Ikumbukwe jana WANANCHI Yanga walishinda na Real Madrid akapigwa. #RememberTheName #LaLiga #NBCPL
Tweet media one
5
2
57
@albogastbm
RememberTheName
9 days
VINA MUDA BASI😀😀😀 Ukiona mtu mzima analia ujue jambo limemkuta. #RememberTheName
Tweet media one
2
1
37
@albogastbm
RememberTheName
10 days
Yanga wameshinda lakini nadhani kiufundi kuna vitu bado au uwezo wa mwalimu Ramovic hauongezeki ama bado anawasoma wachezaji wake jinsi ya kuwatumia. Kagera Sugar kwasasa ni dhaifu sana lakini bado Yanga walivyocheza lrp naamini kabisa walistahili kutolewa CAFCL #RememberTheName
Tweet media one
21
5
133
@albogastbm
RememberTheName
11 days
BIG GAME - MAN CITY Vs REAL MADRID. Timu zipi 8 zitavuka kwenda 16 bora? #RememberTheName #UCL
Tweet media one
0
0
10