The Joker 🃏 Profile Banner
The Joker 🃏 Profile
The Joker 🃏

@TherealJoker_m

Followers
1,882
Following
1,629
Media
108
Statuses
12,871

Father || Chelsea Fc || Yanga Sc || Never Trust Me In Any Way.

Chato msilale
Joined January 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
3 days
20/08 Save the date,,!
5
3
16
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
3 months
Today, I just want to thank God for adding another year to my life. Happy birthday to me! Haya haya kamati mnaweza anzia hapa sasa 😂😂😂🙌🏽 🃏
Tweet media one
27
11
62
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
2 months
Kwaiyo alikuja na V8 na alikuwa na jezi ya simba sindio,,, akauliza kuhusu MEYA na MMM kisha akarudi kwenye V8 akateleza aya sawa,, kwaiyo gari inaweza ingia kituoni na kutoka na askari wasijue sio,, Basi sawa acha nijenge mwili hii nchi tunajenga ote wanakula VYAWA 🙌🏽🙌🏽
Tweet media one
Tweet media two
9
6
41
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
1 month
Mhubiri : 11 : 6 Asubuhi panda mbegu zako, Wala jioni usiuzuie mkono wako. Kwa maana wewe hujui ni zipi zitakazofanikiwa,kama ni hii au hii,au kama zote zitafaa sawasawa. Goood Morning watu wa Mungu ✊🏽✊🏽
9
16
37
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
14 days
Huyu mwanamke kaniamsha na uzi was yanga 😂😂🙌🏽🙌🏽 ❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥
Tweet media one
Tweet media two
6
3
35
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
1 month
Oyaaa kwa haya maumivu HEINEKEN isinge weza bhana ila kwanini hamkuniambia kama mapenzi yanauma ivi 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🥹🥹🚶🏽‍♂️🚶🏽‍♂️
Tweet media one
15
5
35
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
10 months
Mithali : 8 : 7 - Maana kinywa changu kitasema kweli, Na uovu ni chukizo kwa midomo yangu. GM watu wa Mungu 💪🏼
4
6
33
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
10 months
Mithali : 6 : 9 - Ewe mvivu, utalala hata lini? Utaondoka lini katika usingizi wako? GM watu wa Mungu
4
9
30
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
3 months
@IAMartin_ Hakuna ulazima wa kumshusha mmoja ili mmoja awe bora kazi zingine tujifunze kuwaachia wapiga kula sasa 🚮🚮
2
1
30
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
1 month
Perfect dinner,with the perfect person 🍽️❤️🃏
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
1
30
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
3 months
Wakolosai3:12_13 Basi, kwa kuwa mmekuwa wateule wa Mungu, watakatifu wapendwao, jivikeni moyo wa rehema, utu wema, unyenyekevu, upole, uvumilivu,mkichukuliana, na kusameheana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mwenzake; kama Bwana alivyowasamehe ninyi. Good morning.
8
15
29
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
4 months
Oyaaa kumbe ule mkono sio wake buana yeye anavaaga saa 😂😂🙌🏽🙌🏽 ila ⁦ @CandleXtz ⁩ mwanangu we muongo saana hili nikuambie tu yaani umemzidi adi mwanao ringo 🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Tweet media one
Tweet media two
9
4
28
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
1 month
Nae bwana akasema “Sasa umeshiba haya enenda pahara popote ukatafte mvinyo,,,,!! 🃏
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
3
29
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
4 months
Kwa mzee Maranda kumsalimia na gari ya yule waziri 😂😂🙌🏽 🃏
Tweet media one
Tweet media two
7
4
28
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
8 months
"Hakuna dawa inayo tibu CHUKI zaidi ya maarifa"!!
6
13
27
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
6 months
Ayubu : 11 : 14 Ikiwa una uovu mkononi mwako, uweke mbali nawe, Wala usikubali upuzi kukaa hemani mwako; Goood morning watu wa Mungu,,!
11
12
24
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
28 days
