Jasper Profile Banner
Jasper Profile
Jasper

@JayHustler_

Followers
3,288
Following
1,645
Media
3,774
Statuses
38,921
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@JayHustler_
Jasper
1 year
Kila ahsubuhi hubeba mambo mengi sana, mengi mabaya na mengi mazuri pia kwa ajili yako... Mungu akaibariki siku yako ikawe njema🙏
Tweet media one
36
76
417
@JayHustler_
Jasper
1 year
Acha kushangaa haya ni mambo ya kawaida tu 😁 wewe shusha handle wapwa waruke nayo kwanza 🔥🔥🔥
Tweet media one
28
28
214
@JayHustler_
Jasper
1 year
Tuendelee kumuomba Mungu atuepushe na matatizo ambayo pesa pekee haiwezi kuyatatua 🙏
Tweet media one
7
28
200
@JayHustler_
Jasper
1 year
Nilitaka nicheke nikakumbuka nimeambiwa ukweli😒🥺
Tweet media one
18
30
159
@JayHustler_
Jasper
1 year
Ulinzi upo wa kutosha wewe shusha handle wapwa waruke nayo kwanza 😁🔥🔥🔥
Tweet media one
53
26
157
@JayHustler_
Jasper
1 year
Kikubwa tuendelee kumuomba Mungu atuepushe na matatizo ambayo pesa pekee haiwezi kuyatatua 😂🔥
Tweet media one
22
41
141
@JayHustler_
Jasper
8 months
Kutoka maktaba 📌 Maisha yana vitu vingi sana, uliyetafuta naye kuni ndo utaota naye moto, kibaya zaidi kina dada wa siku hizi wanatanguliza mafanikio ya mtu kabla ya mtu mwenyewe! Mama na Baba Ivan, Mungu awape maisha marefu aisee😁 @Roma_Mkatoliki
Tweet media one
4
4
149
@JayHustler_
Jasper
11 months
Kutoka Library 📌 Dua yetu ni Mungu atuepushe na matatizo ambayo pesa pekee haiwezi kuyatatua 😂
Tweet media one
7
36
130
@JayHustler_
Jasper
1 year
Sema kuna namna hawa majirani zetu wanatumia uhuru wao vibaya sana😀😀
Tweet media one
8
20
104
@JayHustler_
Jasper
1 year
Tuendelee kumuomba Mungu atuepushe na matatizo ambayo pesa pekee haiwezi kuyatatua 😂🔥
Tweet media one
12
43
106
@JayHustler_
Jasper
10 months
Kwenye utafutaji siku zote mitihani ni mingi sana, yapo mengi ya kukukatisha tamaa na kukuvunja moyo ila tambua ya kuwa mbali na magumu unayoyapitia bado Mungu kakuandalia mema na mazuri pia hivyo usikate tamaa... Wewe ni mshindi📌
Tweet media one
5
34
101
@JayHustler_
Jasper
10 months
Kikubwa tuendelee kumuomba Mungu atuepushe na matatizo ambayo pesa pekee haiwezi kuyatatua 🙏😂
Tweet media one
19
40
97
@JayHustler_
Jasper
1 year
Wakati tukiendelea kumtafuta mchoraji we shusha handle wapwa waruke nayo kwanza 😂🔥🔥🔥
Tweet media one
34
21
93
@JayHustler_
Jasper
1 year
Hellow... Mwanza Bukoba Singida Geita Shinyanga Kigoma Lindi Songea Mtwara Rukwa Katavi Mbeya Songwe Musoma Dodoma Tabora Tanga Kilimanjaro Manyara Dar es Salaam Zanzibar Arusha Kampala Nairobi Kigali Bujumbura And all over the world... Be blessed fighters, good morning 🌄 🔥
15
17
93
@JayHustler_
Jasper
1 year
Kuna muda ukiwaza sana unaweza kumkufuru Mungu😒 Weka emoji kueleza hisia ulizonazo kuhusu hii picha🥺
Tweet media one
7
26
85
