Dr...kamami💔🇵🇭 Profile Banner
Dr...kamami💔🇵🇭 Profile
Dr...kamami💔🇵🇭

@fayet_kamami

Followers
2,904
Following
2,421
Media
747
Statuses
27,835

RuachElohim Single & Satisfied Sports & BETTING NO DM🚫

Rehiyon ng CALABARZON, Republi
Joined May 2024
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Msimu wa 24/25 lazima nipige milioni hamsini 🙂Nimekua darasani nimejifunza mambo mengi, See you soon 😑
10
20
46
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Nimetuma mchango. Familia imekataa
Tweet media one
Tweet media two
71
106
1K
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
"Wewe mtumie milioni najua hiyo hawatarudisha"
Tweet media one
57
60
439
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Mungu ni mwaminifu mno🙏
Tweet media one
25
56
329
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
R.I.P balozi💔 🕊
Tweet media one
21
63
309
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Kwenye haya maisha hakikisha unapata rafiki mmoja kama @Thereal_taivina HE IS HIM ✊🏿 APPRECIATION POST TAIVINA
Tweet media one
6
84
291
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Tweet media one
1
149
244
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Watembeaji hapa ni wapi😑
Tweet media one
112
34
227
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Wakali hapo mapokezi kuna target wanne hiv kisingizio kinaweza kuwa kukusanyika bila kibali na kuharibu utaratibu wa shughuli za airport amini kuweni makini. Tuweni makini🙏
17
45
220
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Ukipata njia ya kufaulu kimaisha iwe halali isiwe halali wewe ifuate tu,,tutafanya toba baadae. Hakuna tuzoya mtesekaji bora.
29
76
204
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
18 days
Mimi SIJAWAHI nunuliwa simu,kiatu,nguo,au chupi na mwanamme . Kila kitu changu ni changu.
50
31
200
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Ukitaka kuamini sio alarm iliyokuamsha,hiyo alarm ipeleke montuari uone kama itawaamsha hao waliolala. Goodmorning😇
52
77
200
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Huyu wa saivi haniachi sio kwa mapishi haya karibuni lunch,😋😋
Tweet media one
32
25
156
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Ishi kulingana na uwezo wako ili kupunguza stress za maisha. Goodmorning familia.😇
56
87
152
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Eeeh Mungu kama mlivyoongea na bibi kuhusu maisha yangu. Amen🙏
Tweet media one
33
56
160
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Nipate kitu angalau😋😋
Tweet media one
11
13
154
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Tweet media one
1
75
153
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Eeh Mungu,kama mlivyoongea na bibi kuhusu maisha yangu🙏 Amen🙏
Tweet media one
31
57
148
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Wazee wa location apa ni wapi?
Tweet media one
24
23
140
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
17 days
Eeh Mungu ubariki kazi ya mikono yetu🙏 Amen🙏
Tweet media one
22
44
136
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Leo nina hasira nitatembeza block kwa wapumbavu
10
24
139
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Nani nimpe hii account yangu awe anapost maana nataka kukaa offline sitakua na smatifoni nitakua na kiswaswadu😊 Au nilog out tu
19
27
133
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
1 month
Bado ugali sasa 😋😋
Tweet media one
19
20
130
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
17 days
Ishi kulingana na uwezo wako ili kupunguza stress za maisha. Goodmorning fam🙌
47
55
128
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Asante kwa kuniamsha tena🙏. Amen
Tweet media one
49
66
122
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Tujipost jaman,tusije tukapishana barabarani bila kusalimiana.😑😑
Tweet media one
31
26
113
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Mungu akullinde popote ulipo🙏. #WhereIsSativa
Tweet media one
6
84
119
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Eeh Mungu, ikawe kama tulivyoongea🙏
Tweet media one
18
43
118
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Tuwahi sokoni tuuze mawiri. Au mna hela nyingi
Tweet media one
16
37
118
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Shemeji yangu tunakuombea , #freesativa
Tweet media one
1
82
118
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
#YukoWapiSativa #Sativa . Imetosha basi jaman mama yake anateseka sana 🙏.