“Wengi awana pa kulala usipagawe na jiji” “USIJE MJINI” 🃏
Tweet media one
3
2
25
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
2 months
“Kama utafanikiwa KUISHI kando kando ya ziwa basi huna budi kuwafanya MAMBA wawe rafiki zako,,,! 🃏
Tweet media one
5
4
25
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
2 months
In Every Relationship, There Is A Relationship. ☕️ 🃏
Tweet media one
12
2
24
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
1 month
Mwingine aliamua kumpigia simu kuomba hela wenzetu wamemgomea hadi kwenda kwenye space yake na yuko anawajibu maswali na anaitwa muongo na anaomba msamaha 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
8
4
24
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
7 months
Wakolosai : 3 : 5 Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu Gm,, Familia
6
6
22
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
1 month
Kwaiyo mimi napiga simu naunganisha watu 😂😂😂 sasa kama mko na yote hayo si ipande tu space kiwake chap chap ama kila mtu aliambiwa na hakuna alie shuhudia 😂😂🙌🏽 very sad kwakweli
6
3
23
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
10 months
Mithali : 8 : 10 - Pokea mafundisho yangu, wala si fedha, Na maarifa kuliko dhahabu safi. GM 💪🏼
5
4
23
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
4 months
I'm ready for all the challenges that God gives to me. 🃏
Tweet media one
Tweet media two
2
3
23
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
3 months
1 Timotheo : 5 : 23 Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara…! 🃏
Tweet media one
4
1
22
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
10 months
Mithali : 12 : 17 - Atamkaye maneno ya kweli hufunua haki; Bali shahidi wa uongo hutamka hila. GM,,,,!!
6
7
20
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
10 months
Mithali : 6 : 26 - Maana kwa malaya mtu hutiwa katika hali ya kuhitaji kipande cha mkate; Na kahaba humwinda mtu anase nafsi yake iliyo ya thamani GM watu wa Mungu
5
5
21
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
8 months
Kumbadilisha mpenzi mwenye tabia mbaya ni NGUMU kuliko kumchagua mpenzi mwenye tabia NJEMA,,!! GoodMorning.
8
10
17
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
5 months
Zaburi : 18 : 20 Bwana alinitendea sawasawa na haki yangu, Sawasawa na usafi wa mikono yangu akanilipa. 🃏 HAPPY EASTER
Tweet media one
4
2
21
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
2 months
See you TANGA kwa mganga,, round hii asipo tangaza ndoa nafuta namba za huyu mganga 😎😎😎😎
Tweet media one
Tweet media two
4
0
19
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
1 month
Forget What You Feel Remember What You Deserve 🃏
Tweet media one
Tweet media two
2
2
20
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
2 months
Kwaiyo mwana nafsi yake imefarijika kuona mwana hawezi hata kuongea sindio,?? 🥹🥹
5
2
20
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
30 days
Mhubiri : 4 : 10 Kwa maana wakianguka, mmoja wao atamwinua mwenzake; lakini ole wake aliye peke yake aangukapo, wala hana mwingine wa kumwinua! Good morning Watu wa Mataifa
4
8
20
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
10 months
Mithali : 14 : 6 - Mwenye dharau hutafuta hekima, asiipate; Bali maarifa huwa mepesi kwa mwenye ufahamu. GM,,,!!
5
11
20
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
9 months
Mwanzo : 12 : 18 Ndipo Farao akamwita Abramu, akasema, N'nini hili ulilonitendea? Mbona hukuniambia ya kuwa huyo ni mkeo?
2
5
20
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
7 months
Mithali : 16 : 4 Bwana amefanya kila kitu kwa kusudi lake; Naam, hata wabaya kwa siku ya ubaya. Gm,, Happy Sunday,,!
8
7
17
@TherealJoker_m
The Joker 🃏
8 months
Kuna vile unavyo jichukulia na kuna vile watu wanavyo kuchukulia HALAFU KUNA UHALISIA. Good morning,,,,!.
7
7
18