Wizara ya Ujenzi Profile Banner
Wizara ya Ujenzi Profile
Wizara ya Ujenzi

@WizarayaUJ

Followers
152,443
Following
5,959
Media
6,124
Statuses
15,026

Wizara ya Ujenzi (Aug. 2023)|Ministry of Works(Aug. 2023)|Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sept 2021-Aug 2023)

Dodoma, Tanzania
Joined July 2016
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
3 years
% 100 limekamilika
Tweet media one
86
165
2K
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Muonekano wa mabehewa 14 ya Reli ya Kisasa ya SGR yakiwa katika bandari ya Dar es Salaam.
Tweet media one
263
62
2K
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
3 years
Tweet media one
160
113
1K
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Muonekano wa nyumba 3,500 za watumishi wa umma eneo la Nzuguni, jijini Dodoma.
Tweet media one
Tweet media two
99
65
1K
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Heri ya kuzaliwa Mwl @bajabiri Mola akujalie kheri lakini tunakukumbusha Kigoma kazi inaendelea..
73
64
1K
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Tabora-Mpanda
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
73
78
1K
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Behewa ni 22 zilizokuja kwa reli ya Kati MGR na si miongoni mwa behewa za @SGR_tz
@godbless_lema
Godbless E.J. Lema
2 years
Lakini CCM ???
507
225
2K
254
84
1K
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
4 years
#Kazikazi Kimara-Kibaha
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
51
74
825
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
5 years
🇹🇿- Mbeya
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
52
115
736
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Behewa la SGR
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
111
32
632
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
4 years
Tweet media one
Tweet media two
21
81
594
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Daraja la Wami Pwani
54
83
522
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
5 years
Dar-Tanga-Arusha loading....
Tweet media one
33
71
519
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
3 years
#Miundombinu 🇹🇿 Barabara ya Mbinga -Mbambabay
Tweet media one
43
78
518
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
📍Kigoma Septemba 2022
Tweet media one
54
44
482
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
3 years
Tukutane mwanzoni mwa Oktoba
@VitusNkuna
Vitus Nkuna
3 years
😂😂😂😂😂 Ndege zetu haziwezi kufika USA ???😂😂😂. Ndege za hasara sanq
Tweet media one
57
34
426
52
35
441
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Daraja la Tanzanite Dar es Salaam hivi sasa. Picha hii imepigwa na rubani @captainbriantz
Tweet media one
Tweet media two
23
27
430
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
10 months
Tweet media one
161
34
413
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
1 year
Ndege inayowasili Nchini kesho aina ya B767-300F ina uwezo wa kubeba tani 54 za mizigo na kuruka kwa masaa 10 angani bila kutua. Ndege hii inatumia mafuta kidogo ukilinganisha na Ndege nyingine za aina hiyo. Kuwasili kwa Ndege kutaifanya @AirTanzania kuwa na Ndege 12.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
46
52
413
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Zimefungwa
Tweet media one
@babawawil
Ayubu
2 years
@WizarayaUJnaUC Mkumbuke kuweka na camera. Miundo mbinu mizuri inahitaji utunzwaji mzuri. Ili kila atakae fanya uharibifu ajue kuna kulipa
3
1
13
42
34
394
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
4 years
Mwaka 2016 tarehe na mwezi kama huu akaunti hii ilifunguliwa kwa ajili ya kutoa elimu/habari zinazohusu sekta 3 zilizo chini ya Wizara hii,tunaendelea kuwashukuru kwa maoni/ushauri ambao mnaendelea kuutoa,tunaahidi kuendelea kushirikiana nanyi kwa kuwapa taarifa mbalimbali.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
24
48
388
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
3 years
Ilikuwa ndege ya kutoka wapi kwenda wapi na ilitakiwa kuondoka sa ngapi na mkaondoka sa ngapi? kwa taratibu za kawaida za usafiri wa anga kuna taasisi inaitwa TCAA-CCC panapokuwa na ucheleweshaji bila tarifa taasisi hiyo iko kwa ajili ya kuhakikisha abiria wanapata haki zao.
47
22
371
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
February 14….
31
14
374
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
4 years
Muonekano Ubungo Mchana & Usiku
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
28
62
376
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Taarifa
Tweet media one
33
36
368
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Ni muhimu kuzingatia usalama wako na chombo chako hususani kwenye eneo ulilipo.
@BLIZZSS
EXΛCTLY
2 years
Are u thinking what I'm thinking 🤔?
