LatraTZ Profile Banner
LatraTZ Profile
LatraTZ

@LatraTZ

Followers
54,876
Following
76
Media
260
Statuses
578

LATRA is a Regulatory Authority in Tanzania established by The Land Transport Regulatory Authority Act no. 3 of 2019, which repealed SUMATRA Act.

Tanzania
Joined December 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@LatraTZ
LatraTZ
4 months
Jinsi ya kuwasiliana na LATRA na kutoa taarifa, maoni, lalamiko, ushauri au pongezi.
5
4
24
@LatraTZ
LatraTZ
3 months
TAARIFA KWA UMMA Nauli za abiria kwa daraja la kawaida - Treni ya Reli ya Kisasa (SGR).
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
57
141
563
@LatraTZ
LatraTZ
1 month
Salamu za pole
Tweet media one
6
44
342
@LatraTZ
LatraTZ
2 years
Mkutano wa Kupokea Maoni ya Wadau kuhusu Nauli za Abiria kwa Treni za Reli ya Kisasa (SGR) tarehe 19 Disemba, 2022 ukumbi wa Anatorglo - Dar es Salaam
Tweet media one
Tweet media two
100
22
186
@LatraTZ
LatraTZ
8 months
Mhe. Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amefanya kikao na LATRA, Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani pamoja na Mmiliki wa kampuni ya mabasi Kilimanjaro Express ili kujadili kufungiwa kwa huduma za Usafiri kwa kampuni hiyo.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
22
31
162
@LatraTZ
LatraTZ
9 months
TAARIFA KWA UMMA Kuanza kutumika rasmi kwa nauli mpya za mabasi ya mjini na masafa marefu Disemba 8, 2023
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
66
33
147
@LatraTZ
LatraTZ
4 months
Gharama za Leseni kwa vyombo vya Usafiri vinavyodhibitiwa na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) 1.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
14
28
102
@LatraTZ
LatraTZ
10 months
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani imefungia Leseni za Magari 36 pamoja na madereva 10 kwa makosa mbalimbali ikiwemo mwendokasi hatarishi na kuingilia Mfumo wa Kufuatilia Mwenendo wa Magari (VTS)
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
12
8
90
@LatraTZ
LatraTZ
10 months
Taarifa kwa Umma
Tweet media one
3
24
84
@LatraTZ
LatraTZ
8 months
Taarifa kwa Umma
Tweet media one
Tweet media two
30
21
81
@LatraTZ
LatraTZ
2 years
Utekelezaji wa Agizo la Serikali - Mabasi Kuanza Safari saa 11 alfajiri
Tweet media one
Tweet media two
16
19
78
@LatraTZ
LatraTZ
11 months
ONYO Kwa watoa huduma wanaokiuka masharti ya Leseni zao na Kupandisha nauli za mabasi ya mijini (daladala) kiholela
Tweet media one
27
14
75
@LatraTZ
LatraTZ
1 year
Umesajilika?
Tweet media one
10
8
73
@LatraTZ
LatraTZ
8 months
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani imefanya ukaguzi wa kushtukiza kwa Mabasi ya masafa marefu ili kutathimini hali ya Usafiri nchini, Januari 6, 2024.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
11
11
74
@LatraTZ
LatraTZ
10 months
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
25
11
67
@LatraTZ
LatraTZ
8 months
Taarifa kwa Umma
Tweet media one
Tweet media two
13
15
67
@LatraTZ
LatraTZ
2 years
LATRA Makao Makuu Kuhamia Dodoma
Tweet media one
10
13
64
@LatraTZ
LatraTZ
8 months
Taarifa kwa Umma
Tweet media one
Tweet media two
18
15
54
@LatraTZ
LatraTZ
4 months
Tweet media one
10
11
50
@LatraTZ
LatraTZ
3 months
Taarifa kwa Umma
Tweet media one
5
13
45
@LatraTZ
LatraTZ
1 year
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imerudisha ratiba na leseni za mabasi 38 ya kampuni ya New Force kuanzia tarehe 11 Septemba, 2023. Mabasi hayo yataanza safari zake muda wa 9.00 usiku na saa 11.00 alfajiri.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
7
15
43
@LatraTZ
LatraTZ
9 months
Salamu za Pole
Tweet media one
6
5
39
@LatraTZ
LatraTZ
7 months
Taarifa kwa Umma
Tweet media one
5
10
39
@LatraTZ
LatraTZ
9 months
Taarifa kwa Umma; Kuongeza idadi ya Magari kwenye njia za usajili wa Leseni mkoani Dar es Salaam
Tweet media one
6
4
36
@LatraTZ
LatraTZ
11 months
Mkutano wa Kupokea maoni ya wadau kuhusu marejeo ya nauli za mabasi
Tweet media one
Tweet media two
7
4
32
@LatraTZ
LatraTZ
9 months
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imedhamini zawadi ya mwanafunzi bora wa shahada ya Usimamizi wa Vifaa na Usafiri kutoka Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT).
