GEORGE KIBONA 🇹🇿 Profile Banner
GEORGE KIBONA 🇹🇿 Profile
GEORGE KIBONA 🇹🇿

@JulietKibona

Followers
3,038
Following
5,635
Media
1,194
Statuses
7,323

BE YOU

Dar es Salaam, Tanzania
Joined March 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
1 month
Nimehuzunika ,nimelia ,namlilia malaika wa Mungu ,asiye na hataia ASIMWE . R. I. E. P
Tweet media one
2
3
34
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
MIMI nafikiri ifike wakati tuwatunuku PHD akina @TunduALissu KWa kuhamasisha vijana wengi kuingia kwenye siasa ,
Tweet media one
21
48
434
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
Mwaka huu Maua yangu ya mchezaji Bora @YoungAfricansSC 2023 namtunuku @Pacome_Zouzoua , wewe je?
Tweet media one
4
4
415
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
Q📌📌📌 Nilikuwa mchezaji bora wa ligi msimu uliopita kule Ivory Coast lakini sikupata bahati kama hii, ndani ya muda mfupi nikiwa hapa Yanga naitwa timu ya taifa hii ni bahati.,” alisema Pacome.
Tweet media one
1
7
383
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
Tukiachana na itikadi za siasa ni wakati muafaka WA mh @freemanmbowetz kufunguliwa shahada ya heshima katika masuala ya UJENZI WA Jamii yenye misingi ya uhuru, haki na usawa , Wewe unanaje?
Tweet media one
21
61
375
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
9 months
✍️Picha Safi kabisa kutoka kwa mchezaji wa club ya @YANGA_SC 👉Azizi K kwenye picha ya pamoja na mama yake mzazi 💛💚🔰
Tweet media one
3
9
359
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
Moja ya habari iliyowanyima usingingi #simbasc Ni hii au vipi? #REPOST
Tweet media one
1
4
331
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
Neno Moja KWa MHESHIMIWA @freemanmbowetz mwenyekiti WA @ChademaTz TAIFA.
Tweet media one
32
32
284
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
Tumweke kando itikadi za kisiasa Huyu @freemanmbowetz niambieni jamani ameleta mwamko KWa watanzania wengi sana ,kama Si hehe na wenzake sijui ingekuwaje? Unaonaje akipewa japo PHD ya heshima? Neno Moja na #Repost za kutosha.
Tweet media one
16
43
184
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
Msanii wamuziki Nandy A.K.A The African princess pamoja na mtoto wake Kenaya Nayabill wakiwa pamoja na mtumishi wa Mungu mwamposa” NENO moja kwao Tafadhali .
Tweet media one
2
1
168
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
Alikuwa Jela KWa muda miezi mingi sana lakini alihakikisha hapotezi tumaini,Imani na tabasamu ,ni mvumilivu ,mstahimilivu anajua nyakati na majira, huyu ndiye @freemanmbowetz KWa Nini mchango wake ustambuliwe na Jamii ya watanzania wapenda haki na usawa , Neno kwake apewe PHD!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
12
28
158
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
🇨🇩 BASIALA AGEE 🔜 YANGA SC 🔰 . KLABU ya Yanga imenogewa na biashara na wachezaji kutoka DR Congo 🇨🇩 na sasa iko kwenye hatua za mwisho kumsaini winga fundi kutoka Union Maniema, Basiala Agee (25).