Tweet media one
77
17
247
57
27
368
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Daraja la Wami,Mkoani Pwani.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
28
44
350
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
4 years
Ndege ya Shirika la Ndege la @FlyRwandAir ikipakia mizigo ya samaki kutokea Uwanja wa Ndege wa Mwanza kuelekea nchini Ubelgiji ikiwa ni safari yake ya kwanza
32
58
341
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
5 years
Muonekano wa barabara ya Bwanga- Biharamulo (km 68), ambayo ujenzi wake kwa kiwango cha lami umekamilika, barabara hiyo inaunganisha mkoa wa Kagera na Geita.
Tweet media one
30
52
330
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
4 years
#KaziKazi Kazi ya Ujenzi wa Meli mpya ya MV. Mwanza "Hapa Kazi Tu" yaendelea kwa kasi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
26
30
307
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
1 year
Barabara ya Igawa – Tunduma (km 218) kufanyiwa usanifu na kujengwa kwa njia nne (4), ambapo moja kati ya hizo 4 itatumika kwa ajili ya malori tu. Mradi huo utahusisha ujenzi wa barabara ya mchepuo (ByPass) ambayo itapita Nje ya Jiji la Mbeya na itakua na urefu wa kilometa 48.9.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
39
44
314
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
3 years
•TANZIA
Tweet media one
25
47
300
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
3 years
#kaziinaendelea Kigongo-Busisi
Tweet media one
11
36
292
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
1 year
Waweza kufahamu hapa ni wapi? #Miundombinu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
44
11
285
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
4 years
#KaziKazi Muonekano wa sasa wa hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa daraja la New Selander ambapo ujenzi wake umefikia zaidi ya % 35
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
10
39
277
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
📍Mwanza MV Mwanza leo asubuhi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
11
27
281
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
1 year
Ndege za @AirTanzania kwa sasa zinatoa huduma katika vituo vya ndani vipatavyo 15 ambavyo ni Mwanza, Bukoba, Songea, Zanzibar, Mtwara, Mpanda, Dar es Salaam, Iringa, Gita, Kigoma, Dodoma, Arusha, Kilimanjaro, Mbeya, na Tabora.
Tweet media one
Tweet media two
27
34
279
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Mwl @bajabiri ni Imani yetu utaendelea kuwa Balozi mzuri kwa miundombinu,
Tweet media one
22
17
273
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
35
33
269
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
5 years
Mwonekano wa barabara ya Kabingo-Kasulu-Manyovu yenye urefu wa km 260 sehemu ya Tanzania na Rumonge-Gitaza yenye urefu wa km 45 sehemu ya Burundi ambayo ni sehemu ya mtandao wa barabara za Afrika Mashariki itakavyokuwa.
Tweet media one
37
31
270
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
4 years
Jengo la ERB, Mhandisi House & Mhandisi Annex litakavyoonekana baada ya kukamilika kwake mjini Dodoma.
Tweet media one
Tweet media two
12
37
254
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Muonekano wa Meli mpya ya MV Mwanza"Hapa Kazi Tu" inayojengwa Kwa gharama ya zaidi ya shilingi Bil. 109 na kampuni za Gas Enter Ship- Building Engineering na Lang Nam Corporation za nchini Korea, inayotarajiwa kushushwa kwenye maji February 12, 2023. Jijini Mwanza.
Tweet media one
Tweet media two
22
23
250
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
4 years
Ni ubungo Dar es Salaam 🇹🇿 📸 TANROADS
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
20
47
244
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
📍Kigoma
Tweet media one
16
24
244
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
6 years
Mfumo wa kufatilia mwenendo wa mabasi barabarani,magari yaliyopo barabarani kwenda kwenye mikoa mbalimbali nchini asubuhi hii
Tweet media one
Tweet media two
16
47
238
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
7 years
Monekano wa Daraja la Furahisha Mwanza nyakati za usiku
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
26
65
235
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
7 years
1. Kazi ya kurudishia reli ya Tanga-Arusha ikiendelea na hapa ni mbele kidogo ya stesheni ya Korogwe
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
13
46
237
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Stesheni ya @tzrailways Kigoma
Tweet media one
6
22
232
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
1 year
Kiwanja cha Ndege cha Songwe-Mbeya, barabara ya kuruka na kutua Ndege.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
15
34
238
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
1 year
Ujenzi wa barabara ya Ifakara - Kidatu Wilayani Kilombero (Morogoro) yenye urefu wa Kilometa 66.9 wafikia asilimia 87.