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
5
3
32
@LatraTZ
LatraTZ
5 months
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imeendelea na ukaguzi wa Masharti ya Leseni kwa Mabasi ya mjini (Daladala) Mkoani Dar es Salaam ambao hufanyika kila siku.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
1
33
@LatraTZ
LatraTZ
5 months
Tweet media one
2
8
30
@LatraTZ
LatraTZ
2 years
@TBoundBuses @WizarayaUJnaUC Kanuni za LATRA zinaelekeza mabadiliko (modification) yoyote inayofanywa kwenye bodi za magari ya abiria kupata kibali cha TBS na kampuni iliyounda gari husika. LATRA hutoa Leseni za Usafirishaji baada ya kupata taarifa safi ya ukaguzi kutoka Jeshi la Polisi (VIR)
20
3
31
@LatraTZ
LatraTZ
9 months
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imeendesha mafunzo ya usalama barabarani kwa maafisa wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) na Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (UDART).
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
3
31
@LatraTZ
LatraTZ
6 months
Taarifa kwa Umma Njia mpya za usajili wa Leseni
Tweet media one
Tweet media two
4
7
29
@LatraTZ
LatraTZ
8 months
Heri ya Mwaka Mpya 2024
Tweet media one
7
3
28
@LatraTZ
LatraTZ
7 months
Salamu za Pongezi
Tweet media one
3
3
28
@LatraTZ
LatraTZ
10 months
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani kuchukua hatua dhidi ya dereva wa Kampuni ya Super Feo aliyebainika kuendesha basi mwendo hatarishi bila kuzingatia Sheria.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
3
25
@LatraTZ
LatraTZ
9 months
CPA Habibu J. Suluo, Mkurugenzi Mkuu LATRA akiambatana na Wakuu wa taasisi na viongozi mbalimbali wa serikali kukabidhi hundi ya mfano yenye thamani ya shilingi bilioni mbili kwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Tweet media one
10
2
26
@LatraTZ
LatraTZ
1 year
@TBoundBuses Habari, wasafirishaji wamepewa ratiba tofauti ili kuepusha Hali ya kushindana wakiwa barabarani, hii itasaidia kupunguza hatari ya kupata ajali kutokana na mwendokasi
11
3
25
@LatraTZ
LatraTZ
6 years
Hakuna Nauli Mpya za Mabasi ya Mikoani kwa sasa
Tweet media one
1
9
25
@LatraTZ
LatraTZ
9 months
Manaibu Waziri wa Wizara Tatu wakutana na wataalamu Kuboresha Usalama wa Reli na Barabara
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
4
26
@LatraTZ
LatraTZ
9 months
Tweet media one
3
1
24
@LatraTZ
LatraTZ
5 months
Tweet media one
0
2
24
@LatraTZ
LatraTZ
5 months
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) Mkoa wa Arusha imewatembelea wadau wa Usafirishaji wakiwemo madereva na makondakta wa Mabasi ya mjini (Daladala) mahali pa kazi na kutoa Elimu ya utekelezaji wa Masharti ya leseni, Aprili 23, 2024.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
3
1
23
@LatraTZ
LatraTZ
5 months
Tweet media one
0
2
23
@LatraTZ
LatraTZ
4 months
Tweet media one
3
4
23
@LatraTZ
LatraTZ
1 year