Tweet media one
1
2
155
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
8 months
Hawa ndiyo wanaonifanya navinjali @X hata nikishiwa bundle naweka faster Ili nisipitwe na post hata Moja ,maua yenu tafadhari @MariaSTsehai @ExMayorUbungo na @YerickoNyerereT
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
4
12
132
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
5 months
Tweet media one
18
7
125
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
11 months
🚨 Klabu ya Al-Nassr ililazimika kusitisha mazoezi yake nchini Iran kwa sababu ya umati mkubwa wa watu waliokuja kumuona Cristiano Ronaldo! Pichani ni Mashabiki wa Iran wakijaribu kuruka ukuta kumwona Cristiano Ronaldo kwenye hoteli, ndio sababu kuu iliyopelekea klabu yake
Tweet media one
Tweet media two
3
11
118
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
Katika maisha, ukikutana na mtu anajua kuliko wewe fanya naye kazi, usishindane naye. Kushindana naye ni udhaifu mkubwa! Big up to @chiefodemba @YerickoNyerereT @MariaSTsehai @ExMayorUbungo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
13
111
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
6 months
Tweet media one
0
46
107
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
Rais mstaafu @jmkikwete akiwa katika picha na mwali wake wa darasa la kwanza ,
Tweet media one
1
4
93
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
11 months
Huyu anaitwa LETTA MBULU, yeye ndiye alieingiza yale maneno ya kiswahili "NAKUPENDA PIA NAKUTAKA PIA, MPENZI WEE" katika wimbo wa MICHAEL JACKSON uitwao LIBERIAN GIRL wa mwaka 1987 , kutoka kwenye album yake iliyoitwa BAD . LETTA MBULU na mume wake aitwae CAIPHUS SEMENYA ambao
Tweet media one
4
5
86
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
9 months
Ni mashabiki wa Team gani waliopendeza kwenye hii picha 👇 Me nahesabu kura
Tweet media one
1
1
84
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
11 months
Wakati mke wa rais Obama akiwa chuo, kulikuwa na wanawake wachache sana wa kiafrika katika chuo hicho. Hivyo akapewa mwanachumba mwenzake ambaye ni mzungu, na mama wa yule binti wa kizungu alijisikia vibaya baada ya mtoto wake kumwambia anashea chumba na binti wa
Tweet media one
3
6
84
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
8 months
Najua Mheshimiwa Rais mstaafu @jmkikwete unaona hii tweet kwa namna ya pekee kabisa na kwa heshima kubwa na itifaki zote naomba twambie hii ilikuwaje hapa?
Tweet media one
1
3
82
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
11 months
Jioni moja katika Jiji la Washington DC Rais Mstaafu wa Marekani Barack Obama na mkewe Michelle waliamua kwenda Dinner katika mgahawa maarufu ambao sio ghari sana uliopo katikati ya Jiji. Baada ya kufika mgahawani na kuchagua mahala pa kukaa, INAENDELEA HAPA CHINI
Tweet media one
11
4
78
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
9 months
Sadio Mané ndiye mmiliki wa klabu ya Bourges Foot 18 inayoshiriki French National 2 (Daraja ya nne).
Tweet media one
1
1
77
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
6 months
"Nimeota ndoto Tanzania mpya inakuja" #repost #free @DEUSDEDITHSOKA
Tweet media one
0
17
76
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
11 months
,,,,kipindi akiwa msichana ndogo yule meneja wa mgahawaalikuwa akimpenda sana na kumtaka awe mpenzi wake. Raisi Obama akamwambia, "kwa hiyo kama ungemkubali na kuolewa nae, sasa hivi ungekuwa mke wa mwenye huu mgahawa mzuri?" - Michelle akajibu, "Hapana kama ningeolewa nae, ,,,
Tweet media one
Tweet media two
3
1
73
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
Muungwana
Tweet media one
0
2
72
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
Makonda Amerika nyumbani KWa @ProfessorJayTz na kumkabidhi TZS MILLION 20 na amemuahidi kumtafutia nyumba upanga Ili kuepukana na changamoto ya umbali kwenda hospital
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
2
1
77
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
11 months
🚨 Kijana huyu Pichani Aliyevaa jezi ya klabu ya Real Madrid amepoteza Familia yake yote kwenye Tetemeko la Ardhi lililoikumba Nchi ya Morocco . Kijana huyu Raia wa Morocco na shabiki wa Real Madrid alifanyiwa mahojiano na kituo kimoja akiwa amevalia Jezi ya Timu ya Real Madrid
Tweet media one
2
2
70