Tweet media one
3
78
115
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Account ndogo engage tu alafu follow watu watakufollow back. Au hamtaki ushauri wa kibungo😹😹😹. @fayet_kamami
Tweet media one
68
38
113
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Ni asubuhi nyingine ya kumshukuru Mungu🙏. Ni mwaminifu. #sativa
26
57
108
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
"Njoo nikuonyeshe bunduki yangu Babangu aliniletea jana"
Tweet media one
10
15
109
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Mko wapi tuvuke daraja 😑😑
Tweet media one
33
23
105
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
1 month
Watembeaji hapani wapi😇
Tweet media one
34
31
105
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Mungu+bidii+subira+ukorofi kidogo =MAFANIKIO. Goodmorning❤
26
57
100
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Eeh Mungu kama Mama alivyoniombea,,na ikawe hivyo. Amen
Tweet media one
24
47
98
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
😑🙏
Tweet media one
41
22
100
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Yupo Mungu mbinguni asikiyae maombi yetu. Goodmorning😇
46
47
97
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Wife material tuingie mgombani tupige rato😁 Wakishua hawaelewi
Tweet media one
22
29
95
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Mungu ni mwaminifu😇 Goodmorning
38
51
94
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
1 month
Ukiamua kujikausha siku mzima uone nani atakuulizia humu au hata kwenye sms,,wangapi watakutafuta 😹😹😹😹 Mimi NO ONE💔🥺Ubaya Ubwela
11
31
95
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Sitawafunza kila kitu wazee🤝
Tweet media one
11
13
94
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Yaani nikiona watu wanapendana najihisi vibaya mno,najaa sumu ghafla,naanza kuwaombea waachane,,hii kitalamu imekaaje😑😑
17
17
92
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Tunawapigia makofi majirani kwa sauti zao walizopaza, Vipi sisi tukishirikiana tupaze sauti mwenzetu apatikane au hata tujue alipo tu. #WhereIsSativa #sativa
Tweet media one
1
81
93
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
#WhereIsSativa Wahurumieni basi familia yake hamjui maumivu wanayopitia💔
Tweet media one
1
50
93
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Miguuni umevaa nini??
Tweet media one
25
18
93
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
@Nipashetz @tanpol mchunguze kituo cha oysterbay
35
5
92
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Nani anipe biashara zake niwe napost hata kama atanilipa buku mbili tu jamani maisha ni magumu. Wafanyabiashara naombeni🙏
9
39
91
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Tufoleane jamani. Shusha hendo tuongeze folowazi. 😍😍😍
63
43
90
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Shusha hendo tuongeze followers. Like Retweet Weka hendo. 😇😇😇
47
43
83
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Tweet media one
2
58
85
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
23 days
Mimi na baby wangu tunabeti ila hatushauriani kuhusu mikeka kila mtu apambane na mrusi kivyake😹😹. Nampenda mno siku moja nitamposti mumuone huyu kijana wa mama mkwe😋😋 I love you baby ❤
15
29
87
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Hayo matusi mnayomtukana dada wa watu ni mazito sana jamani daah💔
15
17
87
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
26 days
And when everything else fails remember God NEVER fails🙏🙏 Goodmorning 😇
36
50
86
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Utupatie riziki yetu eeh Mungu, Goodmorning😇😇
24
33
83
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
20 days
Angalau nipate kitu😋😋
Tweet media one
15
13
85
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Wife material naenda jumuiya😇😇 Tumsifu Yesu kristo
18
27
81
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
27 days
Mimi na shemeji yenu tunatoka out kidogo leo😘😘 Ananipenda mno
Tweet media one
10
22
84
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Mungu utuondolee mateso ya mioyo tetu,,utupe amani katikati ya mawimbi ya maisha Amen🙏
Tweet media one
15
30
81
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Wasifungie twitter bana,,its therapy kwetu sisi walalahoi,,ni sehemu ya kucheka na kufake furaha, Baba Eloni ikikupendeza tukumbuke sisi tusiojiweza🙏
7
34
76
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Tweet media one
41
33
80
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Goodmorning wapendwa❤
33
35
79
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
19 days
Goodmmorning beautiful people. Mungu ametufanyia tena🙏
44
40
81
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
20 days
Amka tukamshukuru Mungu kwa uhai wa bure🙏 Goodmorning❤
27
39
80
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Vibungo tunateseka sana hata fake friends hatupati,,kazi tunafanya ngumu,,mazingira magumu,huna hata wa kuongea nae akupe tumaini la maisha,aisee,, yaani mpaka nawaonea wivu wadada wazuri😑. Ipo siku lakini🙏
12
18
78
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
20 days
Nisaidie ku repost 👇👇 Mtoto kapotea anaitwa JAYDEN MANYIWA JILUNGU ,Ana umri wa miaka miwili alipotea jana saa1 jioni maeneo ya nyumbani maeneo ya KAHAMA mtaa wa MAJENGO kwa mseveni 🙏🙏 Kwa mawasiliano zaidi,+255694776101 0758663872
Tweet media one
6
67
76
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
23 days
Kwa Yesu kuna raha😇 Anafanya mambo ambayo mwanadamu hawezi kufanya.🙏
13
29
78
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Mungu ni mwaminifu🙏
22
37
74
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Wife material ndo natoka kanisani😍 Mko wapi
Tweet media one
14
24
77
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
itel yangu imegoma kujoin space ila tusichoke kupaza sauti. #whereIsSativa
Tweet media one
1
45
76
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
When the pain is deep go deeper in prayers. Pray,pray,pray,without seazing.