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imerudisha ratiba ya mabasi 9 yaendayo mikoani mali ya Kampuni ya Ally's Star na Katarama Luxury, Ratiba zimerudishwa baada ya mabasi hayo kuyafungiwa kutokana na makosa ya ukiukaji wa masharti ya Leseni.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
4
21
@LatraTZ
LatraTZ
8 months
@PhysicsJ7 @TBoundBuses @tanroas @SouthernBuses Habari, tiketi halali inapaswa kujumuisha taarifa za nauli iliyolipwa pamoja na muda wa safari, Ni wajibu pia wa abiria kuhakikisha taarifa zote za msingi zipo kwenye tiketi yake, pia kwa changamoto yeyote unaweza kutoa taarifa moja kwa moja kwa Mamlaka kupitia namba 0800110019
7
7
20
@LatraTZ
LatraTZ
1 year
Salamu za Pasaka
Tweet media one
6
2
21
@LatraTZ
LatraTZ
9 months
Mhe. Kassim Majaliwa (Mb), Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amezindua rasmi Kanzi Data (Data Base) ya Chama cha Wamiliki wa Maroli Tanzania (TATOA) ambayo itatumika kuwasajili na kutunza taarifa rasmi za madereva wa maroli.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
5
20
@LatraTZ
LatraTZ
4 months
Tweet media one
0
2
20
@LatraTZ
LatraTZ
2 months
Heri ya Sikukuu ya Saba Saba
Tweet media one
1
2
19
@LatraTZ
LatraTZ
8 months
Katika mkutano huo Mhe. Chalamila amemtaka Mmiliki wa kampuni hiyo kutimiza matakwa ya LATRA kikamilifu kama ilivyoelekezwa kwenye barua ya kufungiwa huduma ili kuruhusiwa kutoa huduma.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
4
19
@LatraTZ
LatraTZ
8 months
Taarifa kwa Umma
Tweet media one
10
3
19
@LatraTZ
LatraTZ
10 months
CPA Habibu Suluo, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) amezindua rasmi mafunzo kwa Wahudumu wa vyombo vya moto kibiashara.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
2
18
@LatraTZ
LatraTZ
1 month
Taarifa kwa Umma Njia mpya za Usajili wa Leseni Mkoani Pwani
Tweet media one
1
3
18
@LatraTZ
LatraTZ
1 year
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imeendesha Mkutano na wadau wa Usafiri Ardhini ili kufanya tathmini ya Mpango Mkakati wa Mamlaka wa 2020/21 Hadi 2024/25.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
4
18
@LatraTZ
LatraTZ
9 months
Wadau mbalimbali watembelea banda la LATRA lililopo kwenye maonesho ya 16 ya wadau wa Sekta ya Uchukuzi yanayofanyika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa (AICC) - Arusha kuanzia Disemba 5 - 8, 2023.
Tweet media one
Tweet media two
3
4
19
@LatraTZ
LatraTZ
9 months
Wadau mbalimbali watembelea banda la LATRA lililopo kwenye maonesho ya 16 ya wadau wa Sekta ya Uchukuzi yanayofanyika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa (AICC) - Arusha kuanzia Disemba 5 - 8, 2023.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
2
18
@LatraTZ
LatraTZ
8 months
Vigezo vilivyowekwa ili kuruhusiwa kutoa huduma ni pamoja na Kutumia Mfumo wa Tiketi Mtandao ulioidhinishwa na LATRA, kuweka nauli isiyozidi viwango vilivyowekwa na Mamlaka, na Kutuma maombi kwa Mamlaka yakionesha namna watakavyodhibiti makosa haya yasijirudie.