@JayHustler_
Jasper
1 year
Shusha handle achana na maandishi wewe😂🔥🔥
Tweet media one
39
7
87
@JayHustler_
Jasper
11 months
Kila ahsubuhi hubeba mambo mengi sana, mengi mabaya na mengi mazuri pia kwa ajili yako... Mungu akaibariki siku yako ikawe njema kwako🙏
Tweet media one
19
51
89
@JayHustler_
Jasper
11 months
Dua yetu ni Mungu atuepushe na matatizo ambayo pesa pekee haiwezi kuyatatua 🙏🔥😀
Tweet media one
16
36
88
@JayHustler_
Jasper
10 months
Kikubwa tuendelee kumuomba Mungu atuepushe na matatizo ambayo pesa pekee haiwezi kuyatatua 🙏
Tweet media one
17
51
86
@JayHustler_
Jasper
10 months
Usisahau kuwa hata hapo ulipo sio juhudi zako pekee bali hata neema ya Mungu imehusika pia.... Mshukuru kwa jana, muombe kwa leo kisha mtumainie kwa kesho na hakika utashinda🙏
Tweet media one
8
38
86
@JayHustler_
Jasper
3 months
@EduTalkTz @SuluhuSamia Na usisahau kuwakumbusha kuwa kipindi cha Magu ndo imepita Covid 19 tena ya moto na ndo serikali imesaini mikataba ya hela nyingi na kuanza utekelezaji, sio kwa ubaya ila kwa ground maisha ni magumu mno📌
5
5
87
@JayHustler_
Jasper
11 months
Huku X nimegundua kuna ukatili mkubwa sana😂😂
Tweet media one
14
33
80
@JayHustler_
Jasper
11 months
Kikubwa tuendelee kumuomba Mungu atuepushe na matatizo ambayo pesa pekee haiwezi kuyatatua 😂🔥🔥
Tweet media one
12
34
76
@JayHustler_
Jasper
11 months
Kila ahsubuhi hubeba mambo mengi sana, mengi mabaya na mengi mazuri pia kwa ajili yako... Mungu akaibariki siku yako ikawe njema kwako🙏
Tweet media one
15
39
79
@JayHustler_
Jasper
11 months
Kupata kibali cha kuiona siku ya leo ukiwa mzima si kwa sababu wewe ni special sana au una uwezo mzuri kuliko wengine bali ni kwa neema na rehema za Mwenyezi Mungu, haja za moyo wako leo zikapate kutimia kwa uwezo wake Muumba🙏
Tweet media one
8
34
77
@JayHustler_
Jasper
1 year
Tumuombe sana Mungu atunusuru na shida ambazo pesa haiwezi kutatua😁🙏 Good morning family 🙏
Tweet media one
7
14
79
@JayHustler_
Jasper
25 days
@Roma_Mkatoliki Tufanye ijumaa na Jumamosi kaka, ijumaa tuswali swala ambapo wakina sheikh Jalilu watuswalishe halafu jumamosi uwe upande wa pili sasa tukutane na wachungaji kina Roma
1
3
79
@JayHustler_
Jasper
1 year
@Icon__08 Uhuru uko wapi, haki iko wapi, amani iko wapi, usawa uko wapi huyo dada yuko wapi, huyo baba yuko wapi,mchumba yuko wapi? Lakini na video ya vidole iko wapi🙄
26
2
77
@JayHustler_
Jasper
10 months
Kutoka maktaba 📌 Kama nchi tumepitia mengi sana kiukweli 🤭 Yote kwa yote Rest in Peace Dr Shika 900 Itapendeza😁🙏
Tweet media one
7
31
72
@JayHustler_
Jasper
1 year
Tupo kwenye jamii ambayo wanaamini mafanikio ya mtu ni kumiliki nyumba na gari😒
Tweet media one
8
22
65
@JayHustler_
Jasper
11 months
Kila ahsubuhi hubeba mambo mengi sana, mengi mabaya na mengi mazuri pia kwa ajili yako... Mungu akaibariki siku yako ikawe njema🙏