12
39
72
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
18 days
Kuna couple fulani naifatiliaga kwa ukaribu mno hao wakioana nitaamini lavu izi biurifu na mm pia nitaolewa😹😹Maana wanagombana kila siku😹😹😹
8
20
75
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Goodmorning matajiri. Kibungo wenu ndo anakopa bando muda huu😇Mmenimiss au mpo bize na mapenzi😏😏
18
34
70
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Sokoni mnafika au mpo busy na mapenzi??
Tweet media one
9
19
69
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Hapa ni wapi
Tweet media one
23
28
72
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
22 days
Yote tisa,kumi ni kwamba tusisahau kukaa mbali na mapenzi,,ni utapeli mkubwa😶 Guys,stay single stay safe for your mental health🤝😇
6
28
72
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Jamani hii hali ya hewa ni kijijini tu au na huko kwenu mvua zinanyesha🙄
10
27
67
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
21 days
Angalau mgonjwa nipate lishe bora😋😋
Tweet media one
23
24
71
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
1 month
Nani anamiliki hii AI??mbona yuko pesono jamani💔😭😭😭Kwahiyo hata bibi yangu angenionea aibu daah🙌
Tweet media one
54
22
71
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Eeehh Mungu kama mlivyoongea na mama kuhusu maisha yangu. Amen🙏
Tweet media one
13
31
69
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
22 days
Mimi sahii mwanamme wangu akiniambia nifute twitter naifuta bila kuuliza maswali,,he is the king he gives orders i obey. I love you my king❤
15
24
71
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Kwahiyo ghafla kila mtu anatamani urafiki wa sativa na taivina.😑 Friendship is built not desired. Au hamtaki ushauri wangu🌚
3
14
67
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Kwahiyo watu wa humu mnaamini mimi ni daktari😹😹😹😹 Nimecheka Sana. Lakini mimi ni daktari 🌚
16
27
67
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Vodacome 0769916759 Israel Patrick AIRTEL 0699742232 James Nelson Niko mimi na Kaka Patrick kuhakikisha tunashirikiana na nyie ndugu zetu kurudisha afya ya Sativa inarudi kama zamani.
0
48
66
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Mnaogopa kupost kwa sababu mna wapenzi humu😹😹 hiyo inachekesha ,, Stay single guys,avoid dating tweeps. Au hamtaki ushauri🌚🌚
11
24
67
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Tunakuombea sativa utapata nafuu ya akili na ya kimwili. Damu ya Yesu ikulinde na kwa nguvu ya msalaba utashinda haya. Amen.😭🙏
Tweet media one
3
22
69
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
1 month
Mnavyobana iyo connection utadhani mmeicheza nyie😏😏
12
16
66
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Mungu ni mwaminifu. Goodmorning🙏
19
30
66
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Epuka kukutana na tweeps hata kama nyinyi ni majirani,,epuka!!! Au hamtaki ushauri???
12
20
65
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
1 month
Eeeh Mungu kama tunavyoongeaga
Tweet media one
5
21
66
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Sina hela💔 Sina trako💔 Sina sura💔 Sina hata mavazi💔 Maisha no magumu💔 Daah bila Mungu kunisaidia sitoboi
Tweet media one
9
22
64
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Mungu ni mwaminifu🙏. Goodmorning😇
Tweet media one
27
28
66
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Hakuna ubize kwenye mapenzi,watu wanatengea muda vitu wanavyopenda🙏
5
23
63
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Kumbe tumeshafika elfu moja mnanipenda sana ila baby wangu ananipenda mnoo😹😹😹😹 Asanteni 😇 Mnifollow nifike 10k tena niwauze😹😹
6
22
65
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Goodmorning family❤
31
36
62
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
1 month
Leo nijipost
Tweet media one
22
26
65
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
2 months
Mje hospitali tuwapime VVU mtapewa soda na mkate😎
Tweet media one
25
19
66
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Ety unaandika jina lake kwa pedi ili asikuache😹😹😹 Nikifika hapo mnipige headshot,,ila mnaandika na kalamu ya buluu au ya redi😹😹
8
18
64
@fayet_kamami
Dr...kamami💔🇵🇭
3 months
Nani aje nimuuzie simu yangu niwe offline mwaka mzima😍😍 Au hamna pesa
15
29
63