1
4
17
@LatraTZ
LatraTZ
11 months
CPA Habibu Suluo, Mkurugenzi Mkuu wa LATRA anatarajia kufanya Mkutano na Wahariri wa vyombo vya habari nchini Oktoba 19, 2023 katika ukumbi wa mikutano wa Golden Jubilee, Dar es Salaam
Tweet media one
3
1
18
@LatraTZ
LatraTZ
1 year
Hafla ya Utoaji vyeti kwa Madereva na Uzinduzi wa Mitaala ya Wahudumu
Tweet media one
1
4
15
@LatraTZ
LatraTZ
6 years
Kusitishwa kwa leseni za Usafirishaji Abiria
Tweet media one
Tweet media two
1
6
16
@LatraTZ
LatraTZ
10 months
Mamlaka Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imepokea tuzo ya shukrani kutoka Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) kwa kudhamini maadhimisho ya Miaka 20 ya TCAA
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
0
3
16
@LatraTZ
LatraTZ
11 months
Ushirikiano kwa Huduma Bora
Tweet media one
1
3
16
@LatraTZ
LatraTZ
11 months
LATRA yakutana na wamiliki wa mabasi ya mjini (Daladala) ili kuboresha huduma za usafiri jijini Arusha. Aidha, LATRA Kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Arusha imetangaza maegesho rasmi ambayo pikipiki za magurudumu matatu (Bajaji) zinapaswa kuegeshwa. 🎥: @millardayo
18
3
15
@LatraTZ
LatraTZ
9 months
Tweet media one
4
2
15
@LatraTZ
LatraTZ
11 months
Taarifa kwa Umma Mabadiliko ya vituo vya Daladala kupisha ujenzi wa Kivukoni
Tweet media one
Tweet media two
0
5
14
@LatraTZ
LatraTZ
8 months
Mkutano huu umefanyika Ukumbi wa mikutano Ofisi ya LATRA Dar es Salaam, Januari 8, 2024
2
4
14
@LatraTZ
LatraTZ
2 months
TAARIFA KWA UMMA Ufafanuzi wa tuhuma za rushwa katika utoaji Leseni za LATRA kwa pikipiki (Bajaji) Mkoa wa Morogoro
Tweet media one
2
4
14
@LatraTZ
LatraTZ
6 months
🕯️🕊️🕯️🕊️
Tweet media one
1
1
14
@LatraTZ
LatraTZ
9 months
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani waendelea kufanya tathmini ya hali ya usafiri wa vyombo vya moto kibiashara katika kipindi cha Sikukuu za mwisho wa mwaka nchini kote.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
0
14
@LatraTZ
LatraTZ
1 year
Mhe. Atupele Fred Mwakibete, Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (Uchukuzi) ametembelea banda la LATRA na kuipongeza Mamlaka hiyo kwa kazi nzuri ya udhibiti wa huduma za usafiri wa abiria na mizigo kwa kutumia mifumo ya TEHAMA, .
Tweet media one
2
4
14
@LatraTZ
LatraTZ
9 months
Jumatatu hii kwenye POWER BREAKFAST ya @CloudsMediaLive
Tweet media one
3
3
14
@LatraTZ
LatraTZ
9 months
Heri ya Krisimasi 🎄🎁
Tweet media one
2
2
14
@LatraTZ
LatraTZ
11 months
Bodi ya Wakurugenzi ya LATRA, pamoja na baadhi ya wajumbe wa Menejimenti ya LATRA wametembelea baadhi ya maeneo yanayotoa huduma za usafiri wa mabasi mkoani Dodoma, ili kujifunza na kupokea changamoto zinazowakabili wadau ili kuzitafutia ufumbuzi 26 Octoba, 2023.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
1
14
@LatraTZ
LatraTZ
8 months
Salamu za Pongezi
Tweet media one
4
1
14
@LatraTZ
LatraTZ
1 year
LATRA yakemea matukio hatarishi na kuchukua hatua #partA
0
1
13
@LatraTZ
LatraTZ
3 years
Asante @WizarayaUJnaUC @TBoundBuses taarifa zimetufikia tunazifanyia kazi
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
3 years
Taarifa zimewafikia wahusika
3
2
14
2
2
13
@LatraTZ
LatraTZ
9 months
CPA Habibu Suluo, Mkurugenzi Mkuu LATRA leo Disemba 5, 2023 amewasilisha mada katika Mkutano wa 16 wa Wadau wa Sekta ya Uchukuzi unaofanyika Mkoani Arusha Disemba 5 - 8, 2023 Kituo cha Mikutano cha Kimataifa - Arusha (AICC).