Tweet media one
Tweet media two
21
25
234
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
📍Kigoma Muonekano wa barabara ya Kabingo-Kasulu-Manyovu yenye urefu wa kilometa 260.6 ambayo ujenzi wake kwa kiwango cha lami unaendelea mkoani Kigoma.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
14
32
233
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
4 years
Tweet media one
16
39
232
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
7 years
Kiwanja cha Kimataifa cha Kilimanjaro (KIA)
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
10
67
220
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
📍Musoma Kazi ya Ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Musoma ikiendelea. #MamaYukoKazini
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
12
25
226
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
1 year
barabara ya Kidatu - Ifakara - Lupiro - Malinyi - Kilosa Mpepo - Londo - Lumecha/Songea (km 435.8) ,  Barabara ya Arusha – Kibaya – Kongwa (km 453.42), Handeni - Kiberashi - Kijingu - Njoro - Olboroti Mrijo Chini - Dalai - Chambalo - Chemba - Kwa
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
43
27
226
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
6 years
Barabara daraja la Kilombero mkoani Morogoro @TanzaniaHistory
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
17
42
219
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
1 year
Hatua za Ujenzi wa Barabara ya Mwendo Kazi Gerezani.
Tweet media one
Tweet media two
16
17
224
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Ujenzi wa reli ya SGR Sehemu ya Morogoro-Makutupora.Ujenzi umefikia asilimia zaidi ya 90.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
22
33
222
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
1 year
Ujenzi Daraja la JP Magufuli jijini Mwanza wafikia asilimia 72
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
17
25
220
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Muonekano wa 1 kati ya mabehewa 22 ya reli ya kati yakishushwa katika Bandari ya Dar es a Salaam leo.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
41
15
213
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
1 year
Rubani Neema Swai wa @AirTanzania ndiye anarusha BOEING 767-300F AIR TANZANIA CARGO toka Marekani hadi Tanzania tayari yuko angani kuelekea JK Nyerere International Airport muda wa kuwasili kuanzia saa nane mchana.
Tweet media one
12
38
211
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
1 year
Muonekano wa ndani wa moja ya mabehewa 6 ya ghorofa ya Reli ya SGR yaliyowasili Nchini hivi karibuni. 📸 na @tzrailways
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
33
29
215
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Taarifa kwa Umma kutoka @LatraTZ kwako @MarekaMalili na wadau wengine si chuma zile bado zinapiga kazi..
Tweet media one
27
32
207
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Daraja la Wami Mkoani Pwani ambalo Ujenzi wake umefikia zaidi ya asilimia 90.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
19
20
209
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
5 years
Kidahwe-Kasulu-Kibondo-Nyakanazi KM 296 kazi ikiendelea
Tweet media one
18
28
207
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
7 years
Kiwanja cha ndege cha Mwanza jengo la abiria linalopendekezwa
Tweet media one
29
45
203
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
4 years
Taarifa kwa Umma kutoka @officialtcaa
Tweet media one
10
51
210
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Kiwanja cha Ndege cha Moshi. •Kuboreshwa barabara 2 za kuruka na kutua ndege, ya 1 mita 1,240 (Lami) na ya 2 yenye urefu wa mita 1,350 (Changarawe). •barabara 2 za mchepuko ya ndege (Taxiway), •barabara ya kuingia na kutoka kiwanjani na uzio. •maegesho ya ndege.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
25
27
206
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
1 year
Tazama Angani.. 📸 @mattcawby & @JenSchuld
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
13
35
206
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
5 years
#UpdatesKiyegeya Mpaka jana jioni
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
27
25
204
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
3 years
#KaziKazi Stesheni ya Reli ya SGR ya Malampaka, Wilayani Maswa itakapokamilika
Tweet media one
24
23
200
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
MeiMosi
Tweet media one
6
14
201
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
4 years
#KaziKazi Kazi za ujenzi wa barabara ya juu (Flyover) zikiendelea katika makutano ya Chang’ombe, mkoani Dar es Salaam.
Tweet media one
9
25
199
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Abiria zaidi ya 260 watua na Ndege ya Shirika la Ndege la KLM katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro (KIA) jana.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
15
16
197
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
16
25
191
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
5 years
Ujenzi wa barabara za juu (interchange) katika makutano ya Ubungo ukiendelea
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
35
193
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
5 years
•Updates Kiyegeya Kazi za urejeshwaji wa miundombinu mpaka jioni,barabara hiyo itafunguliwa kabla ya saa 4 usiku
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
25
41
193
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
1 year
Rubani Neema Swai wa @AirTanzania tayari amewasilia na BOEING 767-300F AIR TANZANIA CARGO toka Marekani katika JK Nyerere International Airport jijini Dar es Salaam.
