Wakali hapo mapokezi kuna target wanne hiv kisingizio kinaweza kuwa kukusanyika bila kibali na kuharibu utaratibu wa shughuli za airport amini kuweni makini.
Tuweni makini🙏
Tunawapigia makofi majirani kwa sauti zao walizopaza,
Vipi sisi tukishirikiana tupaze sauti mwenzetu apatikane au hata tujue alipo tu.
#WhereIsSativa
#sativa
Mimi na baby wangu tunabeti ila hatushauriani kuhusu mikeka kila mtu apambane na mrusi kivyake😹😹.
Nampenda mno siku moja nitamposti mumuone huyu kijana wa mama mkwe😋😋
I love you baby ❤
Vibungo tunateseka sana hata fake friends hatupati,,kazi tunafanya ngumu,,mazingira magumu,huna hata wa kuongea nae akupe tumaini la maisha,aisee,, yaani mpaka nawaonea wivu wadada wazuri😑.
Ipo siku lakini🙏
Nisaidie ku repost 👇👇
Mtoto kapotea anaitwa JAYDEN MANYIWA JILUNGU ,Ana umri wa miaka miwili alipotea jana saa1 jioni maeneo ya nyumbani maeneo ya KAHAMA mtaa wa MAJENGO kwa mseveni
🙏🙏
Kwa mawasiliano zaidi,+255694776101
0758663872
Vodacome
0769916759
Israel Patrick
AIRTEL
0699742232
James Nelson
Niko mimi na Kaka Patrick kuhakikisha tunashirikiana na nyie ndugu zetu kurudisha afya ya Sativa inarudi kama zamani.