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
1
13
@LatraTZ
LatraTZ
8 years
SUMATRA Itaanza kuonyesha vipindi maalum kuelemisha umma juu ya kazi za mamlaka #UsafiriNaMaendeleo @MbarawaM
Tweet media one
0
13
13
@LatraTZ
LatraTZ
1 year
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) inafanya ukaguzi katika vituo mbalimbali vya mabasi ya mjini (Daladala) ili kukagua utekelezaji wa masharti ya Leseni za Usafirishaji
4
6
13
@LatraTZ
LatraTZ
1 year
UTEUZI
Tweet media one
1
2
12
@LatraTZ
LatraTZ
2 years
Ufafanuzi kuhusu Maandamano ya Madereva wa Teksi Mtandao @ Dar es Salaam, Tanzania
1
2
12
@LatraTZ
LatraTZ
1 year
Mhe. Prof. Makame Mbarawa, Waziri wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi amezindua Bodi ya Pili ya Wakurugenzi ya LATRA leo Jumanne Julai 11, 2023 katika Ukumbi wa Mikutano kwenye Ofisi ya LATRA Mkoa wa Dar es Salaam.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
2
11
@LatraTZ
LatraTZ
1 year
Njia mpya za Usajili wa Leseni za Usafirishaji Kwa Mkoa wa Dar es Salaam
Tweet media one
2
0
12
@LatraTZ
LatraTZ
2 years
Salamu za Pole kwa ajali ya Shinyanga
Tweet media one
9
3
12
@LatraTZ
LatraTZ
6 years
SUMATRA jana ilitunukiwa Tuzo ya NBAA Mshindi wa Kwanza kwa Kuandaa Taarifa za Fedha kwa Kiwango cha Kimataifa katika kundi la Mamlaka za Udhibiti mwaka 2017 Mkurugenzi Mkuu Gilliard Ngewe amekabidhiwa tuzo hiyo na Mgeni Rasmi Naibu Waziri-Fedha na Mipango Mhe. Dr. Ashatu Kijaji
Tweet media one
Tweet media two
2
1
12
@LatraTZ
LatraTZ
2 years
Maombi ya Nafasi za Madereva kufanya Mitihani @ Dar es Salaam, Tanzania
3
4
11
@LatraTZ
LatraTZ
1 year
Dereva Sajilika Piga gia
Tweet media one
Tweet media two
2
2
11
@LatraTZ
LatraTZ
1 year
Tweet media one
2
4
11
@LatraTZ
LatraTZ
6 months
Tweet media one
0
2
11
@LatraTZ
LatraTZ
2 years
Salamu za Pole
Tweet media one
2
0
11
@LatraTZ
LatraTZ
2 years
Fursa za huduma za daladala Dar es Salaam @ Dar es Salaam, Tanzania
4
7
11
@LatraTZ
LatraTZ
7 months
Buriani Mhe. Edward N. Lowassa 🕯️🕯️🕯️🕯️ 🕊️
Tweet media one
0
3
11
@LatraTZ
LatraTZ
1 year
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) yainuka kidedea katika kipengele cha Banda Bora la Wadhibiti kwenye Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara Tanzania -SABASABA
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
3
2
11
@LatraTZ
LatraTZ
1 year
@TBoundBuses @j_shauritanga Nadhani hata Wewe unaweza kuona kuna tatizo endapo gari lilioanza safari saa 10 alfajiri likamaliza safari muda ambao gari lilioanza safari saa 9 lilitakiwa kumaliza safari
3
1
11
@LatraTZ
LatraTZ
3 months
Mhe. Edward Jonas Mpogolo, Mkuu wa Wilaya ya Ilala amewatunuku vyeti vya uthibitisho madereva 1518 waliofanya mtihani na kuthibitishwa na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini na kufanya jumla ya madereva 2517 waliothibitishwa.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
0
9
@LatraTZ
LatraTZ
7 years
Zuia Ajali, Tii Sheria, Okoa Maisha. Tukutane Moshi, Kilimanjaro
Tweet media one
0
4
9
@LatraTZ
LatraTZ
6 years
Usikose kipindi cha SUMATRA TBC1 leo Alhamis saa moja na nusu jioni. Utaufahamu vzr mfumo wa Kufuatilia Mwenendo wa Mabasi (VTS) na yanayojiri sasa ktk mfumo huo
1
2
9
@LatraTZ
LatraTZ
6 months
Tweet media one
0
1
10
@LatraTZ
LatraTZ
1 year
Tweet media one
1
0
10
@LatraTZ
LatraTZ
6 years
Taarifa kwa Umma- SUMATRA VTS
Tweet media one
2
5
9