Tweet media one
Tweet media two
6
29
191
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Taarifa kwa Umma
Tweet media one
34
58
193
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
5 years
#UpdatesKiyegeya Awamu ya 1 ujenzi wa daraja la Kiyegeya yakamilika magari yaanza kutumia sehemu ya mchepuko iliyokamilika
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
9
34
187
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Daraja jipya la Wami, Urefu wa mita 513.5, upana mita 11.85 barabara unganishi km 3.8 linaunganisha mkoa wa Pwani na Tanga, litachochea ustawi wa jamii kiuchumi na kuleta maendeleo kwa mikoa ya kaskazini mwa Tanzania.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
15
39
184
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Sasa ni Tabora-Kigoma @SGR_tz @bajabiri
Tweet media one
15
21
189
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
3 years
Kiwanja cha Ndege Geita @lwaitama1
32
39
180
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
5 years
Magari yanaendelea kupita kwa barabara zote mbili
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
14
27
185
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
1 year
Waziri @MbarawaM apokea Ndege ya Shirika la Ndege la Air France aina ya Boeing 787-9 ambalo kwa mara ya kwanza toka kuanzishwa kwake, imetua katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere.
Tweet media one
10
12
188
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
4 years
#KaziKazi Muonekano wa hatua za ujenzi wa Daraja Jipya la Wami litakalokuwa na urefu wa mita 510 na upana wa mita 11.85 pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa  kilomita 3.8 ukiendelea mkoani Pwani.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
4
34
184
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
1 year
Barabara ya mchepuo wa Inyala yenye kilometa 2.8 na Upanuzi wa Barabara ya TANZAM sehemu ya Inyala - Shamwengo yenye kilometa 3 mkoani Mbeya.
Tweet media one
Tweet media two
7
28
189
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
1 year
Muonekano wa sasa wa Jengo la Abiria la Kiwanja cha Ndege cha Songwe, Mbeya.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
10
19
184
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
4 years
#Ubungokumekucha Magari asubuhi hii
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
29
177
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
8 years
Ubungo makutano baada ya miezi 30
Tweet media one
36
62
182
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
5 years
•Updates Kiyegeya Majaribio ya kupitisha magari yakiendeleea usiku huu
Tweet media one
Tweet media two
7
29
178
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
📍Kigoma. Muonekano wa Barabara ya Kibondo- Mabamba yenye urefu wa KM 47.9 ambayo ujenzi wake kwa kiwango cha lami utaanza rasmi baada ya kusaini Mkataba wa Ujenzi na Kampuni ya Chico kufanyika leo. Barabara hiyo inaunganisha mkoa wa Kigoma na Kagera, Geita na nchi ya Burundi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
17
26
180
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
5 years
MV MBEYA II Meli yenye uwezo wa kubeba abiria 200 na mzigo wa tani takribani 200 yakamilika na kuingia ziwa Nyasa Meli hiyo Itakuwa ikifanya safari zake katika Ziwa Nyasa kwenye bandari mbalimbali zilizoko upande wa Tanzania, kueleka Msumbiji na Malawi.
16
37
176
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
3 years
#Kigoma Kazi za ujenzi wa barabara sehemu ya Njiapanda ya Nduta – Kibondo Mjini yenye urefu wa KM 25.9 zikiendelea, mkoani Kigoma.
Tweet media one
16
19
178
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
4 years
Tweet media one
10
20
180
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
3 years
Waziri wa Ujenzi & Uchukuzi
@Tanganyikan
Uncle Fafi
3 years
W UU ndo nani? Salute kwake hatusumbui na ving’ora au kuchomekea.
Tweet media one
111
34
1K
8
13
179
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Kituo cha pamoja cha Forodha Kasumulu Wilayani Kyela Mkoani Mbeya kilichozinduliwa na Mhe. Rais @SuluhuSamia leo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
33
176
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
5 years
#UpdatesKiyegeya Kazi ya kuunganisha daraja ikiendelea mchana huu
Tweet media one
Tweet media two
13
32
177
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Moja ya mitambo mipya ya kushusha na kupakia makasha ukiwa katika hatua za mwisho kufungwa katika Bandari ya mtwara utakaokuwa na uwezo wa kuhudumia makasha 35 Kwa saa, mradi huo unatarajiwa kukamilika na kuanza kazi mwishoni mwa mwezi march 2023.
Tweet media one
9
15
173
@WizarayaUJ
Wizara ya Ujenzi
2 years
Tweet media one
22
20
175