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
Mwamba huyu vipi mbona adimu sana ,
Tweet media one
1
3
73
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
11 months
#MAREKANI Inaripotiwa kuwa Mfungwa wa mauaji Danelo Cavalcante (34) aliyekuwa anasakwa baada ya kutoroka kama Spider Man katika gereza la Pennsylvania nchini Marekani wiki iliyopita kwa kutumia njia aliyotumia Mfungwa mwingine kutoroka miezi michache iliyopita ya kutembea spider
Tweet media one
7
2
71
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
My wife and I wish you a very prosperous and happy New year. Mungu akubariki popote ulipo. 🙏
Tweet media one
2
4
74
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
PASI NYINGI LIGI KUU 23/24 1️⃣. Simba SC — 1797 2️⃣. Yanga SC — 1689 3️⃣. Azam FC — 1399 4️⃣. Singida FG — 1322 5️⃣. Namungo FC — 1089
Tweet media one
3
3
70
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
🚨 Simba imeachana na wachezaji wazawa watano (5) ambao haitoendelea nao na tayari imewaondoa kambini huko Zanzibar ambako timu hiyo inashiriki Mapinduzi Cup. Waliotemwa ni Shaban Chilunda, Jimmyson Mwanuke, Nasoro Kapama, Abdallah Hamis na Feruzi. @SportsarenatzTz
Tweet media one
1
1
68
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
9 months
Unamkumbuka Amina chifupa?
Tweet media one
5
3
69
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
9 months
Faraja huhitajika zaidi wakati wa huzuni hongera sana KING @OfficialAliKiba kwa kumtembelea KING for Mikumi @ProfessorJayTz .
Tweet media one
1
2
68
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
South Africa
Tweet media one
0
1
67
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
Wanajeshi waliostaafu wameamua kuingia vitani nchini Israel
Tweet media one
2
3
66
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
Maisha Ni safari ndefu sana , Umemtambua Nani katika picha hii
Tweet media one
3
2
67
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
Huyu ndiye SIFIKA DANIELY RUBENI ambaye Jina lake limeuzwa kwa mtu mwingine, binti aliyefaulu kwa division 1 ya 10 na comb ya PCM . Asante @mwigulunchemba1 na ALDOF MKENDA.
Tweet media one
2
3
66
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
4 months
Pumzika KWa amani mwalimu wetu herieth lupembe , R. I. P
Tweet media one
8
6
65
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
Afisa Habari wa Simba SC, Ahmed Ally amesema mchezaji wa Simba, Che Malone Fondoh ambaye amepata ajali alfajiri leo Septemba 24, 2023 yupo salama na atakuwepo mazoezini kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Tweet media one
1
0
62
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
11 months
Treni aliyosafiri nayo kiongozi mkuu wa pyoyañg ,Korea kaskazini Hadi URUSI KIM JONG UN
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
0
59
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
MKUDE HAONEKANI KAMBINI YANGA Taarifa zisizo rasmi ni kwamba kiungo wa Young Africans Jonas Gerald Mkude hayupo kambini na amekuwa akipigiwa simu hapokei. Naendelea kuatilia undani wa taarifa hii nitakujuza hivi punde.
Tweet media one
4
1
60
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
9 months
Pichani Ni Rais wa Kenya @WilliamsRuto akigawa mtihani katika chumba maalumu cha mtihani , mfumo wa mtihini huu unatamatishwa leo .Kenya wataanza mtaala mpya utaoangazia zaidi mwanafunzi anataka Nini kuliko kulazimisha ajifunze Nini . Hapo vipi?
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
1
3
59
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
11 months
TBT:-Umegundua kitu gani hapa kutoka kwenye hii picha
Tweet media one
1
2
61
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
9 months
Miongoni mwa wasani wa music wa kizazi kipya bongoflavor ,namkubali sana huyu dada yetu @JideJaydee . Mungu akubariki sana
Tweet media one
Tweet media two
1
2
60
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
4 months
Nikiwa na MH PALAMAGAMBA KABUDI
Tweet media one
3
0
58
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
"Nimefurahi kumuona ndugu yangu na rafiki yangu Professor Jay akiwa na afya na furaha tulipomtembelea Nyumbani kwake Mbweni leo asubuhi Atukuzwe Mungu" Mh. John Heche
Tweet media one
0
5
57
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
9 months
Hawa Ni makipa wa @SimbaSCTanzania Nani unamkubali zaidi?