Tweet media one
11
41
68
@JayHustler_
Jasper
11 months
"Hayo ni mambo madogo kwangu, wewe niletee vyeti vyako mimi ntaongea na mkurugenzi ni rafiki yangu sana"😂🚮
Tweet media one
17
34
69
@JayHustler_
Jasper
11 months
Unaweza sali ili uzae chema bado ukazaa shoga na msagaji halafu mpagani akabakwa ikatungwa mimba akamzaa padre📌 #DuaMuhimu 🔥
Tweet media one
12
45
67
@JayHustler_
Jasper
1 year
Mungu atunusuru na matatizo ambayo pesa pekee haiwezi kuyatatua 😂 Anyway shusha handle wapwa waruke nayo kwanza 🔥🔥🔥
Tweet media one
9
28
69
@JayHustler_
Jasper
1 year
Tweet media one
2
1
69
@JayHustler_
Jasper
11 months
Kutoka maktaba📌 Hapa kiukweli tulidanganywa mno jamani 😒😂
Tweet media one
20
33
67
@JayHustler_
Jasper
11 months
Kikubwa tuendelee kumuomba Mungu atuepushe na matatizo ambayo pesa pekee haiwezi kuyatatua 🙏😂
Tweet media one
10
41
66
@JayHustler_
Jasper
8 months
Kumbe Boniyai naye anatuchora tu aisee keshatuzunguka kapandikiza chipukizi 😳😄
Tweet media one
6
4
66
@JayHustler_
Jasper
2 months
Tunaanza na Mungu🙏
Tweet media one
10
14
64
@JayHustler_
Jasper
11 months
Kikubwa tuendelee kumuomba Mungu atuepushe na matatizo ambayo pesa pekee haiwezi kuyatatua 😂🔥 🔥
Tweet media one
11
31
65
@JayHustler_
Jasper
1 year
Ipo siku muujiza wa namna hii kwenda kwa mama yako utapitia kwako ndugu... Type Ameen!🙏📌
Tweet media one
12
22
64
@JayHustler_
Jasper
1 year
Hellow...🔥 Mwanza Kagera Singida Geita Shinyanga Kigoma Lindi Ruvuma Songwe Mtwara Rukwa Katavi Mbeya Mara Dodoma Tabora Njombe Tanga Kilimanjaro Manyara Morogoro Dar es Salaam Zanzibar Arusha Kampala Nairobi Kigali And all over the world.. Be blessed fighters, good morning 🌄
19
18
64
@JayHustler_
Jasper
1 year
Usishangae huyu usalama wa taifa....😂😂 Wewe shusha handle wapwa waruke nayo kwanza 🔥🔥🔥
Tweet media one
17
12
59
@JayHustler_
Jasper
1 year
Kuna wenzetu ambao wamejitafuta na wamepata walau mwanga wa njia wanayoitafuta, tafadhali tusiache kuwaunga mkono.... Kila mtu anapenda kunukia maana inaongeza umaridadi pia💥 Check na @kalage_jr kwa 0678213259 upate huduma bora🔥
Tweet media one
Tweet media two
8
41
60
@JayHustler_
Jasper
11 months
Kwenye ukoo wetu hamna mtu tajiri na hata akiwepo lazima atakuwa bahili📌 Kwa hiyo siyo kwamba najipendekeza bali najituma ili kuiona nuru🙏 #IpoSiku 📌
Tweet media one
18
39
60
@JayHustler_
Jasper
11 months
Kama kuna mtu mwenye vyeti vya kidato cha sita anifuate nimesema☹️😂
Tweet media one
13
32
58
@JayHustler_
Jasper
11 months
Kikubwa tuendelee kumuomba Mungu atuepushe na matatizo ambayo pesa pekee haiwezi kuyatatua😀🙏
Tweet media one
3
11
60
@JayHustler_
Jasper
11 months
Kutoka maktaba 📌 Hii nchi mambo ni mengi mno ila kikubwa pumzi tunayo tuendelee kumshukuru Mungu🙏🔥
Tweet media one
9
34
56