Kutoka maktaba 📌
Maisha yana vitu vingi sana, uliyetafuta naye kuni ndo utaota naye moto, kibaya zaidi kina dada wa siku hizi wanatanguliza mafanikio ya mtu kabla ya mtu mwenyewe!
Mama na Baba Ivan, Mungu awape maisha marefu aisee😁
@Roma_Mkatoliki
Kwenye utafutaji siku zote mitihani ni mingi sana, yapo mengi ya kukukatisha tamaa na kukuvunja moyo ila tambua ya kuwa mbali na magumu unayoyapitia bado Mungu kakuandalia mema na mazuri pia hivyo usikate tamaa... Wewe ni mshindi📌
Hellow...
Mwanza
Bukoba
Singida
Geita
Shinyanga
Kigoma
Lindi
Songea
Mtwara
Rukwa
Katavi
Mbeya
Songwe
Musoma
Dodoma
Tabora
Tanga
Kilimanjaro
Manyara
Dar es Salaam
Zanzibar
Arusha
Kampala
Nairobi
Kigali
Bujumbura
And all over the world... Be blessed fighters, good morning 🌄 🔥
Usisahau kuwa hata hapo ulipo sio juhudi zako pekee bali hata neema ya Mungu imehusika pia.... Mshukuru kwa jana, muombe kwa leo kisha mtumainie kwa kesho na hakika utashinda🙏
@EduTalkTz
@SuluhuSamia
Na usisahau kuwakumbusha kuwa kipindi cha Magu ndo imepita Covid 19 tena ya moto na ndo serikali imesaini mikataba ya hela nyingi na kuanza utekelezaji, sio kwa ubaya ila kwa ground maisha ni magumu mno📌
Kupata kibali cha kuiona siku ya leo ukiwa mzima si kwa sababu wewe ni special sana au una uwezo mzuri kuliko wengine bali ni kwa neema na rehema za Mwenyezi Mungu, haja za moyo wako leo zikapate kutimia kwa uwezo wake Muumba🙏
@Roma_Mkatoliki
Tufanye ijumaa na Jumamosi kaka, ijumaa tuswali swala ambapo wakina sheikh Jalilu watuswalishe halafu jumamosi uwe upande wa pili sasa tukutane na wachungaji kina Roma
@Icon__08
Uhuru uko wapi, haki iko wapi, amani iko wapi, usawa uko wapi huyo dada yuko wapi, huyo baba yuko wapi,mchumba yuko wapi? Lakini na video ya vidole iko wapi🙄
Hellow...🔥
Mwanza
Kagera
Singida
Geita
Shinyanga
Kigoma
Lindi
Ruvuma
Songwe
Mtwara
Rukwa
Katavi
Mbeya
Mara
Dodoma
Tabora
Njombe
Tanga
Kilimanjaro
Manyara
Morogoro
Dar es Salaam
Zanzibar
Arusha
Kampala
Nairobi
Kigali
And all over the world.. Be blessed fighters, good morning 🌄
Kuna wenzetu ambao wamejitafuta na wamepata walau mwanga wa njia wanayoitafuta, tafadhali tusiache kuwaunga mkono.... Kila mtu anapenda kunukia maana inaongeza umaridadi pia💥 Check na
@kalage_jr
kwa 0678213259 upate huduma bora🔥