![Janeth Rithe Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1685326505956532224/UNsdtY-z_x96.jpg)
Janeth Rithe
@JaneRithe
Followers
5K
Following
3K
Statuses
6K
National Chairperson of the Women's Wing @ACTwazalendo
Dar es Salaam, Tanzania
Joined August 2018
RT @Barazakivuznz: Feb 07, 2025 Waziri Kivuli Maendeleo ya Jamii Bara na Zanzibar, @JaneRithe na @halima_ibrahim7; wameenda kutembelea TAMW…
0
3
0
RT @JiniKinyonga: Jana Feb 08, 2025 Waziri Kivuli wa Maendeleo ya Jamii Bara na Waziri Kivuli wa Mendeleo ya Jamii Zanzibar, @JaneRithe na…
0
4
0
RT @ACTBarazaKivuli: Jana Feb 07, 2025 Waziri Kivuli wa Maendeleo ya Jamii Bara na Waziri Kivuli wa Mendeleo ya Jamii Zanzibar, @JaneRithe…
0
7
0
@StephanoMsuya @MwananchiNews Hawa ndio wamezidi hata huyo mwanamke hapo kaingia kwa bahati mbaya
1
0
1
Sasa tukutane Darajabovu Madukani, Uwanja wa Stella, Mkoa wa Kichama wa Magharib A. Ni Siku ya Jumapili, tarehe 09/02/2025, kuanzia saa 8:00 Hadi 12:00 jioni. #ZanzibarMpya
#ZanzibarMoja
#MamlakaKamili.
1
1
6
RT @JiniKinyonga: Kuanzia Februari 7 hadi 10, 2025 Sekretarieti ya Chama cha @ACTwazalendo itafanya ziara ya kata kwa kata katika Mkoa wa D…
0
4
0
Happy birthday Engineer @Ndolezi_Petro mchapa kazi, hapa ni pori la ushetu huko,tulifanana na vumbi balaa Ujenzi wa chama unahitaji moyo na kujitoa nakuona mbali sana mbunge mtarajiwa
0
4
13
Ni kweli mama hata juzi mkuu wa mkoa wa dsm kathibitisha hili kwamba huduma bora tutapewa na waume zetu nyumbani asante sana @SuluhuSamia
"Nilipochukua madaraka, niliahidi kwamba pamoja na kuwekeza katika vituo vya afya na wafanyakazi wa sekta ya afya, tutaipa kipaumbele afya ya mama na mtoto. Tangu mwaka 2021, tumetekeleza hatua mbalimbali za kuboresha afya ya uzazi, afya ya mama, watoto wachanga pamoja na lishe." - Rais Samia Suluhu akipokea Tuzo ya Gates Goalkeeper Award
0
0
0
Sio siku ya furaha hasa kutokana na maisha ya wanawake yalivyo nenda vijijini kamuone mwanamke wa kijijini anavyoteseka mpaka kazoea anaona ni kawaida hii inatakiwa iwe siku ya kudai haki ya kupata huduma za afya kuboresha mitaji na kumlinda mwanamke dhidi ya ukatili wa kijinsia
Wanawake wana changamoto nyingi sana,ubakwaji,ukosefu wa huduma za afya,maisha magumu,hawana mitaji na tuna Rais mwanamke hajaonyesha njia yoyote ya kupunguza changamoto za mwanamke kama sio kuzimaliza leo mmetengeneza sare za vitenge ndio shida ya wanawake wa Tanzania?
0
0
0
Uchawa na kujifanya watetezi wa Rais badala ya ku address changamoto za wanawake na kutafuta majabu kuyapunguza au kuayaondoa kabisa hapa ndio tulipo wanawake sijui tumeleogwa na nani
Wanawake wana changamoto nyingi sana,ubakwaji,ukosefu wa huduma za afya,maisha magumu,hawana mitaji na tuna Rais mwanamke hajaonyesha njia yoyote ya kupunguza changamoto za mwanamke kama sio kuzimaliza leo mmetengeneza sare za vitenge ndio shida ya wanawake wa Tanzania?
2
0
2
Huyu @merychitnda kawakusanya wanawake ili akaseme hiki?haya ni matumizi mabaya ya muda na rasilimali
VIDEO: Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT) umesema utapambana na chama chochote ama mtu yeyote atakayeeneza kile ilichokiita dhihaka ama propaganda ovu dhidi ya Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM taifa Dkt. Samia Suluhu Hassan. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa UWT taifa, Mary Chatanda Jumanne Februari 4,2025 jijini Dodoma wakati wa Kongamano la Wanawake kuelekea maadhimisho ya Miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amesema UWT ni jeshi kubwa hivyo mtu yeyote atakayetaka kupambana na Rais Samia ajipange, na amekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutumia lugha za staha wanapotaka maridhiano kwa jambo lolote na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
0
0
0
RT @mwita_loveness: Apatikane mwanahabari nguli na mbobezi afanye mahojiano au mazungumzo na mwami @zittokabwe ili kukuza uelewa wa haya ma…
0
27
0