Tweet media one
2
2
56
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
Kuongoza nchi si kazi ndogo , unapokuwa kiongozi inahitaji utulivu sana, mwaka 2008 Mhe @jmkikwete alifanya ziara nchi nzima akiwa katika kata ya IGAMABA Mimi nikiwa Kijiji Cha shiwinga nilitembea ili nikamuone mbele yake ilikuwa first lady wakati gari inataka,,,
Tweet media one
1
1
57
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
Aliyekuwa karibu mkuu wa CHAMA CHA WALIMU TANZANIA ( CWT) ,amabye baadae aliteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya #kyerwa mkoani kagera na aligomea UTEUZI wa Rais amerudishwa kuwa Mwalimu mwandamizi daraja A #TEMEKE Sasa anaenda kutumikia chaki ,TOD na kushiriki vikao vya kamati ya,,,,
Tweet media one
3
1
55
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
Iringa Iko salama VIJANA OYEE!!!! @NectoKitiga
Tweet media one
2
5
54
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
11 months
🚨 Elon Musk Na ex wake wapata mtoto Elon Musk Na mpenzi wake wa zamani Grimes wabahatika kupata mtoto mwengine Na jina la mtoto huyo Anaitwa Techno Mechanicus ! Elon Musk kwa sasa ni baba wa watoto 11 huku akiwa amewazaa kwa wanawake 3 tafauti ambao mmoja kati ya watoto wake
Tweet media one
1
3
54
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
8 months
NI KWELI KABISA @chiefodemba Ni miongoni mwa watangazaji ambao wanafanya mahojiano kwa WELEDI zaidi ,huyu Kaka nafikiri atafanya zaidi ya akina #TIDOMHANDO ,nakuombea sana kwa Mungu akiwa Ni neutral in politics itamfaa zaidi . #medanizasiasa @startvtanzania
Tweet media one
3
9
54
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
8 months
Google imeweka wazi kuwa Cristiano Ronaldo ndiye mwanamichezo aliyetafutwa zaidi kwenye tovuti yao kwa kipindi cha miaka 25 iliyopita. GOAT 🐐 (Chanzo: Google)
Tweet media one
0
2
53
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
Ni wazi kwamba katibu mkuu wa chama Cha walimu Tanzania CWT hawezi kurejea kufundisha Tena , lakini nafikiri anatakiwa kujitokeza kueleza sababu mahususi za kwanini aligomea UTEUZI wa Mheshimiwa Rais, pili kwa Nini akatae kwenda kufundisha
Tweet media one
3
0
54
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
6 months
na sheria imeweka wazi watu wanaopaswa msafara wao kuwa na ving'ora? Sijajibiwa mpaka kesho. @mdudechadematz
1
4
51
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
Screen protector DJIGUI DIARA akiwa na kijana wake 🔥👊🏽 Kumbe mbali na kudaka vizuri ni mfungaji mzuri pia😂🙌
Tweet media one
0
2
49
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
Sifa kubwa kwa makocha waliowahi kumfunza @Cristiano wanasema sifa yake kubwa na ya kuigwa Ni kuwa huwa anakuwa wa kwanza kufika kwenye training fields na wa mwisho kuondoka , pamoja na mafanikio aliyonayo bada Ana nidhamu ya Hali ya juu Sana. Nini kimekushangaza?
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
1
1
52
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
11 months
Dkt John Magufuli alipotunukiwa Shahada ya Uzamivu (PhD) Chuo Kikuu cha Dar es Salaam mwaka 2009, baada ya kukamilisha tasnifu (thesis) inayohusu matumizi ya maganda ya korosho katika kuzuia kutu. Wakati huo alikuwa Waziri wa mifugo/Uvuvi.
