MakeresB Profile Banner
brown Profile
brown

@MakeresB

Followers
348
Following
86K
Statuses
10K

Power is dangerous it corrupt the best and attract the worst

Guadalupe, Nuevo León
Joined May 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
@MakeresB
brown
1 day
@TriciaAbou Wall akheratul khairul laka minal uulla
1
0
1
@MakeresB
brown
4 days
@PresenterNoah Kupikwa ni lazima
0
0
0
@MakeresB
brown
4 days
@PresenterNoah Ni kweli sio jambo zuri ila kuna muda unakuaga na kaushamba mpaka inafikia watu kujiuliza ilikuaje ukafikia kua kwenye media kwa uelewa ulionao
0
0
0
@MakeresB
brown
4 days
@Oumar_bulla Ukiangalia marudio ya lile goli la chasambi utagundua chasambi alidhamilia na alijua ninu anafanya hii ndio shida ya kuishi simba huku moyo upo yanga
0
0
0
@MakeresB
brown
5 days
@Dominicksalamb1 Hiyo kazi ni priva
0
0
0
@MakeresB
brown
5 days
@privaldinho Simba watakudinya
0
0
1
@MakeresB
brown
5 days
@KibwanaEdgar Bahasha kapokea yule mtoto
0
0
0
@MakeresB
brown
5 days
@PresenterNoah We jamaa unafanya watu wa mbeya waonekane zimepungua na expossure yote uliyonayo lakini bado mshamba mshamba
0
0
1
@MakeresB
brown
5 days
@rollymsouth Mungu mtoto kamasaidi rolemodel wake aongoze ligi chasambi sio mwana
0
0
0
@MakeresB
brown
5 days
@privaldinho Ni nyuma mwiko ndio mmefurahi
0
0
0
@MakeresB
brown
5 days
@TriciaAbou Mimi ningemfukuza kabisa lroleo huwezi ku curve mpira wa kumrudishia kipa kwa nguvu namna ile amsaidi timu ya zingeli kukaa kileleni
0
0
2
@MakeresB
brown
5 days
@TriciaAbou Hakun kombe mnagombea nyie mnamaintain status yenu tuu
0
0
0
@MakeresB
brown
5 days
@SharifaSabrina Kapjme mafuta kwenye ini na sukari ya damu utaacha bila dawa
0
0
0
@MakeresB
brown
5 days
@EduTalkTz Kama humuamini mungu mpaka kwenye swala la kifo basi mshukuru sana mungu
0
0
0
@MakeresB
brown
6 days
@esteramosbulaya Aaah shemejiiii
0
0
0
@MakeresB
brown
6 days
@ercurryTz Kilimanjaro
0
0
0
@MakeresB
brown
6 days
@Dominicksalamb1 Mtu akikuangalia usoni anaona wewe ni mtu makini kabisa ila kwenye yanga unajivua akili
0
0
0
@MakeresB
brown
6 days
@Mzeewajambia Atakua mkuu kwenye kazi ila kwenye profile mkuu anakua moalin
0
0
0
@MakeresB
brown
6 days
@KibwanaEdgar Mliwahi kuambiwa anayeshinda makombe sio kocha ni viongozi mkabisha
0
0
0
@MakeresB
brown
7 days
@chapo255 Na ben pol sasa
3
0
4