![ACTBarazakivuliznz Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1854628991501479949/JBOJ-c04_x96.jpg)
ACTBarazakivuliznz
@Barazakivuznz
Followers
38
Following
1
Statuses
39
Wasemaji wa Kisekta Zanzibar (Baraza Kivuli)
Joined November 2024
RT @JiniKinyonga: Jana Feb 08, 2025 Waziri Kivuli wa Maendeleo ya Jamii Bara na Waziri Kivuli wa Mendeleo ya Jamii Zanzibar, @JaneRithe na…
0
4
0
RT @ACTBarazaKivuli: Jana Feb 07, 2025 Waziri Kivuli wa Maendeleo ya Jamii Bara na Waziri Kivuli wa Mendeleo ya Jamii Zanzibar, @JaneRithe…
0
7
0
Feb 07, 2025 Waziri Kivuli Maendeleo ya Jamii Bara na Zanzibar, @JaneRithe na @halima_ibrahim7; wameenda kutembelea TAMWA na WILDAF. Wamezungumzia ilani za uchaguzi zitoe kipaumbele kwa wanawake na umuhimu wa kuwawezesha Wanawake wanaotarajia kugombea Mkuu utakaofanyika mwaka huu
0
3
8
RT @IsmailJussa: Happy Birthday Mwenyekiti wa Chama, Ndugu Othman Masoud Othman. Nakuombea kila la kheri na mafanikio katika mwaka huu amba…
0
25
0
5/03/2025, Msemaji wa Sekta ya Maendeleo ya Wanawake, Watoto na Makundi Maalum wa Baraza Kivuli la Chama Cha @ACTwazalendo - Zanzibar, Bi @Halimaibrahim Mohammed, amefanya mahojiano na kituo cha habari cha @CrownMediaTZ, kuhusu Kipindi Cha Wanawake na Uongozi.
0
3
7
RT @ACTwazalendo: Sasa tukutane Darajabovu Madukani, Uwanja wa Stella, Mkoa wa Kichama wa Magharibi A. Mwenyekiti wa Taifa wa @ACTwazalendo…
0
6
0
Sasa tukutane Darajabivu Madukani, Uwanja wa Stella, Mkoa wa Kichama wa Magharib A. Ni Siku ya Jumapili, tarehe 09/02/2025, kuanzia saa 8:00 Hadi 12:00 jioni. #ZanzibarMpya
#ZanzibarMoja
#MamlakaKamili.
0
0
0
Hodi Hodi Kaskazini A. Ni Siku ya Jumapili, tarehe 02/02/2025 Katika Kiwanja Cha Good hope, Kivunge, kuanzia saa 8:00 Hadi 12:00 jioni. #ZanzibarMpya
#ZanzibarMoja
#MamlakaKamili.
0
5
9
"Uchaguzi wa mwaka huu, ni tafauti na uchaguzi wa miaka yote, uchaguzi wa mwaka huu ni uchaguzi wa maamuzi, uchaguzi wa kuinusuru nchi yetu ya Zanzibar" Othman Masoud. #Zanzibarmpya
#Zanzibarmoja
#Mamlakakamili
0
0
0
RT @Barazakivuznz: "Waulizeni kwanini leo, nchi ndogo za visiwa kama sisi, jirani zetu kwanini watupite kwa mara 10 katika kukusanya Mapato…
0
8
0
"Waulizeni kwanini leo, nchi ndogo za visiwa kama sisi, jirani zetu kwanini watupite kwa mara 10 katika kukusanya Mapato yao" #Zanzibarmpya
#Zanzibarmoja
#MamlakaKamili
0
8
7
2025 ni Mwaka wa Mabadiliko! Tukutane Gombani Kongwe, #ChakeChake #Pemba Jumapili, tarehe 26/01/2025.
0
0
0
Ziara ya kikazi ya M/kiti wa Chama Cha ACT-Wazalendo Zanzibar, @IsmailJussa katika Mikoa yote 11 ya Kichama Zanzibar, imeendelea leo tarehe 16/01/2025 kwa kukutana na Viongozi wa Mkoa wa mjini Kichama, katika ukumbi wa Bait el alyamin #ZanzibarMpya
#ZanzibarMoja
#MamlakaKamili
0
4
14
TAARIFA KWA UMMA Kuhusu mwendo na ongezeko la deni la Taifa la Zanzibar (2020–2024) "UNAPOSHINDWA KUHESABU, UTASHINDWA KUDHIBITI" Prof. Omar Fakih Hamad Msemaji wa Sekta ya Fedha, Uchumi na Dira ya Maendeleo – Zanzibar, Kwa niaba ya @ACTwazalendo
1
8
10