Tweet media one
Tweet media two
1
3
50
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
11 months
.“Nilifeli mara 3 chuoni. Nilituma maombi ya kazi mara 30 lakini mara zote nilikataliwa. Kampuni ya KFC ilipokuja China kwa mara ya kwanza, tulioomba kazi tulikuwa 24 na nilikuwa mtu pekee niliyetoswa. Inaendelea hapa chini,,,,,
Tweet media one
1
0
50
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
Wachezaji wa Simba watacheza mechi moja tu ya kirafiki kwenye mataifa yao walioitwa,hii imekuja baada ya Mnyama kufanya mawasiliano na FA za wachezaji hao ili wapate muda mzuri wa kujiandaa na mchezo dhidi ya Al Ahly !!.....
Tweet media one
0
0
51
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
11 months
Yao Kwasi, Jeshi Lisilo Na Mipaka 👊
Tweet media one
0
2
52
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
9 months
Congratulations @YoungAfricansSC
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
1
0
47
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
11 months
Katika ubora wao @Salym na @madenge they are both very inspiring
Tweet media one
0
0
50
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
9 months
Neno moja kwao
Tweet media one
2
3
51
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
🚨 JUST IN: Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ameamua kuwaita nyota wake wa kikosi cha kwanza aliokuwa amewapa mapumziko mafupi akiwamo Khalid Aucho, Pacome Zouzoua na Yao Kouassi. Gamondi amewataka mastaa hao haraka kambini kujiandaa na mechi zijazo za mtoano za Mapinduzi. @Sp
Tweet media one
1
1
49
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
SH. MILIONI 3 KWA ATAKAYETOA TAARIFA ALIPO WARDA Dau la shilingi milioni 3 limetangazwa kwa yeyote atakayetoa taarifa zitakazowezesha kupatikana kwa binti mdogo, Warda Mohammed (15), mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyumbu, Kibaha aliyepotea tangu April 19, 2023.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
3
4
46
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
"UNBREAKABLE" @MariaSTsehai
Tweet media one
0
6
49
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
9 months
Tweet media one
0
1
47
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
9 months
2014 Dk Samia akiwa mwenyekiti wa Bunge la katiba. @SuluhuSamia
Tweet media one
0
2
47
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
11 months
Septemba 14, 1972: Siku hii mwaka 1972, rais wa Uganda wakati huo Idi Amin Dada alitangaza kuwa alikuwa ameufukuza mara moja ujumbe wa kijeshi wa Uingereza nchini Uganda. Amin alisema Waingereza, Wamarekani na Waisrael walikuwa wanaifanyia ujasusi Uganda. .
Tweet media one
2
2
46
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
4 months
#ONYO Usije ukajaribu kukata tamaa kwenye maisha,
Tweet media one
3
1
46
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
DUUU JPM , Jamani . R. I. P
Tweet media one
0
6
43
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
Mimi nikiteuliwa nitamkubali haraka ,yaani Rais aniteue nigome hapana kwangu haitokea . Mungu nisaidie .
Tweet media one
1
2
46
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
Hayati Baba wa TAIFA alipotembelea TRC Tazara
Tweet media one
0
1
46
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
9 months
Usimdharau mtu aweye yeyote, Maisha ya mtu Ni safari ndefu sana , Usimuone mtu alivyo Leo na ukamhukumu tu . Anyway naomba wataje Hawa pichani.
Tweet media one
4
1
46
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
Afrika.
Tweet media one
0
1
43
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
I want to see ETH reaction on Goalkeeping Position . Ana guts za kubadilisha na kumtumia Altay Bayındır ? Au ndio itachezwa ile karata ya " I have faith in him ( Onana ) " . Plz Shaw , Reguilon , AWB come on anyone get fit .
Tweet media one
0
0
45
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
Muda wako unakikomo, kamwe usipotee kwa kujaribu kuishi maisha ya mtu mwingine. Hapo vipi?
Tweet media one
1
0
46
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
#MBEYAKUMEKUCHA hata hivyo Hakukuwa na ulazima wowote ule wa kwenda mwanza ,hapa Mambo Ni bambam @MariaSTsehai @mdudechadematz
@mdudechadematz
Mdude Chadema
10 months
Baada ya polisi kuzuia mkutano wetu tumeuhamishia nyumbani kwetu hapahapa Kandete Mbeya na mkutano unaendelea muda huu.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
31
149
746
0
9
44
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
11 months
Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwai'chi OFMCap Askofu Mkuu wa Jimbo kuu la Dar es Salaam ametangaza kuanza hatua za Ujenzi wa Kanisa Kuu mbadala kwa sababu Kanisa Kuu lililopo la Mtakatifu Yosefu halitoshi kuchukua idadi ya watu ambao wanakuwa wengi.
Tweet media one
3
2
44
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
4 months
Kukata tamaa ni dhambi . Mtu aliyekata tamaa Hana tija ya kuendelea kuishi . Obama alistaafu U-rais Marekani akiwa na miaka 50, lakini Trump alikuja kuupata up uo U-rais akiwa na miaka 70. Mshike sana Mungu, Juhudi, Maarifa na Uvumilivu.
Tweet media one
1
2
43
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
11 months
@SuluhuSamia Asante Mheshimiwa Rais wetu kwa kutuonesha upendo kwa wenzetu , Mungu akubariki nakuombea .0717425861
26
3
44
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
1
43
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
Maisha huanzia mbali sana @jmkikwete
Tweet media one
0
1
41
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
6 months
Mwenyekiti @ChademaTz mhe @freemanmbowetz amekutana na Balozi es Marekani nchini Tanzania @USAmbTanzania , Neno moja
Tweet media one
2
8
40
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
9 months
CHEMSHA BONGO ,Ni nchi gani inayoongoza kwa kilimo Cha miwa ?
Tweet media one
5
1
42
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
Mtanzania mwenye Degree Saba amefariki. Professor Handley Mwafwenga alikuwa na PhD Tatu, Masters Tatu na Bachelor Moja, pia alikuwa amesoma Advanced Diploma na Certificates nyingi pamoja na Kufaulu Mitihani ya Bodi Kama ya Uhasibu nk. Pia ameandika Vitabu Vinne.
Tweet media one
2
1
42
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
Hapa Ni mwaka 2013 aliyekuwa Rais wa MAREKANI @barackobama akikimbilia ndege ili awahi ratiba ya ziara nchini CUBA . Wewe unatumiaje muda wako?
Tweet media one
0
1
41
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
Shusha comments zako 3 za heshima kwa Yanga hata kama hujawahi kuishabikia
Tweet media one
0
0
40
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
9 months
Mtoto Emily Hand muisrael kwa mjibu wa @Israel Ni kwamba anashikiliwa na HAMAS huko Palestine na leo anatimiza miaka 9 .
Tweet media one
2
0
41
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
Kuna siku Mungu atakuheshimisha mbele ya taifa lako na nchi nzima itajua hakika Mungu ametenda Kwa mtoto wake..
Tweet media one
2
0
40
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
KWa kuwa awa waseaji Wana wachezaji kutoka timu zao ingefaa Sana kamati ya hamasa kuwajumuisha wasemaji WA vilabu waungane kufanya hamasa ya pamoja kuliko hao akina,,,,,,,
Tweet media one
1
1
41
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
Tweet media one
0
0
38
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
7 months
Happy birthday professor @MarkMwandosya
Tweet media one
0
1
42
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
Wamarekani waaingiwa na wasiwasi wa umri wa wanasiasa DONALD TRUMP 77 JOE BIDEN 81, Eti hapo vipi una athari?
Tweet media one
Tweet media two
2
1
40
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
8 months
Swala sio uzuri au anashape kiasi gani, akiweza kufit in kwenye budget yako na asikusumbue¡ huyo ni wako bro.😀
Tweet media one
0
2
42
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
Ikiwa Mungu Yu upande wetu Ni Nani aliye juu yetu.
Tweet media one
1
0
41
@JulietKibona
GEORGE KIBONA 🇹🇿
10 months
CHEMSHA BONGO, ✅ Taja kazi angalau moja ya mbunge .
Tweet media one
5
1
39